Category: MCHANGANYIKO
Tuchukue hatua kuepuka madhara ya usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa -Serikali
SERIKALI kupitia kwa Mkurugenzi msaidizi, Kitengo cha Afya Moja, Ofisi ya Waziri Mkuu Imebainisha kuwa Wananchi wanatakiwa kupata uelewa mpaka na taarifa sahihi kwenye Vyombo vya habari juu ya kuchukua hatua ili kuepuka madhara ikiwemo kuugua kwa muda mrefu ama…
Balozi wa Uturuki akaribisha wawekezaji sekta ya afya
Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Mhe. Iddi Seif Bakari amelikaribisha Shirika la Yeryüzü Doktorları (Doctors Worldwide Turkey) kushirikiana na hospitali za Tanzania ili kupanua wigo wa huduma nchini ikiwemo ujenzi wa vituo vya afya na kambi za matibabu kwa ajili…
Rais Dk Samia kuzungumza na wazee kesho
Rais wa Jamhuri ya Muumgano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajia kuzungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es salaam siku ya Jumanne Disemba 2 mwaka huu ambapo pia atatumia mkutano huo kulihitubia Taifa juu ya masuala mbalimbali yanayolihusu…
Waziri Lukuvi :Dawa za kufubaza makali ya VVU zipo kwa asilimia 100 nchini
Na Mwandishi Wetu-Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Mhe. William V. Lukuvi, amewahakikishia Watanzania kuwa dawa za kufubaza makali ya Virusi vya UKIMWI (ARVs) zinapatikana kwa asilimia 100 nchini na…
Dk Nicas aahidi kicheko cha maendeleo Manispaa Mji Kibaha
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Diwani Mteule wa Kata ya Tumbi, Dkt. Mawazo Nicas, ameshinda nafasi ya Ustahiki Meya wa Manispaa ya Mji Kibaha kupitia kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kupata kura 15 kati ya…
Namtumbo kuanza kulima zao la kakao msimu wa kilimo
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Namtumbo mkoani Ruvuma Dkt Juma Homera amesema,katika msimu wa kilimo 2025/2025 wakulima wataanza kulima zao la Kakao kama mkakati wa Wilaya hiyo kuwa na mazao mengi…





