Viongozi mbalimbali wa dini na serikali wakati ufunguzi wa Kanisa Arise and Shine Dar
JamhuriComments Off on Viongozi mbalimbali wa dini na serikali wakati ufunguzi wa Kanisa Arise and Shine Dar
Viongozi mbalimbali wa dini na serikali wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kanisa Arise and Shine ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kawe Jijini Dar es Salaam.