Category: MCHANGANYIKO
Prof. Shemdoe amtaka mkandarasi anayejenga Mahakama ya Wilaya Lushoto kuwapa kazi wazawa
Na James Mwanamyoto – Lushoto Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amemuelekeza Mkandarasi Namis Cooperate Limited aliyepewa kandarasi ya Ujenzi wa Mahakama ya Wilaya ya Lushoto, kuwapatia…
Mavunde akabidhi madawati 2713 kwa sekondari za Dodoma Jiji
▪️Ni Utekelezaji wa agizo la Mh. Rais Samia juu ya mazingira bora ya ufundishaji ▪️Mbunge Mavunde apongeza jitihada ya kutatua changamoto ya madawati ▪️Miundombinu ya madarasa na madawati mapya kuelekea Januari 2026 yakamilika ▪️Jiji la Dodoma lipo tayari kuwapokea wanafunzi…
Kambi maalumu ya matibabu Arusha, yawanufaisha wagonjwa wa mishipa ya damu na figo
Na Mwandishi Maalumu, Arusha Wagonjwa wanaosumbuliwa na matatizo ya mishipa ya damu kutanuka miguuni pamoja na wanaohitaji kuwekewa njia za kusafisha damu wameombwa kujitokeza katika kambi maalumu ya matibabu ya magonjwa mbalimbali inayoendelea katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center…
Kuelekea mwaka mpya 2026, REA yawakumbuka wenye mahitaji
Kuelekea Mwaka Mpya 2026, Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imewagusa Watanzania wenye mahitaji mbalimbali kwa kutoa mkono wa faraja na kuwatakia heri ya mwaka Mpya ujao. Zoezi la kuwapatia mahitaji walemavu limeongozwa na Bi. Judith Abdalah kwa niaba ya Mkurugenzi…
TIB yaagizwa kuhakikisha inachagiza ukuaji wa maendeleo ya uchumi wa taifa
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameiagiza Benki ya Maendeleo ya TIB kuimarisha zaidi mifumo yake ya uendeshaji ili iweze kufikia malengo yake ya kuisaidia Serikali kutekeleza Dira ya Taifa ya…





