Latest Posts
Umoja wa Ulaya kushirikiana na Tanzania kwenye Mnyororo wa Thamani wa Madini
Na Mwandishi Wetu Umoja wa Ulaya (EU) umeonesha nia ya kuendelea kushirikiana na Tanzania katika mnyororo mzima wa thamani wa madini, ikiwemo ujenzi wa uwezo kwa wataalam wa madini, mafunzo ya ufundi stadi, teknolojia za kisasa, na utunzaji wa data…
Trump: Hakuna hitimisho lolote la mwisho kuhusu Iran
Rais wa Marekani Donald Trump amesema mazungumzo yake na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu hayakufikia hitimisho lolote la mwisho kuhusu Iran. Trump amesisitiza kuwa mazungumzo na Tehran yataendelea akionyesha uwezekano wa kufikiwa kwa makubaliano mapya ya kidiplomasia. Netanyahu, licha…
Masauni atoa rai kwa wabunge kupinga upotoshaji kuhusu muungano
Na; Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni ametoa rai kwa wabunge kupinga na kusahihisha upotoshaji wa taarifa kuhusu Muungano, hususan kupitia mikutano ya hadhara na mitandao…
Prof. Mkenda : Wanawake na wasichana katika sayansi ni nyenzo ya maendeleo ya taifa kiuchumi
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesisitiza kuwa ushiriki wa Wanawake na Wasichana katika sayansi ni nyenzo muhimu ya maendeleo ya Taifa kiuchumi, na kwamba Serikali inaendelea kuwekeza ili kuongeza wataalam katika nyanja hiyo….
Wazazi waonywa; vituo vya kulea watoto siyo shule, wazingatie kanuni za 2012
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Karatu Wazazi na walezi wametakiwa kufahamu na kuzingatia Kanuni za Vituo vya Kulea Watoto Mchana na Watoto Wachanga za mwaka 2012 ili kuhakikisha watoto wanapata malezi sahihi kulingana na umri wao. Akizungumza wakati wa mafunzo kwa…
Siku 100 za Rais Samia,Waziri wa Vijana ataja mafanikio yaliyofanywa na Rais Samia
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka, ametaja mafanikio makubwa ambayo Rais Samia Suluhu Hassan ameyafanya ndani ya siku 100 madarakani ikiwemo kuwawezesha vijana. Akizungumzia siku 100 za Rais Samia IKULU, Waziri Nanauka,…





