Category: MCHANGANYIKO
Dira ya Taifa ya 2050 kuikijanisha Tanzania
Na Mwanandishi Wetu, Morogoro WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Masauni amesema Usimamizi na uhifadhi wa mazingira hauwezi kufanikiwa kwa kauli au sera peke yake, bali kwa vitendo vinavyoonekana katika ngazi zote ikiwemo shughuli za…
Dk Mwigulu amuaga Mkurugenzi Mkazi wa WB
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Mei 17, 2026 ameshiriki katika hafla ya kumuaga aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia Kanda ya Malawi, Tanzania, Zambia na Zimbabwe, Nathan Belete, iliyofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam….
Tanzania yaunga mkono maazimio ya UN kutafuta amani ya kudumu mashariki ya kati
Na Mwandishi Wetu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza kuunga mkono kikamilifu maazimio yote ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) na jitihada za kimataifa zinazolenga kuleta amani ya kudumu katika ukanda wa Mashariki ya Kati…
Bodi EWURA yaridhishwa kasi ya ujenzi mradi wa bomba la mafuta ghafi la EACOP
BODI ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA) imesema imeridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), ikieleza kuwa kasi ya ujenzi ni dalili…
Wananchi Namtumbo, Songea na Mbinga waishukuru Caritas kwa kuwainua kiuchumi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Wananchi wa Wilaya za Namtumbo, Songea na Mbinga mkoani Ruvuma wameishukuru idara ya Caritas ya Jimbo Kuu Katoliki la Songea kwa mchango mkubwa wa kuwainua kiuchumi kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao….
Tanzania yasisitiza utekelezaji wa agenda mpya ya miji
Serikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kutekeleza Ajenda Mpya ya Miji (New Urban Agenda – NUA) pamoja na Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) kwa kuimarisha mipango ya Uendelezaji wa miji, huduma za msingi, uboreshaji wa miundombinu na makazi…





