Category: MCHANGANYIKO
Equinor yafanya ziara Bandari ya Mtwara kutathmini utayari wa mradi wa LNG
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Kampuni ya Equinor kutoka Norway, ambayo ni miongoni mwa makampuni yanayotarajiwa kuwekeza katika mradi wa gesi asilia (LNG), imefanya ziara katika Bandari ya Mtwara kujionea maboresho yanayoendelea kufanyika katika bandari hiyo kwa ajil ya utayari…
HESLB yazindua Kampeni ‘Kiduchu fresh tunasonga mbele’
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu (HESLB) ambao tayari wamehitimu vyuo vikuu wameshauriwa kuanza kurejesha mikopo yao kidogo kidogo ili kutoa nafasi kwa wanafunzi wengine wenye uhitaji kupata fursa ya kusoma. Wito huo…
TANESCO yatoa zawadi ya majiko kwa walimu wa sekondari wasichana Manyara
📌Ni katika Kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa umeme 📌Waishukuru TANESCO kwa zawadi hiyo, wapongeza kazi kubwa inayofanywa na Shirika 📌Waahidi kwenda kuwa mabalozi wazuri wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Umeme Na. Mwandishi Wetu, Manyara Katika Kuhamasisha…
Prof. Shemdoe awataka ma RC, ma DC kupunguza magari kwenye ziara
Na OWM – TAMISEMI, Bahi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini kutekeleza maelekezo ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan…
John Mabagala azungumzia mchakato wa TCB usafirishaji Soko la Kahawa nchini
Na Francisco Peter, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB) pamoja na wadau wamekutana pamoja kufanya tathimini ya zoezi la uandikishaji wa daftari la taifa la wakulima wa kahawa nchini. Ambapo Umoja wa Ulaya unaendesha mpango ambao unatekelezwa…
Prof. Shemdoe awataka ma- RC kusimamia halmashauri ziwe na mipango madhubuti
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewataka Wakuu wa Mikoa nchini kuhakikisha Halmashauri zinaweka mipango madhubuti ya kuendeleza uzalishaji wa nafaka na mazao mchanganyiko kwa kuzingatia kanuni za…





