Category: MCHANGANYIKO
Mbarawa : Serikali yawekeza trilioni 10.08 katika miradi 22 ya ujenzi, maboresho ya bandari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mnyaa Mbarawa, amesema Serikali ya Awamu ya Sita imewekeza zaidi ya shilingi trilioni 10.08 katika miradi 22 ya ujenzi, upanuzi na maboresho ya bandari kote nchini, ikiwa ni sehemu ya…
Vijana 5, 746 wachaguliwa kujiunga na mafunzo ya uanagenzi
Na: OWM (KAM) – Dodoma SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano imetangaza vijana 5,746 kujiunga na mafunzo ya uanagenzi ambayo yatawawezesha kupata ujuzi wa vitendo utakao wasaidia kushiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumi kwa kujiajiri…
Serikali yazindua mradi wa kurejesha rdhi Dodoma, Tanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WADAU wa Maendeleo wameombwa kuendelea kushirikiana na Serikali katika kubuni na kutekeleza miradi ya kukabiliana na uharibifu wa mazingira nchini unaochangia upotevu wa misitu. Wito huo umetolewa na Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu…
Mamia Kilimanjaro wajitokeza kupata vipimo na matibabu bila kumeza dawa wala sindano
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Mamia ya wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro wenye changamoto za kiafya leo wamejitokeza kupata elimu, kufanyiwa vipimo na baadhi kuanza kupata tiba bila kumeza vidonge wala kuchomwa sindano. Tiba hiyo, imetolewa katika eneo la Bomang’ombe…
REA yasaini mikataba ya trilioni 1.2 ya kusambaza umeme katika vitongoji 9,009
📌Wakandarasi wazawa wapewa kipaumbele 📌Wakandarasi watakiwa kufanya kazi kwa weledi, ubora na kasi 📌Watakiwa kuepukana na vitendo vya rushwa 📌Wahimizwa kufuata Sheria, Kanuni na Taratibu za Nchi 📍Dodoma Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imesaini mikataba 30 yenye thamani…





