Category: MCHANGANYIKO
Wizara ya ujenzi yaomba trilioni 2.5 kutekeleza miradi sita ya kimkakati
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi imeomba kuidhinishiwa Sh trilioni 2.5 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kutekeleza vipaumbele sita vikuu vinavyolenga kuimarisha miundombinu ya usafiri na kuchochea ukuaji wa uchumi nchini. Akiwasilisha makadirio ya…
Mtandao wa barabara za lami wafikia km 12,225 nchini
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imeongeza mtandao wa barabara za lami nchini hadi kufikia kilometa 12,225.26, hatua inayotajwa kuendelea kuimarisha uchumi na huduma za usafiri katika maeneo mbalimbali ya Tanzania. Akiwasilisha makadirio ya mapato…
TANROADS yajenga Km 243 za barabara za lami ndani ya miezi 10
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imeendelea kuimarisha sekta ya miundombinu nchini kwa kufanikisha ujenzi wa barabara na madaraja katika kipindi cha Julai 2025 hadi Aprili 2026 chini ya uongozi wa Rais Samia…
Kampeni ya “Jua Namba Zako” yagusa watumishi wa REA Dodoma
Na Mwandishi Maalumu-Dar es Salaam Watumishi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wametakiwa kujenga utamaduni wa kupima afya mara kwa mara na kufahamu “namba zao” ikiwemo shinikizo la damu, kiwango cha sukari, mafuta mwilini, mapigo ya moyo na uwiano wa…
TMA yatoa tahadhari ya upepo mkali kwa mikoa mitano
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania-TMA, imewataka wananchi kuchukua tahadhari kuanzia kufuatia kuwepo kwa matarajio ya upepo mkali wa kilomita 40 kwa saa katika mikoa mitano nchini. Mikoa hiyo ni Dar es Salaam, Pwani, Tanga, Lindi, Mtwara na visiwa vya…
Kunenge : Mafanikio vyama ya ushirika yachangia Pwani kupata heshima kitaifa
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amepongeza jitihada zinazofanywa na sekta ya ushirika kwa kuhakikisha Mkoa unaendelea kuwa kinara wa maendeleo ya ushirika nchini. Amesema mafanikio yanayopatikana kupitia vyama vya ushirika yameendelea kuupa mkoa…





