JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Prof. Mkenda: Serikali kuimarisha sekta ya elimu wa kutumia takwimu sahihi

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema kuwa Serikali imejipanga kuimarisha mageuzi ya sekta ya elimu kwa kuzingatia matumizi sahihi ya takwimu, upanuzi wa fursa za masomo ya juu ndani na nje ya nchi, pamoja na utekelezaji…

JKT yafungua fursa za mafunzo kwa vijana 2026

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika jitihada za kuwaandaa vijana kukabiliana na maisha, kujitegemea na kushiriki ujenzi wa taifa, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza kuanza kwa mafunzo ya kujitolea kwa mwaka 2026, hatua inayofungua fursa kwa maelfu ya vijana…

Serikali na wadau waungana kulinda vyanzo vya maji skimu ya Mapama

📍 Mapama, Arumeru – Arusha Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kwa kushirikiana na wadau wa mazingira na maji, imezindua rasmi zoezi endelevu la upandaji miti katika Skimu ya Umwagiliaji Mapama. lengo la jitihada hizo za pamoja ni kulinda…

Mama ajifungua na kutelekeza kichanga gesti

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Nzega MWANAMKE mmoja ambaye jina halijajulikana amejifungua mtoto na kumtelekeza kwenye nyumba ya kulala wageni (gesti) Wilayani Nzega mkoani Tabora na kutokomea kusikojulikana. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, Mkuu wa Wilaya hiyo Naitapwak Tukai ameeleza…

Madiwani Manispaa Kibaha waridhishwa na utekelezaji wa miradi kata nne

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Madiwani wa Kamati ya Mipango, Miji na Mazingira na Kamati ya Uchumi na Huduma za Jamii ,Manispaa ya Kibaha wameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Kata nne . Kuridhishwa huko kumejidhihirisha wakati…

Ghana, Tanzania zaendelea kuimarisha ushirikiano wa ‘ Local Content’ sekta ya madini

Accra, Ghana NCHI za Ghana na Tanzania zinaendelea kuimarisha ushirikiano wa kitaasisi katika utekelezaji wa sera za Ushirikishwaji wa Wazawa katika Sekta ya Madini (Local Content), kwa lengo la kuongeza ushiriki wa wananchi wa ndani katika minyororo ya thamani ya…