Category: Kimataifa
Marekani kuisaidia Ukraine kwa taarifa za kijasusi
Gazeti la The Wall Street Journal limeripoti kuwa Marekani inapanga kuipa Ukraine taarifa za kijasusi zitakazotumika kuratibu mashambulizi ya makombora ya masafa marefu dhidi ya miundombinu ya nishati ya Urusi. Kwa mujibu wa gazeti la The Wall Street Journal, maafisa…
Aliyekuwa Rais wa DRC Kabila ahukumiwa kifo kwa kosa la usaliti
Mahakama ya kijeshi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imemhukumu kifo aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Joseph Kabila, bila mwenye kuwepo, baada ya kumtia hatiani kwa makosa kadhaa mazito yakiwemo usaliti na uhalifu dhidi ya binadamu. Hukumu hiyo imetolewa…
Putin: Tunashinda vita vya haki nchini Ukraine
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema siku ya Jumatatu kuwa vikosi vya Urusi vinapata ushindi katika kile alichokiita “vita vya haki” nchini Ukraine. Putin alisema hayo kwenye video iliyochapishwa katika tovuti ya Ikulu ya Kremlin na kuongeza kuwa wapiganaji na…
Rais wa Madagascar aivunja serikali yake
Rais wa Madagascar Andry Rajoelina ameivunja serikali yake jana Jumatatu baada ya siku kadhaa za machafuko makubwa ambayo Umoja wa Mataifa umesema yalisababisha vifo vya watu 22. Rais Rajoelina alisema alipolihutubia taifa kwa njia ya televisheni kwamba ameamua kusitisha shughuli…
Ukraine haionyeshi nia ya kurejea kwenye mazungumzo na Urusi
Msemaji wa Ikulu ya Kremlin Dmitry Peskov amesema Kyiv haijawahi kuonyesha nia ya kurejea kwenye mazungumzo kati ya Urusi na wajumbe wa taifa hilo. Peskov alisema hayo katika mahojiano na Shirika la habari la serikali la Urusi RIA yaliyochapishwa siku…
Netanyahu kukutana na Trump huku ukosoaji ukimuelemea
Rais wa U.S Donald Trump anatarajiwa kukamilisha pendekezo la mpango wa amani wa Gaza anapokutana Jumatatu na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, huku Israel ikizidi kuishambulia Gaza City. Tawi hilo la kijeshi la Hamas kupitia Brigedi zake za Al-Qassam…