JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk. Gwajima awahimiza wananchi kuupokea na kuulinda mradi wa pamoja kwa ustawi wa jamii

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka wananchi waliopo katika Halmashauri 40 zilizopo katika Mikoa 10 ya Arusha, Mwanza, Kagera, Mara, Singida, Shinyanga, Geita, Rukwa,Tabora na Simiyu…

Wataalam wa fedha SADC wajadili vyanzo vya kuongeza bajeti

Kikao cha Kamati ya Fedha cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kinafanyika jijini Pretoria, Afrika Kusini Machi 09, 2026 kujadili hali ya fedha ya jumuiya hiyo muhimu katika mtangamano wa kikanda kusini mwa Afrika. Watalaamu wa masuala ya…

UN yaipongeza Tanzania kwa juhudi za kurejesha amani, kuimarisha taasisi za kidemokrasia

Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika (UNOAU), Bw. Parfait Onanga-Anyanga amewasili nchini kwa ziara akiwa kama Mjumbe Maalum wa Mhe. Antonio…

Wanawake Manyara wawatunuku tuzo maalum ya kutambua mchango wa RC Sendiga, Ras Muhaji

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Wanawake wa Mkoa wa Manayara jana Siku ya wanawake Duniani wamemtunukia tuzo Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Cuthbert Sendiga, kwa juhudi na umahili wake wa kukuza haki na usawa wa Kijinsia katika Mkoa huo….

Tuzo ya Korani ya kimataifa yaiva

Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi ili kushuhudia utoaji wa tuzo za kimataifa za Korani katika Uwanja wa Benjamini Mkapa tarehe 5 Aprili mwaka huu. Rai hiyo ilitolewa na Shekh mkuu wa Baraza la Waislamu…