JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

CCM yateua wawili kuwania udiwani Tabora

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora KIKAO cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Tabora kimepitisha majina ya makada wake wawili watakaopeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang’anyiro cha kuwania udiwani katika Kata za Itilo na Ziba. Akizungumza kwenye…

EWURA yaonesha umoja wa wafanyakazi katika Siku ya Mei Mosi

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) leo, Mei 1, 2026, imeungana na wafanyakazi wengine duniani kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Mei Mosi ambapo kitaifa yamefanyika mkoani Njombe. Sherehe hizo zilihudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

Mageuzi ya elimu yashika kasi chini ya Serikali ya Awamu ya Sita

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafidh Ameir,akizungumza wakati akifunga Mkutano wa 37 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara hiyo leo Aprili 30,2026 jijini Dodoma. …… Serikali imewataka watumishi wa sekta ya elimu nchini kuimarisha mshikamano, uwajibikaji na…

Wahandisi watatu Bodi la ziwa Tanganyika Kigoma kizimbani kwa uhujumu uchumi

Kesi hiyo imefunguliwa katika Mahakama ya Wilaya Kigoma mbele ya Mhe. Anna Kuhungu Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kigoma. Awali wakisoma Mashtaka ya kesi hiyo Na. ECC.9258/2026 dhidi ya washitakiwa Kulwa Ryoba James, Gaudens John Ndolo na…

Rais Samia akiteta na jambo la Waziri Mkuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi 2026), ambayo Kitaifa yamefanyika Mkoani Njombe, tarehe 01 Mei, 2026.

Kabigi awaasa watumishi Tume ya Madini kung’ara kwa weledi

▪️ Watakiwa kuongeza bidii na kudumisha mshikamano 📍 Dodoma Watumishi wa Tume ya Madini wameaswa kuzingatia weledi, uwajibikaji na mshikamano katika utekelezaji wa majukumu yao ili kuendeleza mafanikio ya Tume pamoja na kuongeza mchango wa sekta ya madini katika ukuaji…