Author: Jamhuri
Prof. Shemdoe aelekeza bil.5.2/- za mradi wa LoCAL zitumike kwa malengo yaliyokusudiwa
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amazielekeza Halmashauri za wilaya ya Mkinga, Mafia, Mpwapwa, Kondoa, Chamwino, Mtwara, Mtama na Manispaa ya Kigamboni…
Bandari Dar yapaa Afrika Mashariki, yaongeza ufanisi na kuibwaga Mombasa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bandari ya Dar es Salaam imeibuka kinara wa ufanisi wa huduma za bandari katika ukanda wa Afrika Mashariki baada ya kupanda kwa nafasi 105 katika Ripoti ya Ufanisi wa Bandari Duniani (Container Port…
Mfumo wa stakabadhi za ghala kufungua masoko ya kimataifa kwa wafugaji
Na Mwandishi Wetu WAFUGAJI nchini wamefurahishwa na mpango wa matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kwenye sekta ya mifugo wakidai kuwa utaleta manufaa makubwa katika masoko na biashara shindani ya mifugo. Akizungumza baada ya kutembelea banda la Bodi ya…
Waziri Ndejembi : Wakandarasi wa umeme wasiofanya vizuri wasipewe miradi mingine
📌Apongeza mchango REA katika kufikisha asilimia 78.1 ya upatikanaji umeme vijijini 📌Apongeza wakandarasi wazawa waliofanya vizuri katika utekelezaji wa miradi; Ataka wapewe kazi zaidi Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameuelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha kuwa wakandarasi ambao…
Wataalam wa REA Zambia kujifunza mafanikio ya Tanzania katika usambazaji umeme vijijini
Viongozi wa Mamlaka ya Nishati Vijijini (REA) kutoka nchini Zambia wamewasili nchini kwa ajili ya ziara ya kujifunza na kubadilishana ujuzi na Wakala wa Nishati Vijijini (REA). REA Zambia ambao wameongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Zambia anayeshughulikia…
IAE yaeleza jinsi Elimu Nje ya Mfumo rasmi inavyookoa maelfu ya vijana
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (IAE) imesema imeendelea kuwa mhimili muhimu katika kupunguza ujinga, kuongeza ujuzi na kurejesha fursa za elimu kwa maelfu ya watoto, vijana na watu wazima waliokosa au kuacha masomo katika…





