JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mamlaka za Serikali za Mitaa ziwekeze katika miradi yenye tija kwa wananchi – Dk Seif

Na OWM – TAMISEMI, Dodoma NAIBU Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) anayeshughulikia Afya, Dkt. Jafar Seif, amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa kuwekeza katika miradi ya maendeleo yenye tija na manufaa kwa…

Saba kizimbani kwa tuhuma za wizi wa magari kwa kubadili mwelekeo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watu saba wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Temeke kwa tuhuma za kuiba magari mawili yaliyotolewa bandarini na kupelekwa bandari kavu (ICD) Vingunguti na kubadili mwelekeo kwenda…

Vipengele 63 Kuing’arisha Serengeti Awards 2026

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam JUMLA ya vipengele 63 vitaingia katika kinyang’anyiro cha The Serengeti Awards 2026, huku wadau wa uhifadhi na utalii wakipewa fursa ya kuonyesha kazi, ubunifu na mafanikio yao katika sekta hizo. Mkurugenzi wa Idara…

Wasira ataka wana CCM wakutane, wasiingie mkenge kwa maneno ya mitandaoni

Na Mwandishi Wetu ,Singida Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu Stephen Wasira, amewataka wanachama wa CCM kukutana mara kwa mara katika vikao rasmi vya chama ili kujadili masuala muhimu na kuepuka kupotoswa na taarifa zisizo na ukweli…

Wataalam washauriwa kuandaa mikakati ya taasisi kwa kuwianisha na Dira ya Taifa 2050

Farida Ramadhani na Saidina Msangi, WF, Dodoma Serikali imewaagiza wataalamu wanaosimamia mipango na bajeti katika wizara na taasisi mbalimbali nchini kuzingatia nidhamu ya matumizi ya fedha za umma ili kuboresha utekelezaji na usimamizi wa bajeti ya Serikali. Hayo yalibainishwa na…

Uwekezaji wa bilioni 50/- wabadili huduma za Saratani Tanzania

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodom TAASISI ya Saratani Ocean Road (ORCI) imeeleza kuwa Serikali imewekeza zaidi ya Sh bilioni 50 katika miradi mbalimbali ya miundombinu, vifaa tiba na teknolojia za kisasa kwa lengo la kuongeza uwezo wa Tanzania katika uchunguzi na…