Latest Posts
Kikwete ateuliwa kuwa mwakilishi ngazi ya juu wa Mwenyekiti wa Kamisheni AU
Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, kuwa Mwakilishi wa Ngazi ya Juu wa Mwenyekiti wa AUC katika eneo la Pembe ya Afrika na Bahari ya Shamu….
Watatu washikiliwa kwa tuhuma za ‘kuchakachua’ mbolea Makambako
Na Mwandishi Wetu Polisi mkoani Njombe inawashikilia watu watu akiwemo James Elias Nziku (41), Ahmed Abdalah Gunda (21) na Seleman Lameck Msiani (37) wakazi wa Makambako mkoani Njombe baada ya kukutwa katika ghala la mfanyabiashara wa pemebejeo anaejulikana kwa jina…
Waziri Mkuu : Maofisa mawasiliano jengeni utamaduni wa kufanya tafiti kupata takwimu
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kupitia Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wahakikishe kila wakati wanafanya utafiti na kupata takwimu sahihi. “Maofisa Mawasiliano wote jengeni utamaduni wa kufanya tafiti, kupata takwimu sahihi kabla…
Tanzania na IFC zajadili ushirikiano sekta ya umma na sekta binafsi kwa maendeleo ya nchi
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Serikali ya Tanzania imerejea tena dhamira yake ya kushirikiana kwa karibu na Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC) ili kuongeza uwekezaji wa sekta binafsi, kupanua miundombinu na kuharakisha Mpango wa Taifa wa mabadiliko ya…
Watumishi FCC watoa elimu ya haki za mlaji Mara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara WATUMISHI wa Tume ya Ushindani Ofisi ya Kanda ya Ziwa wametoa elimu kwa wadau mbalimbali, wakiwemo wanafunzi, waandishi wa habari na wafanyabiashara, walipotembelea Banda la Kliniki ya Walaji katika Manispaa ya Musoma Mkoani Mara. Banda…





