Author: Jamhuri
UDSM yaishukuru Serikali Awamu ya Sita kuboresha miundombinu ya elimu na utafiti
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuendelea kukiimarisha kupitia uboreshaji wa miundombinu ya kujifunzia na utafiti katika kampasi zake. Shukrani hizo zimetolewa Jumamosi na Mkuu wa Chuo, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho…
Tanzania, India yaingia makubaliano kuendeleza tiba asili
Na John Mapepele – New Delhi Serikali ya Tanzania na India zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) kuhusu ushirikiano kwenye Sekta ya Afya katika kuendeleza tiba asilia (Ayurveda), huku Tanzania ikiwakaribisha wawekezaji kutoka sehemu duniani kuja kuwekeza na kuwahakikishia kuwapatia mazingira…
Prof. Shendoe awaelekeza walimu wakuu kudhibiti utoro wa wanafunzi na walimu
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nchi, Ofisi wa Waziri Mkuu – TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe amewaelekeza Walimu Wakuu wa Shule za Sekondari na Msingi nchini kuhakikisha wanadhibiti changamoto ya utoro kwa wanafunzi na walimu katika shule wanazozisimamia. Prof. Shemdoe alitoa…
Wanamichezo wahamasishwa kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia
Wanamichezo nchini wamehamasishwa kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia ili kufikia lengo la Serikali la mwaka 2034 asilimia 80 ya Watanzania wawe wanatumia nishati safi ya kupikia. Wito huo umetolewa na Bi. Jaina Msuya, mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa…
Naibu Waziri Maghembe ashiriki Maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Zambia
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe ameshiriki sherehe ya maadhimisho ya miaka 61 ya Uhuru wa Jamhuri ya Zambia, zilizofanyika jijini Dar es Salaam Desemba 19, 2025. Akizungumza katika hafla hiyo,…





