JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TIRDO yasajili viwanda 25,650, Serikali yaongeza nguvu maabara za kisasa

Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara imeendelea kuimarisha sekta ya viwanda nchini huku Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) likisajili jumla ya viwanda 25,650 na kuongeza nguvu katika huduma za maabara pamoja na teknolojia za uzalishaji…

Waziri Ndejembi akutana na Balozi wa Norway nchini Tanzania

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Tone Tinnes yaliyolenga kuimarisha na kuendeleza ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika sekta ya nishati. Mazungumzo hayo yamefanyika leo Mei 22, 2026 katika Ofisi…

Waziri Dk Gwajima asisitiza uwajibikaji na kuzingatia maadili ya utumishi wa umma

Na WMJJWM – Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mheshimiwa Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka watumishi wa Wizara hiyo kufanya kazi kwa bidii, kuzingatia sheria, kanuni na maadili ya Utumishi wa Umma ili kuongeza ufanisi katika…

Kamati yampongeza Rais Samia kutoa bilioni 200/- kuwezesha vijana

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, ambaye pia ni Mbunge wa Kondoa Mjini, Mariam Ditopile, ameipongeza Serikali chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu…