Category: MCHANGANYIKO
Mvomero wapokea bilioni 1.1/- za kujenga shule mbili
•Prof. Shemdoe atoa wito kwa sekta binafsi kuwekeza katika ujenzi wa nyumba za watumishi Na. OWM–TAMISEMI, Mvomero Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la wananchi wa mvomero la kujengewa shule mbili za…
Masauni: Uhifadhi wa udongo ni msingi wa maendeleo endelevu
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inaendelea kuimarisha juhudi za kuhakikisha kuwa masuala ya uendelevu wa mazingira yanapewa kipaumbele katika ajenda ya maendeleo…
Bodi ya Nishati Vijijini Yaridhishwa na Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia Gereza la Manyoni
Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imeridhishwa na hatua, ubunifu na kasi ya mageuzi yanayotekelezwa na Gereza la Manyoni, mkoani Singida, katika kuachana na nishati isiyo safi na kuanza kutumia bidhaa na teknolojia za Nishati Safi ya Kupikia. Hayo yalisemwa Julai…
Tanzania yaenzi urithi wa Nelson Mandela, yaweka misisitizo kwa vijana
Tanzania imetumia maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela 2026 kusisitiza dhamira yake ya kuendeleza amani, umoja wa kitaifa, maridhiano na maendeleo jumuishi, huku ikiweka mkazo katika kuwawezesha vijana kama nguzo ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo…





