Rais Dk Samia akizungumza mara baada ya kufungua rasmi Daraja la JP Magufuli
JamhuriComments Off on Rais Dk Samia akizungumza mara baada ya kufungua rasmi Daraja la JP Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi, wageni mbalimbali pamoja na wananchi mara baada ya kufungua rasmi Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa km 3.0 pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa km 1.66 mkoani Mwanza.