JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Taasisi za umma zatakiwa kuachana na utendaji wa mazoea ili kufanikisha Dira 2050

Na Mwandishi wa OTR, Pwani Serikali imezitaka Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali kuachana na utendaji wa mazoea na kujielekeza katika uongozi unaozingatia matokeo, ubunifu, uwajibikaji na ushirikiano wa karibu na sekta binafsi ili kuharakisha utekelezaji wa DIRA…

Tanzania yaongoza juhudi za Afrika kutokomeza UKIMWI na kuimarisha mifumo ya afya

Na Shaban Juma, WAF – Accra, Ghana Naibu Waziri wa Afya, Mhe. Dkt. Florence Samizi amesema nchi za Afrika zinapaswa kuimarisha mshikamano, kuongeza uwekezaji katika sekta ya afya na kuharakisha utekelezaji wa sera zinazozingatia ushahidi wa kisayansi ili kutokomeza UKIMWI…

Tanzania na OACPS wakubaliana kuinua sekta ya uvuvi na uchumi wa buluu

TANZANIA na Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) wamekubaliana kuimarisha ushirikiano katika kuendeleza sekta ya uvuvi na uchumi wa buluu ili kuongeza mchango wake katika ukuaji wa uchumi, usalama wa chakula, ajira na ustawi wa wananchi wa…

Waziri Ndejembi amjulia hali kapteni Mstaafu George Mkuchika

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amemtembelea na kumjulia hali Kapteni Mstaafu George Huruma Mkuchika, aliyewahi kushika nafasi mbalimbali za uongozi Serikalini, ikiwemo Uwaziri katika wizara tofauti na Ubunge wa Jimbo la Newala Mjini, leo tarehe 21 Julai 2026 nyumbani…

Kishindo cha Waziri Nanauka Katavi, asema Serikali kuimarisha uwekezaji katika elimu, afya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Serikali itaendelea kuimarisha uwekezaji katika sekta za elimu, afya na kuboresha mazingira ya biashara ili kuongeza ubora wa huduma kwa wananchi na kuchochea ukuaji wa uchumi jumuishi. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi…