Latest Posts
Dk Nchimbi afanya mazungumzo na Rais wa Zanzibar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwa ushindi wa kishindo aliyoupata katika Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2025. Makamu wa…
Rais Samia akiwatunuku kamisheni maafisa wanafunzi kuwa maafisa wa JWTZ
Maafisa Wanafunzi wakivalishana vyeo mara baada ya kutunukiwa Kamisheni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika sherehe zilizofanyika katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli mkoani Arusha tarehe…
JKCL sasa kusogeza huduma za moyo hadi maeneo ya kazi
Na Mwandishi Maalum Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeendelea kusogeza huduma za kibingwa za uchunguzi na matibabu ya moyo kwa jamii kwa kuwalenga wafanyakazi katika maeneo yao ya kazi hatua inayolenga kuwafikia wale ambao mara nyingi hukosa muda wa…
Tanzania yajipanga kuzalisha bidhaa zitokanazo na madini nchini
Tanzania yaendelea kupiga hatua katika Mpango wa ujenzi wa viwanda vya uongezaji thamani madini kutokana na ujenzi wa kiwanda kipya cha usindikaji na uyeyushaji madini ya Nikeli na Shaba kufikia asilimia 85 ya ujenzi ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa…
Waajiriwa wapya Tume ya Madini watakiwa kuzingatia maadili, kuepuka vishawishi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAAJIRIWA wapya wa Tume ya Madini wametakiwa kufuata kikamilifu miongozo, kanuni na taratibu za utumishi wa umma, sambamba na kudumisha maadili na uadilifu wanapoanza kutekeleza majukumu yao. Wito huo umetolewa leo, Novemba 21, 2025, na…





