JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dkt. Samia: Tumeweka fedha nyingi katika umwagiliaji kukabili mabadiliko ya tabianchi

*Aitaka NIRC iendelee kufanya kazi kuwafikia wakulima *Asema utachochea uzalishaji na kukabiliana na ukame 📍NIRC:Dodoma Rais Dkt .Samia Suluhu Hassan, amesema katika kufikia azima ya mapinduzi sekta ya kilimo Serikali imechukua hatua ya kufanya uwekezaji mkubwa sekta ya Umwagiliaji lengo…

Waziri Mkuu Mstaafu Pinda atembelea eneo la Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Nanenane Dodoma

📍Nzuguni, Dodoma Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Peter Pinda, leo ametembelea banda la Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) katika Maonesho ya Kilimo ya Nanenane yanayoendelea kufanyika katika Viwanja vya Nzuguni, Jijini Dodoma. Mhe….

Viongozi waandamizi sekta ya umma barani Afrika kutoka nchi 9 za kiafrika wakutana Arusha

NanHappy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha VIONGOZI waandamizi wa sekta ya umma barani Afrika kutoka nchi 9 za kiafrika wamekutana jijini Arusha kwa siku tano kwenye programu ya mafunzo ya uongozi kwa viongozi wa Afrika ambayo yamelenga kuwapa ujuzi, mbinu za ubunifu…

Wananchi watakiwa kutembelea banda la TIRA kupata elimu

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Wananchi wametakiwa kutembelea banda la Mamlaka ya usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) katika maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya nanenane Njiro kwa ajili ya kupata elimu juu ya huduma mbalimbali za bima zinazotolewa na…

Mhandisi Saidy: Nishati safi kwa kila mtu inawezekana

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia , Dodoma MKURUGENZI Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi, Hassan Saidy amesema inawezekana hadi mwaka 2034 Watanzania zaidi ya asilimia 80 wakawa wanatumia nishati safi ya kupikia kwa kuwa Serikali imeweka mipango madhubuti sambamba…