Category: MCHANGANYIKO
Slovakia yafungua ubalozi nchini Tanzania
Balozi Mteule wa kwanza wa Slovakia nchini Tanzania, Mhe. Ivan Lančarič amewasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe jijini Dodoma Desemba 10, 2025. Mhe. Lančarič…
Wawekezaji Kwala waleta neema kwa Watanzania
Serikali kupitia Wizara mbalimbali kwa kushirikiana na Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), imejipanga kuratibu uwekezaji wa viwanda 200 vyenye thamani ya shilingi trilioni 10, hatua inayotarajiwa kuleta manufaa kwa Taifa ikiwemo kuzalisha ajira 100,000. Hatua…
Maghembe apokea nakala za hati za utambulisho za balozi mteule Namibia nchini
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Namibia nchini, Mhe. Gabriel Sinimbo, katika tukio lililofanyika katika Ofisi za Wizara…
Nchi za Afrika zahimizwa kushirikiana katika kuimarisha matumizi bora ya nishati
WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi ametoa wito kwa Nchi za Afrika kuungana kwa pamoja katika kutekeleza mikakati na mipango ya kuendeleza matumizi bora ya Nishati, ili kuokoa upotevu wa Nishati pamoja na fedha ambazo zingetumika kwa uwekezaji usiohitajika. Mhe.Ndejembi ametoa…
Makala : Jengeni utamaduni wa kukataa kushiriki kwenye maandamano
Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA Amos Gabriel Makalla leo Jumatano Desemba 10, 2025, amewapongeza wananchi kwa kuyakataa maandamano ya Desemba 09, 2025, akiwataka kujenga utamaduni wa kudumu wa kukataa maandamano na matukio yote yenye viashiria vya uvunjifu wa amani…
Dk Kisenge aandika historia, atwaa tizo ya CEO bora wa 2025
Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge ameibuka mshindi wa Tuzo ya Mkurugenzi Mtendaji Bora wa Mwaka 2025 iliyotolewa na kampuni ya Eastern Star Consulting Group kwa ushirikiano…





