JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali yasisitiza matumizi ya GAMIS kuimarisha usimamizi wa mali za umma

Na. Josephine Majura, WF, Pwani Serikali imezitaka taasisi zote za umma nchini kuimarisha usimamizi wa mali za Serikali kwa kuhakikisha taarifa zote za mali zinaingizwa na kutunzwa katika Mfumo wa Serikali wa Usimamizi wa Mali (GAMIS), ili kuongeza uwajibikaji, kuimarisha…

TANESCO yafungua ukurasa mpya wa matumizi ya umeme nchini

…………………….. *Yazindua vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme *Wananchi kunufaika na mpango wa ukopeshaji wa majiko ya umeme kupitia LUKU Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua mradi wa vituo vya kuchajia vyombo vya…

Mramba akutana na wadau wa Kimataifa kuendeleza miradi ya Jotoardhi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba, amefanya mazungumzo na wadau mbalimbali wa sekta ya nishati kuhusu fursa za kuendeleza miradi ya jotoardhi na kuimarisha matumizi ya nishati safi…

DC Mbalali aongoza zoezi la upandaji miti kuhifadhi mazingira ya mradi wa TAZA

📌 Lengo ni kuimarisha na kuhifadhi mazingira 📌 Maeneo yenye vyanzo vya maji vinavyochangia uzalishaji wa umeme kupewa kipaumbele Na Agnes Njaala, Itamboleo Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Brigedia Jenerali Maulid Surumbu, ameongoza zoezi la upandaji miti katika maeneo yaliyopitiwa…

FCC, ZFCT zaimarisha ushiriliano ushirikiano kulinda ushindani wa haki

Na Mwandishi Wetu Baraza la Ushindani Halali Zanzibar (ZFCT) limefanya ziara ya mafunzo katika Tume ya Ushindani ya Haki (FCC) kwa lengo la kujifunza na kubadilishana uzoefu katika masuala ya ushindani wa biashara, udhibiti wa bidhaa bandia pamoja na usimamizi…

Wakulima wa pamba wajitokeza kufungua akaunti kupokea malipo ya mazao

Wakulima wa zao la pamba kutoka vijiji vya Mbutu, Iyogelo, Ilambakuki, Imalanguzu na Mwamakoma vilivyopo katika Wilaya ya Igunga, Mkoa wa Tabora, wamehamasika kufungua akaunti za benki na kusajili laini za simu ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kupokea malipo…