JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wananchi watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani

Wananchi wa Kata ya Mkwajuni, Wilaya na Mkoa wa Songwe, wametakiwa kufuata sheria za usalama barabarani, ili kupunguza ajali za barabarani katika eneo hilo. Akizungumza na wananchi Julai 25, 2026, Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mheshimiwa Jabiri Makame alisema wakati…

Shujaa wa vita ya Kagera afungua sanduku la historia, atoa somo kwa kizazi cha sasa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Brigedia Jenerali Mstaafu Wilfred Pome Mwalambile Kabunda, mmoja wa wanajeshi walioshiriki Vita ya Kagera ya mwaka 1978–1979, amesema kumbukumbu ya Mashujaa si tukio la kuangalia historia pekee, bali ni wito kwa kizazi cha sasa kuendeleza…

Maafisa Usafirishaji wapewa elimu, vifaa kinga kukabiliana na ajali

KAMPENI maalum ya “Kuwa Makini Okoa Maisha” kwa madereva wa pikipiki maarufu kama bodaboda imeanza rasmi mkoani Dar es Salaam, ikiwa na lengo la kuwapatia elimu ya usalama barabarani pamoja na vifaa kinga ili kuchangia kupunguza ajali na vifo vinavyotokana…

Mawaziri Afrika wakubaliana kufanya mageuzi kiuchumi, viwanda kuondoa vikwazo vya biashara

Na Saidina Msangi, WF, Abidjan Nchi za Afrika zimekubaliana kuweka kipaumbele katika ufadhili wa viwanda vinavyotegemea rasilimali za ndani ikiwemo madini na kuhakikisha kuwa zinaongeza thamani ya bidhaa na kuimarisha biashara ya ndani ya bara ili kujenga maendeleo jumuishi, endelevu…

RC Makalla afanya mazungumzo na Balozi wa Japani nchini

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla amekutana na Balozi wa Japani nchini Tanzania, Mhe. Balozi Mikami Yoichi, alipomtembelea ofisini kwake leo Alhamisi Julai 24, 2026. Mhe. Balozi na Mkuu wa mkoa wa Arusha, mazungmzo yamelenga kuendelea…

Serikali kuimarisha ubora wa huduma wagonjwa mahututi

Na Cletus Sanga, WAF – Morogoro Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Taasisi ya Clinton Health Access Initiative (CHAI) imeendelea kuimarisha ubora wa huduma za wagonjwa mahututi nchini kwa kukamilisha kuandaa miongozo ya huduma za wagonjwa mahututi na…