Category: MCHANGANYIKO
Mabadiliko ya teknolojia yasiwaache viongozi nyuma
Na Hassan Kimweri, WAF – Dodoma Viongozi wametakiwa kubadilika kulingana na teknolojia ya sasa na kuacha kuwa kiongozi anayeshangaa mabadiliko ili kuendana na kasi ya ulimwengu kwa kuchochea ubunifu na uvumbuzi. Kauli hiyo imetolewa na Mkufunzi, Padri John Kasembo leo…
Miradi ya Chuma Njombe kutikisa uchumi, maelfu ya ajira kunukia Ludewa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe MKOA wa Njombe unatarajiwa kuwa kitovu kipya cha uchumi wa madini nchini kufuatia uwekezaji mkubwa katika miradi ya uchimbaji na uchakataji wa madini ya chuma inayolenga kufungua maelfu ya ajira, kukuza biashara za ndani na…
Mwigulu atatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 51 Rombo
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ametatua mgogoro wa ardhi kati ya Parokia ya Mtimhoo ya Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi na Mzee Peter Morisi wa Kijiji cha Msaranga, Wilaya ya Rombo Mkoa wa Kilimanjaro, uliodumu kwa kipindi cha miaka 51….
Je ni kweli Tanzania imeendelea kiuchumi
Taifa letu tangu Uhuru 1961 limekuwa likipitia katika nyakati tofauti za kiuchumi na kijamii hii ni kutokana na mifumo na mabadiliko ya siasa za dunia. Kati ya mwaka 1867 hadi miaka 1985 taifa likiwa na sera ya uchumi dola yaani…
Serikali, wadau kuimarisha mikakati kuboresha huduma za uuguzi, ukunga nchini
Na Zakayo Mosha, WAF – Dodoma Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI imeandaa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wauguzi Viongozi ngazi ya Mikoa, Halmashauri, Hospitali ya Taifa, Hospitali za Kanda, Hospitali za Rufaa za Mikoa,…
CCM, CPC na vyama vya ukombozi Afrika waimarisha ushirikiano wa maendeleo
CCM leo imekuwa mwenyeji wa mkutano kati ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) na Vyama Sita Rafiki vya Ukombozi Kusini mwa Afrika uliofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere (MJNLS), Kibaha. Mkutano huo chini ya wenyeji wa…





