Rais Samia analiunganisha tena taifa
Na Deodatus Balile Leo naomba nianze makala yangu kwa kumnukuu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, katika kauli aliyoitoa baada ya tukio la Septemba 7, 2017 alipopigwa risasi 16, na baadaye akawa kwenye matibabu nje ya nchi. Kauli hii tangu wakati huo, Lissu ameitoa mara nyingi akisema: “The President must…