JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wanawake na vijana waaswa kuchangamkia ajira na uchumi kupitia nishati safi

Serikali, kupitia Wizara ya Nishati, imeitaka jamii kuchangamkia fursa za uwekezaji katika sekta ya nishati safi ya kupikia, ikiwemo uzalishaji, usambazaji na matumizi ya teknolojia za kupikia kwa kutumia umeme, gesi, bayogesi na majiko banifu, hatua itakayosaidia kuongeza kipato cha…

REA yapeleka fursa ya mkopo nafuu wa ujenzi wa vituo vidogo vya mafuta vijijini kwa wanaushirika wote Tanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na Shirikisho la Vyama vya Ushirika (TFC) imeendesha mafunzo kuhusu nishati safi pamoja na kuileza kwa kina fursa ya mkopo nafuu wa ujenzi na uendeshaji wa vituo vidogo…

Mgalu apongeza hatua za Serikali kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Subira Mgalu, amepongeza hatua madhubuti zinazochukuliwa na Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zake katika kuhamasisha na kusambaza nishati safi ya kupikia nchini. Mhe. Mgalu ametoa pongezi hizo…

Chongolo aitaka NIRC kukamilisha ugawaji wa pampu za umwagiliaji

📍Nzuguni : Dodoma Waziri wa Kilimo, Mh.Daniel Chongolo, ameipongeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) na kuitaka kuhakikisha pampu za Umwagiliaji zilizotengwa kwa ajili ya wakulima zinagaiwa kuanzia Agosti 30 kwa wanufaika katika mikoa husika ili ziweze kutumika kuongeza uzalishaji…

WRRB yaja na ubunifu kwenye zao la parachichi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza mazungumzo na wazalishaji wa parachichi katika wilaya za Mufindi na Njombe kwa lengo la kuanzisha mfumo wa ubunifu utakaoruhusu shamba kutumika kama ghala la bidhaa hai…

TAMESOT yakemea vitendo vya udanganyifu, utapeli na uposhaji tiba

Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Dodoma Chama cha waganga watiba asili nchini TAMESOT kimekemea na kulaani vitendo vyote vinavyotumika vibaya na baadhi watu wanaotumia vibaya jina la tiba asili kwa maslahi binafsi. Kauli hiyo imetolewa naye katibu mkuu wa chama hicho…