JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ushirikiano wa kimataifa waibua matumaini kwa wagonjwa wa moyo JKCI

Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeendelea kuimarisha huduma za matibabu kwa wagonjwa wenye matatizo ya moyo kupitia ushirikiano wa kimataifa unaolenga kubadilishana uzoefu na ujuzi na wataalamu kutoka mataifa mbalimbali yaliyobobea katika…

Bilioni 1.3/- kutekeleza miradi ya mabadiliko ya tabianchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI imesema inatarajia kutekeleza mradi wa kuimarisha utayari wa Zanzibar kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi wenye thamani ya Dola za Kimarekani 500,000 (shilingi bilioni 1.3). Ilisema fedha zitakazotumika kutekeleza mradi huo ni kutokana…

Serikali yajipanga kuwafikia wanawake wengi zaidi kiuchumi

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema Serikali inachukua hatua katika kuimarisha uwezeshaji wanawake kiuchumi pamoja na kuongeza uelewa kuhusu mifuko ya maendeleo inayowanufaisha wanawake. Akizungumza juzi bungeni…

Wanne mbaroni kwa tuhuma za mauaji ya mwafunzi wa Chuo cha IFM

Jeshi la Polisi Kanda Maalum  Dar es Salaam linaendelea kupeleleza kwa uzito mkubwa tukio la  mauaji ya  ya mtu aliyetambulika  kwa jina la James Rogers  Temba mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo cha IFM Dar es Salaam ambaye mwili…