Category: MCHANGANYIKO
Serikali kupitia MSD wachochea utoaji huduma bora Hospitali ya Manyoni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Hospitali ya Wilaya ya Manyoni mkoani Singida imeongeza utoaji huduma bora za afya kutokana na uwepo wa dawa na vifaa tiba vya kisasa vilivyotolewa na Bohari ya Dawa(MSD). Hayo yalibainika wakati wa ziara maalumu ya…
Dar es Salaam yajiandaa kushiriki maonesho makubwa ya Kilimo Afrika
Usikose kushiriki 10th AFRICA AGRI EXPO 2026, yatakayofanyika sambamba na 3rd Future Food, Livestock & Poultry Expo 2026. Hili ni jukwaa muhimu kwa wakulima, wafugaji, wawekezaji, wafanyabiashara na wadau wa sekta ya chakula kutoka Afrika na duniani kote. 📍 Mahali:…
Waziri Mkuu aadhimisha miaka 62 ya Muungano kwa kukagua miradi ya barabara Dar, Prof. Shemdoe afurahishwa
Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amemshukuru Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba kwa kuadhimisha miaka 62 ya Jamhuri ya…
Mwenge wahamasisha nishati safi kwa kumuunga mkono Rais Samia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mwenge wa Uhuru wahimiza na kuhamasisha wananchi kuunga mkono matumizi ya nishati safi ikiwemo gesi ya kupikia, majiko banifu na umeme, hatua inayolenga kulinda mazingira, kupunguza utegemezi wa kuni na mkaa ili kuboresha afya ndani…
Mwenge wa Uhuru waridhishwa na barabara za TARURA, ikiwemo Chumbi Kiegele Rufiji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mwenge wa Uhuru umeonesha kuridhishwa na utekelezaji wa miradi saba wilayani Rufiji mkoani Pwani, ukiwemo mradi wa barabara ya Chumbi–Kiegele unaotekelezwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wenye thamani ya shilingi bilioni…





