JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Mkuu awaagiza TANROADS, TARURA kufanya tathmini ya miradi yote

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza Watendaji Wakuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kufanya tathmini ya miradi yote ambayo malipo ya awali yameshafanyika na hatua za ujenzi zilizofikiwa katika miradi…

Ras Samia azungumza na Balozi wa Kenya nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Kenya anayemaliza muda wake nchini Tanzania, Mhe. Isaac Njenga, Ikulu Dar es Salaam, tarehe 17 Desemba, 2025. Balozi Njenga alifika Ikulu kumuaga Rais Dkt….

Rais Samia apongeza timu ya uimarishaji mpaka Tanzania na Kenya

Na Lusajo Mwakabuku-WANMM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameipongeza Kamati ya Pamoja ya Wataalamu ya Uimarishaji Mpaka wa Kimataifa kati ya Tanzania na Kenya kwa kuhakikisha mpaka unaotenganisha nchi hizo mbili unaimarishwa ambapo…

Wanataaluma wajadili athari chanya za AI

Wanataaluma na wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), leo Desemba 16,2025 wamekutana jijini Dodoma katika Kongamano la 16 la kitaaluma kukijadili kwa kina athari chanya za matumizi ya teknolojia, hususani akili Unde (Artificial Intelligence – AI), katika kukuza elimu,…

Makamu wa Rais aongoza waombolezaji mazishi ya marehemu Jenista Mhagama

Makamu wa Rais wa Jam huri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaongoza waombolezaji kwenye Mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Marehemu Jenista Mhagama, yaliyofanyika katika Kijiji cha Ruanda Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma leo tarehe…

TMA yapongezwa kwa kuimarisha imani ya Watanzania kupitia taarifa sahihi za hali ya hewa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ilipata fursa adhimu ya kutembelewa na Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mheshimiwa David Kihenzile(MB), katika Mkutano Mkuu wa 18 wa Tathmini ya Utendaji wa Sekta ya Uchukuzi. Mkutano huo…