Author: Jamhuri
Katimba ataka watanzania wenye changamoto za mirathi kutumia huduma za RITA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imezitaka jamii zenye watoto walio chini ya umri wa miaka 18 na makundi mengine maalum yanayokabiliwa na changamoto za usimamizi wa mirathi kutoa taarifa kwa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) ili kupata…
Serikali kujenga mtambo wa kuchenjua dhahabu Mwakitolyo Shinyanga
Na Mwandishi Wetu Kufuatia maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuwasimamia wachimbaji wadogo, Serikali kupitia Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) ipo mbioni kuanza ujenzi wa mtambo wa kuchenjua madini ya…
‘Rushwa janga kubwa linaloharibu mfumo wa utoaji haki’
Na Mwandishi Wetu Rushwa imetajwa kuwa ni janga kubwa linaloharibu kwa kiwan go kikubwa mfumo mzima wa utoaji haki, hivyo kuhatarisha misingi ya haki, uwajibikaji na utawala bora. Kauli hiyo imetolewa leo Desemba 23, 2025 na Kamishna Msaidizi anayeshughulikia Masuala…
Mambo: Demokrasia haijengwi kwa mashinikizo, vitisho
Na Mwandishi Wetu ALIYEKUWA mgombea wa Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA) Taifa, Masoud Mambo amesema kuwa demokrasia ya kweli haijengwi kwa mashinikizo, vitisho au siasa za misimamo mikali, bali hujengwa kwa hoja, ushindani wa sera na heshima kwa katiba na…
DC Mpogolo: Sekondari Kitunda itakamilika kabla ya shule kufunguliwa
Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo, amesema shule ya kisasa ya sekondari Kitunda inatarajia kumalizika hivi karibuni ili wanafunzi waweze kuanza masomo. Mkuu wa Wilaya Edward Mpogolo, amesema hayo Dar es Salaam…
Mchengerwa : Tanzania hatutaki kuwa soko duni la dawa
Na WAF – Dar es Salaam Waziri wa Afya Mohamed Mchengrwa amesema kuwa Tanzania inajipanga kuondokana kuwa soko la dawa duni zilizopitwa na wakati na kujikita zaidi katika uboreshaji wa uzalishaji wa bidhaa za afya ndani kupitia viwanda vya ndani…





