Author: Jamhuri
Tanzania, Canada kushirikiana kwenye utafiti wa kina wa madini nchini
▪️Serikali ya Canada yavutiwa na MINING VISION 2030 ▪️Utafiti kugusa mikoa ya Kanda ya Ziwa na Kaskazini ya Tanzania ▪️Waziri Mavunde awaelekeza GST kuainisha maeneo ya kimkakati ▪️Tafiti za kina za madini kuondoa uchimbaji wa kubahatisha ▪️Tanzania yajipanga kufikisha eneo…
Waziri Kombo awasilisha ujumbe wa Rais Samia kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amewasilisha ujumbe maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa…
EWURA yafikia wananchi, Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeanza kushiriki katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma mwaka 2026 yaliyoanza rasmi leo, tarehe 16 mpaka 23 Juni, yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali…
AGL Tanzania yachukua hatua kutekeleza Mpango wa ‘Plastic-Less’ kwa kulinda mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam AGL Tanzania imechukua hatua muhimu katika kulinda mazingira kwa kutekeleza mpango wake wa “Plastic-Less”, unaolenga kupunguza matumizi ya plastiki zinazotumika mara moja na kuhamasisha matumizi ya njia mbadala endelevu. Kupitia mpango huo, kampuni…
Wabunge waipongeza NSSF, PSSSF kuanzisha skimu ya hifadhi kwa waliojiajiri
Na Mwavua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Wabunge wameipongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kuendelea kupanua wigo wa huduma za hifadhi ya jamii kupitia Skimu ya Hifadhi kwa Wananchi Waliojiajiri, wakisema mpango huo unatoa fursa kwa mamilioni ya…
Serikali yawekeza Sh.Bilioni 10.5 kuimarisha huduma ya umeme Kongwa na maeneo jirani
Na Dotto Kwilasa JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imekamilisha na kuzindua mradi wa kimkakati wa Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji Umeme (Switching Station) pamoja na Transforma ya Kudhibiti Umeme katika eneo la Mbande, Wilaya ya Kongwa,…





