JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

JKCI yafanya upasuaji wa mtoto aliyezaliwa na mishipa miwili ya damu kwenye moyo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kwa mara ya kwanza watalamu wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na mwenzao kutoka Mradi wa Little Heart wa Shirika la Muntada lililopo nchini Uingereza Dkt….

Prof. Shemdoe apongeza mpango wa Mufti Bima Foundation kuwasaidia wananchi wasio na uwezo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amekutana na Naibu Mufti na Mjumbe wa Baraza la Ulamaa na Mkurugenzi wa…

TASAC yasitisha leseni za ICD na kufungia sita

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (TASAC) imesimamisha utoaji wa leseni mpya za Bandari Kavu za Makontena (ICD) kufuatia kuongezeka kwa malalamiko ya wananchi kuhusu vituo hivyo vinavyoanzishwa katika maeneo ya mijini na kusababisha…

BoT yawataka wasanii kuwa mabalozi wa elimu ya fedha

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kuwa mabalozi wa elimu ya matumizi sahihi ya fedha, ikiwemo umuhimu wa kutunza noti na sarafu kwa usahihi. Akizungumza leo, Agosti, 31 2026 jijini Dar es…

Serikali yatoa trilioni 4.7/- kulipa mikopo ya wanafunzi

Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya Sh.trilioni 4.7 kwa ajili ya mikopo na ruzuku kwa wanafunzi wa elimu ya juu tangu ilipoingia madarakani, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhakikisha vijana…