Category: MCHANGANYIKO
TMA yatoa tahadhari ya mvua za El Nino, kuathiri msimu wa mvua za vuli
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa mvua za El Nino zitakazoathiri msimu wa mvua za Vuli unaotarajiwa kuanza mapema Oktoba 2026 na kuendelea hadi Januari 2027. Akizungumza…
Dk Yonazi aviasa vikundi vya Waviu kutumia mitandao ya kijamii kuwafikia wateja
Na Mwandishi Wetu, Mwanza Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dkt. Jim Yonazi ashauri kikundi cha Paza Sauti cha Watu Wanaoishi na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (WAVIU) kutumia mitandao ya…
TBA yasaini mkataba na Galco Ltd kujenga Modern Logistics Hub Temeke
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umesaini Mkataba wa Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP) na Kampuni ya Galco Limited kwa ajili ya kuendeleza eneo la Kiwanja Na. 264, Temeke Mwisho jijini Dar…
Njia ya kusafirisha umeme kutoka bwawa la Julius Nyerere ya Chalinze – Dodoma imekamilika – Mramba
📌 Umeme wa JNHPP kufika Dodoma kupitia Chalinze 📌 SGR kupata njia yake maalum ya umeme, kuimarisha uhakika wa huduma Dodoma. Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema Njia ya Kusafirisha Umeme…
TBS Yatoa Mafunzo ya Viwango vya Ufanisi wa Nishati
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeweka Viwango vya Chini vya Ufanisi wa Nishati (MEPS) kwa vifaa vinavyotumia umeme, hatua inayolenga kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ya nishati na kuwasaidia wananchi kupata vifaa bora na…





