Author: Jamhuri
Waziri Mkuu: Serikali yaendelea kuhakikisha mafuta hayaadimiki nchini
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini unaendelea kuwa wa uhakika na bidhaa hiyo haiadimiki. Akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Janeth Mahawanga Bungeni jijini Dodoma, aliyetaka kujua hatua zilizochukuliwa…
Vyuo 263 vya ufundi kusajiliwa kuongeza fursa za mafunzo ya ufundi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dosoma WIZARA ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imepanga kuimarisha elimu ya ufundi na mafunzo ya stadi za kazi kwa kutangaza mpango wa kusajili jumla ya vyuo 263 vya mafunzo ya ufundi stadi. Hatua hiyo inalenga kupanua wigo…
IPI yawateua mabalozi 500 wa kuitangaza amani ndani na nje ya nchi
Na Theophilida Felician, JamhuriMedia Taasisi ya International Peace information (IPI) imewateua mabalozi wa amani watakaofanya kazi yakuitangaza amani nchini na nje ya nchi. Akizungumza hayo na Jamhuri Digital juzi makao makuu ya IPI yaliyopo mkoani Dar es salaam Rais wa…
EWURA CCC Kagera yafanikiwa kuwafikia wananchi 1134
Na Theophilida Felician, JamhiriMedia, Kagera Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji EWURA CCC Mkoa Kagera limefanikiwa kuwafikia wananchi 1143 katika suala zima la kuwapatia elimu ya huduma hizo. Ameitoa kauli hiyo afisa mwandamizi wa baraza…
TANESCO yapongezwa kujipanga kufikisha umeme Bandari ya Uvuvi Kilwa
Asema ni Mradi wa kimkakati wenye fursa za kiuchumi kwa maslahi mapana ya nchi Amtaka mkandarasi kukamilisha mifumo ya upokeaji umeme kutoka TANESCO Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilwa Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mohamed Nyundo, ameipongeza TANESCO kwa jitihada na…
Dk Jingu apokelewa Wizara ya Katiba na Sheria, aahidi ushirikiano
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dkt. John Jingu, amepokelewa rasmi na Waziri wa Wizara hiyo, Dkt. Juma Homera kufuatia uhamisho uliofanywa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kutoka Wizara…





