JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Samia azindua Tume Huru ya Uchunguzi uvunjifu wa amani Oktoba 29

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, katika hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma…

BoT yaongeza msukumo kwenye urasimishaji wa huduma ndogo za fedha

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeendelea kuhimiza urasimishaji wa vikundi vya huduma ndogo za fedha (VICOBA) kama njia ya kuhakikisha usalama wa fedha na uwazi wa shughuli za vikundi. Wataalamu wa benki hiyo wameeleza kuwa urasimishaji unaweza…

CRDB Al Barakah Sukuk yavutia zaidi ya wawekezaji 1,000 kukusanya shilingi bilioni 125.4 na dola milioni 32.3

*Ni mafanikio ya asilimia 646 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Benki ya CRDB imetangaza mafanikio ya kihistoria pamoja na kuiorodhesha rasmi hatifungani yake inayofuata misingi ya sharia ya dini ya Kiislamu ‘CRDB Al Barakah Sukuk’ katika Soko la Hisa…

Serikali kupanua uwekezaji wa viwanda vya dawa na vifaa tiba

Serikali kupitia Wizara ya Afya imedhamiria kuendelea kufungua milango zaidi ya uwekezaji wa viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini ili kuongeza uzalishaji wa bidhaa za afya na kupanua soko ndani na nje ya Tanzania. Kauli hiyo ilitolewa na Waziri…

Jenista Mhagama amkabidhi nyaraka Waziri Mchengerwa

Na WAF, Dodoma Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Novemba 19, 2025 amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama. Tukio la makabidhiano ya ofisi limefanyika katika Ofisi za Wizara ya Afya Mtumba, Jijini Dodoma. Waziri…