Category: MCHANGANYIKO
Bodi ya REB yaridhishwa na usambazaji umeme kisiwani Jibondo
š Bilioni 8 zatumika š Mradi umekamilika kwa asilimia 90 Jibondo, Mafia š Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imeeleza kuridhishwa kwake na kasi ya usambazaji wa nishati ya umeme katika vitongoji vya Kisiwa cha Jibondo, kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya…
TBS Yateketeza Tani 3.4 za Unga wa Mahindi usiokidhi viwango
Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Magharibi limeteketeza tani 3.4 za unga wa mahindi uliochini ya kiwango, wenye thamani ya takribani Sh. milioni 3.5, baada ya vipimo vya maabara kubaini kuwa haukidhi viwango vya usalama kwa…
NMB, Bunge kuwakutanisha zaidi ya 1,000 michezoni Dodoma
Na Mwandishi Wetu, Dodoma.ZAIDI ya washiriki 1,000 kutoka Bunge, wizara 14 na taasisi 10 wanatarajiwa kushiriki NMB Bunge Bonanza 2026 litakalofanyika Jumamosi jijini Dodoma, baada ya NMB Bank Plc kukabidhi udhamini wake wathamani ya Sh milioni 210 ikiwemo vifaa vya…
Ushirikiano wa NHIF na ZHSF wavutia Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Bajeti ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar imeupongeza Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa kazi kubwa inayofanya katika kuimarisha mifumo ya utoaji wa huduma za bima ya afya nchini,…
GCLAĀ endeleeni kuwajengea uwezo wadau wa tiba asilia
Na Mwanaheri Jazza Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dkt. Elizabeth Myema, ameipongeza Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa kutoa huduma bora kwa jamii huku akiitaka Mamlaka kuendelea kuwajengea uwezo wadau wanaojihusisha na Tiba Asili kwa kuzalisha…
11 mbaroni tuhuma za wizi wa miundombinu ya TTCL
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawashikilia watu 11 kwa tuhuma za wizi, uharibifu na uhujumu wa miundombinu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Watuhumiwa hao, akiwemo Timoth Emesho maarufu kwa jina…





