JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TIRDO yabuni dawa ya asili ya kuchakata ngozi, yaokoa afya na mazingira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limefanikiwa kubuni dawa ya asili ya kuchakata ngozi inayotokana na mimea, hatua inayotarajiwa kupunguza matumizi ya kemikali za viwandani, kulinda afya za watumiaji na kuhifadhi…

JKT yaibuka kinara Sabasaba, yatwaa tuzo ya bidhaa za kilimo na uvuvi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limeibuka mshindi wa kwanza katika tuzo za Maonyesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), baada ya kutambuliwa kwa kufanya vizuri kupitia bidhaa zake za kilimo…

Rais wa Msumbiji, Daniel Francisco Chapo awasili Ikulu Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa Ziara ya Kikazi, tarehe 03 Julai, 2026. 

Wizara ya Nishati yawahamasisha watoto kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia

Watoto wameaswa kuwa mabalozi wa matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuunga mkono juhudi za Serikali za kulinda mazingira, kupunguza athari za kiafya zitokanazo na matumizi ya nishati zisizo safi na kufanikisha lengo la Taifa la kuhakikisha asilimia 80…

Salome : Wananchi wanaopitiwa na miundombinu ya umeme waunganishwe huduma kwa sh 27,000

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeelekeza kuwa wananchi wote ambao wamepitiwa na miundombinu ya umeme lakini bado…