Asante Rais Samia kushiriki Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari

Na Deodatus Balile, Arusha Wiki hii nimerejea katika ukumbi huu. Msomaji wangu niwie radhi sikuweza kuandika katika wiki mbili zilizopita, kwani nilikuwa na maandalizi mazito ya mkutano mzito ulioileta Afrika Tanzania. Huu si mwingine, bali ni mkutano wa Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani (WPFD) uliofanyika Arusha, Tanzania. Sitanii, naomba kuchukua fursa hii…

Read More

Rais Samia wekeza katika gesi

Na Deodatus Balile Wiki iliyopita nilihitimisha makala yangu kwa aya hizi: “Sitanii, ukurasa umekuwa finyu. Hili la miundombinu nitalidadavua zaidi wiki ijayo. Tunatumia wastani wa Sh trilioni 7 kuagiza mafuta kutoka nje ya nchi kwa mwaka. Tunaweza kuachana na utumwa huu tukipenda. Tunayo neema katika nchi yetu. “Wakati Waarabu wanayo mafuta, sisi hapa kwetu tuna…

Read More

Rais Samia, kuachiwa Mbowe na Urusi

Na Deodatus Balile Wiki iliyopita ilikuwa na matukio mengi, ila nitayagusia makubwa machache. Kwanza nianze la kesho Jumatano, Machi 9, 2022 ambapo Jukwaa la Wahariri Tanzania litakuwa linafanya Mkutano Mkuu wa Mwaka wa 2022.  Huu mkutano utahusisha wahariri zaidi ya 150. Kwa mara ya kwanza tutapata wahariri kutoka Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Zimbabwe na Malawi….

Read More

Nimejifunza, Ukraine – Urusi taarifa zina utata

Na Deodatus Balile Tangu Urusi ianze mashambulizi dhidi ya taifa la Ukraine, nimekuwa na ufuatiliaji wa karibu wa mashirika mbalimbali ya habari ya kimataifa. Kuna jambo gumu nimejifunza. Nimekuwa nikilisikia hili nililojifunza, ila sasa nimejifunza kwa njia ngumu. Sitanii, miaka yote niliamini misingi ya Uhuru wa Vyombo vya Habari tunayofundishwa na wakubwa hawa wanaiishi. Kumbe…

Read More