JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Bei ya Taifa Gesi ni ile ile haijaongeza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taifa Gesi haitapandisha bei ya gesi ya majumbani (LPG) licha ya ongezeko la takribani asilimia 43 ya bei ya gesi hiyo duniani. Hatua hii ni sehemu ya juhudi za kampuni hiyo kuendeleza upatikanaji…

REA yatangaza mafanikio makubwa ya usambazaji wa nishati vijini, sasa yaelekeza nguvu vitongojini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetangaza mafanikio makubwa ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza nishati vijijini, huku ukieleza kuwa vijiji vyote nchini tayari vimefikishiwa umeme na sasa nguvu kubwa imeelekezwa katika vitongoji. Akizungumza…

Kapinga awapongeza FCC

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt Judith Kapinga, ameipongeza Tume ya Ushindani Tanzania (Fair Competition Commission (FCC)) kwa juhudi zake za kuhamasisha na kulinda haki za mlaji nchini. Judith ameyasema hayo wakati wa…

Mamia ya wasomi wachangamkia fursa ya Ulega

📍Ulega aongeza zawadi ubunifu wa foleni Mamia ya wanafunzi wa taaluma za uhandisi wamejitokeza kushindana katika andiko la ubunifu wa kuondoa kero za foleni mijini iliyoanzishwa na Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma leo…

Watanzania 168,657 wafaidika na programu ya kukuza ujuzi

Serikali inaratibu Programu ya Taifa ya Kukuza Ujuzi, kwa lengo la kukuza ujuzi wa nguvukazi ya taifa ili kumudu ushindani katika soko la Ajira ambapo hadi sasa Watanzania 168,657 wamenufaika.   Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu…