Category: MCHANGANYIKO
Siku 100 za Dkt Samia Kata ya Kigogo kutekeleza ugawaji bima za afya kwa wazee
Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Diwani wa kata ya Kigogo Manispaa ya Kinondoni Nasibu Limira amesema kuwa ndani ya siku 100 ya Dkt.Samia Suluhu Hassan anaendelea kusimamia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika Sekta ya afya, elimu na miundombinu….
Millya atembelea kituo cha utoaji huduma kwa pamoja cha Namanga
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki Mhe. James Kinyasi Millya (Mb.) ametembelea Kituo cha Utoaji Huduma kwa Pamoja Mpakani ( One Stop Boarder Post-OSBP ) cha Namanga kilichopo mkoani Arusha Januari 24,2026. Akitembelea kituoni hapo,…
Nanauka : Vijana ondokeni kwenye uchuuzi, njooni kwenye uzalishaji
Na Mwandishi Wetu Serikali imeendelea kusisitiza dhamira yake ya dhati katika kuwawezesha vijana kiuchumi kwa kuweka mikakati madhubuti itakayowainua kutoka kwenye uchuuzi wa mitaani na kuwa wazalishaji wakubwa na wamiliki wa biashara endelevu. Kupitia mpango wa Maeneo Maalumu ya Kiuchumi…
Rais Samia ameimarisha uchumi Geita kupitia ujenzi wa barabara -Prof. Shemdoe
Na Mwandishi Wetu, Geita WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuidhinisha Shilingi 1,035,047,200 za ujenzi wa dharura wa barabara ya Kasamwa- Gamashi yenye urefu wa kilomita 18,…
Mkurugenzi Mkuu NSSF aongoza kampeni ya elimu na uandikishaji Mabibo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kutoa elimu ya hifadhi ya jamii na kuandikisha wanachama wapya kupitia kampeni ya NSSF Staa wa Mchezo Paka Rangi, ambapo Mkurugenzi Mkuu wa NSSF,…





