JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Nchi za Afrika zakutana Arusha kuimarisha mifumo ya tahadhari za mapema kukabiliana na El Nino 2026

Mkutano wa kikanda unaolenga kuimarisha mifumo ya tahadhari za mapema na huduma za hali ya hewa kwa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika umefunguliwa rasmi leo tarehe 13 Julai 2026 jijini Arusha. Mkutano huu unawakutanisha wataalamu wa hali ya hewa…

Mwenge watembelea miradi saba Simanjiro ya bilioni 57.2/-

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simanjiro MWENGE wa uhuru umetembelea, kukagua, kuzindua na kuweka jiwe la msingi katika miradi saba ya maendeleo Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara yenye thamani ya shilingi bilioni 57.2. Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro mwalimu Fakii Raphael Lulandala…

Kapinga amkabidhi mlemavu mashine ya kusaga viungo

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amemkabidhi mfanyabiashara mwenye ulemavu, Bi.Esther Mashaka Msengi, mashine ya kusagia viungo ili kuongeza uzalishaji, kupunguza gharama za biashara na kuboresha kipato chake. Akikabidhi mashine hiyo  katika Viwanja vya Maonyesho ya Biashara…

TBA yang’ara Sabasaba, yashinda tuzo ya banda bora katika sekta ya miliki na real estate

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umeibuka mshindi wa nafasi ya pili na kutunukiwa tuzo ya Banda Bora katika Sekta ya Miliki na Real Estate wakati wa sherehe za kufunga Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya…

Prof. Shemdoe ampa tano mbunge Jacqueline Mzindakaya kuratibu mafunzo uwezeshaji wananchi kiuchumi

Na OWM–TAMISEMI, Sumbawanga Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amempongeza Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Rukwa, Mhe. Jacqueline Mzindakaya, kwa juhudi zake za kuwaunganisha wadau…