JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wataalam washauriwa kuandaa mikakati ya taasisi kwa kuwianisha na Dira ya Taifa 2050

Farida Ramadhani na Saidina Msangi, WF, Dodoma Serikali imewaagiza wataalamu wanaosimamia mipango na bajeti katika wizara na taasisi mbalimbali nchini kuzingatia nidhamu ya matumizi ya fedha za umma ili kuboresha utekelezaji na usimamizi wa bajeti ya Serikali. Hayo yalibainishwa na…

Uwekezaji wa bilioni 50/- wabadili huduma za Saratani Tanzania

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodom TAASISI ya Saratani Ocean Road (ORCI) imeeleza kuwa Serikali imewekeza zaidi ya Sh bilioni 50 katika miradi mbalimbali ya miundombinu, vifaa tiba na teknolojia za kisasa kwa lengo la kuongeza uwezo wa Tanzania katika uchunguzi na…

Serikali yaimarisha ulinzi wa miundombinu muhimu ya TEHAMA

SERIKALI imeonya kuwa mtu au taasisi itakayobainika kuharibu au kutenda kosa dhidi ya Miundombinu Muhimu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (CII) atakabiliwa na adhabu kali kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015. Waziri wa Mawasiliano…

Wamiliki miundombinu muhimu ya TEHAMA watakiwa kujisajili ndani ya miezi sita

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es salaam Wamiliki na waendeshaji wa miundombinu muhimu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) nchini wametakiwa kujisajili ndani ya miezi sita kupitia mfumo maalumu wa CII Portal, ili kuwezesha miundombinu hiyo kupata ulinzi wa…

Serikali kuongeza nguvu mapambano dhidi ya UKIMWI

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga SERIKALI imesema itaendelea kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU), kwa kuboresha vituo vya huduma, kuwezesha vikundi na kuimarisha ushirikiano na wadau, ili kuhakikisha Tanzania inafikia lengo la kutokomeza UKIMWI…

Maafisa biashara wapewa mbinu za kulinda walaji na ushindani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tume ya Ushindani (FCC) imetoa elimu  kwa Maafisa Biashara kwa lengo la kuwaongezea uelewa kuhusu masuala ya ushindani katika biashara, udhibiti wa bidhaa bandia pamoja na umuhimu wa kumlinda mlaji dhidi ya bidhaa na huduma…