JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wakulima wa pamba wajitokeza kufungua akaunti kupokea malipo ya mazao

Wakulima wa zao la pamba kutoka vijiji vya Mbutu, Iyogelo, Ilambakuki, Imalanguzu na Mwamakoma vilivyopo katika Wilaya ya Igunga, Mkoa wa Tabora, wamehamasika kufungua akaunti za benki na kusajili laini za simu ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kupokea malipo…

JKT yafungua milango kwa walioshindwa kuripoti makambini

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limefungua tena dirisha la kujiunga na mafunzo kwa vijana waliochaguliwa mwaka 2026 lakini wakashindwa kuripoti katika makambi waliyopangiwa awali, likiwataka kutumia fursa hiyo kwa kuripoti kwenye makambi yaliyo karibu na maeneo…

WRRB, EHCSS ya Misri kuboresha sekta ya ghala

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imefanya mazungumzo na Kampuni ya Egyptian Holding Company for Silos and Storage (EHCSS) ya nchini Misri ili kuimarisha usimamizi wa ghala, matumizi ya teknolojia za kisasa na kukuza biashara…

CRDB yahitimisha Kampeni ya Fainali ndiyo Mpango na Tembo Card Washindi 10 kupelekea Kombe la Dunia 2026

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Benki ya CRDB imehitimisha rasmi kampeni yake ya “Fainali Ndiyo Mpango” kwa kushirikiana na TemboCard, huku washindi mbalimbali wakijinyakulia zawadi zenye thamani kubwa ikiwemo televisheni za kisasa (Smart TV) na safari ya kwenda kushuhudia…

TAMA yapokea ujumbe wa kitaalamu kutoka Taasisi ya hali ya hewa a Denmark

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imepokea ujumbe wa wataalamu kutoka Taasisi ya Hali ya Hewa ya Denmark (DMI) chini ya Mradi wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa kuimarisha Uangazi wa Hali ya Hewa (SOFF), wenye lengo la…

Jumla ya macho 996 kwa wagonjwa 823 yamefanyiwa uchunguzi kufanyiwa upasuaji

Na Hassan Kimweri, WAF – Tabora Jumla ya macho 996 yamefanyiwa uchunguzi kwa wagonjwa 823 wanaotarajiwa kufanyiwa upasuaji wa mtoto wa jicho katika kambi maalum ya madaktari bigwa iliyowekwa na Serikali kwa kushirikiana na Taasisi ya ‘Helen Keller International’ na…