JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TANROADS yajenga Km 243 za barabara za lami ndani ya miezi 10

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imeendelea kuimarisha sekta ya miundombinu nchini kwa kufanikisha ujenzi wa barabara na madaraja katika kipindi cha Julai 2025 hadi Aprili 2026 chini ya uongozi wa Rais Samia…

Kampeni ya “Jua Namba Zako” yagusa watumishi wa REA Dodoma

Na Mwandishi Maalumu-Dar es Salaam Watumishi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wametakiwa kujenga utamaduni wa kupima afya mara kwa mara na kufahamu “namba zao” ikiwemo shinikizo la damu, kiwango cha sukari, mafuta mwilini, mapigo ya moyo na uwiano wa…

TMA yatoa tahadhari ya upepo mkali kwa mikoa mitano

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania-TMA, imewataka wananchi kuchukua tahadhari kuanzia kufuatia kuwepo kwa matarajio ya upepo mkali wa kilomita 40 kwa saa katika mikoa mitano nchini. Mikoa hiyo ni Dar es Salaam, Pwani, Tanga, Lindi, Mtwara na visiwa vya…

Kunenge : Mafanikio vyama ya ushirika yachangia Pwani kupata heshima kitaifa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amepongeza jitihada zinazofanywa na sekta ya ushirika kwa kuhakikisha Mkoa unaendelea kuwa kinara wa maendeleo ya ushirika nchini. Amesema mafanikio yanayopatikana kupitia vyama vya ushirika yameendelea kuupa mkoa…

Duce yang’ara wiki ya tafiti na ubunifu

*TET yataka elimu iendane na mahitaji ya dunia ya sasa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dkt. Aneth Komba, amezitaka taasisi za elimu ya juu nchini kuhakikisha tafiti, ubunifu pamoja na…

Njombe yaibuka kitovu cha madini adimu, soko lake kuu lipo China

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Serikali imetangaza kuwa Mkoa wa Njombe unatarajiwa kuwa kitovu kipya cha uwekezaji wa madini nchini baada ya kugunduliwa kwa madini adimu ya Rare Earth Elements (REE) ya aina mbili ambayo ni Neodymium Nd na Praseodymium…