Category: MCHANGANYIKO
Rufiji kutoa tuzo kwa kata bora kimaendeleo na mapato 2026/27
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Halmashauri ya Mji Rufiji kuanzisha mfumo wa utoaji tuzo kwa kata zitakazofanya vizuri katika usimamizi wa shughuli za maendeleo pamoja na ukusanyaji wa mapato kupitia kadi maalum ya kupima utendaji kazi (score card) , kwa…
Programu ya Mageuzi ya Mazingira kuzinduliwa Juni 5, 2026
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajiwa kuzindua Programu ya Kitaifa ya Mageuzi ya Kimkakati ya Mazingira Endelevu Tanzania katika kilele cha Siku ya Mazingira Duniani (WED) ambapo kitaifa itafanyika jijini Dodoma, Juni 5, 2026. Akizungumza…
Chuo Kikuu chenye hadhi ya juu duniani kutua Tanzania kwa Maonesho ya Elimu Malaysia
…….Kinaungana na vingine 9 vya nchini humo kwenye maonesho ya elimu Dar Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Tanzania inatarajiwa kupokea ujumbe mkubwa wa viongozi wa elimu ya juu kutoka Malaysia, wakiwemo viongozi kutoka Wizara ya Elimu ya Malaysia, Education…
TTB yamkaribisha bingwa wa masumbwi duniani Terence kwa ziara ya utalii wa mchezo
Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru, amemkaribisha nchini kwa mara ya kwanza bingwa wa masumbwi duniani, Terence Crawford, ambaye katika historia yake hajawahi kupoteza pambano lolote. Ziara hiyo ya wiki moja nchini imeandaliwa kwa ushirikiano kati ya…
Masoko rasmi, bei elekezi yapunguza utoroshaji wa madini Ruvuma
📍Ruvuma Uanzishwaji wa masoko rasmi ya madini pamoja na matumizi ya mfumo wa bei elekezi mkoani Ruvuma, umetajwa kupunguza kwa kiasi kikubwa vitendo vya utoroshaji wa madini huku ukiongeza mapato ya Serikali na kuwanufaisha wachimbaji wadogo. Mkoa wa Ruvuma kwa…
Ofisi ya Msajili wa Hazina yatoa wito wa utawala bora kuimarisha uwekezaji wa umma
Zanzibar. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imesisitiza kuwa mustakabali wa mafanikio ya taasisi na mashirika ya umma nchini unategemea kwa kiwango kikubwa uimara wa mifumo ya utawala bora, uwajibikaji na uongozi wenye maono yanayolenga matokeo. Kauli hiyo imetolewa na…





