Category: MCHANGANYIKO
Chumi : Afrika kupatiwa fedha za mabadiliko ya tabia nchi
Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Cosato Chumi amesisitiza kuwa si sawa kwa Afrika kushurutisha nchi zilizoendelea kutoa fedha za mabadiliko ya tabianchi, kwani ni wajibu wao wa msingi katika kulinda…
Mtanzania ateuliwa kuwa meneja wa Bolt Afrika Kusini
Na Mwandishi Wetu MILU Kipimo, raia wa Tanzania, ameteuliwa kuwa Meneja wa Nchi (Country Manager) wa Bolt Business nchini Afrika Kusini (ZA). Kabla ya uteuzi huu, Milu alikuwa Meneja Mkuu wa Bolt kwa Tanzania, Tunisia na Ghana, na sasa anaungana…
Serikali yasisitiza ushirikiano kutekeleza programu ya kizazi chenye usawa
Na WMJJWM – Morogoro Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Felista Mdemu amesema dhamira ya Serikali ya kuhakikisha ahadi zilizotolewa na Tanzania kwenye Jukwaa la Kizazi Chenye Usawa la mwaka 2021 zinafanikishwa,…
Bashe aomba mkoa mpya
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Nzega Mgombea ubunge Jimbo la Nzega Mjini Hussein Bashe, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, kuzingatia ombi la muda mrefu la kuugawa Mkoa wa Tabora. Amesema hatua hiyo inatokana na wananchi wake kutembea umbali wa kilomita…
Dk Biteko ahimiza kura za kutosha Busonzo
📌 Wananchi wa Busonzo wanufaika na miradi ya uhakika ya umeme, maji, elimu 📌 CCM yaahidi maendeleo Busonzo Mgombea wa Ubunge Jimbo la Bukombe, Ndugu Doto Mashaka Biteko amewahimiza wananchi wa Kata ya Busonzo wilayani Bukombe mkoani Geita kujitokeza kwa…





