JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TBS, Halmashauri za Njombe zaazimia Kuimarisha Udhibiti wa bidhaa

KATIBU Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji wa Mkoa wa Njombe, Gumbo Mvanda, amesisitiza kuimarishwa kwa ushirikiano kati ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Halmashauri za mkoa huo katika kudhibiti ubora na usalama wa chakula na vipodozi kwa ajili ya…

Sangu aitaka TALGWU kujenga umoja kupitia Uchaguzi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Clement Sangu, amekitaka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) kuendesha uchaguzi wake kwa kuzingatia Katiba, demokrasia, uwazi, haki,…

Madaktari bingwa wa Apollo, Muhimbili, Benjamin Mkapa na MOI wawasili Arusha

*Watatoa matibabu mbalimbali ya kibingwa *Itafanyika katika hospitali ya JKCI-ALMC kuanzia tarehe 21 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Hospitali ya JKCI–ALMC Arusha (Selian ya Mjini) imeandaa Kambi Maalum ya Matibabu ya Kibingwa itakayofanyika kuanzia Septemba 21 hadi 24, 2026, ikiwakutanisha…

Tafiti na gunduzi za wanasayansi chipukizi zinaunga mkono lengo la kuanzisha shule za amali – Prof. Shemdoe

Na: OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema tuzo za tafiti na gunduzi katika maeneo ya ubunifu, sayansi, kilimo, nishati, mazingira…

TANESCO imejipanga kukabiliana na athari za El Nino – MD Twange

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limejipanga kukabiliana na athari za mvua za El Niño kwa kuimarisha miundombinu, kuandaa timu za dharura na kuchukua tahadhari katika mabwawa ya kuzalisha umeme. Akizungumza katika kipindi cha…