JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mamlaka ya Dawa za Kulevya yakamata kilo 9,689.833 za dawa za kulevya, watuhumiwa 66 mbaroni

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema kuwa imefanikiwa kukamata jumla ya kilogramu 9,689.833 za dawa za kulevya, pikipiki 11 na magari matatu, kufuatia operesheni maalum zilizofanyika mwishoni mwa Desemba, 2025 katika maeneo mbalimbali nchini. Katika…

TARURA yaimarisha mikakati ya kuboresha barabara za wilaya kipindi cha mvua

Na Mwandishi Wetu Mameneja wa Mikoa wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wametakiwa kulinda usalama wa watumiaji wa barabara na kupunguza athari zinazoweza kusababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi nchini. Hayo yameelezwa na Mtendaji Mkuu…

Maafisa 84 na askari 48 wa TAWA watunukiwa vyeo vya uhifadhi

Na Beatus Maganja, JamhuriMedia, Morogoro Kaimu Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Mlage Yussuf Kabange, Januari 07, 2026 aliwatunuku na kuwavisha vyeo vya uhifadhi Maafisa 84 na Askari 48 wa taasisi hiyo, katika hafla iliyofanyika…

Polisi kufanya uchunguzi wa matukio matatu ya vifo

Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi wa matukio matatu ya vifo vilivyotokea kwa nyakati tofauti Tarime/Rorya, Jijini Arusha na Rufiji. Tukio la kwanza ni la kifo cha Dickson Tadeus Joseph, mkazi wa Rebu Senta Wilayani Tarime kilichotokea tarehe 1.1.2025 huko katika…

Kiteto wajiandaa kupokea mpango wa bima ya afya kwa wote

Na Mwandishi Wetu, Kiteto Kishindo kimeanza tayari kwa mapokeo na utayari wa Wilaya ya Kiteto katika mpango wa Bima ya Afya kwa Wote kufuatia Kikao Maalum cha Kamati ya Afya ya Msingi (PHC) ngazi ya Wilaya kilichoketi Mjini Kibaya (Kiteto)…

TANAPA yafanya makubwa Zanzibar, Makamu wa Pili apongeza juhudi zake

Na Jacob Kasiri, Zanzibar Makamu wa Pili wa Rais katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amelipongeza na kusema kuwa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limepiga hatua makubwa kuja kushiriki maonesho hayo ya kimataifa ya biashara…