Category: MCHANGANYIKO
Naibu Waziri Ndege atoa msaada wa futari na fedha kwa Waislamu Babati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Babati Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Manyara, Regina Ndege, amekabidhi futari na daku kwa waumini wa kiislamu kwa Madrasa…
Dk Nanauka azindua mitaji ya kuwezesha utekelezaji wa miradi iliyoibuliwa na vijana wa BBT – uvuvi
………………………………………………. Na Hellen Mtereko,Mwanza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, Dkt. Joel Nanauka amezindua programu ya kuwezesha mitaji kwa vijana watakaotekeleza miradi ya ufugaji samaki kwa njia ya vizimba. Hafla hiyo imefanyika leo Jumamosi Machi 07, 2026…
Kikwete : Maendeleo ya kiuchumi hayawezi kupatikana bila kuwepo kwa amani na utulivu
Na Mwandishi Maalum Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema maendeleo ya kiuchumi hayawezi kupatikana bila amani na utulivu, hivyo ni wajibu wa kila mwananchi kuhakikisha analinda na kudumisha…
TTCL yaadhimisha Siku ya Wanawake kwa kutoa msaada JKCI
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WANAWAKE wa Shirika la Mawasiliano Tanzania ( TTCL) wameungana na Wanawake wengine kuadhimisha siku ya wanawake duniani kwa kutoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa watoto wenye matatizo ya moyo waliolazwa Taasisi ya Moyo…
Wananchi Dodoma waishauri TBA kujenga nyumba za kupangisha kwa watu binafsi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Baadhi ya wananchi waliotembelea banda la Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) katika Kliniki maalum ya kutatua kero za wananchi iliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square, jijini Dodoma, wameshauri Wakala kuanza kujenga nyumba za makazi kwa…
Kimaro : Pwani kuadhimisha Siku ya Wanawake Ikwiriri Rufiji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKOA wa Pwani unaungana na mikoa mingine nchini kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, huku kilele cha maadhimisho kimkoa kikitarajiwa kufanyika Machi 8, 2026 katika Uwanja wa Ujamaa, Kata ya Umwe, Tarafa ya Ikwiriri, Halmashauri ya…





