Category: MCHANGANYIKO
Serikali yatoa wito wadau sekta ya fedha kuwezesha ajenda ya nishati safi ya kupikia
Serikali imetoa wito kwa wadau kutoka sekta ya fedha nchini kuanzisha huduma na bidhaa za kifedha zitakazowezesha ajenda ya nishati safi ya kupikia kusambaa zaidi, hususan kwa kuwawezesha wajasiriamali wadogo katika maeneo ya pembezoni na vijijini pamoja na wabunifu wa…
Rais Samia ashiriki mkutano wa Global Africa Investment Summit (GAIS)
Dubai | 4 Februari 2026 Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jana usiku alishiriki uzinduzi wa Global Africa Investment Summit (GAIS) jijini Dubai, tukio lililoashiria hatua mpya ya Afrika katika kuvutia mitaji ya kimataifa…
Maandalizi uchimbaji visima vya gesi asilia Mtwara yafikia asilimia 90
Maandalizi ya uchimbaji wa visima vitatu vya gesi asilia katika Kitalu cha Mnazi Bay kilichopo mkoani Mtwara yanaendelea vizuri ambapo hadi kufikia Februari 03, 2026 yamefikia zaidi ya asilimia 90. Hayo yameelezwa na Mhandisi Felista Ndabita kutoka Shirika la Maendeleo…
Serikali yachukua hatua kulinda wanafunzi dhidi ya unyanyasaji katika usafiri wa mijini
SERIKALI imetangaza hatua kali za kudhibiti vitendo vya unyanyasaji dhidi ya wanafunzi wanaotumia usafiri wa mabasi ya mijini maarufu kama daladala, huku ikisisitiza kuwa haki ya mwanafunzi kupata elimu kwa usalama haiwezi kuvunjwa na maslahi ya kibiashara. Hayo yamesemwa leo…





