Category: MCHANGANYIKO
Serikali yakutana na Mjumbe Malaam wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola
NaMwandishi Wetu Ujumbe wa Serikali ya Tanzania ukingozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Mhe. Profesa Palamagamba Kabudi, imekutana na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola na Rais wa…
Mwanamke ajichoma kisu tumboni baada ya kugombana na mpenzi wake
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora MWANAMKE mwenye umri wa miaka 30 mnyamwezi, mkulima, mkazi wa maeneo ya Cheyo-A, Kata ya Cheyo katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora amejichoma kisu tumboni kwa hasira baada ya kugombana na mpenzi wake. Akizungumzia tukio…
Spika Zungu awahimiza wabunge kuachana na karatasi, wahamie mfumo wa kidigitali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dododoma Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamehimizwa kupunguza matumizi ya karatasi na kutimia mfumo wa kidijitali katika shughuli za Bunge ili kukabiliana na changamoto ya uchafuzi wa mazingira. Wito huo umetolewa bungeni…
Tanzania yaeleza mafanikio na fursa za uwekezaji sekta ya makazi katika kongamano la miji Africa
Na Munir Shemweta, WANMM Nairobi Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeelezea mafanikio yake katika maendeleo ya miji na sekta ya makazi wakati wa Kongamano la Pili la Miji Africa (2nd African Urban Forum) linalofanyika jijini Nairobi, huku ikitoa…





