Viongozi, wasanii na wananchi waliohudhuria uzinduzi wa kampeni za CCM
JamhuriComments Off on Viongozi, wasanii na wananchi waliohudhuria uzinduzi wa kampeni za CCM
Viongozi mbalimbali, wasanii pamoja na wananchi waliohudhuria uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika viwanja vya Tanganyika Packers Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Agosti, 2025