Category: MCHANGANYIKO
Muonekano majengo ya Kampasi ya Lindi ya UDSM, Dk Mwigulu aweka jiwe la msingi
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Kampasi ya Lindi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), katika hafla iliyofanyika eneo la Ngongo, Manispaa ya Lindi. Ujenzi wa kampasi hiyo,…
Polisi wa Utalii’ waimarisha usalama, imani kwa wageni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Kukua kwa kasi na kuimarika kwa sekta ya utalii nchini kunachagizwa kwa kiwango fulani na kuwapo kwa huduma bora za kijamii, ikiwemo uhakika wa usalama kwa wageni.Tanzania ni moja ya mataifa yenye kuvutia utalii wa…
Simbachawane awataka wanaKegara walioko nje kurejea nyumbani kuwekeza
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amewataka Wanakagera wanaoishi nje ya Mkoa wa Kagera kurejea nyumbani kuwekeza, akisisitiza kuwa maendeleo ya mkoa huo yanahitaji ushiriki wa wadau wote, hususan wananchi wenye asili ya Kagera waliopo maeneo mbalimbali…
Dk Mwigulu atoa siku saba kwa TANROADS, TARURA Lindi
*Ataka watengeneze kwa haraka daraja la dharura lililoanza kutitia WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku saba kwa Mameneja wa TANROADS na TARURA wa Mkoa wa Lindi wakae na kutafuta suluhisho la ujenzi wa daraja katika eneo la Congo kwenye…
Huu ndio utaratibu wa msiba na mazishi kwa kabila la Wahadzabe
Na Hamis Dambaya na Kassim Nyaki, Ngorongoro. Jamii ya kabila la Wahadzabe ina historia ya kuvutia katika kila nyanja ya maisha yao, watalii mbalimbali wanaotaka kujua hadithi nzuri za kuvutia,kusisimua na kuelimisha kuhusu mila, desturi, utamaduni na historia ya wahadzabe…
NAOT yaweka mpango mkakati kuandaa ripoti za ukaguzi kwa nukta nundu
Na Mwandishi Wetu, Morogoro OFISI ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) imeweka mkakati maalum wa kuandaa na kusambaza ripoti za ukaguzi katika mfumo wa nukta nundu (Braille), hatua inayolenga kuhakikisha watu wenye ulemavu wa uoni hafifu wanapata haki sawa ya kufikia…





