Category: MCHANGANYIKO
Kongamano la Kitaifa la ufuatiliaji, na tathmini kukutanisha washiriki 1000
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza WASHIRIKI takribani 1,000, wanatarajiwa kushiriki katika kongamano la nne la Kitaifa la Ufuatiliaji, Tathmini na Kujifunza(Tanzania Monitoring, Evaluation and Learning Week). Kongamano hilo litawakutanisha wadau mbalimbali wa maendeleo kutoka ndani na nje ya nchi, wakiwemo…
Kumchagua Rais Samia ni kuchagua maendeleo – Dk Biteko
📌Awahimiza wananchi wa Namonge kujitokeza kupiga kura Oktoba 29 📌 Asema shilingi bilioni 200 kukopeshwa kwa vijana Mgombea wa Ubunge Jimbo la Bukombe, Ndugu Doto Mashaka Biteko amewaasa wananchi wa Kata ya Namonge, kujitokeza kwa wingi tarehe 29 Oktoba kumpigia…
Rais Samia aahidi kujenga Chuo cha ufundi Stadi Manyoni
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media,Manyoni Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi(CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kama atapewa ridhaa ya kuwa Rais wa Tanzania kwa awamu nyingine atajenga Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) wilayani Manyoni. Rais Samia ameitoa leo Septemba 9,2025…
Rais Samia: Bahi kupata maji ya Ziwa Victoria
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Bahi Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amesema serikali imejipanga kufikisha maji kutoka Ziwa Victoria hadi Wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma. Amesema hatua hiyo itasaidia kumaliza tatizo la maji yenye chumvi linalowakabili…
LHRC yapatiwa ufadhili dola milioni 2 na Ubalozi wa Norway
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Kituo cha Sheria na Haki za binadamu kimehuisha kwa kusaini Mkataba Mpya wa makubaliano wa miaka 3, kuanzia 2025-2027 na Ubalozi wa Norway kupatiwa Ufadhili wa fedha kiasi Dola Milioni mbili zitakazosaidia katika Mpango…
TMA yahimizwa kuendelea kushirikisha wadau kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imehimizwa kuendelea kushirikisha wadau kutoka sekta mbalimbali ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa nchini. Mgeni rasmi na Mwenyekiti wa Bodi ya TMA, Jaji Mshibe…





