JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

RC Makalla afanya mazungumzo na Balozi wa Japani nchini

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla amekutana na Balozi wa Japani nchini Tanzania, Mhe. Balozi Mikami Yoichi, alipomtembelea ofisini kwake leo Alhamisi Julai 24, 2026. Mhe. Balozi na Mkuu wa mkoa wa Arusha, mazungmzo yamelenga kuendelea…

Serikali kuimarisha ubora wa huduma wagonjwa mahututi

Na Cletus Sanga, WAF – Morogoro Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Taasisi ya Clinton Health Access Initiative (CHAI) imeendelea kuimarisha ubora wa huduma za wagonjwa mahututi nchini kwa kukamilisha kuandaa miongozo ya huduma za wagonjwa mahututi na…

Polisi Ngara wawafikia watoto yatima kupitia vituo vya malezi

Jeshi la Polisi Wilaya ya Ngara, Mkoa wa Kagera, limeendelea kuwafikia wananchi na makundi mbalimbali yenye uhitaji katika jamii kwa lengo la kuimarisha ushirikiano na jamii, kutoa elimu pamoja na kuwajulia hali wananchi wanaolitegemea Jeshi hilo katika ulinzi wao na…

Madaktari bingwa wafanikisha kutoa uvimbe nyuma ya shingo ya mtoto wa miaka minne

Na Andrea Kadege, WAF-Arusha Kambi ya Madaktari bingwa wa upasuaji inayoendelea katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Arusha, Mount Meru, leo Julai 24, 2026 imefanikiwa kuondoa uvimbe kwa mtoto wa kiume mwenye miaka minne ambaye alizaliwa na tatizo hilo. Akizungumza…

Makamu wa Rais afungua mkutano wa 15 wa mtandao wa watetezi wa haki za binadamu

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ana dhamira ya dhati ya kuhakikisha Katiba mpya inapatikana, ndio maana suala hilo…

K aonesha picha aliyopiga na dogo janja mwaka 2010

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Diwani wa Kata ya Ngarenaro jijini Arusha, Mheshimiwa Abdulaziz Abubakar Chende, maarufu kwa jina la kisanii Janjaro (zamani Dogo Janja), akimwonesha Rais picha aliyopiga naye Ikulu Dar es…