Category: MCHANGANYIKO
Dk Mwigulu : Tuendelee kumuombea Lukuvi
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaomba Watanzania waendelee kumuombea kwa Mwenyezi Mungu aliyekuwa Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, marehemu William Lukuvi aliyefariki jana Machi 25, 2026 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma….
Mtendaji Mkuu WMA aitaka menejimenti kumsaidia Rais Samia
WMA – DODOMA Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA) Alban Kihulla amewaelekeza wajumbe wa menejimenti ya Wakala hiyo kuwa na majadiliano ya wazi na yenye tija yanayolenga kuboresha zaidi huduma kwa wananchi hivyo kumsaidia Rais wa Jamhuri ya…
RITA yapokea madai 248 kutoka kwa wadai mbalimbali wa kampuni ya Pride
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) imepokea madai 248 kutoka kwa wadau na taasisi mbalimbali kwa iliyokuwa kampuni ya kukopesha fedha ya Pride Tanzania ili waweze kuchakata na kubaini uhalisia wa madai…
Mradi wa Sequip waendelea kuboresha elimu ya sekondari Mtwara
Na OWM – TAMISEMI,Mtwara Mkoa wa Mtwara umeendelea kupiga hatua katika kuboresha Sekta ya Elimu kufuatia utekelezaji wa Mradi wa Kuimarisha Elimu ya Sekondari (SEQUIP), unaosimamiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi…
Dkt. Mataragio: Serikali haitasita kuwachukulia hatua kali wanaoficha mafuta
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imetoa onyo kali kwa wafanyabiashara wanaojihusisha na vitendo vya kuficha mafuta kwa lengo la kuyauza kwa bei ya juu baadaye, ikisisitiza kuwa haitasita kuchukua hatua kali kwa watakaobainika kuvuruga utaratibu wa soko….





