Author: Jamhuri
TANESCO yazindua rasmi zoezi la ulipwaji fidia kwa wananchi Lindi na Mtwara
📌 Lengo ni kupisha Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme 220kV Masasi, Mahumbika 📌Zaidi ya Shilingi Bil 5.1 zimetengwa kwa ajili ya zoezi hilo Shirika la umeme Tanzania ( TANESCO) limezindua rasmi zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi…
CRDB yaendelea kung’ara katika uwekezaji wa kimkakati Soko la Hisa DCE
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Benki ya CRDB imeendelea na uwekezaji wake wa kimkakati katika masoko mbalimbali ikiwemo Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), hatua inayochangia kuendelea kupata matokeo chanya ndani na nje ya nchi. Akizungumza Mei 7,…
Rais Samia anaendelea kupeleka furaha na neema kwa watumishi wa umma Tanzania – Kikwete
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kupeleka furaha na neema kwa watumishi wa umma nchini, kutokana na uamuzi wake wa hivi karibuni…
Polisi yamkamata mmiliki wa eneo la Vikawe lililosababisha vifo vya watu wawili
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limemkamata mmiliki wa eneo linalohusishwa na mgogoro wa ardhi uliosababisha vifo vya watu wawili na kujeruhi wengine 14 katika eneo la Vikawe (Lupaso), Kata ya Pangani, Wilaya ya Kibaha…
Chem Chem Safari ya Tanzania yaingia katika ushirikiano na Auberge, wadhamiria kulinda mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kampuni ya Chem Chem Safari ya Tanzania imeingia katika ushirikiano na Auberge Collection chini ya chapa ya Auberge Safari. Ushirikiano huu umejengwa juu ya dhamira ya pamoja ya kutoa huduma zinazozingatia mazingira ya eneo husika, zilizoandaliwa…
Legendary Expeditions, yaingia mkataba wa ushirikiano na kampuni ya Auberge Collection
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arush Kampuni ya utalii ya Kitanzania Legendary Expeditions, inayoendesha huduma za safari yenye misingi yake katika ya usimamizi na uwajibikaji wa muda mrefu katika kuhifadhi mifumo ya ikolojia ya Serengeti na Bonde la Ngorongoro, imeingia katika…





