JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Mavunde aagiza masoko ya madini kuwa wazi mpaka usiku

*▪️ Lengo ni kurahisisha huduma kwa wateja *▪️ Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kupunguza tozo zinazowaumiza wachimbaji wadogo *▪️ Dhahabu tani 67.8 zenye thamani ya Sh trilioni 18.4 zazalishwa kwenye viwanda vya usafishaji ▪️Waziri Mavunde aeleza mkakati wa kukuza biashara…

Miaka 40 ya COSTECH: Utafiti Unavyobadili Maisha ya Wafugaji

Clement akiwa na ng’ombe/eneo la malisho ******************* MTANANA, KONGWA, DODOMA — Kwa miaka mingi, Clement Alfonce alifuga ng’ombe kwa kutegemea malisho ya asili. Ng’ombe wake walizunguka katika maeneo mbalimbali kutafuta malisho, hali iliyomweka katika migogoro ya mara kwa mara na…

Mabadiliko ya mila, mtazamo ni muhimu kufikia malengo ya nishati safi ya kupikia – Ndejembi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema juhudi za usambazaji wa teknolojia za nishati safi ya kupikia zinapaswa kwenda sambamba na kuweka mkazo katika mabadiliko ya mila, desturi na mitazamo ambayo inachangia katika kurudisha nyuma…

CPA Walalaze : Walipakodi tumieni siku ya alhamisi kuwasilisha changamoto zenu

Na Mwandishi Wetu Kodi ni chanzo muhimu cha mapato kinachoiwezesha serikali kufanikisha mipango na mikakati yake ya kimaendeleo kwa wananchi wake. Wananchi wanahitaji huduma nzuri za kijamii kama elimu, afya, maji, umeme, barabara na masoko. Aidha, wanahitaji pia kuwezeshwa kiuchumi…

Tanzania yaihakikishia Fitch uchumi wenye mwelekeo chanya

Na. Josephine Majura na Asia Singano, WF- Dodoma Serikali imesema uchumi wa Tanzania unaendelea kuimarika na kwamba uwekezaji katika sekta mbalimbali, hususani madini, gesi, nishati, kilimo na miundombinu, unatarajiwa kutoa msukumo mkubwa kwa ukuaji wa uchumi. Hayo yalielezwa na Waziri…