Category: MCHANGANYIKO
JUBILEE Group Tanzania yazindua ukuta wa Shule ya Msingi Madenge kuimarisha usalama na mazingira ya kujifunzia
JUBILEE Group Tanzania imezindua rasmi ukuta uliojengwa kuzunguka Shule ya Msingi Madenge iliyopo Temeke, Dar es Salaam, kwa lengo la kuimarisha usalama na kuondoa changamoto ya usumbufu uliokuwa ukisababishwa na wapita njia, hali iliyokuwa ikiathiri mazingira bora ya kufundishia na…
Daraja la Bilioni 1.2/- kuondoa kero ya usafiri Kilosa
Na OWM–TAMISEMI, Kilosa Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa watanufaika na Shilingi Bilioni 1.2 zilizotolewa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya ujenzi wa daraja la kisasa…
DC Ubungo aipa tano JET, bado ina jukumu la kuelimisha jamii utunzaji mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, ameipongeza JET kwa kazi kubwa inayofanya ya kuandika kuhusu uharibifu na utunzaji wa mazingira akibainisha kwamba JET ina jukumu muhimu la kuelimisha jamii na kulinda rasilimali…
Wadau wakutana kujadili utekelezaji mkakati wa nishati safi ya kupikia
📌Lengo ni kuharakisha utekelezaji wake Katika kuendeleza jitihada za kuimarisha utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia wa mwaka 2024–2034, Jumuiya ya Wadau wa Nishati Jadidifu Tanzania (TAREA) na African Enterprise Challenge Fund (AECF), kwa kushirikiana na…
TIRDO yaibua wabunifu wa Afro Heal, wachakata mimea ya asili kuwa dawa za kisasa
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia,Dodoma Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limeendelea kuonyesha mchango wake katika kukuza ubunifu na teknolojia nchini baada ya kuiwezesha kampuni ya Afro Heal Group Limited kubadili mimea ya asili kuwa dawa za kisasa…





