JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Hawa ndio wabunge wa kuigwa

Bunge ni muhimili muhimu katika kuhakikisha maslai na mahitaji ya wana nchi yana shughurikiwa na serikali. Serikali ina mihimili mitatu yaani bunge,mahakama na serikali kuu. na kila muhimili una mamlaka na majukumu yake kwa mujibu wa sheria,miongozo, na sera za…

Rais wa Singapore awasili nchini kwa ziara ya kitaifa

Rais wa Jamhuri ya Singapore Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam, amewasili nchini kwa Ziara ya Kitaifa ya siku tatu, Juni 8-10, 2026. Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam akiwa ameambatana na Mwenza…

Wasira abeba kilio cha wana Same kuhusu maji

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ameiagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Same (SAUWASA) kuhakikisha inatatua kwa haraka changamoto ya upatikanaji maji inayowakabili wananchi wa mji wa Same. Wasira alitoa agizo hilo leo…

Kunenge : Wavamizi wa shamba no. 34 Mtamba wasubiri uamuzi wa Waziri Mkuu

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amewasihi wananchi wanaodaiwa kuvamia Shamba Na. 34 Mitamba, Kata ya Pangani, Manispaa ya Kibaha, kuacha mara moja shughuli zote za maendeleo katika eneo hilo na kusubiri maamuzi ya Waziri…

Kiongozi wa Buddha asifu uhuru wa kuabudu Tanzania

Kiongozi Mkuu wa dini ya Buddha nchini, Mchungaji Dkt. Ilukuptiye Pannasekara, amesifu ushirikiano ambao wanaupata sio tu kutoka katika dini zingine bali pia serikalini kwa ujumla. Ametoa kauli hiyo wakati wa kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa kiongozi wa dhehebu la…