JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Waziri wa Cuba ajiuzulu baada ya kusema nchi haina ombaomba

Waziri wa Kazi wa Cuba Marta Elena Feitó Cabrera amelazimika kujiuzulu baada ya kutoa maoni ya kukanusha kuwepo kwa ombaomba katika kisiwa hicho kinachoongozwa na Wakomunisti. Waziri alikuwa amesema hakuna kitu kama “ombaomba” nchini Cuba na watu wanaopitia takataka walikuwa,…

China yaiunga mkono Iran dhidi ya uonevu

China itaendelea kuiunga mkono Iran katika kulinda mamlaka yake ya kitaifa na heshima, pamoja na kupinga siasa za ukuu na uonevu. Haya yamesemwa leo na waziri wa mambo ya nje wa China kwa mwenzake wa Iran. Katika taarifa iliyotolewa na…

EU yatangaza vikwazo vipya dhidi ya Urusi

UMOJA wa Ulaya (EU) unatarajiwa kuidhinisha awamu mpya ya vikwazo dhidi ya Urusi ikiwa ni hatua nyingine ya kushinikiza Kremlin kusitisha uvamizi wake dhidi ya Ukraine. Hatua hiyo imecheleweshwa kwa zaidi ya mwezi mmoja kutokana na upinzani kutoka Slovakia, ambayo…

Umri wa kunywa pombe kuongezwa Kenya hadi miaka 21

Mamlaka ya Kitaifa ya Kampeni dhidi ya Matumizi Mabaya ya Pombe na Dawa za Kulevya (NACADA) inapanga kutekeleza sheria kali zaidi kuhusu uuzaji na unywaji wa pombe na dawa za kulevya. Sera ya taifa hilo ya kudhibiti matumizi haramu ya…

Urusi: Tumekiteka kijiji kingine Ukraine

Urusi imesema imekiteka kijiji kingine magharibi mwa mkoa wa Donesk nchini Ukraine Jumapili 13.07.2025 wakati vikosi vyake vikiendelea kupata mafanikio na kusonga mbele kuelekea katika mkoa jirani wa Dnipropetrovs. Wizara ya Ulinzi ya Urusi imekitaja kijiji hicho kuwa ni cha Myrne…

Jaji azuia utawala wa Trump kuwakamata ‘kiholela’ wahamiaji

Jaji wa California ameamuru utawala wa Trump ukomeshe kuwazuia ‘kiholela’ watu wanaodhaniwa kuwa nchini Marekani kinyume cha sheria. Uamuzi huo ulitolewa katika amri ya zuio la muda iliyotolewa dhidi ya serikali siku ya Ijumaa, ambayo pia inazuia maafisa wa uhamiaji…