Category: MCHANGANYIKO
Tamasha la Kahawa lawavutia watu maarufu wa Korea Kusini kutembelea Tanzania
Katika kuendeleza diplomasia ya utamaduni na kuthamini kahawa kama urithi wa pamoja, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuimarisha urafiki, maelewano na ushirikiano wa kudumu kati ya wananchi wa Tanzania na Jamhuri ya Korea, hatua inayolenga kufungua fursa zaidi za…
Wachimbaji watakiwa kujiunga WFC
Na Mwandishi wetu, Mirerani WACHIMBAJI wa madini nchini wametakiwa kuwalipia wafanyakazi wao asilimia 0.5 ya mishahara yao ili kuwachangia kwenye mfuko wa fidia kwa wafanyakazi utakaowanufaisha pindi wakipata madhila kupitia mafao saba. Mwakilishi wa Meneja mkuu wa mfuko wa fidia…
CCM yafichua vikao vya siri vya CHADEMA, yahofia njama za maandamano na vurugu
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo,amedai kuwa chama hicho kimepata taarifa zinazoonyesha kuwapo kwa vikao vya siri vinavyodaiwa kufanywa na baadhi ya viongozi wa…
Ofisi ya Waziri Mkuu na OMDTZ zaimarisha utayari wa jamii kukabiliana na mafuriko Dar
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na Taasisi OpenMap Development Tanzania (OMDTZ), kupitia mradi wa Ramani Zetu, Sauti Zetu imeendesha warsha ya kupitia na kuthibitisha Mipango ya Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa kwa kata…
Wizara ya Fedha yawakutanisha wadau wa ununuzi wa ugavi
Na Saidina Msangi, WF, Morogoro Wizara ya Fedha imewakutanisha wadau wa ununuzi na ugavi kutoka katika taasisi za umma nchini, katika kikao kazi cha uthibitisho wa Rasimu ya Mkakati wa Taifa wa Usimamizi wa Mnyororo wa Ugavi Endelevu (2026 –…
Dkt : Mwigulu: Serikali inathamini mchango wa sekta binafsi katika kuinua ubora wa elimu nchini
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuthamini na kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi katika sekta ya elimu kutokana na mchango wake mkubwa kwenye kuongeza ubora wa elimu na kuandaa rasilimali watu yenye maarifa, ujuzi na maadili yanayohitajika katika…





