JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Pwani yaungana na Rais Samia, wapanda miti 6,379 yagawa miche ya korosho milioni 1.5

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Pwani SERIKALI kupitia Bodi ya Korosho imetoa jumla ya miche ya korosho milioni 4.2 nchini, ambapo kati ya miche hiyo, mkoa wa Pwani umepatiwa miche milioni 1.5, sawa na asilimia 35.7 ya miche iliyotolewa. Akizungumza na wakazi…

Tume ya uchunguzi yakutana na Nape Nnauye

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 27, 2026, imekutana na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye. Mkutano huo wa Tume na Nape umefanyika…

Dk Kilabuko azindua nyaraka za usimamizi wa maafa Nkasi

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. James Kilabuko amezindua nyaraka za usimamizi wa maafa katika Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa huku akisisistiza nyaraka hizo kutekelezwa kwa vitendo. Dkt. Kilabuko amesema…

Masauni aeleza mafanikio ya Rais Samia katika mazingira, muungano na mabadiliko ya tabianchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Unguja Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Masauni, amesema uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, umeiwezesha nchi kupiga hatua kubwa…

Dugange : Serikali kuendelea kulinda vyanzo vya maji na mito

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema itaendelea kulinda vyanzo vya maji na mito mbalimbali nchini kwa kuzingatia Sheria ya Mazingira ya Mwaka 2004 na Sheria ya Rasilimali za Maji ya Mwaka 2009. Pia, imesisitiza kuwa itashirikiana na Wizara…

Dk Dugange : Watanzania wapande miti kila mwaka angalau mmoja

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma NAIBU Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Festo Dugange ametoa rai kwa kila Mtanzania kupanda mti angalau mmoja kila mwaka anapoadhimisha kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ili kuleta chachu katika hifadhi…