Author: Jamhuri
Watuhumiwa 349 wakamatwa Pwani, wahalifu sugu 31
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limewakamata watuhumiwa 349, wakiwemo wahalifu sugu 31 ambao kwa muda mrefu walikuwa mafichoni. Aidha baadhi yao waliwahi kufungwa jela kwa makosa mbalimbali, ikiwemo unyang’anyi wa kutumia silaha (kama mapanga),…
Mashambulizi yaendelea mzozo wa Iran na Israel
Jeshi la Israel limeripoti kuwa Iran imefanya mashambulizi yaliyohusisha msururu wa makombora Ijumaa mchana. Ni wakati waziri wa mambo ya nje wa Iran akiwa mjini Geneva kwa mazungumzo katika juhudi za kuutatua mzozo huo. Taarifa ya jeshi la Israel imesema…
Halmashauri Mafia yatakiwa kuimarisha usimamizi wa mapato na kukamilisha miradi viporo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, mkoani Pwani, imetakiwa kuongeza juhudi katika kusimamia ukusanyaji wa mapato na kuhakikisha inaendelea kutenga fedha kwa ajili ya kukamilisha miradi iliyosimama kwa muda mrefu. Maagizo hayo yametolewa na Katibu Tawala…
Ni huzuni; mama aua watoto wake wanne kwa kuwanywesha sumu Tabora
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Lugubu, Kata ya Lugubu Wilayani Igunga Mkoani Tabora amepoteza maisha na watoto wake wanne baada ya kunywa sumu aina ya ruruka 80WDG itumikayo kuulia viwaji jeshi. Kamanda wa Jeshi…
Viongozi wa Dini Kiteto – Mbunge Lekaita ni tumaini la wananchi wa Kiteto ni kiongozi hodari
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Dodoma Viongozi wa Dini wilayani Kiteto Mkoani Manyara wamempongeza mbunge wa Jimbo hilo Wakili Msomi Edward Ole Lekaita kwa uwajibikaji wake katika kuwaletea Maendeleo wananchi wakem huku wakidai ni mbunge huyo ni Tumaini la wana-kiteto Hayo…





