Category: MCHANGANYIKO
Dalili za uwepo wa gesi asilia zaonekana katika kitalu cha Lindi – Mtwara
📍 Utafiti wa kina unaendelea katika Kitalu cha Lindi–Mtwara 📍 Dkt. Mataragio akagua maendeleo ya mradi, aagiza ukamilike kwa wakati 📍 Akagua pia mradi wa kuongeza uzalishaji wa gesi katika kitalu cha Mnazi Bay 📍 RC Mtwara asema Gesi Asilia…
WFP: Watu milioni 14 wako hatarini kukumbwa na njaa
Shirika la mpango wa chakula duniani WFP limetahadharisha kuwa takriban watu milioni 14 wako hatarini kukumbwa na njaa kutokana na kupunguzwa kwa ufadhili. WFP imesema watu hao wanapatikana katika mataifa ya Afghanistan, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Haiti, Somalia, Sudan…
Dk Mpango : Mwalimu Nyerere ni kielelezo na alama isiyofutika
Mpango azima Mwenge na Kuzindua Kitabu chake Na Ruja Masewa, JamhuriMedia, Mbeya Makamu wa Rais Dk. Philipo Mpango amezima rasmi Mwenge wa Uhuru na Kuzindua Kitabu chake cha Historia ya Miaka 61 ya Mbio hizo yaliyofanyika mkoani hapa jana Oktoba…
Wananchi Mkalama washangilia miradi ya uchimbaji visima vya umwaggiliaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Wakazi wa Kijiji cha Miganga wilayani Mkalama, mkoani Singida, wameishukuru Serikali kwa neema ya miradi ya uchimbaji wa visima vya Umwagiliaji na kuahidi kulinda miundombinu hiyo kwa maslahi ya vizazi vijavyo. Wamesema kwa sasa wana…
Wanne mbaroni kuendesha televisheni mtandao bila leseni
Na Mwandishi wlWetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam kwa kushirikiana na Mamlakazingine za kisheria 3 ,Oktoba hadi 10 , 2025 limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wanne kwa tuhuma za kuendesha “Televisheni mtandao” bila kuwa na leseni. Waliokamatwa…
Katibu Mkuu Nishati aridhishwa na kasi ya utekelezaji mradi wa umeme jua Kishapu
📌 Utekelezaji wafikia asilimia 80.4 📌 Awamu ya kwanza kukamilika Desemba 2025 📌 Mhandisi Mramba asema ni jitihada za Rais Samia kuhakikisha wananchi wanapata nishati safi, salama na nafuu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga, Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeeleza…





