JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Zaidi ya bil.127.7/- zatumika kufikisha nishati vijijini Mwanza

📌Wabia wa Maendeleo waipongeza Tanzania kufikisha umeme Vijijini 📌Wananchi watakiwa kulinda miundombinu ya umeme Zaidi ya shilingi bilioni 127.7 zimetumika kupeleka huduma ya nishati safi Vijijini Mkoa wa Mwanza hali iliyochochea ukuaji wa uchumi na kuboreka kwa huduma za kijamii…

Mwenge wa Uhuru kupitia miradi 68 ya bilioni 263.1/- Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo JUMLA ya miradi 68 yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 263.1 mkoani Pwani inatarajiwa kupitiwa na Mwenge wa Uhuru katika wilaya saba zenye halmashauri tisa. Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge, alisema…

Equinor yafanya ziara Bandari ya Mtwara kutathmini utayari wa mradi wa LNG

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Kampuni ya Equinor kutoka Norway, ambayo ni miongoni mwa makampuni yanayotarajiwa kuwekeza katika mradi wa gesi asilia (LNG), imefanya ziara katika Bandari ya Mtwara kujionea maboresho yanayoendelea kufanyika katika bandari hiyo kwa ajil ya utayari…

HESLB yazindua Kampeni ‘Kiduchu fresh tunasonga mbele’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu (HESLB) ambao tayari wamehitimu vyuo vikuu wameshauriwa kuanza kurejesha mikopo yao kidogo kidogo ili kutoa nafasi kwa wanafunzi wengine wenye uhitaji kupata fursa ya kusoma. Wito huo…

TANESCO yatoa zawadi ya majiko kwa walimu wa sekondari wasichana Manyara

📌Ni katika Kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa umeme 📌Waishukuru TANESCO kwa zawadi hiyo, wapongeza kazi kubwa inayofanywa na Shirika 📌Waahidi kwenda kuwa mabalozi wazuri wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Umeme Na. Mwandishi Wetu, Manyara Katika Kuhamasisha…

Prof. Shemdoe awataka ma RC, ma DC kupunguza magari kwenye ziara

Na OWM – TAMISEMI, Bahi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini kutekeleza maelekezo ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan…