JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mgombea ubunge ACT Kawe awafariji waathirika wa moto soko la Kawe

Na Mwandishi Wetu Mgombea ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Glory Tausi Shayo, ametembelea Soko la Kawe kufuatia tukio la moto mkubwa ulioteketeza bidhaa na mali za wafanyabiashara wengi wa soko hilo. Katika ziara hiyo iliyofanyika…

Jamii haina budi kuachana na mila na desturi zenye madhara

Na WMJJWM-Dodoma Serikali inaendelea na juhudi za kuchochea maendeleo katika jamii  kupitia afua mbalimbali ikiwemo  utoaji wa elimu kuhusu masuala ya mila na desturi zinazofaa na zile zisizofaa kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo. Hayo yamebainishwa na Kaimu Mkurugenzi wa Idara…

Kongomano la uchumi Jumuishi kuelekea Dira 2050 kufanyika Septemba 18 Mbeya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya KIGODA Cha Uprofesa cha Mwalimu J.K. Nyerere katika Taaluma za Umajumui wa Afrika (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam) kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP Centre), limeandaa…

Uyovu wamkubali Dk Samia, kumpigia kura nyingi Oktoba 29

 Dkt. Biteko kuifanya Uyovu kuwa kitovu cha biashara Bukombe Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema kuwa mgombe Urais kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiwezesha Kata ya Uyovu kimaendeleo hivyo…

Ilani ya Uchaguzi CCM inagusa maisha ya watu, wataichagua

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya MAKAMU MMwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema Watanzania wataichagua CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa kuwa Ilani yake ya Uchaguzi inagusa maisha na maendeleo yao. Amesema hakuna chama…

THBUB yawanoa waandishi wa habari Arusha kuelekea Uchaguzi Mkuu

Na Zulfa Mfinanga,JamhuriMedia, Arusha Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeendesha mafunzo maalumu kwa waandishi wa habari mkoani Arusha ikiwa ni sehemu ya mkakati wake wa kukuza na kulinda haki za binadamu pamoja na kuimarisha utawala bora…