Category: MCHANGANYIKO
SJMT, SMZ zaendelea kuongeza wigo wa upatikanaji fedha za mazingira
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SJMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) zimeendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kuhakikisha zinaongeza wigo wa fedha…
Tanzania kunufaika na umakamu wa Rais wa Baraza la Mazingira Duniani (UNEA)
Kuchaguliwa kwa Tanzania kuwa Makamu wa Rais wa Baraza la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEA) kutaiwezesha nchi kunufaika na fedha kutoka Mifuko mbalimbali ya Mazingira duniani. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na…
Dk Mwigulu :Tanzania kuwa kitovu cha usafirishaji
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema mipango inayoandaliwa na Serikali inalenga kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafiri na usafirishaji wa bidhaa, viwanda na biashara katika ukanda wa Afrika. Amesema Mpango wa Nne wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2026/2027…
Baraza la wafanyakazi siri ya utendaji bora
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Baraza la Wafanyakazi la Sita la TMDA limefanyika kwa ufanisi tarehe 5-6 Februari, 2026 katika Manispaa ya Morogoro, kwa kuwakutanisha wajumbe wa Menejimenti na kutoka kwa Watumishi wa TMDA kwa lengo la kujadili na kukubaliana…
RC Iringa awataka wahandisi wa umwagiliaji kutanguliza uzalendo na weledi kulinda fedha za Serikali
📍NIRC Iringa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amewataka Wahandisi wa Mikoa na Wasimamizi wa miradi ya Umwagiliaji nchini kufanya kazi kwa uzalendo wa hali ya juu na weledi ili kuhakikisha uwekezaji mkubwa unaofanywa na Serikali unaleta tija…





