Latest Posts
Wanafunzi 40 wateuliwa kuwa mabalozi wa utalii
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Babati Wanafunzi 40 wa sekondari katika.shule zilizopo katika eneo la hifadhi ya jamii ya wanyamapori ya Burunge,wilayani Babati wameteuliwa kuwa mabalozi wa kuhamisha utalii na uhifadhi . Akizungumza katika hafla ya kuwaaga wanafunzi hao kwenda kujifunza…
Mdemu awataka wanufaika wa mikopo wa WDF kurejesha kwa wakati
Na Saidi Said, WMJJWM – DodomaNaibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Felister Mdemu, amewataka wanufaika wa mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake (WDF) kuhakikisha wanarejesha mikopo hiyo kwa wakati ili kutoa…
Kwa heri John Sabi Nzuryo, Jamhuri Media itakukumbuka
Uongozi wa Gazeti la JAMHURI unasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu JOHN SABI NZURYO kilichotokea Desemba 15, 2025 katika Hospitali ya Amana, Dar es Salaam. Tunaendelea kufuatilia taratibu za msiba na maziko kwa familia, hivyo tutawajulisha kila hatua tutakayofikia. Bwana…





