Latest Posts
Safari ya gridi ya taifa ya maji imeanza, wananchi tutunze vyanzo vya maji kwa maendeleo
Na Dk Reuben Lumbagala Ni dhamira ya kweli ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kumtua mama ndoo kichwani yaani kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji katika makazi yao na kuepukana na kadhia ya kuchota maji umbali mrefu. Kwa lugha rahisi…
Irene Luoga mfanyakazi hodari TCDC mwaka 2025/2026
Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imemtangaza Irene Luoga, Afisa Ushirika Mwandamizi kutoka Ofisi ya Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Mbeya, kuwa mfanyakazi hodari kwa mwaka 2025/2026. Tuzo hiyo imetolewa kufuatia mchango wake mkubwa katika kusimamia…
Tanzania yaanza enzi mpya uzalishaji wa Helium duniani
Yajipanga Kubeba Suluhu ya Uhaba wa Gesi hiyo Duniani Helium One Global Yasema Akiba ya Songwe ina Thamani Kubwa Kijiolojia Mradi Kuanza Kutekelezwa baada ya Miezi 18, Zaidi ya Dola Milioni 60 tayari Zimewekezwa Serikali Kumiliki Asilimia 17 ya Hisa…
TTB yaeleza utalii wa michezo unavyochangia uchumi wa jamii
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe BODI ya Utalii Tanzania (TTB), imesema utalii wa michezo umeendelea kuwa nguzo muhimu ya kuongeza mapato kwa jamii zinazozunguka Hifadhi za Taifa, huku wananchi wa maeneo hayo wakinufaika kupitia fursa mbalimbali za kiuchumi zinazotokana na…
Wafanyabiashara zaidi ya 300 waiomba Serikali kuingilia kati mgogoro baina yao na uongozi Jiji la Dodoma
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wafanyabiashara zaidi ya 300 waliokuwa wakifanya shughuli zao katika Soko la Rehema Nchimbi jijini Dodoma wameiomba Serikali kuingilia kati kwa haraka kutatua mgogoro unaohusu eneo mbadala la Umonga, kufuatia kushindwa kuendelea na shughuli zao za biashara kwa…
NSSF yapokea tuzo ya shukran katika sherehe za za Mei Mosi 2026
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Bw. Masha Mshomba, akipokea tuzo kutoka kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tuzo hiyo imetolewa kwa NSSF kwa kuwa miongoni mwa wadhamini wa sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani…





