JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Madini yaanza kutekeleza maagizo ya Dk Samia

▪️Aelekeza Wizara kuweka mazingira ya Tanzania kuwa kitovu cha Biashara ya madini Afrika ‎▪️Watanzania kujengewa uwezo wa kimtaji kupitia mfuko wa dhamana ‎▪️Aelekeza Wataalam kukutana na Wazalishaji wa Makaa ya Mawe kutatua changamoto zao Na WM- Dodoma ‎Wizara ya Madini…

Tuongeze kasi na ukaribu zaidi na wananchi -Dk Gwajima

Na WMJJWM-Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameelekeza watumishi wa Wizara hiyo kutekeleza na kuishi kauli mbiu ya “Kazi na Utu, Tunasonga Mbele” kupitia utoaji wa huduma kwa kasi zaidi, karibu…

Wakulima mwa korosho watakiwa kutumia fedha wanazopata vizuri

Na Mwandishi Wetu Wakulima wa zao la korosho Wilayani Tunduru,wametakiwa kutumia fedha wanazopata kwenye mauzo ya korosho kufanya maandalizi ya msimu ujao,kuboresha makazi yao na kufanya maandalizi ya watoto wao wanaotakiwa kwenda shule katika muhula wa masomo 2026. Mkuu wa…

Ridhiwani Kikwete : Idara ya Kumbukumbu na nyaraka ni kiungo muhimu katika historia ya nchi yetu

Na Antonia Mbwambo-Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete ametoa wito kwa Menejimenti na Watumishi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa kuendelea kukusanya taarifa, kumbukumbu, nyaraka na…

Watendaji Wizara ya Vijana Zanzibar watakiwa kuondoa urasimu

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar. Viongozi na Watendaji wa Wizara ya Vijana, Ajira na Uwekezaji Zanzibar wametakiwa kuwa wawazi ili kuondosha urasimu katika utendaji wa kazi zao. Waziri wa Wizara hiyo, Mhe. Shaaban Ali Othaman amewataka Viongozi na Watendaji wa Wizara…

Waziri ataka CBE iwe kisima cha maarifa cha Wizara ya Viwanda

Waziri aipongeza CBE kwa kuwaandaa vijana kujitegemea Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kwa kazi kubwa ya kuwaandaa vijana kujitegemea kwenye masuala ya biashara. Alitoa pongezi hizo alipotembelea chuo…