Category: MCHANGANYIKO
Rais Mwinyi ahudhuria Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za binadamu Z’bar
Baadhi ya Wageni waalikwa waliohudhuria katika hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binaadamu yaliofanyika katika Ukumbi wa Maonesho Nyamanzi Magharibi B Zanzibar. Baadhi ya Wageni waalikwa na Viongozi waliohudhuria katika hafla ya Maadhimisho ya Siku ya…
Wakazi wa ndani wa taasisi za umma wapata mafunzo ya ukaguzi wa ESG
Na Joseph Mahumi Wakaguzi wa Ndani wa Serikali wameaswa kutazamia upya athari za mabadiliko ya kimazingira pindi wanapofanya ukaguzi katika masuala ya Mazingira, Kijamii na Utawala Bora (Environmental, Social, and Governance-ESG) na Ukaguzi wa Thamani ya Fedha (Value for Money-VFM)…
Mamia ya wanachama ACT Wazalendo wampokea Othman Masoud Pemba
Mamia ya wanachama na wafuasi wa chama cha ACT Wazalendo wamempokea Mwenyekiti wa chama hicho, Othman Masoud Othman, alipowasili katika Uwanja wa Ndege kisiwani Pemba. Wanachama hao walikuwa wakiimba nyimbo za hamasa na mshikamano, wakiahidi kutorudi nyuma katika mapambano ya…
RITA kutoa cheti cha kuzaliwa ndani ya saa 48 tu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Homera, amezindua mpango mpya wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) wa utoaji wa vyeti vya kuzaliwa ndani ya saa 48 za kazi, kwa kutumia…
RC Dodoma awahimiza wahitimu kujiajiri kupitia ujuzi waliopata
Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, amehudhuria sherehe ya Mahafali ya 60 ya Chuo cha Elimu ya Biashara ‘College of Business Education (CBE)’ Kampasi ya Dodoma na kuwatunuku Wahitimu 2,086 wa mwaka 2025 shughuli iliyofanyika kwenye…





