Category: MCHANGANYIKO
Rais Samia anaendelea kupeleka furaha na neema kwa watumishi wa umma Tanzania – Kikwete
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kupeleka furaha na neema kwa watumishi wa umma nchini, kutokana na uamuzi wake wa hivi karibuni…
Polisi yamkamata mmiliki wa eneo la Vikawe lililosababisha vifo vya watu wawili
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limemkamata mmiliki wa eneo linalohusishwa na mgogoro wa ardhi uliosababisha vifo vya watu wawili na kujeruhi wengine 14 katika eneo la Vikawe (Lupaso), Kata ya Pangani, Wilaya ya Kibaha…
Chem Chem Safari ya Tanzania yaingia katika ushirikiano na Auberge, wadhamiria kulinda mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kampuni ya Chem Chem Safari ya Tanzania imeingia katika ushirikiano na Auberge Collection chini ya chapa ya Auberge Safari. Ushirikiano huu umejengwa juu ya dhamira ya pamoja ya kutoa huduma zinazozingatia mazingira ya eneo husika, zilizoandaliwa…
Legendary Expeditions, yaingia mkataba wa ushirikiano na kampuni ya Auberge Collection
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arush Kampuni ya utalii ya Kitanzania Legendary Expeditions, inayoendesha huduma za safari yenye misingi yake katika ya usimamizi na uwajibikaji wa muda mrefu katika kuhifadhi mifumo ya ikolojia ya Serengeti na Bonde la Ngorongoro, imeingia katika…
Jaji Mkuu Masaju kuzindua kitabu cha Ushairi cha Wakili Msomi Aisha Kingu Jumapili
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mwandishi wa vitabu na mshairi Aisha Kingu ambaye pia ni Wakili Msomi, anatarajia kuzindua kitabu chake cha sita kiitwacho ‘Sing Gratitude’, kinacholenga kuhamasisha jamii kujenga utamaduni wa shukrani unaochochea mabadiliko chanya katika maisha jamii….
Dodoma yapongezwa kwa mpango wa kupeleka walimu Korea Kusini
*Global Education Link yawatoa hofu walimu, yahakikisha visa na maandalizi ya safari Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI, Profesa Riziki Shemdoe, ameipongeza Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa kuandaa mpango wa…





