Category: MCHANGANYIKO
Rais Samia awasili Kigali nchini Rwanda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kigali ambapo atashiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Uvumbuzi wa Nishati ya Nyuklia barani Afrika (NEISA), Kigali…
Kingu: Tumeona utulivu na nidhamu ya jeshi letu
Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi, Elbariki Kingu amesema kuwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania linaendelea kuonesha utulivu, nidhamu na uzalendo wa hali ya juu katika kulinda amani na usalama wa taifa. Kingu ametoa kauli hiyo Bungeni jijini Dodoma leo…
Kituo cha Taifa ya Uratibu Kaboni Tanzania chatoa elimu ya biashara ya kaboni Dar
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imesema inapambana na haitamuonea haya mtu yoyote muharibifu wa mazingira na kuitaka jamii kulinda na kutunza mazingira kwa kuwa yana umuhimu mkubwa kiuchumi na kimaendeleo. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam na…
Punguzo la tozo TPA, waendesha bandari kavu wafichua fursa
Umoja wa Waendesha Bandari Kavu Tanzania (CIDAT) umebainisha kuwa uamuzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) wa kupunguza ada ya Uendelezaji wa Miundombinu Mipya ya Bandari (PID) kutoka asilimia 9 hadi asilimia 4.5 ya kodi ya forodha utakuwa…
Dk Mwigulu : Serikali kuangalia upya sheria za uhifadhi na mipaka na hifadhi
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni Serikali inayowajibika kwa wananchi na ipo tayari kuyafanyia kazi maoni yote yaliyotolewa na Wabunge kuhusu Sekta ya Maliasili na Utalii. Waziri…





