MCHANGANYIKO
Mdau wa maendeleo Kilimanjaro Joseph Mushi apeleka tabasabu kwa wanakijiji Singa
Ajenga zahanati ya kisasa, wananchi wafurahia Na Ashrack Miraji, JamhuriMedia, Same Wanakijiji wa Singa,kata ya Kibosho Mashariki mkoani Kilimanjaro wameonesha kufurahishwa kwa kujengewa zahanati na mdau wa maendeleo Joseph Mushi ambaye amechukua hatua ya kujenga zahanati ya kisasa kwa wanakijiji ili kusaidia kuoatikana kwa huduma za afya karibu. Zahanati hii itakuwa na huduma bora za…
Al Hilal waomba kucheza Ligi Kuu ya Tanzania
Na Isri Mohamed Klabu ya AL Hilal ya Sudan imetuma maombi kwa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF, ya kucheza Ligi Kuu ya Tanzania kuanzia msimu ujao. Afisa habari wa TFF, Clifford Ndimbo amezungumza na Jamhuri Media na kulifafanua suala hilo. “Ni kweli wameomba na tumewakubalia, lakini watakuwa wanacheza kama mechi za kirafiki, matokeo…
Putin aongoza kura ya urais kwa asilimia 87
Dalili za ushindi wa Vladimir Putin wa upande mmoja kama Rais wa Urusi ni dhahiri. Wasimamizi wa uchaguzi wametangaza kuwa alipata zaidi ya asilimia 87 ya kura katika matokeo yaliyotolewa kufikia sasa. Putin amekuwa akisema kila mara kuwa ana uhakika wa kuchukua kiti cha urais kwa muhula wa tano. Kufuatia tangazo la maafisa wa uchaguzi,…
12 wafanyiwa upasuaji rekebishi wa macho Mloganzila
ยท Global Medicare yasema ni matunda uwekezaji wa Rais Samia Na Mwandishi Wetu, JamhuriaMedia, Dar ea Salaam WATU 12 wamefanyiwa upasuaji rekebishi wa macho kwenye kambi ya macho iliyoendeshwa na Hospitali Muhimbili Mloganzila kwa kushirikiana na taasisi ya utalii tiba ya Global Medicare. Kambi hiyo ilifanywa na madaktari bingwa wa macho, Nabila Elias, Safwat El…
Siku 1095, Rais Samia madarakani na maajabu sekta ya elimu
Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Wanafalsafa wengi wamesema kuhusu elimu; Wapo waliosema elimu ni funguo wa maisha, wengine wakaongeza elimu ni Maarifa, wengine pia wakanena elimu ni Bahari. Mjadala wa elimu ni bahari ni mpana sana ukimaanisha utajiri mkubwa unaopatikana kwenye rasilimali maji ya bahari. Vitabu vya dini pia havipo mbali kuhusu elimu, vinatanabaisha kuwa…
Polisi: waliokaidi kuondoa 3D kukamatwa
Na Mwandishi Wetu, Jeshi la Polisi -Arusha. Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha limekutana na viongozi wa madereva wa Daladala Mkoani humo kwa ajili ya kusikiliza changamoto zinazowakabili Kwa ajili ya kuzitatua. Akizungumza mara baada ya kikao hicho, Mkuu wa Kikosi cha Usalama barabarani mkoani humo Mrakibu Mwandamizi wa Polisi SSP…