Wagombea 127 wa udiwani kutoka vyama 18 kupigiwa kura kesho
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wagombea udiwani 127 kutoka vyama 18 vya siasa…
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameiagiza Benki kuu ya Tanzania (BOT) kuzisimamia Taasisi za kifedha kwa upande wa mabenki kuboresha riba katika mikopo wanayoitoa. Akizungumza Leo,Agosti 3, 2023, katika banda la BoT mara baada ya kutembelea mabanda ya Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane yanayofanyika Kitaifa kwenye viwanja…
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wagombea udiwani 127 kutoka vyama 18 vya siasa wanatarajiwa kupigiwa Kura katika Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika kata 22 za Tanzania Bara unaotarajiwa kufanyika kesho tarehe 20 Machi, 2024. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Rufaa) Mhe. Jacobs Mwambegele jijini Dar es Salaam…
Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Mbambabay WANANCHI wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wamemshukuru Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha kiasi cha shilingi bilioni 12.2 kwa ajili ya ujenzi wa bandari mpya ya Ndumbi ziwa Nyasa. Mbunge wa Jimbo la Nyasa Mhandisi Stella Manyanya akizungumza mjini Mbambabay amesema ujenzi wa bandari hiyo umekamilika kwa asilimia…
Na Isri Mohamed Shirikisho la Soka la Ivory Coast limetangaza kumuita kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua kwenye kikosi cha timu yao ya Taifa. Paccome ameitwa kuchukua nafasi ya kiungo mkabaji wa Nottingham Forest Ibrahim Sangare ambaye amepata majeraha. Ivory Coast itacheza mechi za kirafiki mbili, dhidi ya Benin Machi 23 na dhidi ya Uruguay…
Na Magrethy Katengu, Jamhuriamedia, Dar es Salaam Kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara,Kilimo na Mifugo imelipongeza Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) kwa jitihada wanazozifanya za ukarabti wa miundombinu ili kusaidia kuinua uchumi wa bluu kupitia sekta ya uvuvi. Pongezi hizo zimetolewa Machi,18,2024 Jijini Dar es Salaaam na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Deo Mwasanyika…
*Wadau wa uhifadhi, maendeleo kuibadili Mugumu kuwa ‘Serengeti Smart City’ *Iwapo Dodoma itaidhinisha mpango huu, Senapa itabaki kileleni daima Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara Kwa miaka mitatu mfululizo, Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (Senapa) imetajwa kuwa miongoni mwa sehemu bora zaidi ya kutembelewa duniani. Mkurugenzii wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali,…
OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa ameielekeza Wakala wa Mabasi yaendayo haraka (DART) kufikia mwezi Oktoba 2024 iwe imempata mwekezaji binafsi ambaye ni mtoa huduma wa mabasi hayo ili kuleta ufanisi. Mchengerwa ametoa maelekezo hayo wakati akiwasilisha Randama ya Bajeti ya Ofisi ya Rais…