JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waziri Masauni aitambua NEMC kama mlezi wa Green Summit

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Hamad Yusuf Masauni, amelitambua na kulipongeza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa nafasi yake muhimu kama Mlezi na mdau wa kitaasisi wa Tanzania…

NCAA yawapiga msasa Malaigwanani

Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imeendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa Malaigwanani ,wazee na kina mama maarufu wapatao 33 kutoka kata 11 za ndani ya eneo la hifadhi Ngorongoro ili kuwajengea uwezo wa kutambua fursa mpya za kiuchumi. Akizungumza wakati wa…

Makandarasi watakiwa kufanyia kazi maagizo wanayopewa kabla ya El Nino

Dar es Salaam Makandarasi wanaotekeleza miradi ya ujenzi wa miundombinu ya barabara za kuingia viwanja vya mazoezi na uendelezaji wa barabara ya uwanja wa Taifa ambayo itatumika wakati wa michuano ya AFCON wametakiwa kufanyia kazi maelekezo yote wanayopatiwa na Wakala…

Taasisi ya OMDTZ yawezesha kata tano kuwa na mipango ya kukabili mafuriko Dar

Na Mwandishi wetu, JamahuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya OpenMap Development Tanzania (OMDTZ) kwa kushirikiana na Serikali imeanza zoezi la kukabidhi Mipango ya Kata ya Kujiandaa na Kukabiliana na Mafuriko kwa jamii katika kata tano za Jiji la Dar es…

Prof. Shemdoe aweka jiwe la msingi ujenzi wa madarasa Lindi

Na: OWM – TAMISEMI, Mchinga – Lindi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa madarasa manne na ofisi moja…

Darling yakuza mitaji ya wasusi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BAADHI ya wasusi walioshiriki programu ya Loyalty ya kampuni ya Darling Hair wamefanikiwa kuongeza mitaji na wengine kutoka kuwa waajiriwa hadi kumiliki saluni zao. Mafanikio hayo yameelezwa wakati wa hafla ya kuadhimisha miaka…