Category: MCHANGANYIKO
Nchi za SADC zaazimia kuimarisha ushirikiano wa kikanda kukuza uchumi
Na. Eva Ngowi WF, Harare – Zimbabwe Leo Julai 3, 2026, ilikuwa siku ya mwisho ya Mkutano wa Kamati ya Mawaziri wa Fedha na Uwekezaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ambapo nchi wanachama zilihitimisha majadiliano kwa kuwasilisha…
Rais Samia kaleta bilioni 1.2 za ujenzi shule za msingi Mlimba – Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Mlimba Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu, amewaletea wananchi wa Mlimba kiasi cha Shilingi Bilioni 1.2 za…
Waziri Mkuu azindua shule ya msingi Kasoma, aipongeza Musoma Vijijini kwa usimamizi miradi
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameizindua Shule ya Msingi Kasoma iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, mkoani Mara na kuipongeza halmashauri hiyo kwa kusimamia miradi ya maendeleo kwa kuzingatia thamani ya fedha pamoja na kuendelea kuboresha huduma za elimu kwa…
Rais Samia anavyosaka fursa kimataifa uboreshaji afya mama na mtoto Afrika
Na DK Reuben Lumbagala Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, anatambulika kimataifa katika nyanja mbalimbali kutokana na utendajikazi wake uliotukuka. Miongoni mwa maeneo yanayomtambulisha kwa upekee ni pamoja na kuwa Kinara wa Afya ya Uzazi ya Mama na Mtoto barani Afrika….
Sabasaba yafungua fursa mpya za madini, wafanyabiashara wakiri utajiri mkubwa wa Tanzania
●Serikali yapongezwa kwa kuimarisha sekta ya madini, wawekezaji waendelea kuonesha imani kubwa 📍DAR ES SALAAM Wafanyabiashara na wadau wa sekta ya madini wameipongeza Serikali kwa kuendelea kuimarisha usimamizi wa sekta hiyo kupitia uwazi, utekelezaji wa sheria na matumizi ya mifumo…
Jeshi la Polisi lahimiza ushirikiano na makampuni ya ulinzi binafsi
Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi limetoa wito wa ushirikiano wa karibu kati ya polisi na makampuni binafsi ya ulinzi kwa lengo la kupunguza matukio ya uhalifu pamoja na kudumisha amani nchini. Wito huo umetolewa hivi…





