Category: MCHANGANYIKO
TANFORD kufungua milango kwa wafanyabiashara kimataifa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam TANZANIA Freight Forwarders Representation in Dubai @tanfordhub (TANFORD) imeandaa kongamano la siku mbili linalotarajia kufanyika Umoja wa Nchi za Kiarabu, Dubai ikiwa na lengo la kuinadi Tanzania katika masoko ya kimataifa na kufungua fursa…
Profesa Lipumba: Watanzania tusibaguene kwa dhana ya idini, Uzanzibari, wala Utanganyika
Na Mwandishi wetu,JamhuriMediaDar es salaam Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF)Taifa Profesa Ibrahim Lipumba ametoa Wito kwa wanachama wa Chama hicho pamoja na Wananchi kwa ujumla kuacha kubaguana kwa dhana ya udini, Uzanzibari na Utanganyika. Profesa Lipumba amesema hayo Januari…
Shabiki mashuhuri duniani wa klabu ya soka ya Manchester atua Hifadhi ya Taifa ya Serengeti
Shabiki mashuhuri duniani wa klabu ya soka ya Manchester City ya Uingereza Braydon Bent atua Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na kuanza ziara ya ‘ki-Royal Tour’ hifadhini humo leo tarehe 28. Januari, 2026.
Serikali yakabidhi vitendea kazi vyenye thamani ya bilioni 23.4 kwa miradi ya umwagiliaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imekabidhi vitendea kazi vyenye thamani ya shilingi bilioni 23.4 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Umwagiliaji , huku Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) ikipongezwa kwa kazi kubwa inayofanya kuhakikisha sekta ya Umwagiliaji…
Msajili wa Hazina azindua Mpango Mkakati wa NMB 2026–2030
Na Mwandishi wa OMH Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka 2026 hadi 2030 (Agenda 2030). Akizungumza wakati wa uzinduzi huo unaolenga kuboresha utendaji kazi wa benki hiyo,…
Mke wa rais wa zamani wa Korea Kusini afungwa jela miezi 2
Mke wa rais wa zamani wa Korea Kusini aliyeondolewa madarakani amehukumiwa kifungo cha miezi 20 jela kwa kupokea rushwa kutoka kwa Kanisa la Unification lenye utata. Hata hivyo, mahakama ilimsafisha Kim Keon Hee mwenye umri wa miaka 52 kwa mashtaka…





