Author: Jamhuri
RITA yaimarisha usajili wa matukio muhimu ya binadamu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) umeendelea kuimarisha usajili wa matukio muhimu ya binadamu nchini kwa kutumia mifumo ya kidijitali na kusogeza huduma karibu na wananchi, hatua inayolenga kuhakikisha kila mwananchi anapata nyaraka muhimu…
Wanafuzi Keko wajifunza kutengeneza mbolea asilia
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaan WANAFUNZI zaidi ya 50 wa shule ya Sekondari Keko ,wamepatiwa mafunzo ya utengenezaji wa mbolea mboji kwa kutumia taka za majumbani, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuwajengea ujuzi wa utunzaji wa mazingira…
Zaidi ya watu 130 wafa kwa tetemeko la ardhi Colombia
Takriban watu 132 wamefariki baada ya tetemeko kubwa la ardhi kupiga magharibi mwa Colombia, katika tukio kubwa zaidi la aina hiyo nchini humo kwa miaka kadhaa. Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 7.4 kwa kipimo cha Richter lilipiga jimbo la Chocó,…
Hospitali ya SINO yaipa nguvu Tanzania ya Utalii Tiba
*Yaunga mkono Dira ya Rais Samia utali tiba Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WATANZANIA wameanza kunufaika na huduma za matibabu ya kibingwa zinazopatikana nchini, hali inayopunguza gharama na ulazima wa kusafiri nje ya nchi kutafuta matibabu. Mkurugenzi Mtendaji wa…
Tanga tena, Dangote kuvuja kwa pakacha…
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita, siasa za Uchumi wa Afrika Mashariki zilichemka tena katika mitandao ya kijamii, baada ya Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni na Kampuni ya Vitol…





