Category: MCHANGANYIKO
Pwani yaendelea kuzalisha ajira kumuunga mkono Rais Samia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema mkoa huo unaendelea kutekeleza vipaumbele vya Serikali kwa vitendo, hususan katika eneo la uzalishaji wa ajira kwa vijana, hatua inayolenga kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano…
Mama Maria Nyerere apokea nishani ya ya baba wa taifa
Mjane wa Baba wa Taifa na Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mama Maria Nyerere amepokea nishani ya heshima kutoka Jamhuri ya Angola ya kutambua mchango wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika…
Waziri Gwajima atoa zawadi za Mwaka Mpya kwa wazee, watoto kwa niaba ya Rais Samia
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kutoa zawadi za Heri ya Mwaka Mpya 2026 kwa wazee na…
Prof. Shemdoe akabidhi hundi ya bil 2.761/- kwa wanufaika wa mkopo Tanga
Na James Mwanamyoto – Tanga Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amekabidhi hundi yenye thamani ya Bilioni 2.761 kwa vikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu vilivyonufaika…
Mchengerwa aipa miaka mitatu kumaliza changamoto ya Watanzania kutibiwa saratani nje ORCI
Na John Mapepele Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa ameitaka Bodi ya Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (0RCI) kujiwekea mkakati wa kuhakikisha katika kipindi cha miaka mitatu hakuna mtanzania yoyote anayekwenda kutibiwa saratani nje ya nchi kufuatia uwekezaji mkubwa uliofanywa…
Rais Samia apokea tuzo tatu za utalii za World Travel Awards
Tuzo hizo zimetolewa na Taasisi ya World Travel Awards (WTA) yenye Makao Makuu yake Jijini London, Uingereza.





