Category: MCHANGANYIKO
Waziri Kombo awasilisha taarifa ya ufafanuzi kwa Kamati ya CMAG kufuatia vurugu za Oktoba 29, 2025
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amewasilisha taarifa ya ufafanuzi kwa Kamati ya Mawaziri wa Jumuiya ya Madola Wanaosimamia Utekelezaji wa Tunu za Jumuiya hiyo (Commonwealth Ministerial Action Group-CMAG) kufuatia…
Ushindi wa Tanzania kwenye tuzo za utalii duniani ni chachu ya kuendelea kutangaza mazao mapya Ngorongoro
Baada ya Tanzania kutajwa na mtandao wa World Travel Awards kama nchi inayoongoza kwa Utalii wa Safari mwaka 2025 imekuwa ni chachu ya kutangaza mazao mapya ya Utalii katika soko la Dunia yanayopatikana ndani ya hifadhi ya Ngorongoro. Kamishna Msaidizi…
Waziri Mavunde aipongeza kampuni ya Franone na God CSR
Na Mwandishi Wetu, Simanjiro WAZIRI wa Madini, Anthony Peter Mavunde, ameipongeza kampuni ya Franone Mining LTD na God Charity kwa kufanya shughuli za kijamiii (CSR) kwenye machimbo ya madini ya Tanzanite mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara. Waziri…
‘Vijana tuilinde amani ya nchi yetu’
𝙒𝙖𝙣𝙖𝙤𝙝𝙖𝙢𝙖𝙨𝙞𝙨𝙝𝙖 𝙫𝙪𝙧𝙪𝙜𝙪 𝙝𝙖𝙬𝙖𝙥𝙤 𝙣𝙙𝙖𝙣𝙞 𝙮𝙖 𝙣𝙘𝙝𝙞 𝙝𝙞𝙞, 𝙢𝙨𝙞𝙠𝙞𝙗𝙖𝙡𝙞 𝙠𝙪𝙩𝙪𝙢𝙞𝙬𝙖 𝙠𝙖𝙢𝙖 𝙠𝙚𝙩𝙚. 𝘼𝙨𝙞𝙨𝙞𝙩𝙞𝙯𝙖 𝙝𝙖𝙠𝙪𝙣𝙖 𝙏𝙖𝙞𝙛𝙖 𝙡𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙢𝙖𝙨𝙡𝙖𝙝𝙞 𝙣𝙙𝙖𝙣𝙞 𝙮𝙖 𝙏𝙖𝙣𝙯𝙖𝙣𝙞𝙖 𝙯𝙖𝙞𝙙𝙞 𝙮𝙖 𝙒𝙖𝙩𝙖𝙣𝙯𝙖𝙣𝙞𝙖 𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚𝙬𝙚. “𝘙𝘢𝘪𝘴 𝘔𝘩𝘦. 𝘋𝘬𝘵. 𝘚𝘢𝘮𝘪𝘢 𝘚𝘶𝘭𝘶𝘩𝘶 𝘏𝘢𝘴𝘴𝘢𝘯 𝘢𝘮𝘦𝘶𝘯𝘥𝘢 𝘛𝘶𝘮𝘦 𝘺𝘢 𝘬𝘶𝘤𝘩𝘶𝘯𝘨𝘶𝘻𝘢 𝘺𝘢𝘭𝘪𝘺𝘰𝘵𝘰𝘬𝘦𝘢 𝘬𝘢𝘵𝘪𝘬𝘢 𝘷𝘶𝘳𝘶𝘨𝘶 𝘻𝘢 𝘖𝘬𝘵𝘰𝘣𝘢 29, 𝘵𝘶𝘮𝘦…
CCM haitasita kuwachukulia hatua watumishi wa umma wababaishaji- Mwenezi Kenani
𝘼𝙨𝙚𝙢𝙖 𝘾𝘾𝙈 𝙞𝙣𝙖 𝙬𝙖𝙟𝙞𝙗𝙪 𝙬𝙖 𝙠𝙪𝙛𝙪𝙖𝙩𝙞𝙡𝙞𝙖 𝙪𝙩𝙚𝙠𝙚𝙡𝙚𝙯𝙖𝙟𝙞 𝙬𝙖 𝙞𝙡𝙖𝙣𝙞 𝙮𝙖𝙠𝙚 𝙠𝙬𝙖𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙨𝙚𝙧𝙞𝙠𝙖𝙡𝙞 𝙞𝙣𝙖𝙩𝙤𝙠𝙖𝙣𝙖 𝙣𝙖 𝙘𝙝𝙖𝙢𝙖 𝙝𝙞𝙘𝙝𝙤. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. 𝗞𝗲𝗻𝗮𝗻𝗶 𝗞𝗶𝗵𝗼𝗻𝗴𝗼𝘀𝗶 amewataka watumishi wa umma kutekeleza majukumu yao ya…
Mashirika ya umma yasiyofanya vizuri kufutwa au kuunganishwa
Na Mwandishi wa OMH Serikali imetoa onyo kwa taasisi na mashirika ya umma yasiyoonesha ufanisi, ikisema yako hatarini kufutwa au kuunganishwa endapo hayatachukua hatua madhubuti za kuboresha utendaji wao. Onyo hilo lilitolewa Ijumaa, Desemba 5, 2025, na Waziri wa Nchi,…





