Category: MCHANGANYIKO
Maafisa elimu wapewa mbinu kuimarisha miundombinu ya nishati safi ya kupikia shuleni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Maafisa Elimu nchini wametakiwa kushirikiana kwa karibu na wadau mbalimbali wakiwemo sekta binafsi, mashirika yasiyo ya kiserikali na jamii ili kuwekeza na kuimarisha miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika shule. Wito huo umetolewa Machi…
TPF NET Songwe yaonyesha upendo kwa mama mwenye watoto wenye mahitaji maalum, kuelekea Siku ya Wanawake Duniani
Na Mwandishi Wetu -Jeshi la Polisi Mtandao wa Polisi Wanawake Mkoa wa Songwe (TPF Net) kwa kushirikiana na wanawake wa majeshi mengine mkoani humo, wamemtembelea Bi. Enita Sinyinza, mkazi wa Kitongoji cha Hezya Kati, Kijiji cha Hezya, Kata ya Hezya,…
Wananchi waishukuru Serikali kukamilika daraja la Jema – Oldonyosambu
Miaka ya adha yafikia kikomo, usafirishaji wa mazao na huduma za kijamii sasa warahisishwa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ngorongoro Wananchi wa Kata ya Oldonyosambu, wilayani Ngorongoro, wameishukuru Serikali kwa kuwajengea daraja la mawe lenye urefu wa mita 45 katika Mto…
Katibu Mkuu Uwekezaji afanya ziara Ofisi ya Msajili wa Hazina
Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais – Uwekezaji, Dk. Fred Msemwa, leo Machi 4, 2026, ametembelea Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa ziara ya kujitambulisha kufuatia kuteuliwa kwake na Mheshimiwa Rais wa…
Makatibu wakuu SADC wapitia mpango wa maendeleo wa kanda, wabaini changamoto za utekelezaji
Kikao cha Makatibu Wakuu na Maafisa Waandamizi wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kupitia utekelezaji wa Mpango Mkakati Elekezi wa Maendeleo ya Kikanda (Regional Indicative Strategic Development Plan- RISDP) kimeanza leo tarehe 04 Machi 2026…
Serikali yafanikisha usimamizi wa miradi yote ya maendeleo kwa ufanisi
Na Maelezo Zanzibar 04.03.2026 Waziri wa Maji, Nishati na Madini Mhe. Nadir Abdullatif Al-wardy amesema Serikali imeweza kusimamia na kufanikisha miradi ya maendeleo katika sekta zote zilizomo katika Wizara hiyo kwa lengo la kuimarisha maendeleo ya wananchi. Akizungumza na waandishi…





