Latest Posts
Mradi wa DMDP II kujenga kilomita 42.78 za lami Kigamboni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza kutekeleza ujenzi wa barabara Kilomita 42.78 kwa kiwango cha lami kupitia mradi wa Uendelezaji Jiji la Dar es Salaam Awamu ya Pili…
Naibu Waziri wa Nishati akabidhi vitendea kazi TANESCO Mkoa wa Shinyanga
📌Ni katika muendelezo wa mkakati wa shirika wa kuwahudumia wananchi kwa ufanisi 📌Awasihi wananchi kutumia nishati safi umeme kupikia Na Mwandishi Wetu, Kahama Naibu Waziri wa Nishati Mh. Salome Makamba amekabidhi vitendea kazi vya usafiri kwa TANESCO Mkoa wa Shinyanga…





