Category: MCHANGANYIKO
CRDB kuwanufaisha wachimbaji wadogo, yaingia makubaliano na Serikali
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Madini kupitia Tume ya Madini imesaini makubaliano Maalum na Benki ya CRDB yatakayorahisisha upatikanaji wa huduma za fedha kwa wachimbaji wadogo wa madini. Akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya…
RC Dendego ampa tano Dk Samia utekelezaji kwa vitendo mradi wa nishati safi ya kupiki
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMesia, Singida Katika nchi inayokumbwa na changamoto za kiafya, mazingira na umasikini, nishati safi ya kupikia si tu hitaji la msingi bali ni kichocheo cha maendeleo ya kweli kwa watu na Taifa kwa ujumla. Katika kukabiliana na…
TANESCO, REA, wananchi wanaolipa umeme waunganishwe kwa wakati – Salome
📌Awasha umeme Kitongoji cha Bugofuma wilayani Misungwi📌Wananchi kufungiwa mita janja kurahisisha ununuzi wa umeme Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) pamoja na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha…
Naibu Waziri Dk Dugange akagua kiwanda cha mbolea, dampo la Pugu
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange amehimiza wananchi kuyatumia madampo kukusanyia taka ili zitumike kama malighafi pamoja na kusafisha mazingira. Ametoa wito huo wakati wa ziara ya kukagua shughuli za uchakati wa…
Jeshi la Polisi linafuatilia kwa karibu watu wanaojiita TFF, latoa onyo
Jeshi la Polisi linapenda kujulisha kuwa, linaendelea kutekeleza majukumu yake ya msingi kama yalivyoainishwa na Sheria za nchi. Utekelezaji huo unakwenda sambamba na kushirikiana na wananchi katika kubaini, kuzuia na kutanzua uhalifu jambo ambalo limepelekea nchi yetu kuendelea kuwa shwari….





