JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Prof. Shemdoe apongeza mpango wa Mufti Bima Foundation kuwasaidia wananchi wasio na uwezo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amekutana na Naibu Mufti na Mjumbe wa Baraza la Ulamaa na Mkurugenzi wa…

TASAC yasitisha leseni za ICD na kufungia sita

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (TASAC) imesimamisha utoaji waleseni mpya za Bandari Kavu za Makontena (ICD) kufuatia kuongezeka kwa malalamiko ya wananchi kuhusu vituo hivyo vinavyoanzishwa katikamaeneo ya mijini na kusababisha ongezeko la…

BoT yawataka wasanii kuwa mabalozi wa elimu ya fedha

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kuwa mabalozi wa elimu ya matumizi sahihi ya fedha, ikiwemo umuhimu wa kutunza noti na sarafu kwa usahihi. Akizungumza leo, Agosti, 31 2026 jijini Dar es…

Serikali yatoa trilioni 4.7/- kulipa mikopo ya wanafunzi

Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya Sh.trilioni 4.7 kwa ajili ya mikopo na ruzuku kwa wanafunzi wa elimu ya juu tangu ilipoingia madarakani, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhakikisha vijana…

SUA yageuka kitovu cha fursa ya kilimo:7500 wadahiliwa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wakati vijana zaidi ya 23,000 kutoka maeneo mbalimbali nchini wakisaka nafasi za kujiunga na Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), chuo hicho kimeeleza kuwa kina uwezo wa kudahili wanafunzi 7,500 pekee kwa mwaka wa masomo…

Matumizi ya CNG Dar yabaki chini, gharama za ufungaji zatajwa kuwa kikwazo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam LICHA ya Serikali kuendelea kuhamasisha matumizi ya gesi asilia kwenye vyombo vya moto kama mbadala wa mafuta ya petroli na dizeli, matumizi ya nishati hiyo jijini Dar es Salaam bado yako chini, huku gharama…