Profesa Tibaijuka atema mil. 1,600/- za Rugemalira
Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka (69), yuko tayari kurejesha Sh bilioni 1.6 alizopewa na James Rugemalira ili zimsaidie mfanyabiashara huyo atoke rumande. Profesa Tibaijuka alikuwa miongoni mwa wanufaika wa mabilioni ya shilingi ‘yaliyomwagwa’ na Rugemalira aliyezipata kutoka kwenye akaunti ya Escrow ya Tegeta mwishoni mwa utawala wa Awamu ya Nne. Kitendo cha Profesa…