JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Uhispania yatangaza hali ya dharura kufuatia moto wa nyika

Uhispania imetangaza hali ya dharura ya kitaifa mjini Madrid na mkoa wa Avila, karibu na mji mkuu, kufuatia milipuko kadhaa ya moto wa nyika inayoteketea bila kudhibitiwa. Uhispania imetangaza hali ya dharura ya kitaifa mjini Madrid na mkoa wa Avila,…

Iran na Marekani zazidi kutunishiana misuli

Marekani imeendelea kuishambulia Iran huku waasi wa Houthi nchini Yemen wakijiingiza katika vita hivyo kwa kuzishambulia meli za mafuta za Saudi Arabia katika Bahari ya Shamu, ambazo wanasema zilikiuka kizuizi cha majini Iran na Marekani zimetishiana hapo jana kuongeza mashambulizi…

Rais wa Ukraine amtimua Mkuu wa Jeshi, Oleksandr Syrskyi

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amemwondoa Mkuu wa Majeshi ya Ukraine, Oleksandr Syrskyi, kutoka wadhifa wake. Hatua hiyo imekuja siku chache tu baada ya kuondolewa kwa Waziri wa Ulinzi aliyekuwa maarufu, Mykhailo Fedorov, hatua iliyosababisha maandamano katika maeneo mbalimbali nchini…

Uhispania yashinda Kombe la Dunia 2026

Uhispania imeshinda Kombe la Dunia 2026 kwa kuwabamiza mabingwa watetezi timu ya soka ya Argentina bao 1-0. Mshambuliaji Ferran Torres ndiye ameifungia Uhispania bao la pekee lililowapa ushindi na kunyakua Kombe la Dunia kwa mara ya pili katika historia. Mchezo…

Korea Kaskazini na China zaimarisha ushirikiano wa kimkakati

China imetuma ujumbe wake wa ngazi za juu kwa majadiliano ya kuimarisha uhusiano na mshirika wake wa muda mrefu, Korea Kaskazini. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China, Wang Huning, amefanya mazungumzo mjini Pyongyang na ofisa mkuu…

Marekani yaanzisha mashambulizi mapya dhidi ya Iran 

Marekani imesema imeanzisha wimbi jipya la mashambulizi dhidi ya Iran ikiwa ni usiku wa tano mfululizo, huku Rais Donald Trump akiionya Tehran kwamba “ni vyema ikaishi kwa nidhamu”. Jeshi la Marekani limesema mashambulizi hayo yalilenga uwezo wa kijeshi wa Iran…