JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

FCC kuwalinda walaji

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Ushindani (FCC) imesema kuwa itaendelea kuchukua hatua katikakuhakikisha walaji wa bidhaa na huduma wanapata salama zinazokidhi viwango. Hayo ameyasema Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC) Khadija Ngasongwa wakati akitangaza…

Kwanini Serikali inamiliki hisa chache kwenye kampuni

Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Serikali imesisitiza kuwa uamuzi wake wa kumiliki hisa chache katika baadhi ya kampuni nchini na nje ya nchi unalenga kushiriki katika maamuzi ya kimkakati na kuhakikisha uwekezaji wake, ambao kwa sasa umefikia Sh1.94…

Baada ya onyo kali la DC Kaslida, wafugaji aondoka Same kwa hiari

Na Ashrack Miraji, JamhuriMedia, Same WAFUGAJI wanaoishi nje ya wilaya ya Same ambao walikuwa wameingiza mifugo yao ndani ya wilaya hiyo katika vijiji vilivyopo kata ya Vumari bila kuwa na kibali wameanza kutii agizo la Mkuu wa wilaya hiyo, Kasilda…

Marekani yaiwekea vikwazo Rwanda

Marekani imeweka vikwazo vikali kwa jeshi la Rwanda na makamanda wake wanne wakuu, ikiwashutumu kwa kuchochea migogoro katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Wizara ya Hazina inasema Jeshi la Ulinzi la Rwanda limekuwa likitoa mafunzo, kuandaa, na kupigana pamoja na…