Category: MCHANGANYIKO
Madaktari bingwa wafanikisha kutoa uvimbe nyuma ya shingo ya mtoto wa miaka minne
Na Andrea Kadege, WAF-Arusha Kambi ya Madaktari bingwa wa upasuaji inayoendelea katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Arusha, Mount Meru, leo Julai 24, 2026 imefanikiwa kuondoa uvimbe kwa mtoto wa kiume mwenye miaka minne ambaye alizaliwa na tatizo hilo. Akizungumza…
Makamu wa Rais afungua mkutano wa 15 wa mtandao wa watetezi wa haki za binadamu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ana dhamira ya dhati ya kuhakikisha Katiba mpya inapatikana, ndio maana suala hilo…
K aonesha picha aliyopiga na dogo janja mwaka 2010
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Diwani wa Kata ya Ngarenaro jijini Arusha, Mheshimiwa Abdulaziz Abubakar Chende, maarufu kwa jina la kisanii Janjaro (zamani Dogo Janja), akimwonesha Rais picha aliyopiga naye Ikulu Dar es…
Profesa Kabudi akagua maandalizi ya kuelea Siku ya Mashujaa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) Profesa Palamagamba Kabudi amekagua maandalizi kuelekea Siku ya Mashujaa Julai 25, 2026ambapo ameleza kuridhishwa na hatua ya kukamilika kwa maandalizi hayo. Waziri Kabudi, amekagua hii leo 24…
14 wafariki, 22 waokolewa baada ya boti kupata hitilafu baharini Mafia
Na Mawamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Timu ya Maafa ya Wilaya ya Mafia imewaokoa manusura 22, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Burundi na Visiwa vya Comoro, walionusurika kifo baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kutoka Comoro kuelekea Kisiwa cha…
Oryx Gas Yaunga Mkono Nishati Safi kwa Kugawa Mitungi 600 Bagamoyo
Na Mwandishi Wetu WAJASIRIAMALI 600 wakiwemo wafanyabiashara ya kukaanga samaki naMama lishe katika Jimbo la Bagamoyo mkoani Pwani wamepatiwa mitungi ya gesi ya kupikia ya Oryx lengo likiwa kuwawezesha kutumia nashati hiyo ili kuepukana na matumizi ya kuni na mkaa….





