JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Mwigulu awasili Tanga, mgeni rasmi kilele cha Wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasili leo Jumatatu, Agosti 24, 2026, katika Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Tanga, ambapo anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayofanyika katika Viwanja…

JKCI yafanya upasuaji wa moyo bila kusimamisha moyo kwa wagonjwa watano

Na Mwandishi Wetu WAGONJWA watano wenye matatizo ya mishipa ya damu ya moyo iliyoziba (coronary artery disease) wamefanyiwa upasuaji wa kupandikiza mishipa ya damu ya moyo bila kusimamisha moyo (off Pump CABG). Upasuaji huo umefanyika katika kambi maalumu ya siku…

Wanafunzi 95 waenda India kusomea AI, Uhandisi

Na Mwandishi Wetu Zaidi ya wanafunzi 95 wa Kitanzania wameondoka nchini kuelekea India kuanza masomo ya elimu ya juu katika vyuo mbalimbali, ikiwa ni kundi la kwanza kati ya wanafunzi 198 wanaotarajiwa kwenda kusoma nchini humo kupitia Global Education Link…

NMB yaweka afya ya watumishi mbele SHIMISEMITA 2026

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Benki ya NMB imeendelea kuunga mkono jitihada za Serikali za kuimarisha afya ya mwili na akili ya watumishi kupitia Mashindano ya Kitaifa ya SHIMISEMITA yanayoendelea mkoani Mbeya. Mashindano hayo yanawakutanisha zaidi ya watumishi 5,000 kutoka…

ADEM yaendesha mafunzo ya uongozi na usimamizi wa utekelezaji wa mtaala ulioboreshwa

23 Agosti 2026. | 📍Bagamoyo, Tanzania. Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) umeendelea kutoa mafunzo maalum ya siku mbili kuhusu Uongozi na Usimamizi wa Utekelezaji wa Mtaala Ulioboreshwa, yakilenga kuimarisha uwezo wa Wakuu wa Shule za Sekondari katika…

Watoto 587,509 kupatiwa chanjo ya Polio Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani WATOTO 587,509 walio chini ya umri wa miaka 10 mkoani Pwani wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya polio ya matone aina ya nOPV2, katika awamu ya pili itakayoanza Agosti 27 hadi 30, mwaka huu. Watoto hao ni sehemu…