Latest Posts
Amani si kwa ajili ya faida ya Rais wala Serikali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Aprili 5,2026 Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, alishiriki Tamasha la Pasaka la Mtoko na Christina Shusho lililofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Katika tamasha hilo, Waziri Mkuu alisema kuwa…
Zelensky: Mashambulizi kwenye vituo vya nishati yasitishwe
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kwamba Ukraine imependekeza kwa Urusi kupitia kwa Marekani mpango wa kusitisha mashambulizi ya pande zote yanayolenga vituo vya nishati. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kwamba Ukraine imependekeza kwa Urusi mpango wa kusitisha mashambulizi…
Tume ya uchunguzi yaongeza muda hadi Aprili 24, 2026
Na Mwandishi Wetu, Dodoma MAMLAKA ya Uteuzi imeridhia maombi ya muda wa ziada kwa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 hivyo imeiongezea tena muda wa siku ishirini na moja…
Masauni ahimiza vijana kuenzi, kulinda na kutetea muungano
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amewataka wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu nchini na vijana kuendelea kulinda na kutetea misingi ya…





