Category: MCHANGANYIKO
Waziri Nanauka awapongeza vijana wenye mahitaji maalumu wanaong’ara Sabasaba
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Maendeleo ya Vijana), Joel Nanauka, amewapongeza vijana wenye mahitaji maalumu wanaojishughulisha na fani mbalimbali, ikiwemo usanifu majengo na ushonaji, waliopo katika banda la VETA kwenye Maonesho ya 50…
Polisi wakanusha taarifa za gari lao kuchomwa moto Mwenge
Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limekanusha taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa wananchi wamechoma moto gari la polisi katika eneo la Mwenge, likisema taarifa hizo ni za uongo na zinalenga…
TIRDO yabuni dawa ya asili ya kuchakata ngozi, yaokoa afya na mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limefanikiwa kubuni dawa ya asili ya kuchakata ngozi inayotokana na mimea, hatua inayotarajiwa kupunguza matumizi ya kemikali za viwandani, kulinda afya za watumiaji na kuhifadhi…
JKT yaibuka kinara Sabasaba, yatwaa tuzo ya bidhaa za kilimo na uvuvi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limeibuka mshindi wa kwanza katika tuzo za Maonyesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), baada ya kutambuliwa kwa kufanya vizuri kupitia bidhaa zake za kilimo…
Rais wa Msumbiji, Daniel Francisco Chapo awasili Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa Ziara ya Kikazi, tarehe 03 Julai, 2026.





