JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wananchi, viongozi wakishiriki ibada ya kumuombea hayati Dk John Magufuli

Viongozi pamoja na wananchi mbalimbali wakishiriki Adhimisho la Misa Takatifu ya Kumbukizi ya Miaka Mitano ya Kifo cha Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, inayofanyika Chato mkoani Geita, leo tarehe…

Tuamue kuiokoa Ngorongoro au kuiteketeza

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita, Tume mbili za Rais zimewasilisha ripoti zao kuhusu mustakabali wa Mbunga ijulikanayo kama Ngorongoro Conservation Area (NCA). Ripoti hizi zimejadili kwa kina suala la uwepo wa binadamu ndani ya eneo hili…

Waziri Dk Gwajima aieleza dunia mafanikio ya mapambano dhidi ya ukeketaji

Na WMMJW- New York Marekani. SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, inaendelea kuimarisha hatua za kinga na huduma kwa waathirika wa ukatili wa kijinsia na watoto kupitia utekelezaji wa Mpango wa Taifa wa…

Uwekezaji wa NSSF wa Mzizima Towers kufungua fursa mpya za biashara na italii Dar

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema mradi wa uwekezaji wa ujenzi wa jengo la kitega uchumi la Mzizima Towers unaotekelezwa jijini Dar es Salaam na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umefikia asilimia 91 ya utekelezaji…

Serikali yatoa maelekezo nane kuimarisha kampuni ambazo ina umiliki hisa chache kuelekea Dira 2050

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imetoa maelekezo nane ya kimkakati yanayolenga kuimarisha utendaji wa kampuni ambazo ina umiliki wa hisa chache, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuharakisha safari ya Tanzania kuelekea hadhi ya nchi ya kipato cha kati…

Mchango wa kampuni zenye umiliki mdogo wa Serikali waongezeka

Na Peter Haule, WF, Arusha Waziri wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) amesema kuwa mchango wa Kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa Hisa Chache katika Mfuko Mkuu wa Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina umeongezeka kutoka shilingi bilioni…