JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

RC Kagera apiga kura, awahakikishia usalama wananchi

Na Theophilida Feliciani, JamhuriMedia, Kagera Ikiwa leo tarehe 29, Oktoba 2025 ni siku muhimu kwa Watanzania kuwachagua viongozi Mkuu wa Mkoa Kagera Hajath Fatma Mwassa ameungana na watanzania wengine kutimiza haki yake ya kuwachagua viongozi wa udiwani, wabunge na Rais….

Waziri Ndumbaro apiga kura, apongeza utulivu na amani

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro, ameambatana na familia yake kupiga kura katika kituo namba moja cha Mjimwema A, eneo ambalo amekuwa akipigia kura kwa miaka mingi. Akizungumza mara baada ya kupiga kura,…

Hali ni shwari Pwani, wananchi waendelea kupigama kura kwa amani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge, ameungana na wananchi wa mkoa huo katika zoezi la kupiga kura mapema oktoba 29,2025, akisisitiza hali ni shwari na ulinzi na usalama imeimarishwa. Aidha Kunenge ameeleza, wananchi…