JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Sangu akutana na mzee wa upako na mtume Malisa

-Aeleza umuhimu wa Mahusiano mema katika kuimarisha mshikamano wa Taifa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, leo Julai 4, 2026 Jijini Dar es Salaam amekutana na kufanya mazungumzo na Mchungaji Antony…

Serikali kutekeleza mradi wa umeme jua katika visiwa saba Musoma

Serikali kupitia Wizara ya Nishati imetenga shilingi milioni 273.6 kwa ajili ya kutekeleza mradi wa kusambaza umeme wa jua katika visiwa saba vya Wilaya ya Musoma ikiwemo Nyasaungu, Muroba, Kagongo, Nyamasanje, Rukuba na Iriga, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa…

Mji wa Serikali Mtumba kuwa mfano wa matumizi ya nishati safi ya kupikia gesi asilia

Imeelezwa kuwa Serikali inaendelea na maandalizi ya kuufanya Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma, kuwa mfano wa matumizi ya nishati safi kupitia mradi wa usambazaji wa gesi asilia. Miundombinu hiyo itaunganisha gesi asilia katika majengo ya Wizara, ofisi za Ubalozi,…