Author: Jamhuri
TMA Yapongezwa kwa utabiri sahihi wa hali ya hewa
NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Mheshimiwa David Kihenzile, ameipongeza Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kuendelea kutoa utabiri wa hali ya hewa wenye usahihi wa zaidi ya asilimia 80, hatua inayosaidia Serikali na wananchi kuchukua tahadhari mapema dhidi ya…
Tanzania yazidi kuimarisha nafasi yake katika biashara ya umeme kikanda
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake katika biashara ya umeme kikanda, huku Mradi wa Kuunganisha Gridi za Umeme Tanzania na Zambia ukifikia asilimia 90 ya utekelezaji na kutarajiwa kukamilika Februari 2027, hatua itakayoiunganisha Tanzania na soko la…
Mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa kv 220 Iganjo–Saza kuimarisha upatikanaji wa umeme na kuchochea uchimbaji wa madini – Mhe. Salome
📌 Ashuhudia utiaji saini mkataba wa utekelezaji wa mradi kutoka Iganjo, Mbeya hadi Saza, Songwe 📌 Mradi kutekelezwa kwa miezi 18 kwa gharama ya Shilingi Bilioni 198.67 Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema utekelezaji wa Mradi wa Njia…
Baraza la Taifa la Watoto laomba kukutana na Rais SamiaNa Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma
Baraza la Taifa la Watoto limeomba kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan ili kuwasilisha mapendekezo na changamoto zinazohusu ustawi, ulinzi na maendeleo ya watoto nchini. Ombi hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Watoto, Daniel Magembe, wakati wa…
Tanzania na Korea zatafuta Ushirikiano Imara wa Kiuchumi
Na. Benny Mwaipaja Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema kuwa Tanzania na Korea Kusini zimekubaliana kuongeza kasi ya utekelezaji wa ahadi iliyotelewa na nchi hiyo ya dola za Marekani bilioni 2.5 kwa Tanzania kwa ajili ya…
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara akagua Ujenzi wa Viwango House Arusha
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Denis Londo (Mb), ametembelea kiwanja kinachotarajiwa kujengwa Viwango House eneo la Mateves, Mkoani Arusha. Ziara hiyo imelenga kujionea eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa ofisi hizo, pamoja na kufahamu hatua zinazofikiwa katika…





