JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tuna mtaji wa imani ya Watanzania – Nchimbi

Azindua kampeni Mwanza akitamba na takwimu za kura za uhakika Awasihi wanaCCM kila mmoja kutafuta kura 10 kwa ajili ya ushindi wa kishindo Ahamasisha kampeni za nyumba kwa nyumba na mtu kwa mtu, isiachwe kura hata moja, wakiwemo wapinzani Awataka…

Dk Nchimbi awasili Furahisha kwa uzinduzi kampeni Serikali za Mtaa Mwanza

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, akiwasili leo tarehe 20 Novemba 2024 katika Viwanja vya Furahisha, jijini Mwanza, kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa chama hicho katika ngapi…

Mbaroni kwa tuhuma za kubaka na kumuua mtoto wa miaka sita

Na Haji Mtumwa, JamhuriMedia, Zanzibar Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linamshikilia mtu mmoja aitwae Maulid Hassan Maulid (18) mkaazi wa Mwera Pongwe katika Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja kwa tuhuma za mauaji ya mtoto mdogo Khadija…