Category: MCHANGANYIKO
Prof. Mkenda atangaza fursa za ufadhili kwa programu za uzamili katika sayansi na akili unde data
▪︎ Asisitiza Vijana kuomba udahili na ufadhili* ▪︎ Asisitiza Uwazi na Ushindani* Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametangaza rasmi kutolewa kwa ufadhili kupitia Samia Scholarship Exender AI/DS wa masomo ya Uzamili (Masters) katika Sayansi ya Data,…
Vijana kuwania kitita cha milion 50/- shindano la ‘Vijana Uchumi Challenge’
Ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana,Dk. Joel Nanauka, amewataka vijana nchini kuchangamkia fursa za kiuchumi na kuwa tayari kushiriki shindano jipya la kitaifa la “Vijana Uchumi Challenge.” Akizungumza na Waandishi…
Naibu Waziri Regina Ndege awajengea uwezo askari wanawake Manyara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Manyara Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Regina Ndege amewataka askari wanawake wa vyombo vya ulinzi na usalama wa mkoa wa Manyara, kuchangamkia fursa mbalimbali za kiuchumi…
Dk Mwigulu: Tunafuatilia kwa umakini suala la mafuta
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania kuendelea kuwa watulivu na kwamba Serikali inafuatilia kwa karibu na kwa umakini suala la mafuta na kuhakikisha yanaendelea kupatikana nchini ili shughuli za uzalishaji na usafirishaji zisiathirike. Amesema kuwa suala la upatikanaji wa…
Amani ni msingi wabutalii, Malecela awataka wananchi kuilinda ili kukuza sekta ya utalii
Na MwandishiWetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro MAKAMU wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, John Samuel Malecela amesema kuwa, swala la Utalii kokote Duniani linaenda sambamba na swala la Amani na Utulivu na kuwaomba wananchi kuhakikisha wanalinda Amani ili kukuza Utalii nchi na…
Tanzania yaweka historia nyingine
-Rais Samia azindua minara 758 kuimarisha Mawasiliano Na Byarugaba Innocent, ORMV Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Aprili 10,2026 amezindua Minara 758 maunganisho ya Mkongo wa Mawasiliano katika Wilaya 85 na makabidhiano ya Mkongo wa Mawasiliano…





