JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

NMB yaingia mbio za mbuzi, vijana zaidi ya 130 kunufaika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NMB Bank imejiunga kwa mara ya kwanza kuwa mdhamini wa Mbio za Mbuzi za mwaka 2026, zinazolenga kukusanya Sh milioni 200 kwa ajili ya kusaidia vijana 150 kujiunga na vyuo vikuu na mafunzo…

Taka tani 689, 144 huzalishwa kila mwezi, Serikali kuchukua hatua

Na Atley Kuni, WAF – Morogoro SERIKALI imezitaka mamlaka za miji, wataalamu, sekta binafsi na wananchi kuongeza juhudi katika usafi wa mazingira na udhibiti wa taka, baada ya kubainika kuwa Tanzania inazalisha jumla ya tani 689,144 za taka ngumu kila…

Mhe. Luswetula awasili Kenya kushiriki Mkutano wa Ufadhili Sekta ya Afya

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb), akizungumza na wajumbe kutoka Tanzania watakaoshiriki Jukwaa la Mazungumzo ya Ngazi za Juu la Mawaziri wa Fedha kuhusu kuimarisha uwekezaji wa pamoja katika Sekta ya Afya, alipowasili jijini Nairobi, Kenya. ******************* Na….

Kliniki ya Viwango Yarahisisha Usajili wa Bidhaa kwa Wafanyabiashara Kariakoo na Mwenge

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kusogeza huduma na elimu kuhusu viwango, ubora na usalama wa bidhaa karibu na wananchi kupitia Kliniki ya Viwango, hatua inayolenga kurahisisha upatikanaji wa huduma hizo na kuwawezesha wafanyabiashara…

Aweso Cup, jukwa la kukuza vipaji na uwekezaji Pangani

Na Dk Reuben Lumbagala Michezo ni sekta muhimu inayotoa ajira kwa vijana wengi duniani. Kutokana na hilo, mipango madhubuti huwekwa ili kuhakikisha vijana wanapata ajira kupitia michezo na kuchangia maendeleo ya nchi. Tanzania si kisiwa. Kwa namna michezo ilivyobadili hali…