Rais Samia awataka Watanzania kushiriki kulinda maadili kwa ajili ya ustawi wa jamii
JamhuriComments Off on Rais Samia awataka Watanzania kushiriki kulinda maadili kwa ajili ya ustawi wa jamii
Shamrashamra wakati wa Tamasha la Utamaduni la Bulabo la Kanda ya Ziwa lililofanyika katika uwanja wa Bujora, Kisesa Mkoani Mwanza tarehe 21 Juni, 2025.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Watemi wa kabila la Wasukuma mara baada ya kutembelea Kituo cha Utamaduni na Makumbusho ya Wasukuma Bujora, Kisesa Mkoani Mwanza tarehe 21 Juni, 2025.