Category: MCHANGANYIKO
Watanzania waaswa kudumisha amani, umoja na mshikamano
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA kuadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanganyika, Watanzania wametakiwa kukumbuka siku hiyo kwa misingi ya haki, amani, mshikamano na umoja wa kitaifa, huku wakiepuka mivutano yoyote inayoweza kugawanya taifa, ikiwemo migawanyiko ya…
Kamishna NCAA awataka watumishi kufanyakazi kwa uaminifu kuenzi uhuru
Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) Bw. Abdul-Razaq Badru amewataka watumishi wa mamlaka hiyo kufanya kazi kwa bidii, weledi, uamunifu, ubunifu na ushirikiano katika ulinzi wa rasilimaliza za Wanyamapori na misitu ili kuenzi uhuru wa Tanzania Bara…
Polisi : Picha zinazosambaa mtandaoni kuhusu maandamano si za kweli
Jeshi la Polisi lingependa kueleza kuwa, kuna hii picha mjongeo ya zamani na nyinginezo zinasambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikihadaa wananchi kuwa maandamano yameshaanza. Hakuna jambo kama hilo kwani vyombo vya ulinzi na usalama vipo mitaani kudhibiti hali kama hiyo…





