Category: MCHANGANYIKO
Tanzania, Uganda zasaini makubaliano kuimarisha ushirikiano wa kimkakati reli ya SGR
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Uganda zimeendelea kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na kiuchumi kufuatia kusainiwa kwa Hati ya Makubaliano (MoU) wakati wa Mkutano wa Tano wa Tume ya Pamoja ya Kudumu (JPC) uliotamatika…
Prof. Shemdoe, Balozi wa Tanzania Ufaransa wajadili mikakati kuvutia uwekezaji Bonde la Msimbazi
Na OWM – TAMISEMI, Ufaransa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amekutana na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe.Ali Mwadini, kujadili mikakati ya kuvutia na kutafuta wawekezaji katika eneo la Bonde la Msimbazi…
Serikali yasisitiza utekelezaji asilimia 30 ya zabuni kwa makundi maalum
Na Oscar Tarimo, WMJJWM, Morogoro Serikali imeendelea kusisitiza utekelezaji wa kutenga asilimia 30 ya zabuni za umma kwa makundi maalum ili kuongeza ushiriki wa makundi hayo katika shughuli za kiuchumi na kuchochea maendeleo jumuishi nchini. Akizungumza leo tarehe 13 Machi…
Dk Dimwa : Awataka UVCCM kwenda na wakati sayansi na teknolojia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohamed Said Dimwa, ameitaka Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kuendeleza utamaduni wa kuwajengea uwezo wa kitaaluma na kiuongozi vijana ili kuandaa kizazi cha viongozi na watendaji bora wa…





