Category: MCHANGANYIKO
Jaji Chande : Matukio yaliyotokea Oktoba 29 yalikuwa na uvunjifu wa amani
Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Oktoba 29, 2025, Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Othman Chande amesema uchambuzi wa kisheria na ushahidi uliokusanywa unaonyesha kuwa matukio yaliyotokea siku hiyo hayakuwa maandamano ya amani, bali ghasia zilizoambatana na uvunjifu wa…
MSD yabainisha dhamira ya kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi ya afya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Mavere Tukai, amethibitisha dhamira ya taasisi hiyo kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi ya afya ili kuboresha upatikanaji bidhaa za afya, gharama nafuu, na ubora wa huduma za afya….
Mchengerwa: Hospitali ya Benjamini Mkapa ni kioo cha taifa
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, amesema kuwa Hospitali ya Benjamin Mkapa ni kioo cha Dodoma na taifa kwa ujumla, akieleza kuwa ubora wa huduma zinazotolewa umeifanya hospitali hiyo kutozungumzwa kwa malalamiko makubwa kutoka kwa wananchi kama ilivyo katika baadhi ya…
Vitongoji vyote Tanzania Bara kuwa na umeme ifikapo mwaka 2030- Waziri Ndejembi
📌Ataja miradi kadhaa inayotekelezwa na REA 📌Amshukuru Rais Samia Kinara wa Nishati Safi ya Kupikia 📌Wabunge waimwagia sifa REA 📍Bungeni Dodoma Serikali imedhamiria kuhakikisha vitongoji vyote 64,359 vya Tanzania Bara vinafikishiwa umeme ifikapo mwaka 2030 ili kuchochea kasi ya maendeleo…
Waziri Ndejembi awasilisha Bajeti ya Wizara ya Nishati 2026/27 bungeni
📌Asema kipaumbele ni kuhakikisha upatikanaji wa umeme wa uhakika nchini 📌 Uwezo wa uzalishaji umeme waongezeka kwa asilimia 12.17 📌Aeleza ongezeko hilo limechangiwa na kukamilika kwa miradi mbalimbali ya umeme Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasilisha makadirio ya mapato…





