Author: Jamhuri
Dk Mwigulu : Watendaji Serikali tekelezeni majukumu yenu ipasavyo
*Asema lengo ni kuhakikisha uchumi wa Taifa unaendelea kukua WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesisitiza kuwa Tanzania haiwezi kujenga uchumi wa kati endapo baadhi ya watendaji hawatekelezi wajibu wao ipasavyo. Ameyasema hayo Novemba 21, 2025 wakati wa mkutano wa hadhara…
ELAF yaonya kauli za udini, yasema zina athari kwa Taifa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TAASISI ya Everlasting Legal Aid Foundation (ELAF) imetoa onyo kwa jamii kuhusu kuongezeka kwa kauli za udini ambazo zimeanza kujitokeza mara baada ya Uchaguzi Mkuu, ikisema mwelekeo huo unaweza kuleta athari kubwa kwa…
Klabu ya Simba yakubali kipigo cha 1-0 dhidi ya Petro Atletico de Luanda
Klabu ya Simba SC imepoteza kwa bao 1–0 dhidi ya Petro Atletico de Luanda katika mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa leo, Novemba 23, 2025, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Bao…
Serikali kuboresha na kuongeza idadi ya vyuo vikuu na vya kati nchini
Na. Asia Singano, WF, Dar Es Salaam. Serikali inaendelea kuboresha mazingira ya Vyuo Vikuu na vya Kati na kuongeza idadi ya vyuo hivyo katika mikoa yote ili wananchi wapate fursa zaidi ya kujiendeleza kimasomo na kupata elimu ya juu. Akizungumza…
Watano wafariki baada ya basi kugongana na gari ndogo Arusha
Watu watano wamefariki dunia huku mmoja akijeruhiwa baada ya magari mawili kugongana leo huko katika maeneo ya Mbuyuni, wilaya ya monduli Mkoani Arusha. Akitoa taarifa hiyo leo Novemba 23, 2025 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa…
Serikali yawataka wananchi kusubiri ripoti ya Tume Maalum ya kuchunguza maafa ya Oktoba 29
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewataka wananchi kuwa na subira wakisubiri ripoti ya Tume Maalum iliyoundwa kuchunguza chanzo cha maafa yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu, huku ikisisitiza kuwa uchunguzi huo unapaswa kuachiwa uhuru bila kuingiliwa. Akizungumza na waandishi…





