Latest Posts
Daktari wa Shifaa afichua vijana wanavyokufa ghafla na shinikizo la damu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Daktari bingwa wa maradhi ya moyo wa hospitali ya Shifaa iliyoko Msese Kinondoni jijini Dar es Salaam, Lulu Mageta amewataka vijana kupima afya zao mara kwa mara kwani wengi kwa sasa wanakabiliwa na…
Waziri Homera azitaka Bodi za Wadhamini kuwajibika zaidi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, amewataka wajumbe wa bodi za wadhamini nchini kuzingatia kikamilifu sheria, uwajibikaji na uadilifu katika usimamizi wa mali za taasisi wanazoziongoza, akisisitiza kuwa hatua hiyo ni…
Unganishaji umeme Morogoro mbioni kuanza, REA yakabidhi eneo
📌Yaweka msisitizo ushirikishwaji wa Serikali za Mitaa kwenye miradi ya umeme 📌Wasisitizwa kutekeleza mradi ndani ya wigo wa mkataba 📌Wapewa maelekezo kufanya mradi kwa weledi na utaalamu 📌Bilioni 6.6 kuunganisha wateja wa awali 1,929 📍Morogoro Wakandarasi wanaotekelza miradi ya kusambaza…
Tumfukuze mbwa mwitu kwanza, kisha tumzuie mwanambuzi kuchezea vichakani
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwandishi maarufu wa riwaya Afrika, Mnigeria Chinua Achebe, alipata kuandika sentensi maarufu katika kujenga mshikamano wa kijamii kuwa: “Katika mtanziko wa hatari, tumfukuze mbwa mwitu kwanza, kisha tumzuie mwanambuzi kuchezea vichakani.” Sitanii, kichwa…
Uchimbaji mchanga wageuka kero Viziwaziwa, Nyamka atembelea barabara iliyokatika
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Wakazi wa Sagale Magengeni, kata ya Viziwaziwa wilayani Kibaha, wamelalamikia kero ya wachimbaji mchanga wanaodaiwa kusababisha kukatika kwa barabara inayounganisha eneo hilo na Kwamfipa, hali inayowapelekea kuzunguka umbali mrefu . Wamesema shughuli hizo zinasababisha uharibifu…
Tanzania, Slovakia kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi wa kidiplomasia
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, Aprili 13, 2026, amefanya mazungumzo na Balozi wa Slovakia nchini, Mhe. Ivan LanÄŤariÄŤ, katika ofisi yake iliyopo Bungeni jijini Dodoma. Mazungumzo hayo yamelenga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia…





