JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Nishati safi ya Rafiki Briquettes iwafikie Watanzania wote -Balozi Kingu

📌Uzalishaji wa Rafiki briquettes uende sambamba na uzalishaji wa majiko banifu 📌STAMICO waahidi kuongeza uzalishaji na upatikanaji wa nishati safi nchini 📍Kisarawe – Pwani Watanzania wametakiwa kuendelea kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu…

Watendaji wa Uchaguzi Peramiho watakiwa kuvishirikisha vyama vya siasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Watendaji wa uchaguzi wametakiwa kuvishirikisha kwa ukaribu vyama vya siasa vyenye usajili kamili katika hatua zote za mchakato wa uchaguzi katika maeneo yao ili kurahisisha utekelezaji wa majukumu. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Huru…

Dk Gwajima ataka kasi utekelezaji wa MTAKUWWA II

Na Abdala Sifi- WMJJWM Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameitaka Sekretarieti ya Uratibu wa Mpango wa Kitaifa wa Kupinga Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA II) kuongeza kasi ya…

FCT yaendelea kuwawezesha wadau Arusha kupitia mfumo wa kielektroniki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Baraza la Ushindani (FCT) limewahimiza wadau na wafanyabiashara mkoani Arusha kutumia kikamilifu mfumo wa usajili wa mashauri kwa njia ya kielektroniki (e-filing), lengo likiwa ni kuongeza ufanisi na kupunguza gharama katika uwasilishaji wa mashauri. Akizungumza…

CTI : Ushirikiano na Serikali umetatua changamoto za wenye viwanda

Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Nchini (CTI), limesema ushirikiano mzuri baina ya serikali na shirikisho hilo umechangia kwa kiwango kikubwa kutatua changamoto mbalimbali zzilizokuwa zikiwakabili wenye viwanda. Hayo yamesemwa na Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho…

Bima ya afya kwa wote yaanza rasmi, serikali yawaondolea wananchi mzigo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Hatimaye wananchi waliokuwa wakihofia gharama kubwa za matibabu wanaanza kuona mwanga, baada ya Serikali kutangaza kuanza kwa awamu ya kwanza ya utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote, mpango unaolenga kulinda haki ya msingi ya…