Category: MCHANGANYIKO
Dk Samia : Serikali imefanya mageuzi makubwa ya kisheria na kurejesha imani kwa sekta binafsi
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake imefanikiwa kufanya mageuzi makubwa ya kisheria na kimfumo yaliyolenga kujenga mazingira bora ya biashara na kurejesha imani…
Serikali yaihakikishia CWP uchaguzi huru, haki na wazi
Serikali imeihakikishia Timu ya Waangalizi ya Uchaguzi ya Wabunge-Wanawake kutoka Jumuiya ya Madola (CWP) kuwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani uliopangwa kufanyika Oktoba 29, 2025 utakuwa huru, haki na wazi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Mambo…
Wasira asema Samia ameweka utaratibu Serikali,vyama vya siasa kuteta
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Stephen Wasira amesema mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameweka utaratibu mzuri wa Serikali na vyama vya siasa kusikilizana. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wakati wa kuhitimisha mkutano wa…
Nchimbi: Watanzania wameridhika na utendaji wa Rais Samia
Mgombea Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema Watanzania wameridhishwa na utendaji kazi wa mgombea urais wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan. Dk Nchimbi ametoa kauli hiyo alipopewa nafasi ya kusalimia maelfu ya wananchi wakati wa…
Kamati ya siasa amani Pwani yaviasa vyama vya siasa visiwe chanzo cha vurugu
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani VIONGOZI wa dini kupitia Kamati ya Amani Mkoa wa Pwani wameviasa vyama vyote vya siasa na wagombea kufuata kanuni na taratibu za uchaguzi, na kuepuka kuwa chanzo cha vurugu wakati wa mchakato wa kupiga kura….





