JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TANESCO yaanza rasmi zoezi la kulipa fidia wananchi waliopisha ujenzi miradi ya umeme

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara 📌Ni mradi wa ujenzi wa njia kubwa ya kusafirisha umeme wa kilovoti 220 Tunduru -Masasi . 📌Jumla ya shilingi Bilioni 4.7 kutumika kulipa fidia kwa wananchi 📌Wananchi waahidi kuyahama maeneo ndani ya siku 30 walizopewa….

Waziri Mkuu ataka wakulima, wananchi kujiunga na vyama vya ushirika vilivyosajiliwa

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa,amewataka wakulima na wananchi kwa ujumla wahakikishe wanajiunga na vyama vya ushirika vilivyosajiliwa, ili waweze kunufaika na fursa mbalimbali zinazotolewa na Serikali na wadau wa maendeleo. Waziri Mkuu ameyasema hayo leo  Aprili 27, 2025 wakati akifungua  mdahalo…

Simba yatinga fainali

Simba Sc imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika baada ya sare ya bila kufungana na wenyeji wao Stellenbosch katika mchezo wa marudiano wa nusu fainali uliochezwa leo Uwanjwa wa Moses Mabhiba jijini Durban, Afrika Kusini….

ETDCO wakamilisha Mradi wa Kilovolt 132 Tabora-Ipole

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Tabora Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imekamilisha ujenzi wa Mradi wa laini ya msongo wa Kilovolti 132 yenye urefu wa kilomita 102 kutoka Tabora hadi Ipole, ambao utawasaidi…

Simba mmeipa heshima nchi yetu – Rais Samia

Repost from @samia_suluhu_hassan•Pongezi za dhati kwa Klabu ya Simba kwa ushindi katika mchezo wa Mashindano ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF Confederation Cup), na kuandika historia ya kufika fainali ya mashindano haya. Mmeipa nchi yetu heshima kubwa. Nawatakia…

Wavuvi waliozama Ziwa Victoria Kisiwa cha Rukuba bado hawajapatikana

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Musoma WAVUVI wawili kati ya wanne waliozama ziwa Victoria usiku wa Aprili 21,2025 bado hawajapĂ tikana licha ya juhudi za kuwatafuta. Akizungumza kwa njia ya simu na Jamhuri Media mmiliki wa mtumbwi waliozama nao wavuvi hao waliokuwa wakimfanyia…