Category: MCHANGANYIKO
Jinsi tozo mpya itakavyowanufaisha watumiaji wa bandari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Wasafirishaji Shehena Tanzania (TSC), limefurahia uamuzi wa serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kukubali kupunguza Tozo ya Uendelezaji wa Miundombinu ya Bandari (Port Infrastructure Development – PID)…
Mama mzazi wa Hayati Magufuli afariki, Rais Samia atuma salamu za rambirambi
Mama Mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, ambaye ni Suzana Magufuli, amefariki dunia mjini Chato mkoani Geita baada ya kuugua kwa muda mrefu. Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa…
Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Mkutano wa 61 wa Mwaka wa Bodi ya Magavana wa AfDB
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameondoka nchini leo (Jumatatu, Mei 25, 2026) kwenda Brazzaville, Jamhuri ya Kongo kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 61 wa Mwaka wa Bodi ya Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB)….
Mabadiliko yasababisha Marekani, Uingereza kufunga ofisi ndogo za Ubalozi Zanzibar
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amelieleza Bunge kuwa Marekani na Uingereza zilifunga Ofisi Ndogo za Ubalozi Zanzibar kutokana na mabadiliko ya kisera katika uendeshaji wa ofisi zao ndogo duniani kote…
Polisi Dar wawakamata raia wanne wa China kwa tuhuma za utekaji, wataka dola milioni 20
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwakamata raia wanne wa China wanaotuhumiwa kuhusika katika tukio la utekaji wa wafanyabiashara wenzao kutoka nchini humo, huku wakidai kiasi cha dola za Marekani milioni 20…





