JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Masauni aitambua NEMC kama mlezi wa Green Summit

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Hamad Yusuf Masauni, amelitambua na kulipongeza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa nafasi yake muhimu kama Mlezi na mdau wa kitaasisi wa Tanzania…

NCAA yawapiga msasa Malaigwanani

Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imeendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa Malaigwanani ,wazee na kina mama maarufu wapatao 33 kutoka kata 11 za ndani ya eneo la hifadhi Ngorongoro ili kuwajengea uwezo wa kutambua fursa mpya za kiuchumi. Akizungumza wakati wa…

Makandarasi watakiwa kufanyia kazi maagizo wanayopewa kabla ya El Nino

Dar es Salaam Makandarasi wanaotekeleza miradi ya ujenzi wa miundombinu ya barabara za kuingia viwanja vya mazoezi na uendelezaji wa barabara ya uwanja wa Taifa ambayo itatumika wakati wa michuano ya AFCON wametakiwa kufanyia kazi maelekezo yote wanayopatiwa na Wakala…

Taasisi ya OMDTZ yawezesha kata tano kuwa na mipango ya kukabili mafuriko Dar

Na Mwandishi wetu, JamahuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya OpenMap Development Tanzania (OMDTZ) kwa kushirikiana na Serikali imeanza zoezi la kukabidhi Mipango ya Kata ya Kujiandaa na Kukabiliana na Mafuriko kwa jamii katika kata tano za Jiji la Dar es…

Prof. Shemdoe aweka jiwe la msingi ujenzi wa madarasa Lindi

Na: OWM – TAMISEMI, Mchinga – Lindi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa madarasa manne na ofisi moja…

Wahitimu wa vijijini wahimizwa kuomba ufadhili wa Nuru Yangu

NMB Foundation imetoa wito kwa wahitimu wa Kidato cha Sita mwaka 2026 wenye sifa kuwasilisha maombi ya Nuru Yangu Scholarship and Mentorship kabla ya dirisha kufungwa Ijumaa, Septemba 18, 2026. Awamu hii imetengewa Sh bilioni 1 kufadhili vijana 50 wenye…