JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mwenge wazindua jengo jipya la utawala Mbulu Mji la bil.3.47/-, mkurugenzi apongezwa

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Mbulu Mwenge wa Uhuru 2026 umezindua rasmi Jengo jipya la Utawala la Halmashauri ya Mji wa Mbulu lenye thamani ya ya zaidi ya bil. 3.4 hali inayolenga kuboresha mazingira ya kazi kwa watumishi wa umma na…

Tanzania yaeleza mafanikio ya miaka 10 ya utekelezaji wa ajenda mpya ya miji

New York Tanzania imeeleza mafanikio makubwa yaliyopatikana katika utekelezaji wa Ajenda Mpya ya Miji (New Urban Agenda) katika kipindi cha miaka 10, ikiwemo kupungua kwa umaskini wa upatikanaji wa huduma za msingi, kuongezeka kwa umiliki wa ardhi kwa wanawake na…

Wananchi wakoshwa na Kijiji cha Bima Sabasaba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baadhi ya wananchi waliotembelea Kijiji cha Bima katika Maadhimisho ya Miaka 50 ya Maonesho ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam, maarufu kama Sabasaba, wamepongeza uwepo wa jukwaa hilo na kuomba liendelee kuandaliwa…

NSSF yawapa nafuu waajiri, yawataka kuchangamkia msamaha wa tozo

Dar es Salaam,Julai 17, 2026 Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetangaza nafuu kwa waajiri wenye malimbikizo ya michango kwa kuwapatia fursa ya msamaha wa tozo zitokanazo na ucheleweshaji wa michango, huku ukiwataka kuchangamkia fursa hiyo ili kupunguza…

Ufadhili wa REA Waongeza Tija kwa Wazalishaji wa Chumvi Iramba

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeendelea kuwezesha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa kufadhili mradi wa uzalishaji wa chumvi ya asili maarufu kama chumvi ya Kilyoma katika Kata ya Ntwike, Wilaya ya Iramba. Ufadhili huo umeongeza tija katika uzalishaji…

Umoja wenye malengo kukabili changamoto zinazoibuka SADC

INchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimehimizwa kuwa na umoja wenye malengo katika kukabiliana na changamoto zinazoibuka duniani ambazo zisiposhughulikiwa ipasavyo zitakuwa na madhara makubwa katika usalama na uchumi wa nchi wanachama. Hayo yamejiri Julai 16,…