Category: MCHANGANYIKO
Pwani kutumia bil.497/-kwa mwaka wa fedha 2026/27 kuboresha huduma na miradi ya maendeleo
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Mkoa wa Pwani umejiwekea mpango mkakati kuandaa bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027 hadi 2030/2031 kwa kuzingatia Dira ya Taifa 2050, Ilani ya CCM 2025/2030 na Malengo Endelevu ya Milenia, itakayobeba masuala yote muhimu ili kuinua…
EWURA Kanda ya Kaskazini yawanoa viongozi Wilaya ya Korogwe
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kupitia Kanda ya Kaskazini, leo tarehe 5 Machi 2026 imetoa elimu kwa viongozi wa Wilaya ya Korogwe katika semina iliyofanyika katika ukumbi wa GMCC. Akimkaribisha Mgeni Rasmi, Meneja wa EWURA…
Kwanini Serikali inashirikiana na sekta binafsi
Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) leo, Machi 5, 2026, imesema Serikali iliamua kushirikiana na sekta binafsi katika uendeshaji wa baadhi ya mashirika ili kuongeza ufanisi, mtaji na matumizi ya teknolojia katika kuendeleza…
Mikakati endelevu suluhisho kukabiliana na majanga ya dharura kiafya
Na Andrea Kadege, WAF-Korogwe Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga, Bw. Rashid Mchatta ameagiza kuwekwa kwa mikakati endelevu itakayoiwezesha jamii kukabiliana na majanga ya dharura yanayopelekea athari kiafya, kwa ufanisi zaidi. Bw. Mchatta ameyasema hayo leo Machi 05, 2026 wakati…
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kutekeleza Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kushirikiana na Wizara ya Katiba na Sheria ya Jamhuri ya Muungano Tanzania imefanikiwa kutekeleza kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia kwa kuwafikisha huduma hiyo karibu na wananchi wa…
FCC, TCRA kufanya uchunguzi wa bando
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Ushindani (FCC), Khadija Ngasongwa, amesema taasisi kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) hiyo inafanya uchunguzi wa vifurushi vya mtandao (internet) ili kubaini kama wananchi wanarubuniwa katika gharama na…




