JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

DK Abbas : Serikali imetimiza ahadi ya ajira Jeshi la Uhifadhi

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kutekeleza kikamilifu ahadi yake ya kutoa ajira zaidi ili kuimarisha Jeshi…

JK kwa mfalme Swati III kujadili upatikanaji wa fedha ya afya kwa nchi wanachama ECSA

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi Jakaya Mrisho Kikwete Foundation (JMKF) ameshiriki Mkutano wa 67 wa Mawaziri wa Afya kutoka nchi 9 wanachama za Jumuiya ya Afya ya…

Waziri Mkumbo aweka hadharani Dira 2050 na mwelekeo wa uchumi wa taifa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji,  Profesa Kitila  Mkumbo  amesema Tanzania imejipanga kikamilifu kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kupitia mipango thabiti ya muda mrefu, wa kati na mfupi inayolenga kuijenga nchi yenye uchumi jumuishi, ustawi…

Mahakama Pwani yairejesha Serikalini milioni 707 kesi za uhujuu uchumi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameipongeza Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Pwani kwa kuiwezesha Serikali kufidiwa kiasi cha sh milioni 707 baada ya kumalizika kwa mashauri nane (8) ya uhujumu uchumi yaliyohusisha uharibifu wa…

Ngozi asisitiza kulinda amani iliyodumishwa na waasisi wa taifa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, Taifa na Mlezi wa Mkoa wa Pwani, Lailah Burhan Ngozi, amewataka Watanzania kuilinda kwa nguvu zote amani ya Tanzania waliyoachiwa na waasisi wa Chama cha Mapinduzi…

Urusi yaishambulia tena miji mikubwa ya Ukraine

Majeshi ya Urusi yameishambulia tena miji miwili mikubwa ya Ukraine mapema leo na kusababisha madhara makubwa kwa majengo na miundombinu ya nishati, lakini hadi sasa hakuna taarifa yoyote ya vifo. Kwa mujibu wa mkuu wa majeshi wa mji mkuu, Kiev,…