JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Bunge lapitisha bil. 174.9/- kwa Wizara ya Madini

●Yalenga kuchangia trilioni 1.4/- za maduhuli ●Makusanyo yafikia Trilioni 1 na Milioni 156 ●Jumla ya tani 23.8 za dhahabu zakusaywa ndani ya miezi 18 ●Ni Juhudi za Rais.Dkt.Samia Suluhu Hassan Dodoma Bunge la Jamhuru ya Muungano wa Tanzania, limeridhia na…

NSSF yafikia trilioni 11.2, Waziri Sangu abainisha Hifadhi Skimu inavyoenda kubadili maisha ya Watanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kuimarika kwa kasi, ukifikia thamani ya shilingi trilioni 11.2 hadi Machi 2026 kutoka trilioni 4.3 mwaka 2020, hatua inayoakisi ukuaji wa uwekezaji, uimara wa usimamizi na kuongezeka…

Murilo : Hali ya usalama ni shwari

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam Jumanne Murilo amesema kwa sasa hali ya kiusalama ni shwali kutokana na jitihada za jeshi hilo Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo Aprili…

Mradi wa TACTIC kuongeza fursa za kiuchumi kwa wananchi Korogwe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Korogwe Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza utekelezaji wa mradi wa Uboreshaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) unaolenga kukuza uchumi na kuboresha maisha ya wananchi katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe…

Wizara ya Madini yaomba bilioni 174.98/- kwa Bajeti ya 2026/2027

Wizara ya Madini imeiomba Bunge kuidhinishiwa jumla ya shilingi bilioni 174.98 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ili kuwezesha utekelezaji wa majukumu yake muhimu ya kusimamia na kuendeleza sekta ya madini nchini. Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi bungeni jijini Dodoma…

Serikali : Huduma za fedha kidijitali zazidi kuimarishwa

Na. Josephine Majura, WF, Dodoma Serikali kupitia Benki Kuu ya Tanzania imekuwa ikichukua hatua mbalimbali kuhakikisha huduma za miamala ya fedha kwa mitandao ya simu zinapatikana kwa gharama nafuu, kwa kupunguza gharama za miamala ya kielektroniki, kuimarisha miundombinu ya mifumo…