Category: MCHANGANYIKO
Mwenyekiti JAB awataka waandishi wa habari kutafakati upya wajibu wao
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Bw. Tido Mhando, amewataka Waandishi wa Habari nchini kutafakari upya wajibu wao katika kuijenga jamii kupitia maudhui yenye tija, akieleza kuwa ipo haja…
Waziri Mkuu ateta na Rais wa Benki ya AfDB
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya mazungumzo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Sidi Ould Tah kando ya Mkutano wa 61 wa Mwaka wa Bodi ya Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Afrika unaofanyika leo Jumanne…
Rafiki wa Binti wafanya kweli Afya ya Hedhi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Mpangi wa Rafiki wa Binti umezindua wimbo maalumu wa kielimu wa Afya ya Hedhi ikiwa ni kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Afya ya Hedhi Mei 28, 2026. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Saumu…
Shule ya Pre & Primary Courage yatoa msaada Kituo cha watoto yatima Mkuranga
Na Mwandishi Wetu, Mkuranga UONGOZI wa Shule ya Awali na Msingi ya Courage iliyopo eneo la Kibamba wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani umekabidhi msaada wa chakula, mavazi na bidhaa mbalimbali kwa Kituo cha Watoto Yatima cha Lord’s Children Home kilichopo…
Serikali yaongeza nguvu kuimarisha afya za mama wajawazito na Watoto nchini
NAIBU Waziri wa Afya, Florence Samizi amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kimkakati za kuimarisha afya za mama wajawazito na watoto nchini ikiwemo kuongeza miundombinu ya huduma, kuimarisha huduma za dharura wakati wa kujifungua, pamoja na kuboresha huduma za…
Serikali yaendelea kutenga maeneo mapya kwa wachimbaji wadogo
Na Mwandishi Wetu, Dodoma, Serikali imeendelea kuimarisha mazingira ya uwekezaji na ushiriki wa wananchi katika Madini kwa kuendelea kutenga maeneo maalum kwa ajili ya wachimbaji wadogo nchini, hatua inayolenga kuongeza fursa za ajira, kuinua uchumi wa wananchi na kurasimisha shughuli…





