Category: MCHANGANYIKO
REA yaandika historia Ludewa
📌Yawasha umeme ukanda wa Nyasa kitongoji cha Nkanda 📌Yapongezwa kufikisha umeme kwenye mazingira magumu Njombe 📌Bodi ya REA yasisitiza wananchi kuchangamkia fursa uwepo wa nishati ya umeme 📍Nkanda – Ludewa Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijni (REA), unaendelea kutekeleza miradi…
Uwekezaji wa NSSF Mkulazi wachochea ajira, wapunguza Nakisi ya Sukari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amesema mradi wa kiwanda cha sukari Mkulazi ni mradi wa kimkakati unaotekeleza kwa vitendo maono ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan…
Madini yabadilisha maisha Ruangwa, wachimbaji watoka ‘buku buku’ hadi miradi ya maendeleo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi imeendelea kushuhudia mageuzi makubwa ya kiuchumi na kijamii kufuatia kuongezeka kwa shughuli za uchimbaji madini katika Mgodi wa Namungo unaomilikiwa na kampuni ya Elianje Limited, huku wachimbaji wadogo na wananchi…
Rufiji kutoa tuzo kwa kata bora kimaendeleo na mapato 2026/27
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Halmashauri ya Mji Rufiji kuanzisha mfumo wa utoaji tuzo kwa kata zitakazofanya vizuri katika usimamizi wa shughuli za maendeleo pamoja na ukusanyaji wa mapato kupitia kadi maalum ya kupima utendaji kazi (score card) , kwa…
Programu ya Mageuzi ya Mazingira kuzinduliwa Juni 5, 2026
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajiwa kuzindua Programu ya Kitaifa ya Mageuzi ya Kimkakati ya Mazingira Endelevu Tanzania katika kilele cha Siku ya Mazingira Duniani (WED) ambapo kitaifa itafanyika jijini Dodoma, Juni 5, 2026. Akizungumza…
Chuo Kikuu chenye hadhi ya juu duniani kutua Tanzania kwa Maonesho ya Elimu Malaysia
…….Kinaungana na vingine 9 vya nchini humo kwenye maonesho ya elimu Dar Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Tanzania inatarajiwa kupokea ujumbe mkubwa wa viongozi wa elimu ya juu kutoka Malaysia, wakiwemo viongozi kutoka Wizara ya Elimu ya Malaysia, Education…





