JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mradi wa DMDP II kujenga kilomita 42.78 za lami Kigamboni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza kutekeleza ujenzi wa barabara Kilomita 42.78 kwa kiwango cha lami kupitia mradi wa Uendelezaji Jiji la Dar es Salaam Awamu ya Pili…

Naibu Waziri wa Nishati akabidhi vitendea kazi TANESCO Mkoa wa Shinyanga

📌Ni katika muendelezo wa mkakati wa shirika wa kuwahudumia wananchi kwa ufanisi 📌Awasihi wananchi kutumia nishati safi umeme kupikia Na Mwandishi Wetu, Kahama Naibu Waziri wa Nishati Mh. Salome Makamba amekabidhi vitendea kazi vya usafiri kwa TANESCO Mkoa wa Shinyanga…

Tanzania na Israel zaimarisha ushirikiano katika sekta za kilimo na afya

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema Israel imekuwa mshirika muhimu katika sekta mbalimbali nchini, ikiwemo kilimo, afya, ulinzi na usalama, hali inayochangia kuimarika kwa ushirikiano wa muda mrefu kati ya nchi hizo mbili. Waziri wa Mambo ya Nje…

Waandishi wa habari wakamatwa kwa amri ya DC Arusha

Mwandishi Wetu,Karatu Watangazaji wawili wa kituo cha Lumeni Radio cha Karatu, Mkoa Arusha,Nobert Hongoli na Wolter John Mbaga (Mhariri) wamekamatwa na kuwekwa rumande kwa amri ya mkuu wilaya hiyo Lameck Karanga. Watangazaji hao wamekamatwa leo Machi 27,2026 asubuhi baada ya…