JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk. Nyansaho ni uteuzi sahihi kwa uwakilishi wa vijana

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Dar es Salaam Novemba 10, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa wabunge sita katika nafasi 10 anazopewa kikatiba. Walioteuliwa ni Dk. Rhimo Nyansaho, Balozi Dk. Bashiru…

Waratibu wa kitaifa wa nchi za Jujuiya ya Ukanda wa maziwa makuu wakutana jijini Kinshasa

Mkutano wa 20 wa Kawaida wa Waratibu wa Kitaifa wa Nchi za Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) umefanyika tarehe 10 Novemba, 2025 jijini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo – DRC. Mkutano huo ni sehemu ya maandalizi ya…

Tanzania yaihakikishia dunia hali ya utalii iko salama

Na Mwandishi Wetu KATIBU Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, akiongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 26 wa Baraza Kuu la Shirika la Utalii Duniani (UN Tourism) kilichoanza leo Novemba 9, 2025, jijini Riyadh, Saudi Arabia,…