SIMBA SC KAZINI TENA LEO KUUMANA NA MWADUI FC
Timu ya Simba leo inashuka dimbani kwenye mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara kuumana na Mwadui Fc kwenye uwanja wa CCM Kambarage, Shinyanga. Simba ndio vinara wa ligi hiyo baada ya kujikusanyia point 41 ikiwa imecheza michezo 17, huku mwadi akiwa kwenye nafasi ya 16 imenjikusanjia point 17 baada ya kucheza michezo 12 Mwadui wanaweza…