Author: Jamhuri
Askofu Msaidizi Tabora awekwa Wakfu, Waziri Lukuvi amwakilisha Rais Samia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe. William Lukuvi, amemuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika ibada maalum ya kuwekwa wakfu kwa Askofu…
Simba yashindwa kutwaa ubingwa
Mashabiki wa Simba na Watanzania kwa ujumla wameshuhudia timu Simba ikishindwa kutwaa ubingwa katika mchezo wa marudiano fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya timu hiyo na RS Berkane ya Morocco. Simba imelazimishwa sare ya bao 1-1 katika mchezo…
Rais Samia anataka taifa lenye upendo na maendeleo
đDkt. Biteko awaasa Watanzania kutogawanyika na kuendelea kuwa wamoja đ Awapongeza CCT kwa kuendelea kushirikiana đ Asema Serikali inathamini mchango wa CCT kwa maendeleo ya Taifa Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na…
Katibu AMCOS Maswa afungwa jela miaka 20 kwa rushwa, uhujumu uchumi
Mei 20, 2025, Mahakama ya Wilaya Maswa imetoa hukumu kwa Bw. Masanja Andrew Mboje (36) ambaye ni Katibu wa AMCOS ya Gula, kifungo cha miaka 20 jela na kutakiwa kurejesha fedha kiasi cha sh 3,518,000 alizofanyia ubadhirifu. Katibu huyo alishtakiwa…
Soko la nyama Vingunguti kuzalisha ajira 232
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imesema Soko la Nyama Choma Vingunguti litatoa ajira 232, zikiwemo 15 za kudumu. Mkuu wa Masoko katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Alex Buberwa…
Wawekezaji sekta ya madini wakaribishwa Mtwara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Wawekezaji katika Sekta ya Madini wamekaribishwa kuwekezwa katika mkoa wa Mtwara kutokana na uwepo wa madini ya aina mbalimbali yakiwemo madini mkakati yanayotumika kwenye shughuli za viwanda. Hayo yamesemwa na Mhandisi wa Migodi Mwandamizi, Michael…





