Category: MCHANGANYIKO
Ndejembi : Gharama za umeme hazijapanda kwa miaka 10
Lengo ni Wananchi wamudu gharama za matumizi ya umeme Na Mwandishi Wetu, Dodoma Licha ya kuongezeka kwa gharama za vifaa vya umeme ikiwemo nguzo, waya na mita, Serikali imeendelea kuhakikisha gharama za matumizi ya umeme kwa wananchi hazipandi kwa kipindi…
TRA :Makampuni 300 kuunganishwa na mfumo wa IDRAS
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema zaidi ya makampuni 300 yataunganishwa na mfumo wa mfumo wa kisasa wa usimamizi wa kodi za ndani ujulikanao kama “Integrated Domestic Revenue Administration System (IDRAS)” na kutatua kero mbalimbali…
Tanzania, Marekani kushirikiana kukuza teknolojia na utafiti wa madini
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Tanzania na Marekani zimeeleza dhamira yao ya kuimarisha ushirikiano wa muda mrefu katika sekta ya teknolojia na madini, hususan katika utafiti wa Madini ya Kinywe, wakibainisha kuwa ushirikiano huo utanufaisha pande zote mbili kiuchumi na kiteknolojia….
FCC, ZFCC zaendelea kutekeleza MOU kwa vitendo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, amefanya ziara ya kikazi katika Tume ya Ushindani Halali wa Biashara Zanzibar (ZFCC) ikiwa ni hatua ya kuimarisha mashirikiano kati ya taasisi hizo mbili…
AQRB yazikabidhi shule zawadi zao za insha 2024/25
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro BODI ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi ( AGRB) imekabidhi zawadi za zaidi ya Sh.milioni 6.8 kwa washindi wa shindano la Insha kwa mwaka 2024/25 huku ikiwataka wanafunzi kusoma zaidi masomo ya sayansi…
Katambi akutana na uongozi wa Kampuni ya Condor kutoka Brazil
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi akizungumza na Wawakilishi wa Kampuni ya Condor, kutoka nchini Brazil, ambapo walijadiliana masuala mbalimbali yanayohusiana na kudhibiti uhalifu, ambapo nchi mbili hizo, Tanzania na Brazil walibadilishana uzoefu katika masuala ya udhibiti…





