Category: MCHANGANYIKO
Prof. Silayo aaga AFWC25, atoa wito wa mageuzi makubwa
Na Mwandishi Wetu, Banjul BANJUL, Gambia — Afrika imeanza sura mpya ya mageuzi katika sekta ya misitu na wanyamapori baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Misitu na Wanyamapori Afrika (AFWC25), Prof. Dos Santos Silayo, kukabidhi rasmi uenyekiti kwa Mr. Ebrima…
Wazee mkoani Pwani waunga mkono hotuba ya Rais Samia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Wazee wa Mkoa wa Pwani wametoa rai kwa vijana kujitambua, kuishi kwa maadili na kuendeleza uzalendo wa kweli kwa kuitetea nchi yao kupitia njia halali zinazojenga heshima. Aidha, wamesisitiza wataendelea kuwa sauti ya hekima na…
DPP yaondoa mashtaka ya uhaini kwa Niffer, Chavala
Mamlaka ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) imetumia uwezo wake wa kisheria kuiandikia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuondoa mashtaka ya uhaini yaliyokuwa yakiwakabili Mfanyabiashara Jenifer Jovin (Niffer) na Mwanataaluma wa Habari, Mika Chavala. Wakili wa Serikali Titus Aron aliieleza Mahakama…
Rais Dkt. Samia akutana na Naibu Mwenyekiti wa Biashara wa Jumuiya ya Madola na Baraza la Uwekezaji Ikulu jijini Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Naibu Mwenyekiti wa Biashara wa Jumuiya ya Madola na Baraza la Uwekezaji (CWEIC) Lord Hugo Swire, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Desemba,…





