JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali yaanza rasmi mchakato wa kuboresha sheria ya elimu

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI imepokea taarifa ya awali ya Kamati ya Mapitio ya Sheria ya Elimu, Sura ya 353. Akizungumza Dodoma, Desemba 30, 2025 katika kikao cha Kisekta cha…

Wawili wafariki kwa kupigwa na radi Tabora

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia,Tabora WATU wawili wamepoteza maisha kwa kupigwa na radi wakiwa wamejikinga mvua kwenye kibaraza cha nyumba yao iliyoegemewa na mti katika Kijiji cha Songambele, Kata ya Uyowa, Wilayani Kaliua Mkoani hapa. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani…

Vipaumbele vya Rais Samia vyazalisha ajira 86,621 Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhutiMedia, Pwani MKAKATI wa Serikali wa kuvutia uwekezaji na kuzalisha ajira unaendelea kuzaa matunda mkoani Pwani, baada ya mkoa huo kuibuka kinara kitaifa kwa kuzalisha ajira 86,621, hatua iliyomfanya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango…

Wagonjwa wa moyo 900 wahudumiwa kwa mwezi Tawi la JKCI Oysterbay, lavunja rekodi,

Na Mwandishi Wetu KLINIKI ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) tawi la Oysterbay imeendelea kung’ara katika utoaji wa huduma bora za kibingwa za moyo, baada ya kufikia mafanikio makubwa kwa kuhudumia hadi wagonjwa 900 kwa mwezi ndani ya kipindi…

Tanzania, UAE wazidi kuimarisha ushirikiano wa kimkakati

Na Mwandishi Wetu Mnamo Desemba 26, 2025, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki , amewasilisha ujumbe maalum kwa Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu, Mtukufu Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan,…

Simbachawane asifu NIDA kuzindua mfumo wa NIDA Code Number

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi George Simbachawene, ameipongeza Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kwa kubuni na kuzindua mfumo wa short code unaolenga kurahisisha upatikanaji wa huduma za vitambulisho vya taifa…