Category: MCHANGANYIKO
Mradi wa BOOST waimarisha elimu ya awali na msingi shule ya msingi Mwakidila
Na OWM– TAMISEMI, Tanga Shule ya Msingi Mwakidila, iliyopo Kata ya Tanga, Halmashauri ya Jiji la Tanga, imefanyiwa maboresho makubwa ya miundombinu na ufundishaji kupitia Mradi wa BOOST, hatua iliyoongeza ufanisi wa elimu ya awali na msingi pamoja na kuvutia…
Serikali yaeleza sababu za kutowalazimisha watoto kuwahudumia wazazi
Na Jackline Minja MJJWM-Dodoma Serikali imesema haina haja ya kuweka sharti la kisheria linalowalazimisha watoto kuwahudumia wazazi wao wasiojiweza, ikieleza kuwa suala hilo tayari linashughulikiwa kupitia misingi ya kifamilia na kijamii. Kauli hiyo imetolewa bungeni na Naibu Waziri wa Maendeleo…
NSSF yang’ara Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za kifedha Kitaifa
Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Tanga Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeibuka mshindi wa kwanza katika kundi la watoa huduma za hifadhi ya jamii, wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yaliyofanyika katika Viwanja vya…
Serikali yazidi kuimarisha huduma za watoto njiti nchini
Na WAF, Dodoma Serikali imeendelea kuboresha huduma za watoto wachanga wanaozaliwa kabla ya wakati (watoto njiti) katika vituo vya afya nchini, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuboresha afya ya mama na mtoto. Naibu Waziri wa Afya Dkt. Florence Samizi…
Serikali yatoa mikopo ya milioni 600 kwa wananchi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ifakara Halmashauri ya Mji Ifakara Januari 27,2026 imetoa mikopo ya asilimia 10 yenye thamani ya Shilingi milioni 600 ikiwa ni Mikopo ya Asilimia 10 inayotokana na Mapato ya ndani kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu…





