Author: Jamhuri
Waziri Mkuu aadhimisha miaka 62 ya Muungano kwa kukagua miradi ya barabara Dar, Prof. Shemdoe afurahishwa
Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amemshukuru Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba kwa kuadhimisha miaka 62 ya Jamhuri ya…
Mwenge wahamasisha nishati safi kwa kumuunga mkono Rais Samia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mwenge wa Uhuru wahimiza na kuhamasisha wananchi kuunga mkono matumizi ya nishati safi ikiwemo gesi ya kupikia, majiko banifu na umeme, hatua inayolenga kulinda mazingira, kupunguza utegemezi wa kuni na mkaa ili kuboresha afya ndani…
Mwenge wa Uhuru waridhishwa na barabara za TARURA, ikiwemo Chumbi Kiegele Rufiji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mwenge wa Uhuru umeonesha kuridhishwa na utekelezaji wa miradi saba wilayani Rufiji mkoani Pwani, ukiwemo mradi wa barabara ya Chumbi–Kiegele unaotekelezwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wenye thamani ya shilingi bilioni…
Mkutano wa kikanda wajadili usalama na biashara haramu ya silaha
Na Mwandishi Wetu Makamu Mwenyekiti wa RECSA na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Paschal Katambi Patrobass (Mb), ameshiriki Mkutano kwa njia ya Mtandao wa Kamati Ndogo ya Mawaziri ya Kikanda, unaoshughulikia Udhibiti wa Silaha ndogo na nyepesi…
EACOP kuendelea kuunga mkono maendeleo sekta ya elimu nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Misenye Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP)imerejea dhamira yake ya kuendelea kuunga mkono maendeleo sekta ya elimu hapa nchini kupitia mpango wake wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR), sambamba na Dira ya Maendeleo…
Wafungwa 1,369 wapunguziwa adhabu, 436 waachiwa huru
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametumia mamlaka yake ya kikatiba kutoa msamaha wa kupunguza adhabu kwa wafungwa 1,369, hatua iliyowezesha wafungwa 436 kuachiwa huru mara moja na wengine 933 kupunguziwa vifungo vyao. Hatua…





