Polisi wamkoga JPM
Ni ajabu na kweli, magari matano kati ya manane yaliyokuwa yanahusishwa na ‘papa wa unga’, yaliyokuwa yamehifadhiwa Kituo cha Polisi Oysterbay yameondolewa kituoni hapo kwa njia za utata. Magari hayo ya kifahari ni mali ya Lwitiko Samson Adam (Maarufu kama Tikotiko), ambaye alikamatwa mwishoni mwa mwaka 2017 kisha kuachiwa kabla ya kukamatwa tena. Magari hayo…