Author: Jamhuri
CRDB yaonyesha upendo, yawafungulia akaunti mapacha watano, baba apewa bajaji
Na Mwandishi Wetu,JamhurieMdia,Dar es Salaam Benki ya CRDB kupitia kitengo chake cha Youth Banking imeendelea kuonesha moyo wa kujali jamii baada ya kuisadia familia ya Bw. Simon Mkwizu iliyojaliwa kupata watoto watano kwa wakati mmoja, kwa kuwafungulia akaunti maalumu za…
Sekretarieti ya Maadili yawanoa wahariri, yawasihi kufichua vitendo vya ukiukwaji wa maadili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam, SEKRETARIETI ya Maadili ya Viongozi wa Umma, imewataka wahariri wa vyombo vya habari nchini kuendelea kutumia kalamu na sauti zao kama nyenzo muhimu katika kukuza maadili, uwajibikaji na uadilifu miongoni mwa viongozi wa…
Polisi: Wanaohamasisha maandamano kufuatiliwa kwa karibu
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia,Dodoma Polisi imesema inaendelea kufuatilia kwa karibu shughuli za watu hao ambao wanaotumia mitandao ya kijamii ambapo wamekuwa wakihamasisha maandamano yaliyopangwa kufanyika Julai 7 mwaka huu Kwa mujibu wa taarifa hiyo, uchunguzi uliofanywa na Jeshi la Polisi…
Kiongozi Mbio awaelekeza wakurugenzi nchini, kuwekeza katika usimamizi wa miradi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Handeni KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Wazo Mwang’onda, amewaelekeza Wakurugenzi wa Halmashauri za Majiji, Miji na Wilaya nchini, kuwekeza zaidi katika usimamizi wa miradi na huduma za maendeleo, ili kufikia kusudio la kuinua hali ya…
Ukaguzi wa migodi waendelea kuimarisha usalama na uhifadhi wa mazingira nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tume ya Madini imeendelea kuimarisha ukaguzi wa migodi nchini kupitia Kurugenzi ya Ukaguzi wa Migodi na Mazingira kwa lengo la kuhakikisha shughuli za uchimbaji zinafanyika kwa usalama, ufanisi na kwa kuzingatia uhifadhi wa mazingira, hatua…
Mfumo wa Stakabadhi za ghala kuingia sekta ya mifugo
Na Mwandishi Wetu Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko na kuongeza ushindani wa bei ya bidhaa hiyo nchini. Akizungumza Juni 19, 2026 katika Maonesho…





