JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Profesa Kabudi ahimiza matumizi sahihi ya alama za Taifa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, amehimiza wananchi kuendelea kuzingatia matumizi sahihi ya alama za Taifa, hususan rangi na mwonekano wa Bendera ya Taifa,…

Rais Samia aogeza kasi matumizi ya nishati safi ya kupikia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kuongeza kasi ya matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kulinda mazingira, kuhifadhi misitu,…

Rais Samia atambua mchango wa Wizara ya Nishati na taasisi zake kufanikisha mdahalo wa nishati safi ya kupikiau

Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Zanzibar Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zake imetunukiwa tuzo ya kutambua mchango wake katika kufanikisha Mdahalo wa Nishati Safi ya Kupikia, uliofanyika Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, Agosti 11, 2026. Tuzo hiyo imetolewa usiku…

Balozi Chen: Miaka 70 ya Urafiki China na Tanzania sasa tunaimarisha mauhusiano kupitia kwa vijana

Na Prosper Makene, JamhuriMedia, Dar es Salaam Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Mhe. CHEN Mingjian, amesema vijana ndio msingi wa mustakabali wa uhusiano kati ya China na Tanzania. Balozi Chen alisema hayo jijini Dar es Salaam…

Msajili wa Hazina, Fitch Ratings watathmini mageuzi ya taasisi za umma

Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) Jumanne, Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na kampuni ya Fitch Ratings Ltd ikiwa ni sehemu ya mapitio ya pili ya mwaka 2026 ya tathmini ya Fitch Ratings,…

Kafulila kuongoza mhadhara wa umma kuhusu nafasi ya ubia (PPP) katika maendeleo ya watu

ARUSHA Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre) kinatarajiwa kufanya mhadhara wa umma utakaolenga kujadili mchango wa ubia kati ya sekta umma na sekta binafsi katika kuchochea maendeleo ya watu na uchumi wa taifa….