Category: MCHANGANYIKO
Serikali yaimarisha NIT kuzalisha wataalamu wa kuendesha miradi mikubwa ya uchukuzi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wakati Serikali ikiendelea kutekeleza uwekezaji wa mabilioni ya shilingi katika reli ya kisasa (SGR), usafiri wa anga, majini na barabara, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimejipanga kuzalisha wataalamu wenye ujuzi wa kisasa watakaohakikisha miradi hiyo inaendeshwa…
Dkt. Nchimbi ajionea mchango wa TADB katika kuendeleza kilimo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, ametembelea Banda la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) akiwa ameambatana na Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo, katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea kwenye Viwanja…
Matunda ya ziara ya Rais Samia Urusi yaanza kuonekana
….Kampuni ya Betaren yaanza kuingiza mbegu bora aina ya Bombadier, Daha, Bazik na Krechet Na Mwandishi Wetu Ziara ya kikazi ya siku tatu aliyofanya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Urusi Juni 3 mwaka huu imeanza kulipa baada ya kampuni za…
Inclusive Mwalimu Gala 2026 yazindua mjadala wa kitaifa
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafadh Ameir, amesisitiza nafasi muhimu ya wanawake wanataaluma katika kufanikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akizungumza jijini Dar es Salaam katika hafla ya Inclusive Mwalimu Gala 2026, Naibu Waziri amesema kuwa…
TGNP yaimarisha uwe,o wa wanawake katika kilimo cha kibiashara
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Maonesho ya 49 ya Kilimo ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela, Nzuguni jijini Dodoma, yamekuwa jukwaa muhimu kwa wanawake wakulima kutoka maeneo mbalimbali nchini kujifunza teknolojia mpya za kilimo, kubadilishana mbegu…
DC Tabora, Kigoma, waitaka EWURA kuongeza hamasa nishati safi, vituo vya mafuta vijijini
Na Mwandishi Wetu, Tabora Wakuu wa Wilaya za Tabora, Mh. Upendo Wella, na Kigoma, Mh. Dkt. Rashid Chuachua, wameipongeza EWURA kwa usimamizi mzuri wa huduma za nishati na maji nchini. Wametoa pongezi hizo walipotembelea banda la EWURA, katika maonesho ya…





