Category: MCHANGANYIKO
Serikali yatoa mikopo ya milioni 600 kwa wananchi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ifakara Halmashauri ya Mji Ifakara Januari 27,2026 imetoa mikopo ya asilimia 10 yenye thamani ya Shilingi milioni 600 ikiwa ni Mikopo ya Asilimia 10 inayotokana na Mapato ya ndani kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu…
BoT yaagizwa kuongeza udhibiti wa mikopo umiza
Na Peter Haule, WF, Dodoma Naibu Waziri wa Fedha, Laurent Deogratius Luswetula (Mb) ameiagiza Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuendelea kuongeza udhibiti wa mikopo yenye riba kubwa (mikopo umiza) ili wananchi wapate mikopo yenye tija. Ametoa maagizo hayo bungeni jijini…
Rasimu ya mikataba kati ya wamiliki wa leseni na wachimbaji wadogo yakamilika
Na Wizara ya Madini, Dodoma NAIBU Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, amesema Wizara ya Madini imeandaa rasimu ya Mkataba kati ya Wamiliki wa Leseni za Uchimbaji na Wachimbaji Wadogo, ambao umewasilishwa kwa Maafisa Madini Wakazi nchini kote kwa ajili…
Rais Samia apeleka neema ya umeme katika vitongoji Lindi
📌Vitongoji vya wilaya za Liwale, Nachingwea, Ruangwa na Kilwa kunufaika 📌Zaidi ya Kaya 5,100 kunufaika Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi wa shilingi bilioni 25.8 wa kusambaza umeme katika vitongoji 159 utakaonufaisha kaya 5,116…
Vijana Dar wakutana kusherehekea kumbukizi ya kuzaliwa Rais Samia
Na Mwandishi Wetu VIJANA Jijini Dar es Salaam wameungana kusherehekea siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, wakitumia fursa hiyo kupongeza mafanikio ya Serikali katika kuwafungua kiuchumi na kielimu ndani…
NEMC yapanda miti kumuunga mkono Rais Samia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan, za kuhifadhi na kusimamia mazingira kwa kushiriki zoezi la upandaji miti katika kuadhimisha siku yake…





