Category: MCHANGANYIKO
Mbio za mwenge zazindua mradi wa nishati safi Simiyu
📌 Shule ya Sekondari Nkololo yaachana na kuni pamoja na mkaa Bariadi, Simiyu📍 Timu ya Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa imezindua rasmi mradi mkubwa wa ujenzi wa miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika Shule ya Sekondari Nkololo, iliyopo…
Morocco, Tanzania zaimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kidiplomasia
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Ufalme wa Morocco na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yameendelea kuimarika kwa kasi tangu ziara ya kihistoria ya Kiserikali ya Mfalme Mtukufu Mohammed VI nchini Tanzania mwaka 2016, huku…
Morcase : Binti miaka 16 amuua mama yake kisa kukatazwa kwenda ‘birthday’
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia msichana mwenye umri wa miaka 16, Rahma Musa Tito, mkazi wa Kijiji cha Msoga, Wilaya ya Chalinze, kwa tuhuma za kumuua mama yake mzazi, Hadija Hemedi Shaha (51),…
Serikali kuzalisha maelfu ya ajira kwa vijana kupitia mradi wa Umwagiliaji
📍NIRC: Arusha. Katika jitihada za kumkomboa mkulima mdogo kutokana na utegemezi wa mvua, Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) inaendelea na mpango wa kuchimba visima 67,000 nchi nzima, mradi utakaozalisha maelfu ya ajira kwa vijana na kuleta uhakika wa chakula….
Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu kwa mwaka 2026 Kufanyika Tanga
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametangaza maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu kwa mwaka 2026, yatakayofanyika kuanzia Agosti 15 hadi 24 katika viwanja vya michezo vya Shule ya Sekondari Usagara, jijini Tanga….





