JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

RC Tabora apiga marufuku ombaomba

Na Allan Ntana, JamhuriMedia, Tabora SERIKALI Mkoani Tabora imesema kuwa omba omba walio wengi wakiwemo wale wanaosukumwa kwenye vibaiskeli wana uwezo wa kufanya kazi zinazoweza kuwaingizia kipato na sio kukaa au kujipitisha mitaani wakiomba. Akihutubia Watumishi wa Umma na wa…

DC Mwanga atembelea kamati zilizoathiriwa na mvua

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, Bi. Rukia Zuberi, ametoa wito kwa wananchi wa wilaya hiyo kuchukua tahadhari na kufuata maelekezo ya viongozi pamoja na wataalamu ili kuepuka madhara yanayoweza kusababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani…

Tanzania, Rwanda kuimarisha ushirikiano nishati na miundombinu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Rwanda zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta za nishati na miundombinu kwa lengo la kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika ukanda wa Afrika Mashariki. Akizungumza jijini Dar…

Rais Kagame atua Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Paul Kagame amewasili nchini kwa Ziara ya Kikazi ya siku moja yenye lengo la kuimarisha uhusiano wa uwili kati ya Tanzania na Rwanda. Mhe. Rais Kagame anatarajia kukutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake,…

Serikali kuendelea kushirikiana na taasisi za kidini kuimarisha amani

▪️︎ Asema dini ni nguzo muhimu ya malezi na mshikamano wa Taifa ▪️︎ Asisitiza jamii kuendelea kuombea na kulinda amani ya nchi Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za dini nchini ili kuimarisha…