Author: Jamhuri
Uhispania yashinda Kombe la Dunia 2026
Uhispania imeshinda Kombe la Dunia 2026 kwa kuwabamiza mabingwa watetezi timu ya soka ya Argentina bao 1-0. Mshambuliaji Ferran Torres ndiye ameifungia Uhispania bao la pekee lililowapa ushindi na kunyakua Kombe la Dunia kwa mara ya pili katika historia. Mchezo…
Songea inavyopambana na taka; safari ya kujenga mji safi, salama na wa kisasa
Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Ruvuma UBORA wa mji hupimwa kwa majengo yake yaliopangwa vizuri, barabara zake au idadi ya watu wake. Lakini mji wa Songea unaonekana kupimwa kwa jambo jingine lisilopewa uzito na wengi jinsi inavyoshughulikia taka zake. Kila chupa…
Mvomero wapokea bilioni 1.1/- za kujenga shule mbili
•Prof. Shemdoe atoa wito kwa sekta binafsi kuwekeza katika ujenzi wa nyumba za watumishi Na. OWM–TAMISEMI, Mvomero Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la wananchi wa mvomero la kujengewa shule mbili za…
Masauni: Uhifadhi wa udongo ni msingi wa maendeleo endelevu
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inaendelea kuimarisha juhudi za kuhakikisha kuwa masuala ya uendelevu wa mazingira yanapewa kipaumbele katika ajenda ya maendeleo…





