Latest Posts
Waliofukuzwa kwa udanganyifu wa vyeti feki NIDA yawaita kusahihisha nyaraka zao
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imetoa mwaka mmoja kwa wananchi wote waliotumia nyaraka za kughushi au waliotoa taarifa zisizo sahihi wakati wa usajili. Lengo ni kuwawezesha wale wote wenye chngamoto .kufanya marekebisho…
Ufanisi wa TANESCO katika utekelezaji na usimamizi miradi umeleta mfumo madhubuti wa nishati – Ndejembi
π Akagua mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa Chalinze -Dodoma atoa agizo ukamilike kwa wakati π Asema ni mradi mkubwa wa Sh bilioni 556 unatekelezwa kwa fedha za ndaniπ MD TANESCO: Msukumo mkubwa unawekwa kusambaza umeme kutoka vyanzo hadi…
Mtanzania aibuka mshindi Tuzo Kuu za Uhifadhi Duniani
Kwa mara ya kwanza Tanzani imeshinda tuzo kuu za uhifadhi Duniani katika hafla iliyofanyika jiji la London nchini Uingereza, usiku wa kuamkia leo Novemba 27, 2025 tuzo hiyo ni maarufu kwa jina la Tusk for Conservation in Africa. Mshindi wa…
Dk Akwilapo ataka maeneo ya umma kulindwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Leonard Akwilapo amezitaka taasisi za umma kuhakikisha zinalinda mipaka ya maeneo yake ili kuepuka uvamizi unaoweza kuzalisha migogoro ya ardhi nchini. Mhe Dkt Akwilapo ametoa rai…
Waziri Kombo apokea magari mawili kutoka Qatar
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imepokea magari mawili aina ya Land Cruiser Prado kutoka Taifa la Qatar kwa ajili ya kuhudumia viongozi wanaokuja kwa ziara za kitaifa na…
Dk Jingu awataka wataalam wa malezi ya kambo kufikisha elimu kwa jamii
Na Abdala Sifi WMJJWM- Dar Es Salaam Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamiii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt John Jingu amewasihi wahitimu wa mafunzo ya malezi mbadala/ malezi ya Kambo kuhakisha wanafikisha elimu hiyo katika jamii ili kuongeza…





