JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Tanzania, Zambia kuimarisha miundombinu ya kimkakati sekta ya madini

Serikali za Tanzania na Zambia zimeazimia kuongeza kasi ya uboreshaji wa miundombinu ya usafirishaji wa madini ili kuchochea ukuaji wa sekta ya madini katika ukanda wa Kusini mwa Afrika. Hatua hiyo ilisisitizwa Machi 25, 2026 na Naibu Waziri wa Madini…

Waziri Mkuu akiwasili nyumbani kwa hayati Lukuvi kuongoza waombolezaji

📍Idodi, Iringa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akiwasili nyumbani kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), na Mbunge wa Jimbo la Isimani, Marehemu Mhe. William…

TARURA yatekeleza ujenzi wa Km 56 za barabara za lami Ilala kupitia DMDP II

‎Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam‎‎Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza kutekeleza ujenzi wa barabara zaidi ya Kilomita 56 kwa kiwango cha lami na zege kupitia mradi wa Uendelezaji Jiji la Dar es Salaam…

Fortune Paper yataka sera kulinda wazalishaji wa ndani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Kampuni ya Fortune Paper Group inayomilikiwa na wawekezaji wa China, imeiomba Serikali kuweka sera madhubuti zitakazolinda wazalishaji wa ndani dhidi ya ushindani unaotokana na bidhaa za bei nafuu zinazoagizwa kutoka nje ya nchi. Kampuni…

Picha za matukio mbalimbali msibani kwa Lukuvi

Wananchi mbalimbali wamejitokeza katika msiba wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge Uratibu na Wenye Ulemavu na Mbunge wa Jimbo la Isimani wakati mwili wa marehemu Lukuvi ulipowasili Kijijini Kwake Kata ya Idodi, Wilaya ya Iringa mkoani…