Category: MCHANGANYIKO
Nanauka : Vijana tuyajenge, Tanzania yetu
Na. OR -MV Songwe Vijana mkoani Songwe wamepongeza uamuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuunda wizara maalum itakayoshughulika na agenda za maendelo ya vijana na kusema hatua hiyo itasaidia jitihada za kuongeza fursa za kiuchumia na upatikanaji ajira. Wakizingumza na…
Tanzania yashiriki mkutano wa mawaziri wa biashara na fedha EAC
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeshiriki Mkutano wa 47 wa Baraza la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la Afrika Mashariki (SCTIFI) na Mkutano wa Dharura Pili wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wanaosimamia Masuala ya Fedha na Uchumi…
Balozi Cuba aongoza kumbukizi ya Castro mkoani Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema mkoa huo ni kitovu cha viwanda na ukanda wa miradi ya kimkakati, hivyo amewahimiza wawekezaji wa ndani na nje kuchangamkia fursa zilizopo. Amesema Pwani inaendelea kuwa eneo…
Dk Gwajima : Tuongeze kasi na ukaribu zaidi na wananchi
Na Witness Masalu WMJJWM-Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameelekeza watumishi wa Wizara hiyo kutekeleza na kuishi kauli mbiu ya “Kazi na Utu, Tunasonga Mbele” kupitia utoaji wa huduma kwa kasi…
Waziri Ndejembi awataka PBPA kuhakikisha kunakuwepo na akiba ya kutosha ya mafuta nchini
📌Ahimiza uboreshaji wa Miundombinu ya kupokelea mafuta 📌Ahimiza kutokuwepo na ucheleweshaji kwenye uingiaji wa mafuta nchini. 📌Alekeza ushirikishwaji wa Wadau katika kuwekeza kwenye ujenzi wa miundombinu ya kuhifadhia mafuta WWaziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amewataka Wakala wa Kuagiza Mafuta…
Waziri Mkuu atoa wito kwa Watanzania kuwa makini na wenye nia ya kuichafua na kuiharibu Tanzania
▪️Asisitiza kuwa Tanzania na Rasilimali zake zitalindwa kwa gharama yoyote ile. Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba anazungumza na Wahariri wa vyombo vya habari nchini kwenye kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Novemba 25, 2025. Katika mkutano huo Mheshimiwa…





