Category: MCHANGANYIKO
Serikali yaimarisha mazingira ya biashara na uwekezaji kukuza viwanda nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI imesisitiza azma yake ya kuendelea kuweka mazingira bora ya ufanyaji biashara na uwekezaji nchini ili kuchochea ukuaji wa sekta za viwanda, kuongeza fursa za ajira, na kukuza mchango wa kiuchumi wa sekta binafsi. Lengo…
Ulega : Shinyanga kupaa kiuchumi kupitia kiwanja cha ndege
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga ‎Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kukamilika kwa mradi wa upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Shinyanga kunatarajiwa kuchochea shughuli za kibiashara na uwekezaji, hatua itakayosaidia kuimarisha muunganiko wa kiuchumi kati ya mkoa huo na…
CCBRT yarejesha furaha kwa wenye matatizo ya macho Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Hospitali ya CCBRT imeendelea kutoa huduma ya macho na ushauri nasaha kwa wakazi wa Dar es Salaam katika Kituo cha Afya cha Anglikana kilichopo Buguruni, Manispaa ya Ilala kwa siku mbili mfululizo ikiwa…
Vijana 3,967 waomba uwezeshaji kupitia Go Green na IMBEJU ya CRDB Bank Foundation
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam JUMLA ya vijana 3,967 kutoka maeneo mbalimbali nchini wamewasilisha maombi ya kupata uwezeshaji kupitia programu ya Go Green na IMBEJU inayotekelezwa na CRDB Bank Foundation, ikiwa ni ndani ya siku 30 tangu kufunguliwa…
Kamati ya TAMISEMI yaipongeza OWM – TAMISEMI utekelezaji mzuri miradi ya TACTIC Arusha
Na OWM – TAMISEMI, Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI, Mhe. Florent Kyombo ameipongeza Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mkoa na Serikali za Mitaa (OWM- TAMISEMI), kwa usimamizi mzuri wa utekelezaji wa miradi ya TACTIC…





