Category: MCHANGANYIKO
Serikali yasisitiza utaalamu na ubunifu katika ununuzi na ugavi
Na Joseph Mahumi, WF, Arusha Serikali imewataka wataalam wa ununuzi na ugavi nchini kuongeza ubunifu, uongozi bora na matumizi ya teknolojia za kisasa ili kuongeza ufanisi, uwazi na tija katika matumizi ya fedha za umma. Rai hiyo imetolewa na Naibu…
Dk Akwilapo : Ingieni katika dunia ya kazi kwa moyo wa uadilifu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo amewataka wahitimu wa chuo cha ardhi Tabora (ARITA) kuingia kwenye dunia ya kazi kwa moyo wa uadilifu, uzalendo na ubunifu. Amesema, Taifa linawategemea…
DC Mpogolo amewataka madiwani Ilala kushirikiana na wenyeviti wa mitaa
Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, IIala MKUU wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo, amewataka Madiwani wa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam, kufanya kazi kwa kushirikiana na Watendaji na Wenyeviti wa Serikali za mitaa katika kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi…





