Category: MCHANGANYIKO
Serikali yaweka mkazo chanjo ya polio, watoto milioni 6.5 kulengwa
Serikali kupitia Wizara ya Afya imeweka mkazo katika kuzuia ugonjwa wa kupooza (Polio) kwa kuendesha kampeni maalum ya chanjo itakayowafikia watoto zaidi ya milioni 6.5 katika mikoa nane nchini. Kampeni hiyo inatarajiwa kufanyika Agosti 27 hadi 30, 2026, ambapo chanjo…
Afrika yatakiwa kubadili mifumo ya sera za ajira ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia
Na Happy Lazaro, Jamhuriedi, Arusha AFRIKA imetakiwa kubadili mifumo na sera za ajira ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia na mahitaji ya kizazi kipya cha wafanyakazi, ikiwemo kuweka mazingira yatakayowezesha kazi za mbali na uchumi wa ajira za muda. Wito…
Kamati ya Bunge yaipongeza WRRB, yaitaka kuongeza kasi matumizi ya WRS
Na.Mwandishi Wetu- Dodoma KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeipongeza Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kwa utekelezaji mzuri wa majukumu yake na kuitaka kuharakisha matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRS)…
Wasira asisitiza misimamo, haki CCM
*Akemea viongozi wasiokuwa na msimamo ndani ya Chama MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesisitiza umuhimu wa kuzingatia haki kwa kutoegemea maslahi binafsi huku akikemea viongozi wasiokuwa na msimamo ndani ya CCM. Wasira aliyasema hayo alipozungumza…
TBS yapongezwa kwa kuimarisha udhibiti wa ubora wa bidhaa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo imeipongeza TBS kwa kutekeleza majukumu yake ya udhibiti ubora kwa ufanisi. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe.Deogratias Mwanyika kwaniaba ya kamati wakati wa…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Balozi wa Marekani wakutana kujadii ushirikiano
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari, amekutana na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bw. Andrew Lentz, na ujumbe wake kwa ajili ya kufanya mazungumzo kuhusu masuala mbalimbali yenye lengo la kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania…





