JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Indonesia yaahidi kumaliza msaada wa kukamilisha ukarabati kituo cha mafunzo ya wakulima

Serikali ya Indonesia imeahidi kutimiza ahadi yake ya kumalizia utoaji wa kiasi cha fedha za msaada kilichosalia kwa ajili ya kukamilisha ukarabati wa Kituo cha Mafunzo ya Wakulima Vijijini (FARTC) kilichopo Mikindo mkoani Morogoro. Ahadi hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa…

Makamu wa Rais amwakilisha Rais Samia mkutano wa dharura wa SADC

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama wa…

Waziri Mchengerwa aongoza ujumbe wa Tanzania uzinduzi wa mkutano wa pili wa duniani tiba asili

Na John Mapepele, New Delhi Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa leo ameuongoza ujumbe wa Serikali ya Tanzania katika uzinduzi wa Mkutano wa pili wa dunia wa Tiba Asili unaoratibiwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kwenye ukumbi wa…

Viongozi waliochochea migogoro ya ardhi Lupunga kikaangoni- Kunenge

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa (RAS) na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha kufuatilia na kuwachukulia hatua viongozi wote waliojihusisha kuchochea migogoro ya ardhi katika eneo la Lupunga, Kikongo,…

Waziri Akwilapo aagiza kuongezwa kwa kasi ya kupanga na kupima ardhi nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo ameiagiza Tume ya Taifa ya Matumizi ya Ardhi kuongeza kasi ya kupanga na kupima ardhi katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo miradi ya kilimo,…

Waziri Mkuu awaagiza TANROADS, TARURA kufanya tathmini ya miradi yote

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza Watendaji Wakuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kufanya tathmini ya miradi yote ambayo malipo ya awali yameshafanyika na hatua za ujenzi zilizofikiwa katika miradi…