JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Vifaru vya Israel vyaingia katika eneo kubwa la makazi la Gaza

Wakazi wa eneo la Gaza na mashuhuda wanasema makumi ya vifaru na magari ya kijeshi ya Israel yameingia katika wilaya kubwa ya makazi ya mji wa Gaza, katika siku ya pili ya mashambulizi ya ardhini ya Israel yenye lengo la…

Israel yaanza operesheni ya kudhibiti Gaza City

JESHI la Israel limeanzisha mashambulizi yake ya ardhini yaliyokuwa yakisubiriwa katika Jiji la Gaza, baada ya mashambulizi makubwa ya angani usiku wa kuamkia leo katika mitaa kadhaa ya jiji hilo. Msemaji wa jeshi hilo amesema kufuatia maagizo ya uongozi wa…

Trump aidhinisha msaada wa silaha wa Ukraine

Vifurushi vya kwanza vya msaada wa silaha za Marekani kwa utawala wa Trump kwa Ukraine vimeidhinishwa na vinaweza kusafirishwa hivi karibuni wakati Washington inaanza tena kutuma silaha Kyiv, Reuters inaripoti. Wakati huu hatua hiyo inafanyika chini ya makubaliano mapya ya…

Marekani yaharibu meli inayodaiwa kuwa ya dawa za kulevya ya Venezuela

RAIS wa Marekani Donald Trump amesema Jeshi la Marekani limeharibu meli inayodaiwa kuwa ya mihadarati ya Venezuela iliyokuwa ikisafiri katika bahari ya kimataifa ikielekea Marekani. Trump alisema siku ya Jumatatu kwamba wanaume watatu waliuawa katika shambulizi dhidi ya “makundi ya…

Israel yaanza operesheni ya ardhini Gaza City

Jeshi la Israel limeanza operesheni ya ardhini kwenye mji mkubwa zaidi wa Ukanda wa Gaza baada ya majuma kadhaa ya mashambulizi ya anga. Mtandao wa habari wa Axios umeripoti taarifa hizo ukiwanukuu maafisa kadhaa wa Israeli. Serikali mjini Tel Aviv…

Trump asema yuko tayari kuiwekea vikwazo Urusi

Rais Donald Trump wa Marekani amesema yuko tayari kuiwekea vikwazo zaidi Urusi kutokana na vita vya Ukraine lakini ameyataka mataifa ya Ulaya yachukue hatua sawa ya hiyo ya kuitenga zaidi Urusi. Trump aliwaambia waandishi habari mjini Washington kwamba Ulaya bado…