JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wanachama ACT Wazalendo watakiwa kuongeza nguvu ya chama kupitia usajili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pemb Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha ACT Wazalendo Tawi la Kitunda, Jimbo la Kiwani Mkoa wa Kusini Pemba, wametakiwa kuongeza juhudi za kusajili wanachama wapya ili kuimarisha msingi wa chama hicho na kuongeza nguvu…

Ukosefu wa chakula shuleni waathiri wanafunzi wa Longido,CORDS waja na Mradi

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Longido Wanafunzi wa shule za Msingi wilaya ya Longido, wakiwepo wanafunzi wa MEMKWA ,wanakabiliwa na changamoto kadhaa ikiwepo kukosa chakula shuleni, hali ambayo inaathiri maendeleo yao ya Kitaaluma na hivyo, kuibua wadau kadhaa wa elimu…

Tanzania yaandika historia mpya barani Afrika, maeneo saba yatambuliwa kuwa urithi wa dunia

Na Kija Elias, JamhuriMedia, Dodoma Tanzania imeandika historia mpya barani Afrika baada ya kuwa nchi ya pili kupata hadhi ya UNESCO Global Geopark kupitia Jiopaki ya Ngorongoro-Lengai, hatua inayodhihirisha ubora wa urithi wa asili na jiolojia uliopo nchini. Kutokana na…

TAMESOT yalaani mauaji ya James Temba, yawaonya wanaoichafua tiba asili

Na Theophilida Felician, JamhuriMedia Dodoma. Chama cha Waganga wa Tiba Asili (TAMESOT) kimesikitishwa na tukio la mauaji ya kikatili yakimuhusisha mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha IFM James Rojas Temba aliyeuawa kwa kutenganishwa kichwa na kiwiliwili hivi karibuni mkoani…

Mwenge wapita Nyasa, mradi wa REA wa bilioni 4

📌Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa aridhishwa na miradi ya REA 📍Nyasa – Ruvuma Wananchi wa Kitongoji cha Ndecha Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wameanza kushuhudia mwanga wa matumaini baada ya kuzinduliwa rasmi kwa mradi wa REA kwa…

Kapinga : Serikali ya Rais Samia inaendelea kuboresha elimu, afya na kilimo Mbinga Vijijini

Mbunge wa Jimbo la Mbinga vijijini na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, inaendelea kuleta mageuzi makubwa katika sekta za elimu na afya hasa…