Author: Jamhuri
Waziri wa Fedha aumwagia sifa Mkoa wa Tanga kwa fursa lukuki za kichumii
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema kuwa mkoa wa Tanga umekaa kimkakati katika kukuza na kuchangia katika pato la Taifa kutokana na kuwa na fursa nyingi za kiuchumi ikiwemo Bandari ya Tanga, viwanda na sekta ya…
Wizara ya Elimu yaweka mikakati upya kuifanya elimu iendane na Dira ya Taifa 2050
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanza mageuzi makubwa ya sekta ya elimu kwa kupitia upya kozi na programu za mafunzo ili ziendane na mahitaji halisi ya jamii, soko la ajira na mabadiliko ya uchumi…
Mramba avutiwa na kasi ya REA kusambaza umeme kwenye vitongoji
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati (Umeme na Nishati Jadidifu) Mha. Felchesmi Mramba ameipongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini pamoja na mafanikio ya usambazaji umeme kwenye vitongoji. Mha. Mramba amesema hayo leo Julai…
Kizimbani kwa kughushi na kufuja mil.5.5/- za mradi wa kifua kikuu
Mnamo Juni 29, 2026 TAKUKURU Wilaya ya Siha imefungua shauri la uhujumu uchumi namba 14596/2026 katika Mahakama ya Wilaya ya Siha ikiwa ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi ya Dkt. Donatus Boniphace Tsete. Dkt. Tsete anashtakiwa kwa makosa ya…
UWT : Tuichangie BMH kuokoa maisha ya wagonjwa wa figo na selimundu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Rai imetolewa kwa wadau mbalimbali kujitoa kwa hali na mali kuchangia fedha kwa ajili ya mfuko unaohudumia wagonjwa wa figo na upandikizaji uloto kwa watoto wenye selimundu (sickle cell) wanaopatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin…
Ayoub: Zanzibar ina fursa kubwa ya kuimarisha uchumi kupitia biashara na utalii
Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed, amesema Zanzibar ina nafasi kubwa ya kuimarisha uchumi wake kupitia biashara, utalii na utamaduni, huku akisisitiza umuhimu wa kuzalisha bidhaa zenye ubora wa kushindana katika masoko ya…





