JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Meya Kibaha akisimamisha uzalishaji kiwanda cha Fortune paper kwa uchafuzi mazingira

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WANANCHI wa Kata ya Misugusugu, Manispaa ya Kibaha, wamelalamikia uchafuzi mkubwa wa mazingira unaotokana na maji machafu yanayotiririshwa na baadhi ya viwanda, ikiwemo Kiwanda cha karatasi cha Fortune Paper, hali iliyolazimu manispaa kusimamisha shughuli za…

Wadau waeleza matarajio maboresho ya bandari kupitia ushirikiano wa umma na sekta binafsi

Zaidi ya wadau 100 wa sekta ya bandari na usafirishaji wameeleza matarajio yao juu ya maboresho ya uendeshaji wa bandari kwa lengo la kupunguza gharama za biashara na kuhakikisha manufaa yanawafikia wananchi kupitia ushirikiano wa sekta ya umma na binafsi…

Prof. Shemdoe amtaka mkandarasi anayejenga Mahakama ya Wilaya Lushoto kuwapa kazi wazawa

Na James Mwanamyoto – Lushoto Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amemuelekeza Mkandarasi Namis Cooperate Limited aliyepewa kandarasi ya Ujenzi wa Mahakama ya Wilaya ya Lushoto, kuwapatia…