JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Kombo awasilisha ujumbe wa Rais Samia kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amewasilisha ujumbe maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa…

EWURA yafikia wananchi, Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeanza kushiriki katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma mwaka 2026 yaliyoanza rasmi leo, tarehe 16 mpaka 23 Juni, yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali…

AGL Tanzania yachukua hatua kutekeleza Mpango wa ‘Plastic-Less’ kwa kulinda mazingira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam AGL Tanzania imechukua hatua muhimu katika kulinda mazingira kwa kutekeleza mpango wake wa “Plastic-Less”, unaolenga kupunguza matumizi ya plastiki zinazotumika mara moja na kuhamasisha matumizi ya njia mbadala endelevu. Kupitia mpango huo, kampuni…

Wabunge waipongeza NSSF, PSSSF kuanzisha skimu ya hifadhi kwa waliojiajiri

Na Mwavua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Wabunge wameipongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kuendelea kupanua wigo wa huduma za hifadhi ya jamii kupitia Skimu ya Hifadhi kwa Wananchi Waliojiajiri, wakisema mpango huo unatoa fursa kwa mamilioni ya…

Serikali yawekeza Sh.Bilioni 10.5 kuimarisha huduma ya umeme Kongwa na maeneo jirani

Na Dotto Kwilasa JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imekamilisha na kuzindua mradi wa kimkakati wa Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji Umeme (Switching Station) pamoja na Transforma ya Kudhibiti Umeme katika eneo la Mbande, Wilaya ya Kongwa,…

PAC yaiagiza TRA kufunga mapengo ya ukusanyaji kunufaisha wananchi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeishauri mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) masaa ya ziada irekebishe mara moja mapungufu yote yaliyoainishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG, katika…