Author: Jamhuri
Serikali kukamilisha maboresho ya Sheria ya Elimu ifikapo 2027
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI imeeleza dhamira yake ya kuhakikisha mchakato wa kufanya maboresho ya Sheria ya Elimu unakamilika ifikapo mwaka 2027 ili kuifanya iendane na mahitaji na mabadiliko ya sasa katika sekta ya elimu nchini. Kauli hiyo imetolewa Leo…
Rio Ferdinand avutiwa na utalii Serengeti, afurahishwa na utalii wa puto
Nyota wa zamani wa Klabu ya Manchester United na timu ya Taifa ya England, Rio Ferdinand akiwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda, wamepata nafasi ya kufanya utalii wa puto katika Hifadhi ya Taifa ya…
Wanasiasa wapewa wito kuwa mabalozi bora wa mahusiano baina ya serikali na jamii
Na Mwandishi Wetu – ORPP, Morogoro Wanasiasa waombwa kuwa mabalozi wazuri wa mahusiano baina ya Serikali na makundi mbalimbali ya kijamii katika kuimarisha mshikamano, amani, haki,upendo na utulivu katika kuendeleza umoja wa kitaifa na ustawi wa jamii. Rai hiyo imetolewa…
Mwigulu awasili Mwanza kuhudhuria kilele cha Maadhimisho Siku ya Ziwa Victoria
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza ambapo anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika kilele cha maadhimisho ya kwanza ya Siku ya Ziwa Victoria yatakayofanyika katika viwanja vya Nanenane Nyamhongolo jijini Mwanza. Maadhimisho hayo yanaongozwa na…
Tanzania yatoa wito wa ushirikiano imara na kuvuka mipaka kutokomeza maralia
Na John Mapepele, Geneva, Uswisi Waziri wa Afya wa Tanzania, Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa, ametoa wito wa kuimarishwa kwa ushirikiano wa kikanda katika mapambano dhidi ya malaria na Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele (NTDs), katika kikao maalum cha ngazi ya juu kilichofanyika…





