JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ufanisi wa TANESCO katika utekelezaji na usimamizi miradi umeleta mfumo madhubuti wa nishati – Ndejembi

πŸ“Œ Akagua mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa Chalinze -Dodoma atoa agizo ukamilike kwa wakati πŸ“Œ Asema ni mradi mkubwa wa Sh bilioni 556 unatekelezwa kwa fedha za ndaniπŸ“Œ MD TANESCO: Msukumo mkubwa unawekwa kusambaza umeme kutoka vyanzo hadi…

Mtanzania aibuka mshindi Tuzo Kuu za Uhifadhi Duniani

Kwa mara ya kwanza Tanzani imeshinda tuzo kuu za uhifadhi Duniani katika hafla iliyofanyika jiji la London nchini Uingereza, usiku wa kuamkia leo Novemba 27, 2025 tuzo hiyo ni maarufu kwa jina la Tusk for Conservation in Africa. Mshindi wa…

Dk Akwilapo ataka maeneo ya umma kulindwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Leonard Akwilapo amezitaka taasisi za umma kuhakikisha zinalinda mipaka ya maeneo yake ili kuepuka uvamizi unaoweza kuzalisha migogoro ya ardhi nchini. Mhe Dkt Akwilapo ametoa rai…

Waziri Kombo apokea magari mawili kutoka Qatar

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imepokea magari mawili aina ya Land Cruiser Prado kutoka Taifa la Qatar kwa ajili ya kuhudumia viongozi wanaokuja kwa ziara za kitaifa na…

Dk Jingu awataka wataalam wa malezi ya kambo kufikisha elimu kwa jamii

Na Abdala Sifi WMJJWM- Dar Es Salaam Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamiii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt John Jingu amewasihi wahitimu wa mafunzo ya malezi mbadala/ malezi ya Kambo kuhakisha wanafikisha elimu hiyo katika jamii ili kuongeza…

Pinda- Watanzania waithamini elimu huria masafa ya kimtandao na masafa ni bora

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kimeongeza idadi ya wahitimu wa fani mbalimbali kupitia mfumo wa elimu ya mtandao na masafa, kutoka 62,217 kwa mwaka 2023/2024 hadi 67,359 mwaka 2025. Ongezeko hilo limetokana na kuhitimu…