Author: Jamhuri
REA yaondoa giza Kitongoji cha Simanjiro, furaha yatawala
-Wananchi wapongeza, waeleza matumaini ya ajira na maendeleo SINGIDA-Wananchi wa Kitongoji cha Simanjiro, Kijiji cha Maweni wilayani Manyoni, wameushukuru Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kuwafikishia huduma ya umeme, wakisema hatua hiyo itachochea maendeleo ya kiuchumi, kuboresha huduma za kijamii…
Makonda: Arusha inajiandaa kuwa kitovu cha tiba utalii na huduma za moyo
Na Mwandishi Wetu, Arusha Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Mbunge wa Arusha, Paul Christian Makonda, ameridhishwa na maboresho yanayoendelea katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center inayotoa huduma kwa ushirikiano na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete,…
Mwenge wazindua jengo jipya la utawala Mbulu Mji la bil.3.47/-, mkurugenzi apongezwa
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Mbulu Mwenge wa Uhuru 2026 umezindua rasmi Jengo jipya la Utawala la Halmashauri ya Mji wa Mbulu lenye thamani ya ya zaidi ya bil. 3.4 hali inayolenga kuboresha mazingira ya kazi kwa watumishi wa umma na…
Tanzania yaeleza mafanikio ya miaka 10 ya utekelezaji wa ajenda mpya ya miji
New York Tanzania imeeleza mafanikio makubwa yaliyopatikana katika utekelezaji wa Ajenda Mpya ya Miji (New Urban Agenda) katika kipindi cha miaka 10, ikiwemo kupungua kwa umaskini wa upatikanaji wa huduma za msingi, kuongezeka kwa umiliki wa ardhi kwa wanawake na…
Wananchi wakoshwa na Kijiji cha Bima Sabasaba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baadhi ya wananchi waliotembelea Kijiji cha Bima katika Maadhimisho ya Miaka 50 ya Maonesho ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam, maarufu kama Sabasaba, wamepongeza uwepo wa jukwaa hilo na kuomba liendelee kuandaliwa…
NSSF yawapa nafuu waajiri, yawataka kuchangamkia msamaha wa tozo
Dar es Salaam,Julai 17, 2026 Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetangaza nafuu kwa waajiri wenye malimbikizo ya michango kwa kuwapatia fursa ya msamaha wa tozo zitokanazo na ucheleweshaji wa michango, huku ukiwataka kuchangamkia fursa hiyo ili kupunguza…





