Category: MCHANGANYIKO
MMS atembelea wadau Maonesho ya SABASABA 2026
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko, akisaini kitabu cha wageni alipowasilikwemye viwanja vya maonyesho vya Mwalimu Nyerere vilivyopo Barabara ya Kilwa Dar es Salaam Julai 6, 2026. Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (kulia), akisalimiana na Dkt. Garvin…
Wizara ya Madini, taasisi za elimu zajadili uanzishwaji kituo cha umahiri wa madini mkakati Tanzania
-Taasisi ya BRIGHT yawasilisha mpango wa kuanzisha Kituo cha Umahiri wa Teknolojia ya Betri DODOMA – Wizara ya Madini imeanza hatua za mwanzo za kujadili uanzishwaji wa Kituo cha Umahiri wa Madini Mkakati kitakacholenga kutoa mafunzo ya teknolojia ya kuongeza…
Balozi Kaganda awasilisha hati za utambulidho kwa Rais wa Mauritius
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Mauritius, Kamishna wa Polisi (CP) Suzan Kaganda, mwenye makazi yake ya kikazi Jijini Harare, Zimbabwe, amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Mauritius, Mhe. Dharambeer Gokhool, katika hafla iliyofanyika Julai…
Mndolwa atangaza mkakati mpya wa kusafirisha mitambo ya visima virefu kunusuru mikoa yenye ukame
📍NIRC: DODOMA Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imeanza kuweka mikakati ya jinsi ya kusafirisha mitambo yake mikubwa ya kuchimba visima virefu kwenda maeneo mbalimbali nchini, hususani yale yenye changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji chini ya ardhi, mara baada…
TBS Yatoa elimu ya uthibitishaji wa bidhaa kwa wajasiriamali SABASABA
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutumia Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutoa elimu na kuwahamasisha wajasiriamali kuthibitisha ubora wa bidhaa zao ili kukidhi matakwa ya sheria za viwango na kuongeza ushindani wa…
CRDB yawapata washindi wa Kampeni ya “SimBanking Kimpango Wako”
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam CRDB Benki imeendesha droo ya kampeni ya “SimBanking Kimpango Wako” na kuwapata washindi wa zawadi mbalimbali, ikiwemo watano waliojishindia safari ya kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, mshindi mmoja wa friji aina ya Double…





