JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Makamu wa Rais aagiza hatua za haraka kujiandaa kukabiliana na athati za mvua za El Nino

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameagiza Mamlaka na Taasisi zinazohusika kuchukua hatua za haraka kujiandaa ili kuzuia na kupunguza athari zinazoweza kusababishwa na mvua za El NiƱo zinazotarajiwa kuanza mwezi Oktoba 2026. Makamu…

Salome awasili Songwe kwa uzinduzi wa mradi wa umeme

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amewasili wilayani Songwe, mkoani Songwe, kwa ajili ya uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220 kutoka Iganjo mkoani Mbeya hadi Saza mkoani Songwe, pamoja na…

Tanzania, Marekani kuendeleza Ushirikiano katika Sekta za Maendeleo

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb) akisalimiana na Naibu Katibu wa Hazina ya Marekani anayeshughulikia Masuala ya Kimataifa, Bi. Erin Browne, mjini Nairobi, Kenya, kando ya Jukwaa la Mazungumzo ya Ngazi za Juu la Mawaziri wa Fedha kuhusu…

Mtafiti wa teknolojia ya AI ajiuzulu

Mtafiti wa teknolojia ya Akili Mnemba ameyashutumu vikali makampuni ya Marekani kwa kile alichokieleza kama “kucheza na maisha ya watu” wakati yakiunda mifumo ya kompyuta itakayozidi uwezo wa binaadamu. Jacob Coxon alikuwa mtafiti katika kampuni ya AI ya Anthropic nchini…

Trump atoa matumaini kumalizika kwa vita vya Iran

Rais Donald Trump amesema anatarajia vita kati ya nchi yake Marekani na Iran kumalizika baada ya uchaguzi wa katikati ya muhula wa mwezi Novemba. Akizungumza na waandishi wa habari jana Jumatano, Trump amesema anaamini vita hivyo vitaisha mara baada ya…

Naibu Waziri wa Afya atoa elimu kwa mama wa mapacha watatu

Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, ametoa elimu kwa mama wa mapacha watatu, Maridhia Miraji, kuhusu namna bora ya kuwahudumia watoto hao ili waweze kukua vizuri, ikiwemo kuzingatia usafi, lishe na kinga dhidi ya maambukizi. Dkt. Samizi amemuelekeza mama…