Category: MCHANGANYIKO
Rais Samia awajulia hali Sheikh Rashid, Pacome
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali Sheikh Rashid Hamad Othman, Mlezi wa Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo, Mhe. Othman Masoud Othman, anayepatiwa matibabu katika Hospitali ya Aga Khan Jijini…
Breaking News: NECTA yatangaza matokeo kidato cha sita, kiwango cha ufaulu chaongezeka
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita na Mitihani ya Ualimu ya Mei 2026, yakionyesha ongezeko la kiwango cha ufaulu ambapo watahiniwa wa shule wamefaulu kwa asilimia 99.92. Akizungumza wakati wa kutangaza matokeo…
Wananchi wahamasishwa kutumia umeme katika vyombo vya usafiri kupunguza gharama za usafiri
📌 TANESCO yaeleza matumizi ya umeme katika magari, bajaji na pikipiki 📌 Pikipiki ya umeme hutumia uniti 3 pekee kusafiri hadi kilometa 130 Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wananchi wamehimizwa kutumia umeme katika vyombo vya usafiri ili kupunguza gharama…
Rais Mwinyi atoa milioni 200/- kusaidia kituo cha Irshaad Lushoto, aridhia ombi la Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Lushoto Alhaji Dkt. Hussein Mwinyi, Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, amekubali ombi la Mbunge wa Jimbo la Lushoto Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, Waziri wa Nchi, Ofisi ya…
Halmashauri Wilaya Nyasa yapata hati safi
Na Mwandishi Wetu, JamuhuriMedia, Nyasa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa imeendelea kuonyesha mafanikio katika usimamizi wa fedha za umma baada ya kupata hati safi kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Mafanikio hayo yametokana na matumizi…
Ridhiwani:Chuo Cha Utumishi wa Umma kiendelee kujenga watumishi wenye weledi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amekumbusha umuhimu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania, kuendelea kufundisha na kukuza utumishi wa Umma Tanzania. Ridhiwani ameyasema hayo aliposhiriki kilele cha maadhimisho…





