JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Safari ya miaka nane ya Mji wa Serikali yafikia kilele, Rais Samia kuuzindua kesho

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma DODOMA. Safari ya takribani miaka nane ya Serikali kujenga Mji wa Serikali Mtumba imefikia hatua ya kihistoria, huku Serikali ikitangaza kukamilika kwa sehemu kubwa ya miundombinu ya eneo hilo na maandalizi ya uzinduzi rasmi wa…

Rais Mwinyi : Zanzibar yaendelea kuvutia uwekezaji wa utalii

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar inaendelea kupiga hatua katika sekta za uwekezaji na utalii, hali inayozidi kuimarisha nafasi ya visiwa hivyo katika soko la utalii duniani. Rais Dkt. Mwinyi…

Umeme wa uhakika migodini wachangia zaidi ya bil.340/- kwa mwaka

Dodoma, Septemba 3, 2026. Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mhe. Hashimu Komba, amesema upatikanaji wa umeme wa uhakika katika migodi una mchango mkubwa kwa uchumi wa Taifa, ambapo sekta hiyo huchangia zaidi ya Shilingi bilioni 340 kwa mwaka kupitia mrabaha,…

Wadau sekta ya afya 3000 kushiriki mkutano wa kimataifa wa huduma za afya

Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema zaidi ya wadau wa sekta ya afya 3000 kutoka nchi mbalimbali Duniani watashiriki katika Mkutano…

Serikali yaridhishwa na maandalizi ya NHIF kuelekea AFCON

Serikali imeutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kujipanga kikamilifu katika maandalizi ya mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, hususan katika kuhakikisha wageni watakaofika nchini wanapata huduma bora za matibabu bila vikwazo. Agizo hilo limetolewa…

Serikali imepiga hatua kubwa kuimarisha mifumo ya utakatashaji fedha haramu

Na Benny Mwaipaja, Kigali, Rwanda Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) amesema kuwa Serikali imepiga hatua kubwa kuimarisha mifumo ya kuthibiti utakasishaji fedha haramu, ufadhili wa ugaidi, na ufadhili…