JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TARURA yaendelea kuboresha miundombinu ya barabara Dodoma

‎Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeendelea kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja katika jiji la Dodoma hatua inayolenga kuwa na miundombinu imara na salama kwa wananchi itakayoweza kihimili mabadiliko ya tabia nchi ikiwemo mvua za el-nino. ‎Hayo…

Tanzania yajipanga kuimarisha ushirikiano na Chuo cha Hanyang ERICA cha Korea Kusini

Na Benny Mwaipaja, Seoul, Korea Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameongoza Ujumbe wa Tanzania kutembelea Chuo Kikuu cha Hanyang ERICA, jijini Seoul nchini Korea Kusini, pembezoni mwa Mkutano wa Mawaziri wa Jukwaa la Ushirikiano wa Kiuchumi…

Naibu Katibu Mkuu ACT -Wazalendo Zanzibar aanza ziara Pemba

Pemba: Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Zanzibar, Omar Ali Shehe, ameanza leo ziara ya siku nne kisiwani Pemba, inayolenga kuimarisha shughuli za chama na kuongeza ufanisi wa kiutendaji katika ngazi za Mkoa na Majimbo. Ziara hiyo imeanza…

TMA yapongezwa kwa utabiri sahihi wa hali ya hewa

NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Mheshimiwa David Kihenzile, ameipongeza Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kuendelea kutoa utabiri wa hali ya hewa wenye usahihi wa zaidi ya asilimia 80, hatua inayosaidia Serikali na wananchi kuchukua tahadhari mapema dhidi ya…

Tanzania yazidi kuimarisha nafasi yake katika biashara ya umeme kikanda

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake katika biashara ya umeme kikanda, huku Mradi wa Kuunganisha Gridi za Umeme Tanzania na Zambia ukifikia asilimia 90 ya utekelezaji na kutarajiwa kukamilika Februari 2027, hatua itakayoiunganisha Tanzania na soko la…

Mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa kv 220 Iganjo–Saza kuimarisha upatikanaji umeme – Salome

📌 Ashuhudia utiaji saini mkataba wa utekelezaji wa mradi kutoka Iganjo, Mbeya hadi Saza, Songwe 📌 Mradi kutekelezwa kwa miezi 18 kwa gharama ya Shilingi Bilioni 198.67 Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema utekelezaji wa Mradi wa Njia…