JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa ahimiza usawa wa kijinsia katika elimu ya juu

Paris, Ufaransa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ufaransa, Mheshimiwa Saidi Othman Yakubu, amekutana na ujumbe wa viongozi wanawake 18 kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) waliopo nchini Ufaransa kwa ziara ya kitaaluma ya kujenga uwezo na…

Kuimarishwa mifumo ya usimamizi wa maafa Tanzania kwatoa somo Mapai Msumbiji

Na Mwandishi Wetu, Mapai – Msumbiji TANZANIA imeendelea kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha udhibiti wa maafa unaanzia ngazi ya chini ya jamii, hatua inayolenga kuongeza ufanisi katika tahadhari, maandalizi na mwitikio wa haraka pindi majanga yanapotokea. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi…

Makamu wa Rais aongoza waombolezaji mazishi ya marehemu Bi Suzana Magufuli

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mazishi ya Marehemu Bi. Suzana Ngolo Magufuli, ambaye ni Mama wa aliyekuwa…

Kikwete akutana na Catherine miaka 18 baada ya upasuaji moyo

Rais wa Awamu ya Nne wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, alisimama kwa muda kando ya kitanda cha binti mdogo Catherine P. Conrdad Minja mwenye umri wa miaka minne katika Taasisi ya Mifupa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MOI),…

Serikali yafichua ukubwa wa vita dhidi ya dawa za kulevya

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Zaidi ya tani 1,017 za bangi zimekamatwa nchini katika kipindi cha mwaka 2025, huku serikali ikieleza kuwa operesheni kali dhidi ya mitandao ya usafirishaji na biashara ya dawa za kulevya zimeanza kuzaa matunda. Takwimu hizo zinaonyesha…