Category: MCHANGANYIKO
Mwigulu akagua ukarabati wa uwanja wa ndege wa Sumbawanga
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 08, 2026 amekagua maendeleo ya ukarabati na uboreshaji wa Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga uliopo mkoani Rukwa. ‎Mradi huo ulianza kutekelezwa katika mwaka wa fedha 2023/2024 kwa gharama ya shilingi bilioni 60.1 na…
Benki ya Dunia kutoa bilioni 5 kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatus Matavila, ameishukuru Benki ya Dunia kwa msaada wa kifedha na kitaaluma wa kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi. Akifungua kikao cha Kamati Kuu (National Steering Committee)…
AWESO atembelea Gridi ya Taifa ya Maji ya China
Shan Dong, China Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amewasili nchini China na kutembelea Gridi ya Taifa ya Maji ya China.Akiambatana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Eng Mwajuma Waziri pamoja na watendaji wa sekta Waziri Aweso amefika…
Wahariri waipongeza REA usambazaji wa gesi asilia Lindi, Pwani
📌Bilioni 6 yawezesha kusambaza miundombinu ya gesi asilia kwenye kaya 1000 na shule moja 📌Nishati ya gesi asilia ni ya uhakika, salama na nafuu zaidi 📌Wananchi watakiwa kuilinda miundombinu ya kusambaza gesi asilia Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Jukwaa la…
EACOP yazindua mpango wa ‘Msaidie Binti Abaki Shule’ kusaidia hedhi salama
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umezindua awamu ya kwanza ya mpango wa hedhi salama mashuleni unaojulikana ‘Msaidie Binti Abaki Shule’ unaolenga kuwawezesha wasichana, hususan wanaoishi vijijini kuhudhuria masomo muda wote,…
RITA yatoa msaada wa vifaa vya ujenzi wa jengo la kituo cha watoto wenye uhitaji Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Ufilisi na Udhamini (RITA) umekabidhi vifaa vya ujenzi pamoja na mahitaji mengine muhimu kwa ajili ya kuboresha mazingira bora ya makazi na elimu katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Huruma…





