Category: MCHANGANYIKO
Samia asisitiza umuhimu wa kulinda haki za wafanyakazi na kuboresha maslahi yao
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kulinda haki za wafanyakazi na kuboresha maslahi yao ili kuongeza tija na maendeleo ya taifa. Akihutubia katika maadhimisho ya Siku…
Rais Samia ashiriki sherehe za Mei Mosi, asisitiza uwajibikaji, atambua mchango wa wafanyakazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo ameshiriki kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) zilizofanyika kitaifa mkoani Njombe, yaliyobeba kaulimbiu: “Kazi zenye Staha ni Nguzo Imara kwa Maendeleo Endelevu katika…
Ofisi ya Msajili Hazina yashiriki maadhimisho Mei Mosi, yatoa wito kwa mashirika ya Umma kuongeza ufanisi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ofisi ya Msajili wa Hazina, Leo Ijumaa, Mei 1, 2026, imeshiriki kikamilifu maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika kimkoa katika viwanja vya Mnazi Mmoja, yakiongozwa na kauli mbiu isemayo “Kazi zenye staha…
Rais Samia apongeza tuzo za wafanyakazi bora, JOWUTA yawatunza waandishi sita
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Samia Suluhu Hassan, amepongeza wafanyakazi hodari ambao wamepata zawadi katika maadhimisho ya Siku ya wafanyakazi Duniani(Mei Mosi) 2026 huku Chama cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari (JOWUTA) kikitoa…
Ubalozi wa Tanzania Zimbabwe waadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanzania
Ubalozi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Zimbabwe waadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanzania katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Hyatt Regency Harare The Meikles. Katika hafla hiyo, Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Kamishna wa Polisi…
CCM yateua wawili kuwania udiwani Tabora
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora KIKAO cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Tabora kimepitisha majina ya makada wake wawili watakaopeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang’anyiro cha kuwania udiwani katika Kata za Itilo na Ziba. Akizungumza kwenye…





