JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TPC Ltd yawekeza bilioni 130 /-kuongeza thamani ya mazao ya kilimo

Na Mwandishi wa OMH, Moshi Kampuni ya TPC Limited imeingia katika hatua mpya ya mageuzi ya kiuchumi kufuatia uzinduzi wa mradi wa kimkakati unaolenga kuongeza thamani ya mazao ya kilimo, kupanua wigo wa viwanda na kuhamasisha ukuaji wa uchumi wa…

Waziri Ndejembi azungumza na menejimenti ya wizara hiyo

WAZIRI wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza na Menejimenti ya Wizara pamoja na Wakuu wa Taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Nishati mara baada ya uapisho uliofanyika Novemba 18, 2025. Kikao hicho kimefanyika Makao Makuu ya Wizara ya Nishati katika…

Dk Nchimbi awasili Zambia kumwakilisha Rais uwekaji jiwe la msingi uzinduzi wa ukarabati yeli ya TAZARA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Jijini Lusaka nchini Zambia leo Novemba 19, 2025. Makamu wa Rais anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika…

Waziri Mkuu azungumza na Mawaziri, Naibu Mawaziri na Makatibu wakuu

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, William Lukuvi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI, Profesa Riziki Shemdoe, Waziri wa…

CRDB Al Barakah Sukuk yaorodheshwa rasmi kwenye soko la hisa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya CRDB imeweka historia katika masoko ya mitaji nchini baada ya kuiorodhesha rasmi hatifungani yake ya Kiislamu ya CRDB Al Barakah Sukuk katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), hatua…