Rais Samia : Matarajio ya wananchi kwa mahakama ni kutenda haki kwa wote na kwa wakati
JamhuriComments Off on Rais Samia : Matarajio ya wananchi kwa mahakama ni kutenda haki kwa wote na kwa wakati
Matukio mbalimbali kwenye hafla ya uapisho wa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Mhe. Jaji George Mcheche Masaju, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 15 Juni, 2025