Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Finland Mhe. Alexander Stubb mara baada ya kuhitimisha Ziara ya Kitaifa, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 16 Mei, 2025.