JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Kijaji : Tujali utu wa Mtanzania

Na Saidi Lufune, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dk. Ashatu Kijaji (Mb), amewataka watumishi wa wizara na taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kuhakikisha wanazingatia maslahi na utu wa Mtanzania wanapotoa huduma kwa wananchi. Dk. Kijaji ameyasema…

Mavunde: Tusimamie vyema rasilimali madini kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu

▪️Ni utekelezaji wa maagizo ya Mh Rais Samia juu ya Utekelezaji wa miradi kupitia rasilimali za nchi ▪️Asema Mradi wa Kuwaendeleza Wachimbaji Vijana, Wanawake Utatekelezwa* ▪️Dkt. Kiruswa – Matamanio ni kufikia Asilimia 15- 20 Mchango Pato la Taifa* ▪️Katibu Mkuu…

Uchunguzi wabaini kifo cha MC Pilipili kimetokana na kipigo

Kaka wa marehemu Emmanuel Mathias, maarufu kama MC Pilipili, amesema matokeo ya uchunguzi wa awali yanaonyesha kwamba kifo cha mdogo wake kilisababishwa na kupigwa na watu wasiojulikana, tukio lililompelekea kujeruhiwa vibaya na hatimaye kupoteza maisha. Aidha, amesema familia imepokea taarifa…

Watu 200 wafanyiwa uchunguzi wa kisukari bure hospitali ya Shifaa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam ZAIDI ya watu 200 wamenufaika na uchunguzi wa kisukari bure uliofanywa na hospitali ya Shifaa ya Kinondoni jijijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya kisukari duniani Hayo yamesemwa…

Waziri Gwajima ataka kasi zaidi

Na Abdala Sifi WMJJWM- Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amewataka watumishi wa Wizara hiyo kuongeza bidii na kasi zaidi kwenye kutimiza wajibu wao ili kuharakisha maendeleo ya jamii. Dkt Gwajima…