Bilioni 286 kujenga uwanja wa Arusha, kubeba watu 30000
Na Isri Mohamed Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo,Dkt. Damas Ndumbaro leo ameongoza zoezi la utiaji saini na mkandarasi unaohusiana na ujenzi wa uwanja mpya wa michezo Jijini Arusha. Waziri Ndumbaro amesema kwa sasa unajengwa uwanja wa kisasa wenye thamani ya Bilioni 286, na utakuwa na uwezo wa kuchukua Mashabiki 30,000. Makubaliano ya serikali na…