Category: MCHANGANYIKO
Kagera kunufaika na mpango wa Mkoa wa Afya Moja
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera KAIMU Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Bw. Salum Kimbau amesema maandalizi ya Mpango wa Afya Moja kwa mkoa wa Kagera utaunufaisha mkoa huo kwa kuzingatia malengo yake ya kuboresha uratibu na utekelezaji wa Dhana…
TCDC yashiriki zoezi la upandaji miti Njombe
Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Njombe,Kamati ya Michezo ya Meimosi, Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imeshiriki zoezi la upandaji miti lililofanyika katika eneo la Ofisi ya Mkuu…
Upatikanaji dawa wa uhakika waipaisha MSD, waimwagia sifa Serikali
Na Mwandishi Wetu , JamhuriMedia, Dodoma Upatikanaji wa uhakika wa dawa na vifaa tiba nchini na kuwa na akiba ya kutosha kwa kipindi cha zaidi ya miezi sita, umeiongezea sifa Bohari ya Dawa (MSD) licha ya kuwepo kwa mzozo Mashariki…
Serikali yaendelea kudhibiti kipindupindu, mafunzo yatolewa kwa wataalam
Na Atley Kuni, WAF-Morogoro Serikali imeendelea na jitihada za kuimarisha afya ya jamii na kukabiliana na milipuko ya ugonjwa wa kuambukiza wa kipindupindu kwa kuendesha mafunzo maalum yanayolenga kuongeza utayari na uwezo wa kukabiliana na ugonjwa huo kwa ngazi ya…
Bunge lapitisha bil. 174.9/- kwa Wizara ya Madini
●Yalenga kuchangia trilioni 1.4/- za maduhuli ●Makusanyo yafikia Trilioni 1 na Milioni 156 ●Jumla ya tani 23.8 za dhahabu zakusaywa ndani ya miezi 18 ●Ni Juhudi za Rais.Dkt.Samia Suluhu Hassan Dodoma Bunge la Jamhuru ya Muungano wa Tanzania, limeridhia na…





