Category: MCHANGANYIKO
Jaji Mkuu Masaju kuzindua kitabu cha Ushairi cha Wakili Msomi Aisha Kingu Jumapili
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mwandishi wa vitabu na mshairi Aisha Kingu ambaye pia ni Wakili Msomi, anatarajia kuzindua kitabu chake cha sita kiitwacho ‘Sing Gratitude’, kinacholenga kuhamasisha jamii kujenga utamaduni wa shukrani unaochochea mabadiliko chanya katika maisha jamii….
Dodoma yapongezwa kwa mpango wa kupeleka walimu Korea Kusini
*Global Education Link yawatoa hofu walimu, yahakikisha visa na maandalizi ya safari Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI, Profesa Riziki Shemdoe, ameipongeza Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa kuandaa mpango wa…
Waziri Mkuu: Serikali yaendelea kuhakikisha mafuta hayaadimiki nchini
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini unaendelea kuwa wa uhakika na bidhaa hiyo haiadimiki. Akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Janeth Mahawanga Bungeni jijini Dodoma, aliyetaka kujua hatua zilizochukuliwa…
Vyuo 263 vya ufundi kusajiliwa kuongeza fursa za mafunzo ya ufundi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dosoma WIZARA ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imepanga kuimarisha elimu ya ufundi na mafunzo ya stadi za kazi kwa kutangaza mpango wa kusajili jumla ya vyuo 263 vya mafunzo ya ufundi stadi. Hatua hiyo inalenga kupanua wigo…
IPI yawateua mabalozi 500 wa kuitangaza amani ndani na nje ya nchi
Na Theophilida Felician, JamhuriMedia Taasisi ya International Peace information (IPI) imewateua mabalozi wa amani watakaofanya kazi yakuitangaza amani nchini na nje ya nchi. Akizungumza hayo na Jamhuri Digital juzi makao makuu ya IPI yaliyopo mkoani Dar es salaam Rais wa…
EWURA CCC Kagera yafanikiwa kuwafikia wananchi 1134
Na Theophilida Felician, JamhiriMedia, Kagera Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji EWURA CCC Mkoa Kagera limefanikiwa kuwafikia wananchi 1143 katika suala zima la kuwapatia elimu ya huduma hizo. Ameitoa kauli hiyo afisa mwandamizi wa baraza…





