Author: Jamhuri
Mwambene awataka walimu wapya kushirikiana na wenzao
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Atupele Mwambene ametoa wito kwa walimu walioshiriki mafunzo ya somo la Elimu ya Biashara kuonesha ushirikiano kwa walimu wataowakuta katika vituo vyao vya kazi ili kuwasaidia watoto katika malezi pamoja na…
Balozi Salum azitaka FCC, TBS na WMA kupambana na bidhaa bandia na duni
Mameneja wa Kanda na Mikoa wa Taasisi za Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Tume ya Ushindani (FCC) pamoja na Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) wameagizwa kuhakikisha hakuna bidhaa bandia na duni katika maeneo yao wanayoyasimamia kiutendaji. Maelekezo hayo yametolewa na…
Airtel Africa yaandika historia kwa kuzindua intaneti ya satelaiti kwa simu DRC
Kinshasa, 17 Agosti 2026: Airtel Africa imeandika historia baada ya kuwa kampuni ya kwanza ya mawasiliano barani Afrika kuzindua kibiashara intaneti ya satelaiti kwa simu nchini Jamhuriya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ikifungua ukurasa mpya katika upatikanaji wa mawasilianokatika maeneo yasiyofikiwa…
Port Extension kuanza kutumika Novemba, kupunguza msongamano Bandari ya Dar
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam ENEO la Kurasini Logistics Park linaloandaliwa kuwa Port Extension ya Bandari ya Dar es Salaam linatarajiwa kuanza kutumika rasmi Novemba mwaka huu, hatua inayolenga kupunguza msongamano wa makontena na malori katika bandari hiyo. Akizungumza…
Mbarawa awataka watafiti kubadili tafiti kuwa suluhisho la changamoto za usafiri
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amewataka watafiti nchini kuhakikisha tafiti wanazofanya katika sekta ya usafiri na usafirishaji zinatoa suluhisho la changamoto halisi na kuchangia maendeleo ya kiuchumi, badala ya kuishia kwenye makabrasha…
Dk Mwigulu aagiza kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazoezi vya AFCON
*Awataka wakandarasi kukamilisha mikataba ya wafanyakazi na kushughulikia stahiki zao ndani ya wiki moja. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kuongezwa kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazoezi vitakavyotumika katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, ili…





