Author: Jamhuri
Mkurugenzi wa Uchaguzi apongeza ufanisi na uwazi wa mfumo wa uagizaji mafuta kwa pamoja
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Ramadhan Kailima, amepongeza ufanisi na uwazi wa Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja unaosimamiwa na Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja, akieleza kuwa mfumo…
Mwenge waingia Tanga, miradi ya bilioni 27 kuzinduliwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilindi MWENGE wa Uhuru 2926 umewasili katika Mkoa wa Tanga na kuanza kukagua kukagua miradi 73 ya maendeleo na huduma yenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 27, ukianzia katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi. Ukiwa…
Serikali yaimarisha usimamizi miradi ya umwagiliaji kuongeza uwajibikaji, ufanisi na thamani ya fedha
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeendelea kusisitiza uwajibikaji, ufanisi na thamani ya fedha katika utekelezaji wa miradi ya Umwagiliaji na kuimarisha usimamizi wa miradi kwa mfumo wa Washauri Elekezi. Akizungumza jijini Dodoma, wakati wa kufunga kikao kazi Katibu Mkuu…
Waziri Kikwete : Utumishi wa Umma ni nguzo ya kufanikisha Dira ya Taifa 2050
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti Utumishi wa Umma na Utawala Bora Ridhiwani Kikwete, amefungua Kongamano la Pili la Utumishi wa Umma Tanzania, akisisitiza kuwa utumishi wa umma una nafasi muhimu katika kufanikisha…
Wananchi wavutiwa na elimu ya vipimo wanapata kuwa mabalozi wa WMA
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Wananchi wanaotembelea Maonesho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika Viwanja vya Chinangali Park jijini Dodoma wameeleza kufurahishwa na elimu wanayoipata kutoka kwa Wakala wa Vipimo (WMA), wakisema imewapa uelewa mpana wa namna…
Masoko ya Madini yaimarisha uwazi, kudhibiti utoroshaji
📍Dodoma Tume ya Madini imesema kuanzishwa kwa masoko ya madini na vituo vya ununuzi wa madini nchini kumeongeza uwazi katika biashara ya madini na kusaidia kudhibiti utoroshaji wa rasilimali hiyo, hatua iliyochangia kuongezeka kwa mapato ya Serikali. Akizungumza leo katika…





