Category: MCHANGANYIKO
Prof. Shemdoe : Tengeni siku maalum kusikiliza kero za wananchi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewaelekeza Wakuu wa Mikoa wote nchini kuzisimamia Halmashauri zao kuhakikisha zinaweka siku maalum ya kusikiliza…
Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani, Mtandao wa Polisi wanawake Songwe watoa faraja kwa wagonjwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Katika kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, inayoadhimishwa kote ulimwenguni kila ifikapo Machi 08, 2026, Mtandao wa Polisi Wanawake Mkoa wa Songwe (TPF NET) kwa kushirikiana na wanawake wa majeshi mengine mkoani humo, wametembelea…
RC Chalamila : Wamachinga ondoeni dhana ya kufukuzwa Kariakoo bali tunafungua barabara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka Wamachinga kuondokana dhana ya kuwa Serikali inawafukuza maeneo ya biashara ila sehemu ya kuhakikisha wanafungua Barabara zinapitika na usafiri wa umma hauathiriwi ili…
Waziri Kombo atembelea miradi ya maendeleo Arusha
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Masharik, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ametembelea Miradi ya maendeleo inayotekelzwa na Wizara yake na taasisi zilizo chini ya Wizara jijini Arusha. Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa Ukumbi…
Senyamule kuzindua Kliniki Maalum ya kutatua kero za wananchi Dodoma
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametangaza kuanza rasmi kwa kliniki maalum ya kutatua kero za wananchi, ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya viongozi wa juu wa Serikali. Akizungumza leo Machi 2,2026 Jijini hapa kuhusu mpango…





