JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kairuki atoa miezi mitatu kwa taasisi zinazohusika na ukusanyaji na usambazaji taarifa binafsi

Na John Walter, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Angela Kairuki ametoa miezi mitatu kwa taasisi mbali mbali ambazo zinahusika na Uchakataji,Ukusanyaji na Usambazaji wa taarifa binafsi kukamilisha usajili wake mara moja. Kairuki amesema kuwa Sheria ya…

Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne na kidato cha pili 2025

MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA DARASA LA NNE (SFNA) 2025 https://matokeo.necta.go.tz/results/2025/sfna/sfna.htm MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA KIDATOCHA PILI (FTNA) 2025 https://matokeo.necta.go.tz/results/2025/ftna/ftna.htm

Waomba kuanzishwa masoko ya madini visiwani Zanzibar

📍 Zanzibar | Januari 10, 2026 Wananchi wa Zanzibar wameiomba Serikali kupitia Tume ya Madini kuanzisha masoko na minada rasmi ya madini Visiwani humo ili kuwawezesha wafanyabiashara, wachimbaji wadogo na wawekezaji kufanya biashara ya madini kwa uwazi, usalama na bei…

Salome Makamba : Mradi wa umeme jua Kishapu uko mbioni kukamilika

📌Asema jumla ya Megawati 50 kuingizwa kwenye Gridi ya Taifa 📌Ampongeza Mhe. Rais kwa uwekezaji Mkubwa wa Miradi ya umeme Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Mradi wa Umeme unaozalishwa kwa nguvu ya Jua uliopo Kishapu, Mkoani Shinyanga,…

Tanzania, China zakubaliana kuendeleza ushirikiano wa kimkakati

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na kufanya mazungumzo ya pande mbili na mgeni wake, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China, Wang Yi, na kukubaliana…

Mafanikio ya mapambano ya dawa za kulevya, wahamia kwenye ulevi wa pombe kupindukia

Baada ya Tanzania kupiga hatua kubwa katika kudhibiti na kukomesha biashara na matumizi ya dawa za kulevya, Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema nchi sasa inakabiliwa na changamoto mpya ya kuongezeka kwa ulevi wa pombe,…