Author: Jamhuri
Wanne wapandikizwa figo, 38 wafanyiwa upasuaji wa mishipa ya kuchuja damu MNH-Mloganzila
Hospitali ya Taifa Muhimbili–Mloganzila kwa kushirikiana na wataalam kutoka Korea Kusini, imewapandikiza figo wagonjwa wanne na wengine 38 wamefanyiwa upasuaji wa kutengeneza na kurekebisha mishipa ya kuchuja damu katika kambi maalum iliyofanyika Agosti 15–19, 2026. Tangu huduma hizo zianze kutolewa…
Mchengerwa akabidhi ambulance Kibaha
NA EMMANUEL MBATILO, PWANI WAZIRI wa Afya, Mohamed Mchengerwa, amekabidhi gari la wagonjwa (ambulance) kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani, likiwa na lengo la kuimarisha huduma za dharura katika Kituo cha Afya Magindu na maeneo ya jirani. Akizungumza…
Serikali kuboresha huduma za dharura kupitia mfumo wa kitaifa wa ambulance
NA EMMANUEL MBATILO, PWANI SERIKALI iko katika hatua za mwisho za kukamilisha mfumo wa kitaifa wa huduma za magari ya wagonjwa (ambulance), utakaoboresha uratibu wa huduma hizo, ufuatiliaji wa magari na kuziunganisha na namba ya dharura 115, inayopigwa bila malipo….
TADB na ZEEA kushirikiana kuimarisha uwekezaji na ufadhili wa kilimo zanzibar
Na Mwandishi Wetu BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) kwa lengo la kuongeza upatikanaji wa fedha kwa wakulima na wajasiriamali, kuongeza uzalishaji na kuimarisha minyororo ya…
Kapinga akutana na mabalozi wa Kenya, Afrika Kusini
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga (Mb), Agosti 24, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo tofauti na Mabalozi wa Kenya na Afrika Kusini nchini, katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo yake na Balozi wa Kenya…
Dk Bashiru afungua kongamano la nne la Kimataifa la Uvuvi na Ukuzaji Viumbe Maji
Na Francisco Peter, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Dkt. BashirAlly Kakurwa, leo Agosti 24, 2026 amefungua Kongamano la Nne la Uvuvi na Ukuzaji Viumbemaji (4tFAR4ViBE) linalowakutanisha Wanasayansi, watafiti na wadau wa uvuvi na wakuzaji viumbe…





