Category: MCHANGANYIKO
DED Shemwelekwa: Sijaridhishwa na utekelezaji wa kuchongwa barabara ya Machinjioni na Kilimahewa,urudiwe
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Barabara za Machinjioni na Kilimahewa zimeelezwa kutotekelezwa katika kiwango kinachokidhi mahitaji ya wananchi, hali iliyosababisha Mkurugenzi wa Manispaa ya Mji Kibaha, Dkt. Rogers Shemwelekwa, kutoa agizo la kurudiwa upya kwa kazi hiyo mara moja. Aidha,…
Lukuvi amsifu Dk Mwigulu, Rais Samia hajakosea kumteua
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mbunge wa Jimbo la Isimani mkoani Iringa, William Lukuvi, amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, hajakosea kumteua Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, akibainisha kuwa ni…
Johari amuelezea Dk Mwigulu kama kiongozi thabiti na mchapakazi
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Said Johari, amemsifu Waziri Mkuu mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, kuwa ni kiongozi mchapakazi, mwenye bidii na uaminifu wa hali ya juu katika kulitumikia…
Rais Mwinyi : Uteuzi wa mawaziri unalenga kuimarisha kasi ya maendeleo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa uteuzi wa Mawaziri wateule unalenga kuimarisha kasi ya maendeleo katika kipindi cha pili cha Awamu ya Nane. Rais Dkt. Mwinyi amesema kwamba kwasasa kutakua…
ICGLR yajipanga kuimarisha amani katika kanda
Imeelezwa kuwa Jumuiya ya nchi Wanachama wa Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) ni jukwaa sahihi la kupata ufumbuzi wa Kudumu wa changamoto zinazozikabili nchi wanachama kama vile ukosefu wa amani, usalama na maendeleo endelevu. Hayo yamebainishwa jijini Kinshasa Jamhuri ya…
Ashikiliwa kwa tuhuma za kuhamasisha uhalifu kupitia kundi la whatsApp
Jeshi la Polisi nchini Tanzania lingependa kujulisha kuwa, lilimkamata na linaendelea kumshikilia Ambrose Leonce Dede, Mnyaturu, Mlinzi wa Kampuni ya Ulinzi ya African Safari na Mwanachama wa Chama cha Chadema kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha uhalifu nchini kupitia kundi…





