JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Samia : Kilichotokea Oktoba 29 ni janga na doa kubwa kwa Taifa letu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amepokea rasmi Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Ghasia na Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Tukio…

Tanzania yatoa wito kwa EAC kuimarisha ushirikiano katika ulinzi na usimamizi wa maliasili

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa wito kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuimarisha zaidi ushirikiano wa kikanda katika kulinda na kusimamizi endelevu wa mazingira na maliasili, ikisisitiza umuhimu wa jitihada za pamoja   katika kukabiliana na changamoto zinazoendelea…

Silinde azindua Baraza la Sita la wafanyakazi NIRC, ahimiza uwajibikaji

📍NIRC Dodoma Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde, amezindua Baraza la Sita la Wafanyakazi la Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), huku akitoa wito kwa watumishi wa Tume hiyo kudumisha umoja na kutokubali kukatishwa tamaa na sauti chache za…

Kiwanda cha kuchakata madini chumvi mbioni kukamilika Lindi

*Wadau wa chumvi kuanza kuuza chumvi iliyochakatwa *Zaidi ya tani 60 hadi 100 kuchakatwa kwa mwezi *Wazalishaji wa chumvi waipongeza serikali kwa utatuzi wa changamoto Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika juhudi za kuendeleza na kuboresha uzalishaji wa madini chumvi…

Rais Samia : Mimi ni yuleyule wa falsafa ya maridhiano 4R, ninachohitaji ni ushirikiano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye ndiye yuleyule na hajabadilika kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakidai kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii. Amesema bado ni kiongozi anayeamini katika falsafa ya maridhiano kama ilivyokuwa…