JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Viongozi mbalimbali wahudhuria mazishi ya mume wa Rais Samia

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa heshima za mwisho kwa Marehemu Hafidh Ameir Hassan, mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika mazishi yaliyofanyika…

NEMC Yaeleza nafasi yake katika Kongamano la 5 la Kimataifa la Uchumi wa Buluu

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), katika Kongamano la 5 la Kimataifa la Uchumi wa Buluu, limejipambanua katika sekta ya mazingira kwa kusisitiza umuhimu wa matumizi endelevu ya rasilimali za bahari, mito, maziwa na maeneo ya…

Iran : Tuna uwezo kuzishambulia meli za kivita za Marekani

Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran, Majid Ibn e Reza, amesema jeshi la Iran lina uwezo kamili wa kushambulia meli za kivita za Marekani zinazotekeleza kizuizi cha majini dhidi ya Iran. Kauli hiyo inakuja baada ya maafisa wa Iran kudai…

Ndejembi, usiwaache marafiki zako wa zamani

Na Deodatus Balile, JahuriMedia, Bagamoyo Kuna msemo wa Kiswahili unaosema, “Mti haujinyanyui, huinuliwa na mizizi yake.” Maana yake ni kwamba, unapofika mahali fulani katika maisha, usisahau watu waliokuwa sehemu ya safari yako. Madaraka yanaweza kubadilika, nafasi zinaweza kubadilika, lakini urafiki…

TCMA yawaonya watoa huduma za afya wanaogeuza wagonjwa kuwa vitega uchumi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Watoa huduma za afya nchini wametakiwa kuzingatia maadili, uadilifu, huruma na utu katika kuwahudumia wagonjwa na kuacha mtazamo wa kuona ugonjwa wa mtu ni fursa ya kujipatia fedha. Rai hiyo imetolewa na Askofu Mkuu wa Kanisa la…