Category: MCHANGANYIKO
Shemdoe awataka madiwani kuwa wanyenyekevu kwa wananchi
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewataka Waheshimiwa Madiwani nchini kuwa wanyenyekevu kwa wananchi katika kuwatumikia na kuwaletea maendeleo. Prof. Shemdoe ametoa…
Serikali yaipongeza IAA kwa kuongoza mageuzi ya kidigitali na kusukuma utafiti na maendelo
Na. Joseph Mahumi, WF, Arusha Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar(Mb), amekipongeza Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kwa kufanya mageuzi ya kidigitali, ufanyaji wa tafiti, maendeleo pamoja na mipango na mikakati ya kuboresha na kuongeza ufanisi kwenye utoaji…
Wakurugenzi ofisi ya Msajili wa Hazina wapigwa msasa kwa siku tano
Na Mwandishi wa OMH Kibaha. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) kwa kushirikiana na Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania (IoDT) imeendesha mafunzo maalum ya uongozi na usimamizi kwa Wakurugenzi na Wakurugenzi Wasaidizi wa Ofisi hiyo, yakilenga kuimarisha uwezo wa menejimenti katika…
TRA yawataka walipa kodi Morogoro kuuzoea mfumo mpya wa Idras
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Morogoro imewataka walipakodi na wafanyabiashara wa Mkoa wa Morogoro kuanza kuuzoea na kuutumia Mfumo Mpya wa Usimamizi wa Kodi za Ndani wa Kielektroniki (IDRAS), unaolenga kuboresha ukusanyaji na usimamizi wa kodi kwa njia…
Waziri Mkuu achukizwa na migogoro ya ardhi
*Awasisitiza watendaji kuwafuata wananchi na kutatua kero zinazowakabili WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewasisitiza Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya pamoja na watumishi wa umma wahakikishe wanatenga muda wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika maeneo yao hususani…
SJMT, SMZ zaendelea kuongeza wigo wa upatikanaji fedha za mazingira
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SJMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) zimeendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kuhakikisha zinaongeza wigo wa fedha…





