Category: MCHANGANYIKO
Fortune Paper yataka sera kulinda wazalishaji wa ndani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Kampuni ya Fortune Paper Group inayomilikiwa na wawekezaji wa China, imeiomba Serikali kuweka sera madhubuti zitakazolinda wazalishaji wa ndani dhidi ya ushindani unaotokana na bidhaa za bei nafuu zinazoagizwa kutoka nje ya nchi. Kampuni…
Picha za matukio mbalimbali msibani kwa Lukuvi
Wananchi mbalimbali wamejitokeza katika msiba wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge Uratibu na Wenye Ulemavu na Mbunge wa Jimbo la Isimani wakati mwili wa marehemu Lukuvi ulipowasili Kijijini Kwake Kata ya Idodi, Wilaya ya Iringa mkoani…
Tanzania yashiriki mkutano wa 13 wa amani, uinzi, usalama wa EAC
Mkutano wa 13 wa Pamoja wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Ushirikiano katika Ulinzi, Amani na Usalama na Baraza la Kisekta la Uratibu wa Sera za Mambo ya Nje umezikutanisha Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kujadili…
Kikwete akutana na timu ya mpira wa kikapu ya Dar City Afrika Kusini
Rais Mstaafu Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC Panel of Elders – POE), na Mwakilishi wa Ngazi ya Juu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika…
Serikali yaweka msukumo mpya kwenye sekta ya makaa ya mawe
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imeanza kuweka mkazo mpya katika kuongeza mapato yatokanayo na sekta ya makaa ya mawe, huku ikiwataka wadau wa sekta hiyo kuungana na kuanzisha chama maalumu kitakachorahisisha mawasiliano na uratibu wa masuala yao na Serikali. Akizungumza leo…





