JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kufufuliwa kwa reli ya TAZARA, ujenzi wa reli kusini utaleta mageuzi makubwa kiuchumi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kufufuliwa kwa Reli ya TAZARA, ujenzi wa reli ya kusini Mtwara -Mbamba bay) utaleta mageuzi makubwa ya kiuchumi kwa mikoa ya Kusini na…

Bilioni 51/- za mradi wa TACTIC kuongeza thamani ya Jiji la Mbeya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Mradi wa Uendelezaji Miji Tanzania (TACTIC) unatekeleza miradi yenye thamani ya Shilingi Bilioni 51 katika halmashauri ya jiji la Mbeya ikiwa ni uendelezaji wa jiji hilo katika eneo la miundombinu ya barabara, masoko na stendi….

Wajasiriamali waliomba dawati maalum la uwezeshaji TRA kuwa mwarobaini wa kero zao

Na Jovina Massano, JamhuriMedia, Musoma WAJASIRIAMALI mkoani Mara waiomba Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhakikisha wanatatua na kusikiliza kero pamoja na changamoto zao kupitia dawati maalum la uwezeshaji lililoanzishwa ili kushiriki kikamilifu katika ulipaji mapato. Wameyasema hayo wakati wa hafla…

‘Dk Ndumbaro anapaswa kupewa mitano tena ili amalizie miradi aliyoianzisha’

Uzinduzi wa kampeni Jimbo la Songea mjini. Na Cresensia Kapinga, Jamuhuri ,Songea. Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Afya na maswala ya Ukimwi ya Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Elibariki Kingu amemuombea kura mgombea wa nafasi ya Rais…

Samia ahitimisha kampeni kwa kishindo Kigoma

*Mikataba ujenzi wa kiwanda cha meli waanza*Umeme wafika vijiji vyote, SGR kupaisha uchumi*Ujenzi wa barabara lami kubaki historia*Fidia ujenzi uwanja wa ndege kulipwa haraka Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Mgombe urasi wa Chama cha Mapinduzi Samia Suluhu Hassan amesema ahadi…