Mdau wa maendeleo Kilimanjaro Joseph Mushi apeleka tabasabu kwa wanakijiji Singa

Ajenga zahanati ya kisasa, wananchi wafurahia Na Ashrack Miraji, JamhuriMedia, Same Wanakijiji wa Singa,kata ya Kibosho Mashariki mkoani Kilimanjaro wameonesha kufurahishwa kwa kujengewa zahanati na mdau wa maendeleo Joseph Mushi ambaye amechukua hatua ya kujenga zahanati ya kisasa kwa wanakijiji ili kusaidia kuoatikana kwa huduma za afya karibu. Zahanati hii itakuwa na huduma bora za…

Read More

Siku 1095, Rais Samia madarakani na maajabu sekta ya elimu

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Wanafalsafa wengi wamesema kuhusu elimu; Wapo waliosema elimu ni funguo wa maisha, wengine wakaongeza elimu ni Maarifa, wengine pia wakanena elimu ni Bahari. Mjadala wa elimu ni bahari ni mpana sana ukimaanisha utajiri mkubwa unaopatikana kwenye rasilimali maji ya bahari. Vitabu vya dini pia havipo mbali kuhusu elimu, vinatanabaisha kuwa…

Read More

Polisi: waliokaidi kuondoa 3D kukamatwa

Na Mwandishi Wetu, Jeshi la Polisi -Arusha. Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha limekutana na viongozi wa madereva wa Daladala Mkoani humo kwa ajili ya kusikiliza changamoto zinazowakabili Kwa ajili ya kuzitatua. Akizungumza mara baada ya kikao hicho, Mkuu wa Kikosi cha Usalama barabarani mkoani humo Mrakibu Mwandamizi wa Polisi SSP…

Read More