Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Edmund Bernard Mndolwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ...
Read More »LISOME GAZETI LETU LA JAMHURI LA KILA WIKI HAPA
Habari Mpya
Magazeti ya leo Jumatatu Aprili 23
KUNDI LA YANGA KOMBE LA CAF NI LA VIBONDE TUPU
Kufuatia droo ya timu zitakazokutana katika hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kufanyika jana, uongozi Yanga wafurahia kupangwa na timu za ukanda wa ...
Read More »MBEY CITY YAIPANIA YANGA LEO
Uongozi wa Mbeya City umesema tayari umeshajiandaa vizuri kuelekea mchezo wa leo wa ligi dhidi ya Yanga utakaopigwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Yanga imewasili ...
Read More »NEEMA IMEANZA KUMFUNGUKIA MBWANA SAMATTA
Neema imezidi kumfungikia mshambuliaji Mtanzania, Mbwana Samatta anayekipiga katika Klabu ya KRC Genk ya Ubelegiji baada ya klabu tatu za England kumuwania. Samatta aliyewahi ...
Read More »Maandalizi ya ibada ya kuaga mwili wa
Mwili wa Msanii Agnes ‘Masogange’ Gerald unaagwa leo katika viwanja wa Leaders Club jijini na Dar es Salaam, na baada ya hapo utasafirishwa kwenye nyumbani ...
Read More »Vidole Havitatumika Kupima Wanaume wa Dar Tezi Dume-Makonda
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kuwa, njia itakayotumika kuwapima saratani ya tezi dume wanaume wa Dar es Salaam ni njia ...
Read More »UZALISHAJI WA CHAKULA NCHINI UMEIMARIKA-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hali ya uzalishaji wa mazao ya chakula nchini imeimarika na kufikia tani milioni 15.9 kwa msimu wa mwaka 2016/2017 na ...
Read More »Magazeti ya leo Jumapili Aprili 22, 2018
BAADA YA MZEE WENGER KUOMBA POO, ARSENAL YAMNYATIA GUARDIOLA
Taarifa zinaeleza kuwa Uongozi wa Arsenal umeanza kufanya mazungumzo ya kimyakimya na Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ili kuchukua nafasi ya Arsene Wenger. Hatua ...
Read More »Habari za Kitaifa
-
Rais Dkt Magufuli afanya uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TPB
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Edmund Bernard Mndolwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ...
Read More » -
Maandalizi ya ibada ya kuaga mwili wa
-
Vidole Havitatumika Kupima Wanaume wa Dar Tezi Dume-Makonda
-
UZALISHAJI WA CHAKULA NCHINI UMEIMARIKA-MAJALIWA
-
BAADA YA MZEE WENGER KUOMBA POO, ARSENAL YAMNYATIA GUARDIOLA
Maoni ya Mhariri
-
WENGER AWATULIZA MASHABIKI WA ARSENAL, AIBABUA AC MILLAN 3-1
Baada ya Arsenal jana kuitandika AC Millan, kwa mabao 3-, uwenda mashabiki wa Arsenal wanaweza kutuliza mzuka wa kumlazimisha Mzee wenga kung’atuka kwenye timu ya ...
Read More » -
Tusipuuze tamko la EU
-
KUNA MAMBO PAUL MAKONDA ANAPATIA
-
Chama cha Siasa ni Umoja
-
Chama cha Siasa ni Umoja