JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

ASGM yazalisha asilimia 40 ya dhahabu Tanzania, matumizi ya zebaki yaendelea kuwa changamoto

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia ,Dodoma Sekta ya uchimbaji mdogo wa dhahabu (ASGM) imeendelea kuwa nguzo muhimu kwa sekta ya madini nchini kwa kuchangia sehemu kubwa ya uzalishaji wa dhahabu na kutoa ajira nyingi, huku matumizi ya zebaki yakitajwa kuwa moja…

Wadau wahamasisha teknolojia mbadala kupunguza matumizi ya zebaki migodini

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Takribani watoto 10,000 nchini wanahusishwa na shughuli za uchimbaji mdogo wa dhahabu zinazotumia zebaki  hali inayowaweka katika hatari  ya kupata madhara ya kiafya kutokana na sumu ya kemikali hiyo.Mbali na watoto, wanawake  kati ya asilimia 20…

Prof. Nombo: Ujuzi wa kisasa ni nguzo ya viwanda na teknolojia

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, amesema Programu ya Pili ya Kukuza Ujuzi na Stadi za Kazi (ESPJ II) ni hatua ya kimkakati inayolenga kuongeza ajira zenye tija na kuimarisha ustawi…

Mbio za mwenge zazindua mradi wa nishati safi Simiyu

📌 Shule ya Sekondari Nkololo yaachana na kuni pamoja na mkaa Bariadi, Simiyu📍 Timu ya Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa imezindua rasmi mradi mkubwa wa ujenzi wa miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika Shule ya Sekondari Nkololo, iliyopo…

Morocco, Tanzania zaimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kidiplomasia

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Ufalme wa Morocco na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yameendelea kuimarika kwa kasi tangu ziara ya kihistoria ya Kiserikali ya Mfalme Mtukufu Mohammed VI nchini Tanzania mwaka 2016, huku…