JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: tundu liss

TUNDU LISSU: “LEMUTUZ HUSILAZIMISHE URAFIKI USIOKUWEPO”

Kwenye ukurasa wake wa Instagram Mbunge wa Singida Kaskazi, Tundu Lissu amemtolea povu Lemutuz. Tundu lissu alisema haya “Leo (Jana) nimeonyeshwa post iliyopo kwenye Instagram account ya William Malecela aka Lemutuz. Kwenye post yake, Lemutuz amedai kwamba mimi ni rafiki…

TUNDU LISU: BADO NINA RISASI MWILINI MWANGU

HALI ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu inaendelea kuimarika huku akiendelea na mazoezi ya viungo katika Hospitali ya Nairobi nchini Kenya ambako anapatiwa matibabu ya majeraha aliyoyapata baada ya kushambuliwa kwa risasi nyumbani kwake Area D, mjini Dodoma mnamo…