JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Historia ya Uhuru wa Tanzania na ukombozi wa Afrika kung’ara Paris

Na Mwandishi Wetu Historia ya Tanzania katika harakati za kupigania uhuru, kuundwa kwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar pamoja na mchango wake katika ukombozi wa Afrika ni miongoni mwa vivutio vitakavyopewa nafasi ya kipekee katika Maonesho ya Kiswahili yatakayofanyika jijini…

CP Kavirondo: Teknolojia ni nguzo muhimu ya urekebishaji wafungwa

Kamishna wa Huduma za Urekebu Jeshi la Magereza, CP Amina Kavirondo, alisema Jeshi la Magereza limejipanga kutumia mifumo mbalimbali ya kidijitali ili kuachana na mifumo ya zamani na kwenda sambamba na maendeleo ya teknolojia katika utekelezaji wa majukumu yake. CP….

Rais Dk Mwinyi ateta na Rais wa Singapore Ikulu Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amempokea Rais wa Jamhuri ya Singapore Mhe.Tharman Shanmugaratnam,katika Ikulu ya Zanzibar, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kikazi nchini Tanzania iliyoanza Juni 8, 2026. Kikao hicho…

Waziri wa Mambo ya Nje wa Slovakia awasili nchini

Na Mwandishi Wetu, Waziri wa Mambo ya Nje na Masuala ya Ulaya wa Jamhuri ya Slovakia, Mhe. Juraj Blanár, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi kuanzia Juni 10 hadi 11, 2026, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha uhusiano wa…

TANESCO Ruvuma yatoa elimu kwa wananchi umuhimu wa kulinda miundombinu ya umeme

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Ruvuma limetoa elimu kwa wananchi wa Kitongoji cha Kisendema kilichopo Kata ya Msisima, Wilaya ya Namtumbo, kuhusu umuhimu wa kulinda miundombinu ya umeme ili kuhakikisha huduma hiyo inaendelea…

Watuhumiwa mauaji ya mfanyabiashara raia wa China wakamatwa

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwakamatawatuhumiwa wanne wanaohusishwa na mauaji ya mfanyabiashara raia waChina, Fauzani Lee, yaliyotokea hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari,…