Category: MCHANGANYIKO
Wawili wakamatwa wakitorosha mifugo 254 kwenda nje ya nchi kwa njia ya magendo
Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo (STPU), kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi, limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wawili waliokuwa wakitorosha mifugo 254 kwenda nchi jirani kwa njia ya magendo. Akitoa taarifa hiyo , Kamanda wa…
Tanzania yapongezwa kwa utekelezaji wa mkakati wa PEN-PLUS katika kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza
Mkurugenzi wa Tiba kutoka Wizara ya Afya, Dk. Hamadi Nyembea, amesema mkutano wa tatu wa kimataifa wa PEN-PLUS unalenga kujadili na kuimarisha upatikanaji wa huduma za matibabu kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa yasiyo ya kuambukiza, hususan kisukari, selimundu (sickle cell),…
Waziri Mkuu: Serikali itaendelea kupambana na biashara ya bidhaa bandia
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kupambana na biashara ya bidhaa bandia kwa kuwa zinakwamisha ukuaji wa viwanda, sekta binafsi pamoja na kuhatarisha maisha ya wananchi. Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itachukua hatua kali kwa wawekezaji wanaofanya utapeli…
Rais Samia azindua huduma ya saratani KCMC, aahidi ushirikiano
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali, kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo na taasisi za afya, itaendelea kupanua huduma za uchunguzi na matibabu ya saratani katika kanda mbalimbali za nchi ili kupunguza mzigo…
Bangu: Mfumo wa stakabadhi za ghala ni imara
Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ya kuimarisha usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala na kuhakikisha changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wake zinatatuliwa bila…
REA Zambia yafurahishwa na ubora wa miradi ya umeme Vijijini Tanzania
Mamlaka ya Umeme Vijijini (REA) kutoka nchini Zambia yapongeza utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini inayotekelezwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Pongezi hizo zimetolewa leo Juni 24, 2026 na Mtendaji Mkuu…





