JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Dk Yonazi aviasa vikundi vya Waviu kutumia mitandao ya kijamii kuwafikia wateja

Na Mwandishi Wetu, Mwanza Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dkt. Jim Yonazi ashauri kikundi cha Paza Sauti cha Watu Wanaoishi na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (WAVIU) kutumia mitandao ya…

TBA yasaini mkataba na Galco Ltd kujenga Modern Logistics Hub Temeke

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umesaini Mkataba wa Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP) na Kampuni ya Galco Limited kwa ajili ya kuendeleza eneo la Kiwanja Na. 264, Temeke Mwisho jijini Dar…

Njia ya kusafirisha umeme kutoka bwawa la Julius Nyerere ya Chalinze – Dodoma imekamilika – Mramba

📌 Umeme wa JNHPP kufika Dodoma kupitia Chalinze 📌 SGR kupata njia yake maalum ya umeme, kuimarisha uhakika wa huduma Dodoma. Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema Njia ya Kusafirisha Umeme…

TBS Yatoa Mafunzo ya Viwango vya Ufanisi wa Nishati

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeweka Viwango vya Chini vya Ufanisi wa Nishati (MEPS) kwa vifaa vinavyotumia umeme, hatua inayolenga kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ya nishati na kuwasaidia wananchi kupata vifaa bora na…

Bodi ORCI yakutana Mbeya kupitia utekelezaji wa shughuli za Taasisi

Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) Prof. Ephata Kaaya ameongoza kikao cha Bodi kilichofanyika hivi karibuni jijini Mbeya kwa lengo la kujadili na kutoa mwelekeo wa kimkakati kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Taasisi…