JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Naibu Spika Sillo aendelea kukagua miradi ya elimu Babati Vijijini

Na John Walter-Babati Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini, Mheshimiwa Daniel Sillo, ameendelea na ziara yake ya kukagua miradi ya elimu jimboni humo ambapo leo alitembelea Tarafa ya Bashnet,…

Sangu : Wamiliki wa viwanda toeni ushirikiano kwa OSHA 

Na OWM – KAM (Mwanza) Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu amewataka wamiliki wa viwanda nchini kuzingatia masuala ya usalama na afya mahali pa kazi ili kulinda ustawi wa wafanyakazi na kuongeza…

Tanzania, Uganda zawela histora ujenzi wa bomba la mafuta ghafi Afrika Mashariki

Mradi wa EACOP kuleta mabadiliko ya kiuchumi, ajira na huduma za kijamii Afrika Mashariki *Waziri wa Nishati na Maendeleo ya Madini wa Uganda aisifu Tanzania kwa kasi ya utekelezaji *Tanzania yafikia asilimia 79 ya ujenzi wa mradi *Mhe. Salome asema…

Wananchi wakumbishwa kuchukua tahadhari kipindi cha mvua

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari na kuwa makini katika kipindi cha msimu wa mvua ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza kutokana na kujaa kwa maji katika maeneo ya miundombinu ya barabara. Rai hiyo imetolewa na…

Flyover ya Kwanza ya Dk Hussein Ali Mwinyi iliyofunguliwa na Rais Mwinyi eneo la Mwanakwereke Z’bar

Muonekano wa Flyover ya Kwanza ya Dk Hussein Ali Mwinyi iliofunguliwa na Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi katika katika eneo la Mwanakwerekwe. Ikiwa ni katika Shamra shamra za  Maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar yenye kauli mbiu…