JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ubora wa CBE wazidi kuongezeka kimataifa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kwa kuanzisha program atamizi ya biashara ambayo itawatengeneza wahitimu wa chuo hicho kuwa wafanyabiashara mahiri siku za baadae. Pongezi hizo zilitolewa leo jijini Dar es…

Serikali ya Tanzania si ya kuamrishwa wala kupewa maelekezo – Rais Samia

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻, amesema Serikali anayoiongoza ya awamu ya sita si serikali ya kuamrishwa, kupewa masharti, au kuelekezwa namna ya kuendesha majadiliano na wadau…

Nchi yetu inaongozwa kwa misingi ya katiba na sheria na sio madhehebu ya dini – Dk Samia

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 amesema kwa namna moja au nyingine kuna baadhi ya taasisi za dini zimejiingiza kwenye mkumbo ambao unaendelea wenye nia ovu ndani…

NMB yatoa 500m/- kusaidia matibabu ya moyo ya watoto 125 nchini

Na Mwandishi Maalum Benki ya NMB tayari imetoa nusu ya TZS bilioni 1 ilizoahidi mwaka jana kwa ajili ya kuiwezesha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutoa matibabu ya moyo ya watoto 250 katika kipindi cha miaka minne, hatua…

Tutaendelea kuilinda Tanzania na usalama wa raia na mali zao – Rais Dk Samia

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 amehoji juu ya maoni ya baadhi ya watu kuwa nguvu zilizotumika kwenye kudhibiti vurugu zilizotokea Oktoba 29 (iliyokuwa siku ya uchaguzi…