JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Misaada ya maendeleo yapungua kwa asilimia 23.1 mwaka 2025

Shirika la Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo, OECD, limesema misaada ya maendeleo ilipungua kwa kiwango cha kihistoria kwa asilimia 23.1 mwaka uliopita. Shirika la OECD lenye makao yake makuu mjini Paris nchini Ufaransa lilisema data zake za awali zilionyesha misaada…

Bei ya mafuta yashuka duniani

Bei ya mafuta duniani imepungua kwa kiasi kikubwa baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kutangaza makubaliano ya kusitisha mapigano kwa wiki mbili. Mapema Jumanne, pipa moja la mafuta uliouzwa kwenye masoko ya kimataifa ulikuwa na thamani ya dola 103.42,…

Marekani na Iran zakubaliana kusitisha mapigano

Rais wa Marekani Donald Trump amesema amekubali kusitisha mashambulizi dhidi ya Iran kwa muda wa wiki mbili, kufuatia pendekezo la wapatanishi katika mgogoro huo. Trump alisema uamuzi huo umefikiwa baada ya mazungumzo na viongozi wa Pakistan, akiwemo Waziri Mkuu Shehbaz…

Zelensky: Mashambulizi kwenye vituo vya nishati yasitishwe

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kwamba Ukraine imependekeza kwa Urusi kupitia kwa Marekani mpango wa kusitisha mashambulizi ya pande zote yanayolenga vituo vya nishati. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kwamba Ukraine imependekeza kwa Urusi mpango wa kusitisha mashambulizi…

Somalia yajiandaa uchimbaji mafuta wa kwanza wa kihistoria baharini

Somalia inasema iko tayari kuanza shughuli zake za kwanza za kuchimba mafuta baharini, huku meli ya kuchimba mafuta inayomilikiwa na serikali ya Uturuki ikitarajiwa kuwasili pwani yake Ijumaa. Hatua hiyo inafuatia kukamilika kwa mafanikio kwa tafiti za matetemeko ya ardhi…

Ulaya: Sio halali kulenga miundombinu ya raia vitani

Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Ulaya Antonio Costa, amesema shambulio lolote dhidi ya miundombinu ya kiraia kama ile ya nishati sio halali na haikubaliki hata kidogo. Hii ni baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutoa muda wa…