JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waziri Mkuu ashiriki ibada ya Jumapili Kanisa la KKKT usharika wa Azania Fron

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameshiriki ibada ya Jumapili, leo, Aprili 26, 2026, katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP), Usharika wa Azania Front, jijini Dar es Salaam. Ibada hiyo iliongozwa na Katibu…

Asilimia 10 yaendelea kuzaa matunda, mwenge wazindua basi la vijana Mkuranga

Na Mwamvua Mwinyi, Mkuranga KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang’onda, amezindua mradi wa basi dogo la kikundi cha vijana wanane cha UNAMA, kinachojishughulisha na usafirishaji wa abiria ,kijiji cha Picha ya Ndege, kata ya Vikindu wilayani…

MSD yajiimarisha mfumo wa ununuzi bidhaa za afya nchini

…………………………………………… Bohari ya Dawa (MSD) imesema imeendelea kuboresha mfumo wa ununuzi wa bidhaa za afya nchini kwa kutumia mikataba ya muda mrefu (Framework Agreements), hatua inayolenga kuhakikisha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba unakuwa wa uhakika wakati wote. Akitoa taarifa…

Serikali yaimarisha uwazi sekta ya madini, bei elekezi kutolewa kila siku

Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Tume ya Madini imesema itaendelea kutoa bei elekezi za madini ya dhahabu, shaba na fedha kila siku itakayotumika kwenye masoko na vituo vya ununuzi wa madini hatua inayolenga kuongeza uwazi katika biashara ya madini na…

Waziri Mkuu awapa tano wajumbe ALAT

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amewapongeza wajumbe wa ALAT kwa kuwa kinara katika usimamizi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa nchini. Dkt. Nchemba amezungumza hayo katika ufunguzi wa Mkutano wa ALAT unaofanyika jijini Arusha…