Category: MCHANGANYIKO
BPA: Tanzania yazidi kuwa kitovu cha usambazaji wa mafuta Afrika Mashariki na Kati
Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKALA wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umesema mfumo wa uagizaji wa mafuta kwa pamoja umeifanya Tanzania kuendelea kuwa kitovu muhimu cha usambazaji wa mafuta kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, hatua inayochochea biashara…
Londo: FCC yazidi kuwa mhimili wa biashara shindani na ulinzi wa mlaji nchini
Na.Mwandishi Wetu Tume ya Ushindani (FCC) imetajwa kuwa mdau muhimu katika kuongeza thamani ya mazao ya Watanzania kupitia elimu ya ushindani wa haki na ulinzi wa mlaji, hatua inayowasaidia wazalishaji na wafanyabiashara kuboresha ubora wa bidhaa zao na kuzifanya zishindane…
TBS yasisitiza ubora wa bidhaa kuwa chachu ya biashara na ulinzi wa mlaji
Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limehimiza wajasiriamali kuchangamkia fursa ya kuthibitisha ubora wa bidhaa wanaozalisha bure kwa gharama za Serikali, hatua ambayo itawasaidia kuondokana na vikwazo vya kiabiashara. Mbali na wito huo kwa wajasiriamali, shirika hilo limewataka…
EWURA Kanda ya kati yatoa wito kuhusu leseni za mafundi umeme maonesho ya Nanenane
Na Mwandishi Wetu Meneja Kanda ya Kati wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Bi. Hawa Lweno, ametoa wito kwa mafundi umeme kutembelea banda la Mamlaka hiyo katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya John…
Vi Agroforestry yasema kilimo misitu ni suluhisho uhaba wa chakula
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SHIRIKA la Vi Agroforestry Tanzania, kwa kushirikiana na wadau wake akiwemo Tanzania Alliance for Biodiversity (TABIO), limeendelea kutumia Maonesho ya Nanenane kuhamasisha matumizi ya kilimo misitu kama suluhisho la kuongeza uzalishaji wa chakula, kuboresha lishe,…
Mashili ampongeza Rais Samia kwa mapinduzi ya huduma za afya, achangia mil.10.5/- Chuo cha Uuguzi Nzega
📌ACHANGIA KWA AJILI YA KICHOMEA TAKA (INCINERATOR) CHUO CHA UUGUZI NZEGA 📌 ACHANGIA KWA AJILI YA UNUNUZI WA JENERETA CHUO CHA UUGUZI NZEGA Nzega, Tabora Serikali imepongezwa kwa kuendelea kusogeza huduma za afya karibu na wananchi kupitia ujenzi wa vituo…





