JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Simbachawane awataka wanaKegara walioko nje kurejea nyumbani kuwekeza

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amewataka Wanakagera wanaoishi nje ya Mkoa wa Kagera kurejea nyumbani kuwekeza, akisisitiza kuwa maendeleo ya mkoa huo yanahitaji ushiriki wa wadau wote, hususan wananchi wenye asili ya Kagera waliopo maeneo mbalimbali…

Dk Mwigulu atoa siku saba kwa TANROADS, TARURA Lindi

*Ataka watengeneze kwa haraka daraja la dharura lililoanza kutitia WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku saba kwa Mameneja wa TANROADS na TARURA wa Mkoa wa Lindi wakae na kutafuta suluhisho la ujenzi wa daraja katika eneo la Congo kwenye…

Huu ndio utaratibu wa msiba na mazishi kwa kabila la Wahadzabe

Na Hamis Dambaya na Kassim Nyaki, Ngorongoro. Jamii ya kabila la Wahadzabe ina historia ya kuvutia katika kila nyanja ya maisha yao, watalii mbalimbali wanaotaka kujua hadithi nzuri za kuvutia,kusisimua na kuelimisha kuhusu mila, desturi, utamaduni na historia ya wahadzabe…

NAOT yaweka mpango mkakati kuandaa ripoti za ukaguzi kwa nukta nundu

Na Mwandishi Wetu, Morogoro  OFISI ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) imeweka mkakati maalum wa kuandaa na kusambaza ripoti za ukaguzi katika mfumo wa nukta nundu (Braille), hatua inayolenga kuhakikisha watu wenye ulemavu wa uoni hafifu wanapata haki sawa ya kufikia…

UDSM yaishukuru Serikali Awamu ya Sita kuboresha miundombinu ya elimu na utafiti

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kuendelea kukiimarisha kupitia uboreshaji wa miundombinu ya kujifunzia na utafiti katika kampasi zake. Shukrani hizo zimetolewa Jumamosi na Mkuu wa Chuo, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho…

Tanzania, India yaingia makubaliano kuendeleza tiba asili

Na John Mapepele – New Delhi Serikali ya Tanzania na India zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) kuhusu ushirikiano kwenye Sekta ya Afya katika kuendeleza tiba asilia (Ayurveda), huku Tanzania ikiwakaribisha wawekezaji kutoka sehemu duniani kuja kuwekeza na kuwahakikishia kuwapatia mazingira…