JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Miradi ya Chuma Njombe kutikisa uchumi, maelfu ya ajira kunukia Ludewa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe MKOA wa Njombe unatarajiwa kuwa kitovu kipya cha uchumi wa madini nchini kufuatia uwekezaji mkubwa katika miradi ya uchimbaji na uchakataji wa madini ya chuma inayolenga kufungua maelfu ya ajira, kukuza biashara za ndani na…

Mwigulu atatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 51 Rombo

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ametatua mgogoro wa ardhi kati ya Parokia ya Mtimhoo ya Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi na Mzee Peter Morisi wa Kijiji cha Msaranga, Wilaya ya Rombo Mkoa wa Kilimanjaro, uliodumu kwa kipindi cha miaka 51….

Je ni kweli Tanzania imeendelea kiuchumi

Taifa letu tangu Uhuru 1961 limekuwa likipitia katika nyakati tofauti za kiuchumi na kijamii hii ni kutokana na mifumo na mabadiliko ya siasa za dunia. Kati ya mwaka 1867 hadi miaka 1985 taifa likiwa na sera ya uchumi dola yaani…

Serikali, wadau kuimarisha mikakati kuboresha huduma za uuguzi, ukunga nchini

Na Zakayo Mosha, WAF – Dodoma Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI imeandaa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wauguzi Viongozi ngazi ya Mikoa, Halmashauri, Hospitali ya Taifa, Hospitali za Kanda, Hospitali za Rufaa za Mikoa,…

Wanamichezo wa kimataifa kushawishi uwekezaji nchini

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa amesema kuwa ujio wa wanamichezo wa kimataifa nchini Tanzania akiwemo Mchezaji na Nahodha wa zamani wa Klabu ya Manchester United na timu…

CCM, CPC na vyama vya ukombozi Afrika waimarisha ushirikiano wa maendeleo

CCM leo imekuwa mwenyeji wa mkutano kati ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) na Vyama Sita Rafiki vya Ukombozi Kusini mwa Afrika uliofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere (MJNLS), Kibaha. Mkutano huo chini ya wenyeji wa…