Rais Samia apokea Tuzo Maalum ya Heshima ya Bunge la kutoka kwa Spika Dk Tulia
JamhuriComments Off on Rais Samia apokea Tuzo Maalum ya Heshima ya Bunge la kutoka kwa Spika Dk Tulia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo Maalum ya Heshima ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson katika viwanja Bunge Jijini Dodoma tarehe 31 Mei, 2025.