Latest Posts
Mawakili wa Serikali wampongeza Mwanasheria Mkuu Johari
Na Mwandishi wetu Chama cha Mawakili wa Serikali kinatoa pongezi za dhati kwa Hamza Saidi Johari kwa kuteuliwa tena kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Uteuzi huu unaakisi ubobezi na uadilifu wake katika taaluma ya sheria, sambamba na matakwa ya Ibara…
Maonesho ya kilimomisitu kufanyika Musoma Novemba 13 na 15, 2025
Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Maendeleo la Kiswidishi linalotekeleza miradi ya maendeleo nchini kwa kushirikiana na wabia mbalimbali Vi Agroforesty limeandaa maonesho ya 10 ya kilimomisitu yanayotarajiwa kufanyika mjini Musoma. Meneja Mkazi wa shirika hilo nchini Martha Olotu aliwaambia waandishi…
Kauli ya Rais Samia imetupa utulivu kuendelea na majukumu – Wananchi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Pwani wameishukuru Serikali kufanikisha uchaguzi uliomalizika huku wakisema sasa wanaendelea na shughuli zao za kila siku kwa utulivu na usalama. Wakizungumza Novemba 6,2025 kuhusu muelekeo wa maisha baada ya…
Mwenyekiti ACT- Wazalendo aanza ziara ya maalum kukutana na wanachama Pemba
Na Mwandishi Wetu, Pemba Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, ambaye pia alikuwa mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama hicho, ameanza ziara maalum ya siku nne kisiwani Pemba yenye lengo la kuimarisha mshikamano wa wanachama na kufufua…



