Latest Posts
Adam Malima Ataka Mkuranga wasirudie Makosa
*Ni kwenye dua aliyowaalika Dk Chakou Tindwa na Abdalla Ulega. *Asema jimbo linataka mtu muungwana kwa wananchi *Asisitiza wachague mtu asiyewafunga funga *Wananchi waunga Mkono,wazungumza Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Mkuranga Mbunge wa zamani wa jImbo la Mkuranga, Adam Kigoma Malima,amewataka…
ACT-Wazalendo : Tunachunguza uhalali wasimamizi wa uchaguzi waliotangazwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kisarawe Chama ACT -Wazalendo kimesema kuwa kimepokea taarifa ya uteuzi wa wasimamizi wa uchaguzi katika ngazi ya majimbo na kimeanza uchunguzi wa kujiridhisha kama wasimamizi hao si makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM). Kwa mujibu wa…
NEMC yavunja rekodi utoaji wa elimu sabasaba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limewapa tuzo washindi watatu wa mazingira challenge shindano lililoandaliwa maalum na baraza kwaajili ya kuhamasisha uhifadhi na utunzaji wa mazingira. Washindi hao walikadhiwa…
TSB yatangaza fursa mpya za uwekezaji katika kilimo na biashara ya mkonge
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BODI ya Mkonge Tanzania (TSB) imewahimiza Watanzania kuchangamkia kilimo na biashara ya mkonge, ikitaja zao hilo kama chanzo muhimu cha ajira, kipato na fursa za uwekezaji kwa ajili ya soko la ndani na…
Historia ya maandamano ya Saba Saba Kenya
Kila mwaka ifikiapo Julai 7, Kenya huadhimisha Saba Saba,kama siku iliyokita mizizi katika mapambano ya muda mrefu ya demokrasia . Kilichoanza mwaka wa 1990 kama maandamano ya kijasiri dhidi ya utawala wa chama kimoja wa rais wa awamu ya pili…