Rais Dk Samia ampokea Rais wa Jamhuri ya Finland Alexander Stubb Ikulu Jijini Dar es Salaam
JamhuriComments Off on Rais Dk Samia ampokea Rais wa Jamhuri ya Finland Alexander Stubb Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Finland Mhe. Alexander Stubb mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Mei, 2025.