Author: Jamhuri
Kwa heri John Sabi Nzuryo, Jamhuri Media itakukumbuka
Uongozi wa Gazeti la JAMHURI unasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu JOHN SABI NZURYO kilichotokea Desemba 15, 2025 katika Hospitali ya Amana, Dar es Salaam. Tunaendelea kufuatilia taratibu za msiba na maziko kwa familia, hivyo tutawajulisha kila hatua tutakayofikia. Bwana…
Rais Mwinyi ahudhuria Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za binadamu Z’bar
Baadhi ya Wageni waalikwa waliohudhuria katika hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binaadamu yaliofanyika katika Ukumbi wa Maonesho Nyamanzi Magharibi B Zanzibar. Baadhi ya Wageni waalikwa na Viongozi waliohudhuria katika hafla ya Maadhimisho ya Siku ya…
Wakazi wa ndani wa taasisi za umma wapata mafunzo ya ukaguzi wa ESG
Na Joseph Mahumi Wakaguzi wa Ndani wa Serikali wameaswa kutazamia upya athari za mabadiliko ya kimazingira pindi wanapofanya ukaguzi katika masuala ya Mazingira, Kijamii na Utawala Bora (Environmental, Social, and Governance-ESG) na Ukaguzi wa Thamani ya Fedha (Value for Money-VFM)…




