JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mamia ya wanachama ACT Wazalendo wampokea Othman Masoud Pemba

Mamia ya wanachama na wafuasi wa chama cha ACT Wazalendo wamempokea Mwenyekiti wa chama hicho, Othman Masoud Othman, alipowasili katika Uwanja wa Ndege kisiwani Pemba. Wanachama hao walikuwa wakiimba nyimbo za hamasa na mshikamano, wakiahidi kutorudi nyuma katika mapambano ya…

RITA kutoa cheti cha kuzaliwa ndani ya saa 48 tu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Homera, amezindua mpango mpya wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) wa utoaji wa vyeti vya kuzaliwa ndani ya saa 48 za kazi, kwa kutumia…

RC Dodoma awahimiza wahitimu kujiajiri kupitia ujuzi waliopata

Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, amehudhuria sherehe ya Mahafali ya 60 ya Chuo cha Elimu ya Biashara ‘College of Business Education (CBE)’ Kampasi ya Dodoma na kuwatunuku Wahitimu 2,086 wa mwaka 2025 shughuli iliyofanyika kwenye…

Idadi ya waliokufa katika mafuriko Indonesia yafikia 1000

Mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 1,000 nchini Indonesia. Haya yamesemwa leo na maafisa wa uokoaji nchini humo. Shirika la Kitaifa la Kukabiliana na Maafa limesema maafa hayo, ambayo yamekumba kisiwa cha kaskazini-magharibi cha…

Rais Samia: Marehemu Jenista Mhagama alikuwa mlezi wa viongozi wengi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji katika ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Mhe. Jenista Joakim Mhagama, iliyofanyika katika Kanisa la Mwenyeheri…