Author: Jamhuri
Shambulio la kujitoa mhanga laua 22 kanisani Damascus
Takriban watu 22 wameuawa na wengine 63 kujeruhiwa katika shambulio la bomu la kujitoa muhanga katika kanisa moja mjini Damascus, wizara ya afya ya Syria imesema. Mwanamume mmoja alifyatua risasi kwa kutumia silaha katika Kanisa la Kiorthodoksi la Ugiriki la…
Bibi harusi apigwa risasi na kuuawa katika tafrija ya harusi yake Ufaransa
Bibi harusi ameuawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia harusi yake katika kijiji karibu na mji wa kusini-mashariki wa Ufaransa wa Avignon baada ya watu waliokuwa wamejifunika nyuso zao kufyatua risasi, maafisa wa eneo walisema. Mshukiwa mmoja wa shambulizi pia…
Watalii wafurika Hifadhi ya Serengeti kushuhudia uhamaji wa nyumbu kwenda Kenya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Serengeti NI mafuriko ya watalii. Hivi ndivyo unavyoweza kusema ukifika katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti husuan eneo la Seronera. Hoteli zote zimejaa wageni. Magari ya kubeba watalii hazina idadi. Ni mwendo wa ndege kutua na…
Leseni za madini sasa kutolewa kwa uwazi na ufanisi zaidi
Mwasandende asifu juhudi za Tume ya Madini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Afisa Elimu, Kazi na Jinsia kutoka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE), Bwana Nsubisi Mwasandende, ameipongeza Tume ya Madini kwa juhudi kubwa inazozifanya katika kusimamia…
Wanaotaka vitu kinyume na katiba, sheria ni sawa na ugaidi – Wasira
*Asisitiza umuhimu wa kuheshimu sheria za nchi ,utawala bora *Aishangaa CHADEMA kuwa na kauli mbiu ya No Reform No election kuzuia uchaguzi *Atuma ujumbe kwa wana CCM kutenda haki kupata wagombea ubunge udiwani Na Mwandishi Wetu, Ukerewe MAKAMU Mwenyekiti wa…





