RC mpy Shinyanga ataka elimu itolewe kwa wananchi kuacha kucheza kamali
Na Suzy Butondo, JamhuriMedia, Shinyanga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Annamlingi Macha amewataka viongozi na…
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameiagiza Benki kuu ya Tanzania (BOT) kuzisimamia Taasisi za kifedha kwa upande wa mabenki kuboresha riba katika mikopo wanayoitoa. Akizungumza Leo,Agosti 3, 2023, katika banda la BoT mara baada ya kutembelea mabanda ya Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane yanayofanyika Kitaifa kwenye viwanja…
Na Suzy Butondo, JamhuriMedia, Shinyanga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Annamlingi Macha amewataka viongozi na wataalamu kutoa elimu kwa wananchi wa Mkoa wa Shinyanga kuacha kucheza kamali na kushinda kwenye kahawa, badala yake wathamini muda kwa kufanya kazi kwa bidii, kwani maisha ni muda. Rai hiyo ameitoa leo kwenye hafla ya makabidhiano ya mkuu wa…
Na Mwandishi wetu NCHI ya Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa kongamano la 10 la Jotoardhi Afrika (ARGe-C10) ambapo takribani washiriki 1000 kutoka mataifa mbalimbali wanatarajiwa kushiriki . Kongamano hilo litafanyika kuanzia Novemba 11 hadi 17, 2024 katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam. Hayo yamebainishwa jijini Dar es…
Na Jumanne Magazi Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amesema ameridhishwa na ujenzi na majaribio ya safari ya treni ya mwendokasi maarufu SGR, kwa kipande cha kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro. Ameyasema hayo leo Machi 18, 2024, wakati wa muendelezo wa safari za majaribio za treni hiyo ambapo amesema kuanzia mwezi Julai…
Rais wa Urusi, Vladimir Putin ameshinda uchaguzi wa rais kwa asilimia 87.97 ya kura, kulingana na matokeo rasmi ya kwanza yaliyooneshwa Jumapili baada ya zoezi la kupiga kura kufungwa. Putin,71, aliyeingia madarakani mwaka 1999, alipata muhula mpya wa miaka sita kama rais, akimpita Josef Stalin kama kiongozi aliyekaa madarakani kwa muda mrefu zaidi nchini Urusi….
Polisi mkoani Kigoma kwa kushirikiana Idara ya Uhamiaji imewakamata watu 86 kutoka nchi za Burundi na Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo wakiwa wanaishi na kufanya kazi nchini bila vibali. Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma, Filemon Makungu akitoa taarifa kwa waandishi wa habari mjini Kigoma alisema watu hao walikamatwa katika operesheni maalum iliyoendeshwa baina ya polisi…