Category: MCHANGANYIKO
Yawataka maofisa afya mikoa yote kuongeza kasi katika afua za afya na usafi wa mazingira
SERIKALI imewataka Maofisa afya katika mikoa na halmashauri zote nchini kuongeza kasi ya utekelezaji wa afua za afya na usafi wa mazingira ili kuhakikisha Tanzania inafikia lengo la kutokuwa na kisa hata kimoja cha ugonjwa wa kipindupindu. Hayo yamesemwa na…
Miaka 100 tangu Bunge lianze, Spika asema kuna mengi ya kujivunia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amesema kuwa katika kipindi cha takribani miaka 100 tangu Bunge lianze kufanya kazi, kuanzia enzi za ukoloni, kuna mambo mengi yamefanyikao,…
Naibu Waziri Mahundi : Malezi bora ni uwekezaji wa kizazi na maendeleo ya taifa
Na Jackline Minja, WMMJW Mtwara Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, amesisitiza umuhimu wa malezi na makuzi bora kwa watoto, akieleza kuwa ndiyo msingi wa kujenga kizazi chenye maadili, afya njema,…
Makamu wa Rais afanya mazungumzo na Balozi Meja Jenerali Gaguti
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi Mteule wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Balozi Meja. Jen. Marco Elisha Gaguti, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo…
Waziri Mkuu : Serikali kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeweka mkakati wa kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na miradi inakamilika kwa wakati. Akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Sokoine, wilayani…





