JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mahenge Spinel; fursa ya uwekezaji wa kipekee katika soko la vituo duniani

Spinel ni miongoni mwa madini ya vito yenye thamani kubwa sana duniani, yanayoendelea kupata umaarufu mkubwa katika masoko ya kimataifa kutokana na ubora wake wa kipekee, rangi adimu na uimara wa hali ya juu. Tanzania ni miongoni mwa nchi chache…

Mradi wa pamoja kukuza uchumi wa wanawake na kuimarisha mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia

Mradi wa Kukuza Usawa wa Kijinsia Tanzania (PAMOJA) unaotarajiwa kuzinduliwa rasmi Machi 08, 2026 mkoani Geita na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima utaimarisha fursa za kiuchumi kwa wanawake wa vijijini na…

Pwani yazidi kuendeleza mafanikio sekta za umma na uwekezaji – Mnyema

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkoa wa Pwani unaendelea kuonyesha mafanikio makubwa katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo na sekta mbalimbali, amesema Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi wa Mkoa huo, Pili Mnyema, ambaye pia ni Katibu Tawala wa Mkoa. Mnyema…

Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Handeni Mji kuzinduliwa Machi 5

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Handeni KATIKA kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Halmashauri ya Mji Handeni imejipanga kutekeleza shughuli mbalimbali ikiwamo uzinduzi wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi. Akizungumza kuhusu maandalizi ya maadhimisho hayo, Mkurugenzi wa Halmashauri…

Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani, ACT Wazalendo wazindua mnara wa kumbukizi ya waliofariki Oktoba 29

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es salaam Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Chama cha ACT Wazalendo kupitia ngome yake ya wanawake kimezindua mnara wa kumbukumbu kwa ajili ya watu waliopoteza maisha kufuatia matukio ya vurugu yaliyotokea Oktoba 29,…

Prof. Shemdoe aelekeza maafisa lishe na Maendeleo ya Jamii kupatiwa usafiri

Na OWM – TAMISEMI, GEITA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameelekeza Maafisa Lishe na Maendeleo ya Jamii wanaosimamia utekelezaji wa Mradi Jumuishi wa Lishe katika Mkoa wa Geita, Tabora na Iringa kupatiwa vyombo…