Author: Jamhuri
TMA yakanusha taarifa potofu kuhusu baridi nchini
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imekanusha taarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii ikidai kuwa tukio la Aphelion linalotokea katika mfumo wa Jua litasababisha baridi kali nchini Tanzania kuanzia Agosti 10, 2026. TMA…
Tanzania kupata dola milioni 41 za kuhifadhi wa bioanuwai, kuhimili mabadiliko ya tabianchi
Tanzania inatarajiwa kunufaika na takribani Dola za Marekani milioni 41 kupitia madirisha mbalimbali ya ufadhili wa Global Environment Facility (GEF), kwa ajili ya kuimarisha uhifadhi wa bioanuwai, urejeshwaji wa mifumo ikolojia na kujenga ustahimilivu dhidi ya athari za mabadiliko ya…
Global Education Link yawafunda wanaokwenda kusoma India
*85 kuondoka wiki ijayo kwa mwaka wa masomo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WANAFUNZI 85 wanatarajia kwenda masomoni kwenye vyuo vikuu mbalimbali nchini India kuanzia wiki ijayo kupitia Wakala wa Elimu Nje ya Nchi Global Education Link (GEL)….
RC Makalla aipongeza NM- AIST kwa tafiti na bunifu zinazochochea mapinduzi katika kilimo na ufugaji
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. CPA Amos Makalla, ameipongeza Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) kwa tafiti na bunifu mbalimbali zinazolenga kuongeza tija katika sekta za kilimo na mifugo. Mhe. Makalla amesema kuwa ametembelea…
Ndejembi : Bilioni 6.7 kwa afya ya wananchi, jengo la mama na mtoto likamilishwe kwa wakati
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri, Shinyanga Waziri wa Nishati na Mlezi wa Mkoa wa Shinyanga Kiserikali, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameitaka Manispaa ya Kahama kuongeza kasi ya ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Manispaa ya Kahama, ili likamilike…
Serikali kuja na mradi maalum wa kusambaza umeme kwenye maeneo ya uzalishaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, Serikali inaandaa mradi maalumu wa kusambaza umeme katika maeneo ya uzalishaji, hususan maeneo yenye shughuli za uchimbaji wa madini, kwa lengo la kuwawezesha wazalishaji kutumia nishati ya uhakika na…





