Category: MCHANGANYIKO
Naibu Waziri wa Nishati akabidhi vitendea kazi TANESCO Mkoa wa Shinyanga
📌Ni katika muendelezo wa mkakati wa shirika wa kuwahudumia wananchi kwa ufanisi 📌Awasihi wananchi kutumia nishati safi umeme kupikia Na Mwandishi Wetu, Kahama Naibu Waziri wa Nishati Mh. Salome Makamba amekabidhi vitendea kazi vya usafiri kwa TANESCO Mkoa wa Shinyanga…
Tanzania na Israel zaimarisha ushirikiano katika sekta za kilimo na afya
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema Israel imekuwa mshirika muhimu katika sekta mbalimbali nchini, ikiwemo kilimo, afya, ulinzi na usalama, hali inayochangia kuimarika kwa ushirikiano wa muda mrefu kati ya nchi hizo mbili. Waziri wa Mambo ya Nje…
Waandishi wa habari wakamatwa kwa amri ya DC Arusha
Mwandishi Wetu,Karatu Watangazaji wawili wa kituo cha Lumeni Radio cha Karatu, Mkoa Arusha,Nobert Hongoli na Wolter John Mbaga (Mhariri) wamekamatwa na kuwekwa rumande kwa amri ya mkuu wilaya hiyo Lameck Karanga. Watangazaji hao wamekamatwa leo Machi 27,2026 asubuhi baada ya…
Lukuvi aagwa Dodoma, aacha kumbukumbu ya uongozi imara
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Vangimembe Lukuvi, umeagwa leo katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma, huku viongozi na wananchi wakimwelezea kama nguzo muhimu ya uongozi…
Serikali yachochea elimu ya ufundi, walimu 150 wapelekwa India kwa mafunzo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania imeandika ukurasa mpya katika historia ya elimu ya ufundi kwa kupeleka walimu 150 wa Amali za Kihandisi nchini India. Hatua hii kubwa ya kimkakati siyo tu safari ya mafunzo, bali ni uwekezaji…





