Category: MCHANGANYIKO
Rais Kagame atua Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Paul Kagame amewasili nchini kwa Ziara ya Kikazi ya siku moja yenye lengo la kuimarisha uhusiano wa uwili kati ya Tanzania na Rwanda. Mhe. Rais Kagame anatarajia kukutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake,…
Serikali kuendelea kushirikiana na taasisi za kidini kuimarisha amani
▪️︎ Asema dini ni nguzo muhimu ya malezi na mshikamano wa Taifa ▪️︎ Asisitiza jamii kuendelea kuombea na kulinda amani ya nchi Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za dini nchini ili kuimarisha…
Safari ya gridi ya taifa ya maji imeanza, wananchi tutunze vyanzo vya maji kwa maendeleo
Na Dk Reuben Lumbagala Ni dhamira ya kweli ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kumtua mama ndoo kichwani yaani kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji katika makazi yao na kuepukana na kadhia ya kuchota maji umbali mrefu. Kwa lugha rahisi…
Irene Luoga mfanyakazi hodari TCDC mwaka 2025/2026
Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imemtangaza Irene Luoga, Afisa Ushirika Mwandamizi kutoka Ofisi ya Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Mbeya, kuwa mfanyakazi hodari kwa mwaka 2025/2026. Tuzo hiyo imetolewa kufuatia mchango wake mkubwa katika kusimamia…
Tanzania yaanza enzi mpya uzalishaji wa Helium duniani
Yajipanga Kubeba Suluhu ya Uhaba wa Gesi hiyo Duniani Helium One Global Yasema Akiba ya Songwe ina Thamani Kubwa Kijiolojia Mradi Kuanza Kutekelezwa baada ya Miezi 18, Zaidi ya Dola Milioni 60 tayari Zimewekezwa Serikali Kumiliki Asilimia 17 ya Hisa…
TTB yaeleza utalii wa michezo unavyochangia uchumi wa jamii
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe BODI ya Utalii Tanzania (TTB), imesema utalii wa michezo umeendelea kuwa nguzo muhimu ya kuongeza mapato kwa jamii zinazozunguka Hifadhi za Taifa, huku wananchi wa maeneo hayo wakinufaika kupitia fursa mbalimbali za kiuchumi zinazotokana na…





