Author: Jamhuri
Wanahabari wajadili mustakabali mpya sekta ya habari Tanzania
Wakubaliana Kulinda Taaluma Yao kwa Wivu Mkubwa Wataka Habari Ziwe na Tija kwa Watanzania Na Immaculate Makilika – MAELEZO Wadau wa Vyombo vya Habari nchini wamekutana na kujadiliana kuhusu mustakabali mpya wa sekta ya habari kwa lengo la kuongeza ufanisi…
Tanzania yasisitiza uongezaji thamani madini ndani ya Afrika
▪️Waziri Mavunde Asisitiza Ushirikiano wa Kikanda ▪️Ahimiza Uwekezaji Miundombinu ya Kisaaa, Nishati na Sera Rafiki ▪️Azishauri Serikali Kufanya Kazi kwa Ukaribu na Sekta Binafsi 📍Nairobi, Kenya Serikali ya Tanzania imetoa msimamo thabiti wa kuitaka Afrika kuharakisha mageuzi ya Sekta ya…
Waziri Kombo aagana na Balozi mteule wa Tanzania nchini Comoro
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kumuaga Balozi mteule wa Tanzania nchini Comoro, Mhe. Salim Othman Hamad, katika kikao kilichofanyika katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam….
Mwandishi wa habari Mbeya ahukumiwa kwenda jela miaka 60
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kushirikiana na wananchi na wadau wengine katika kuimarisha ulinzi na usalama wa maisha na mali kwa kufanya doria za kubaini na kuzuia uhalifu. Pia oparesheni na misako imeendelea kufanyika na kufanikiwa kuwakamata wahalifu…
NEMC kupanda miti 40, 000 maadhimisho miaka yake 40
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC kwa miongo minne imefanikiwa kutoa vyeti vya Tathmini ya Athari kwa Mazingira (EIA), kwa miradi 35,000 hatua iliyowezesha uwekezaji kufanyika kwa uwajibikaji mkubwa…
Neema ya umeme yashuka mwambao wa ziwa Nyasa
📌 Bilioni 3.2 kutumika kukamilisha miradi Ludewa, Njombe📌 Wananchi, taasisi za kijamii kuanza kunufaika na nishati ya REA📌 Sekta za uvuvi, afya na elimu kupata mapinduzi makubwa Ludewa, Njombe📍Matumaini ya ukuaji wa uchumi na uboreshaji wa huduma za kijamii yameongezeka…





