JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mashindano ya ‘Ladies First 2025’ kurindima Dar, viongozi watia neno kuimarika kwa wanawake

Mashindano ya Riadha ya Wanawake Ladies First 2025 yanatarajiwa kufanyika Novemba 29 na 30 2025 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, yakihusisha wanariadha 155 kutoka mikoa 31 ya Tanzania Bara na Zanzibar. Mashindano hayo yataongozwa na Baraza…

Waziri ataka CBE iwe kisima cha maarifa cha Wizara ya Viwanda

Waziri aipongeza CBE kwa kuwaandaa vijana kujitegemea Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kwa kazi kubwa ya kuwaandaa vijana kujitegemea kwenye masuala ya biashara. Alitoa pongezi hizo alipotembelea chuo…

Ndejembi : Tanzania sasa ina umeme wa kutosha

📌 Akagua mradi wa JNHPP: Asema ujenzi wa njia ya umeme Chalinze – Dodoma unaendelea 📌 Atoa rai kwa watanzania kulinda vyanzo vya maji ili mradi wa JNHPP uendelee kupata mtiririko wa maji ya kutosha 📌 MD TANESCO asema Serikali…

Nanauka : Vijana tuyajenge, Tanzania yetu

Na. OR -MV Songwe Vijana mkoani Songwe wamepongeza uamuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuunda wizara maalum itakayoshughulika na agenda za maendelo ya vijana na kusema hatua hiyo itasaidia jitihada za kuongeza fursa za kiuchumia na upatikanaji ajira. Wakizingumza na…

Tanzania yashiriki mkutano wa mawaziri wa biashara na fedha EAC

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeshiriki Mkutano wa 47 wa Baraza la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la Afrika Mashariki (SCTIFI) na Mkutano wa Dharura Pili wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wanaosimamia Masuala ya Fedha na Uchumi…

Balozi Cuba aongoza kumbukizi ya Castro mkoani Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema mkoa huo ni kitovu cha viwanda na ukanda wa miradi ya kimkakati, hivyo amewahimiza wawekezaji wa ndani na nje kuchangamkia fursa zilizopo. Amesema Pwani inaendelea kuwa eneo…