Category: MCHANGANYIKO
TANESCO yaendelea kuwaelimisha wanaofanya shughuli za kiuchumi kwenye miundombinu ya umeme
📌Ni katika muendelezo wa ukaguzi wa miundombinu ya umeme Dar es salaam 📌Yatoa rai kwa wananchi kuondoka kwa ajili ya usalama wa maisha na mali zao Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kuwasisitiza wananchi wanaofanya shughuli zao za kiuchumi katika…
Dodoma yaunga mkono mfuko wa matibabu ya Figo,Uroto wa BMH
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI mkoani hapa imewahamasisha Watanzania na wadau mbalimbali wa maendeleo kujitokeza kuchangia Mfuko wa Kusaidia Matibabu ya Figo na Uroto ulioanzishwa na Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) kwa lengo la kusaidia wagonjwa wenye uhitaji wa huduma…
Serikali kukamilisha maboresho ya Sheria ya Elimu ifikapo 2027
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI imeeleza dhamira yake ya kuhakikisha mchakato wa kufanya maboresho ya Sheria ya Elimu unakamilika ifikapo mwaka 2027 ili kuifanya iendane na mahitaji na mabadiliko ya sasa katika sekta ya elimu nchini. Kauli hiyo imetolewa Leo…
Rio Ferdinand avutiwa na utalii Serengeti, afurahishwa na utalii wa puto
Nyota wa zamani wa Klabu ya Manchester United na timu ya Taifa ya England, Rio Ferdinand akiwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda, wamepata nafasi ya kufanya utalii wa puto katika Hifadhi ya Taifa ya…
Wanasiasa wapewa wito kuwa mabalozi bora wa mahusiano baina ya serikali na jamii
Na Mwandishi Wetu – ORPP, Morogoro Wanasiasa waombwa kuwa mabalozi wazuri wa mahusiano baina ya Serikali na makundi mbalimbali ya kijamii katika kuimarisha mshikamano, amani, haki,upendo na utulivu katika kuendeleza umoja wa kitaifa na ustawi wa jamii. Rai hiyo imetolewa…





