JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania yapiga hatua kubwa dhidi usugu wa dawa, matumizi ya antibiotiki yashuka kwa asilimia 88

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania imeendelea kuonyesha mafanikio makubwa katika mapambano dhidi ya usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa (AMR), baada ya kupunguza matumizi ya dawa za antibiotiki kwa asilimia 88 na kupunguza vifo vinavyohusishwa…

Dk Nchimbi atembelea banda la REA

📌REA yaeleza mchango wake katika kupunguza athari za uharibifu na uchafuzi wa mazingira. 📍Dodoma Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametembelea banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kilele cha Maonesho…

Nyumba za ibada ziwe chanzo cha mshikamano na amani kwa taifa- Dk Kijaji

Mbunge wa Jimbo la Kondoa ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), amesisitiza kuwa nyumba za ibada zinapaswa kuwa sehemu ya kuimarisha mshikamano, umoja na amani miongoni mwa wananchi na si kuwa chanzo cha…

Wizara ya Afya yaelekeza mikakati mipya kuwafikia watoto

Na Mvuda Jaffer, WAF-Dar es Salaam Wizara ya Afya imezitaka Mikoa na Halmashauri nchini kuimarisha huduma za chanjo kwa kubuni mbinu mpya za kuwafikia watoto ambao hawajapata chanjo kabisa (zero-dose) au ambao hawajakamilisha ratiba za chanjo, ili kuongeza kinga dhidi…

CRDB Foundation yatoa zaidi ya milioni 400 kuibua vipaji Ndondo Cup 2026, bingwa kuvuna milioni 30 na safari ya AFCON

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam CRDB Foundation imezindua rasmi msimu wa 13 wa mashindano ya mpira wa miguu ya iMbeju Ndondo Cup 2026 kwa kutenga zaidi ya shilingi milioni 400 kwa ajili ya uendeshaji wa mashindano hayo na zawadi…

JK aongoza GPE kupanua wigo wa elimu kwa watoto duniani

Rais Mstaafu Jakaya Dkt. Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Masuala ya Elimu Duniani (Global Partnership for Education – GPE), ameendelea kuwa kinara katika kuhamasisha jitihada za upatikanaji wa fedha za kugharamia elimu…