Category: MCHANGANYIKO
Watuhumiwa mauaji ya mfanyabiashara raia wa China wakamatwa
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwakamatawatuhumiwa wanne wanaohusishwa na mauaji ya mfanyabiashara raia waChina, Fauzani Lee, yaliyotokea hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari,…
Mtendaji Mkuu wa ADEM, Dkt Maulid afungua mafunzo ya Uongozi wa Kimkakati kwa sekondari Shinyanga
Mtendaji Mkuu wa ADEM, Dkt Maulid J. Maulid leo umefungua Mafunzo ya Uongozi wa Kimkakati (Strategic Leadership) kwa viongozi wa shule za sekondari wa Manispaa ya Shinyanga, yakiwakutanisha washiriki 44 wakiwemo Wakuu wa Shule za Sekondari 22 na Makamu Wakuu…
Ushirikiano wa wadau ni muhimu kufikia lengo la nishati safi ya kupikia la 2034 – Salome
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa agenda ya nishati safi ya kupikia, ambapo upatikanaji wa huduma hiyo umeongezeka kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi asilimia 28.6…
Mkuu wa Jeshi la Magereza afungua mafunzo ya utekelezaji wa programu za urekebishaji kwa maafisa ustawi wa jamii
Na Ssgt Mawazo Mtondo, Dodoma Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP Jeremiah Yoram Katungu, leo Juni 10, 2026, amefungua rasmi Mafunzo kwa Maafisa Ustawi wa Jamii kuhusu Mwongozo wa Utekelezaji wa Programu za Urekebishaji katika Ukumbi wa Rugimbana, Msalato, jijini…
Manispaa Kibaha yatoa milioni 991 kwa vikundi 51
Na Mwavua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Vikundi 51 vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu katika Manispaa ya Kibaha, mkoani Pwani, vimenufaika na mikopo yenye thamani ya Sh milioni 991.54 kupitia asilimia 10 ya mapato kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Vikundi…
Mramba aitangaza Tanzania Canada, asema ni kitovu cha uwekezaji nishati
Calgary, Canada Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba, ameendelea kuitangaza Tanzania kimataifa kwa lengo la kuvutia uwekezaji zaidi katika Sekta ya Nishati akieleza kuwa Tanzania ni kitovu cha uwekezaji wa nishati barani…





