JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watu 85 wakamatwa kwa uzushi wa kuibiwa nyeti, watatu waenda jela miezi sita

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linatoa wito kwa baadhi ya watu wanaozua taharuki na kutoa taarifa za uzushi zinazosababisha vitendo vya uvunjifu wa amani kuhusiana na kuibiwa kwa nyeti zao mara baada ya kushikwa…

Misaada ya maendeleo yapungua kwa asilimia 23.1 mwaka 2025

Shirika la Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo, OECD, limesema misaada ya maendeleo ilipungua kwa kiwango cha kihistoria kwa asilimia 23.1 mwaka uliopita. Shirika la OECD lenye makao yake makuu mjini Paris nchini Ufaransa lilisema data zake za awali zilionyesha misaada…

Msajili vyama vya siasa ateta na Rais wa zamani wa Malawi Chakwera

Msajili wa Vyama vya Siasa, Mhe. Jaji Mstasfu Francis Mutungi amekuta na kufanya mazungumzo na Mhe. Lazarus Chakwera, Rais wa Zamani wa Malawi na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola. Kikao hicho ni sehemu ya ziara ya…

Doris Mollel umestahili tuzo ya WHO, umeokoa maisha ya wengi

Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Dar es Salaam Nakumbuka mwalimu wangu wa somo la Uraia (Civics) alipokuwa akitufundisha mada (topic) ya “Haki za “Binadamu” (Human Rights) tulipokuwa Kidato cha Kwanza, alituambia mengi kuhusu haki za binadamu.  Miongoni mwa mikazo yake,…

TBL yatoa wito wa hatua za pamoja za kukabiliana na hatari za pombe haramu Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Jamhurimedia, Dar es Salaam Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) imetoa wito wa kuwepo kwa hatua za pamoja na endelevu ili kukabiliana na tatizo la pombe haramu nchini, ikionya kuwa hali hii inaendelea kuhatarisha afya ya wananchi,…

Jaji Masaju : Usuluhishi njia halali ya upatikanaji haki

Na Mary Gwera – Mahakama, Dar es Salaam Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju amesema kuwa, Usuluhishi haupaswi kuitwa njia mbadala ya utatuzi wa migogoro kwakuwa ni njia mojawapo inayotambulika kikatiba. Mhe. Masaju ameeleza hayo…