JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wagonjwa wa moyo 900 wahudumiwa kwa mwezi Tawi la JKCI Oysterbay, lavunja rekodi,

Na Mwandishi Wetu KLINIKI ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) tawi la Oysterbay imeendelea kung’ara katika utoaji wa huduma bora za kibingwa za moyo, baada ya kufikia mafanikio makubwa kwa kuhudumia hadi wagonjwa 900 kwa mwezi ndani ya kipindi…

Tanzania, UAE wazidi kuimarisha ushirikiano wa kimkakati

Na Mwandishi Wetu Mnamo Desemba 26, 2025, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki , amewasilisha ujumbe maalum kwa Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu, Mtukufu Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan,…

Simbachawane asifu NIDA kuzindua mfumo wa NIDA Code Number

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi George Simbachawene, ameipongeza Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kwa kubuni na kuzindua mfumo wa short code unaolenga kurahisisha upatikanaji wa huduma za vitambulisho vya taifa…

Rais Mwinyi aongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameongoza Kikao cha Kwanza cha Baraza la Mapinduzi (BLM) cha Kipindi cha Pili cha Serikali ya Awamu ya Nane. Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 29 Disemba…

Mradi wa utafiti wa mafuta na gesi Eyasi – Wembere waajiri zaidi ya Watanzania 2,000

Mradi wa utafiti wa mafuta na gesi wa Eyasi–Wembere unaendelea kuwa mfano bora wa jinsi Tanzania inavyotumia rasilimali zake kwa manufaa ya wananchi. Kupitia awamu ya pili ya mradi huu unaotekelezwa Kijiji cha Endeshi, wilayani Karatu, zaidi ya Watanzania 2,000,…

Dk Mwigulu akagua hali ya uzalishaji na usambazaji wa maji Ruvu Chini

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 29, 2025 amekagua hali za uzalishaji na usambazaji wa maji eneo la Ruvu Chini, mkoani Pwani. Akizungumza baada ya ukaguzi huo, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amesema kuwa ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa…