JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TIRDO yaibua wabunifu wa Afro Heal, wachakata mimea ya asili kuwa dawa za kisasa

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia,Dodoma Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limeendelea kuonyesha mchango wake katika kukuza ubunifu na teknolojia nchini baada ya kuiwezesha kampuni ya Afro Heal Group Limited kubadili mimea ya asili kuwa dawa za kisasa…

Tanzania, Senegal zaimarisha ushirikiano wa sekta ya nishati

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Nishati na Petroli wa Jamhuri ya Senegal, Mhe. Dkt. Elhadji Abdourahmane Diouf, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kati ya Tanzania na Senegal katika maendeleo ya…

Tanzania, Uganda zatia saini makubaliano ya kuiendeleza Tanga kuwa kitovu cha nishati cha kikanda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, wameshuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano ya kuiendeleza Tanga kuwa kitovu cha nishati cha kikanda. Hati hiyo…

Mkurugejzi ORCI aridhishwa na kasi ya ujenzi wa kituo cha matibabu ya saratani BMH

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) Dkt. Diwani Msemo, ametembelea Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) iliyopo jijini Dodoma kuangalia maendeleo ya ujenzi wa Kituo cha Umahiri cha Matibabu, Mafunzo na Tafiti…

Mfumo wa M+2 waimarisha uhakika wa mafuta nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mfumo wa kuagiza mafuta kwa ajili ya matumizi ya miezi miwili inayofuata umeiwezesha Tanzania kuendelea kuwa na bidhaa za mafuta za kutosha, licha ya vita na changamoto nyingine zinazoathiri soko la dunia. Hayo yameelezwa na…