JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Sitanii

Kura yako, mustakabali wa taifa

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mchakato wa Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania ni safari ndefu iliyohusisha maandalizi ya daftari la wapiga kura, uteuzi wa wagombea, kampeni na hatimaye upigaji kura. Kila hatua inabeba uzito wake, lakini kilele cha safari…

Samia anaikomboa nchi kwa giridi ya maji

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Johannesburg Nipo hapa jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini nikiendelea na mkutano unaojadili uchumi wa vyombo vya habari chini ya taasisi ya CTRL+J. Mkutano huu unaangalia mwenendo wa mapato, teknolojia ya habari na mitandao ya kijamii vinavyoathiri…

Rais Samia umeandika historia, jipe moyo

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan wiki iliyopita ameweka historia nyingine na kuanza safari ya historia ya kudumu kuelekea kupatikana kwa Rais wa Tanzania mwanamke aliyechaguliwa. Agosti 9,…

Polepole, Mpina, Makamba… hawakumfahamu Rais Samia

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Mwanza Leo tumechapisha toleo maalumu. Toleo hili ni la watia nia waliopitishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Yapo majina makubwa yaliyoachwa kama Mbunge wa Bumbuli, January Makamba; Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina na wengine wengi. Lakini…

Wapigakura mchague maendeleo, si rushwa

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Mwanza Jana Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanzisha rasmi mchakato wa uchaguzi katika ngazi ya wabunge na madiwani kwa kuteua majina ya wanachama wake watakaopiga goti mbele ya wajumbe kuomba kura. Mchujo utakaofanyika wiki ijayo unalenga kupata…

Wagombea mtegemeeni Mungu

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Arusha Wiki iliyokwisha nimeitumia kusikiliza upepo wa siasa unavyokwenda hapa nchini. Kwa hakika kugombea iwe ubunge au udiwani ni kazi kwelikweli. Wagombea simu zao zinapokewa kila zikiita na kila ujumbe wanaujibu. Sitaki kuamini kuwa teknolojia ya…