JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Simbachawane : Maandamano yanayohamasishwa kufanyika Desemba 9 ni haramu haramu

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Mambo ya ndani, George Boniface Simbachawene amesisitiza kuwa maandamano yanayohamasishwa kufanyika kesho Jumanne Desemba 09, 2025 ni haramu na yatadhibitiwa na vyombo vya ulinzi na usalama ikiwa yatafanyika, akitaka wote wanaotaka kuandamana kufuata sheria na…

Dk Mwigulu : Wafanyabiashara wasinyang’anyqe bidhaa zao

WAZIRI Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa maagizo kwa viongozi wa majiji na halmashauri zote nchini kuhakikisha wafanyabiashara hawanyang’anywi bidhaa zao na badala yake wawaelekeze namna bora ya kufuata taratibu zilizowekwa. “…Msichukue bidhaa za raia; hizo ndio ofisi za raia wetu,…

Tanzania na Marekani zasonga mbele kukamilisha makubaliano makubwa ya uwekezaji

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo amefanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andrew Lentz, katika Ikulu ya Chamwino, kujadili maeneo muhimu ya ushirikiano na kuimarisha dhamira ya pamoja ya kujenga…

TAFORI yashiriki Mkutano Mkuu wa CITES 2O25 nchini Uzbekistan

Samarkand, Uzbekistan. Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) imeshiriki kikamilifu katika Mkutano wa 20 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Kimataifa wa Biashara ya Wanyamapori na Mimea iliyohatarini kutoweka (_Convention on International Trade in Endangered Species of wild Fauna…

Waziri Kombo awasilisha taarifa ya ufafanuzi kwa Kamati ya CMAG kufuatia vurugu za Oktoba 29, 2025

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amewasilisha taarifa ya ufafanuzi kwa Kamati ya Mawaziri wa Jumuiya ya Madola Wanaosimamia Utekelezaji wa Tunu za Jumuiya hiyo (Commonwealth Ministerial Action Group-CMAG) kufuatia…

Ushindi wa Tanzania kwenye tuzo za utalii duniani ni chachu ya kuendelea kutangaza mazao mapya Ngorongoro

Baada ya Tanzania kutajwa na mtandao wa World Travel Awards kama nchi inayoongoza kwa Utalii wa Safari mwaka 2025 imekuwa ni chachu ya kutangaza mazao mapya ya Utalii katika soko la Dunia yanayopatikana ndani ya hifadhi ya Ngorongoro. Kamishna Msaidizi…