Author: Jamhuri
Kawaandaeni vijana wa kitanzania kuwa wabunifu, wajasiriamali na washindani katika ajira – Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewataka walimu wapatao 150 wa shule za amali waliopatiwa mafunzo nchini India kwenda kuwapatia ujuzi vijana…
CCM yaeleza msimamo wake kuhusu ripoti ya vurugu za uchaguzi
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeeleza kuunga mkono kwa dhati ripoti ya Tume ya Uchunguzi kuhusu matukio ya vurugu yaliyojitokeza wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, huku kikiahidi kushirikiana kikamilifu katika utekelezaji wa mapendekezo…
Miwili ya watu wawili yapatikana ikielea majini Salenda, Zimamoto yawaopoa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Miili ya watu wawili, mwanaume na mwanamke, imeokolewa katika matukio mawili tofauti jijini Dar es Salaam baada ya kupatikana ikiwa inaelea juu ya maji katika maeneo ya Salenda. Akizungumza na waandishi wa habari leo…
Halmashauri ya Jiji la Dodoma kukaa meza moja Soko la Rehema Nchimbi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Halmashauri ya Jiji la Dodoma imewaomba Viongozi wa wafanyabiashara wa lililokuwa Soko la Rehema Nchimbi kukaa pamoja na uongozi wa jiji hilo ili kujadili rasimu ya mkataba wa upangaji wa eneo la Umonga. Hatua hiyo inayolenga kumaliza…
Kuelekea AFCON 2027 Wizara ya habari yaweka vipaumbele kuimarisha sekta
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imeweka wazi vipaumbele vyake kwa mwaka wa fedha 2026/27, vikilenga kuimarisha miundombinu ya sekta, kukamilisha maandalizi ya mashindano ya AFCON 2027 pamoja na kukuza Kiswahili kimataifa. Akiwasilisha bungeni makadirio…





