Category: MCHANGANYIKO
Waziri wa Kilimo Sudan Kusin avutiwa na mfumo wa TOSCI udhibiti ubora wa mbegu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Kilimo wa Jamhuri ya Sudani Kusini, Mhe. Clement Juma Mbugoniwia, ametembelea banda la Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) katika Maonesho ya Kitaifa ya Nanenane yanayoendelea Nzuguni, mkoani Dodoma, kwa lengo…
Ushirikiano wa Tanzania na Ufilipino wazidi kuimarika
Na Prosper Makene Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa na Mashirika mengine ya Kimataifa Geneva, Balozi Dkt. Hoyce Temu, amekutana na mwenzake kutoka Jamhuri ya Ufilipino, Bw. Eric Tamoya kujadili…
Waziri Kombo amuaga Balozi wa Umoja wa Ulaya
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kuagana na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Christine Grau, kufuatia kukamilika kwa muda wake wa uwakilishi nchini. Katika mazungumzo yao, Mheshimiwa…
Serikali yasisitiza katazo la mifuko ya plastiki
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali imewakumbusha wadau wote nchini wanaohusika na uingizaji, uzalishaji, usambazaji, uuzaji na matumizi ya mifuko ya plastiki kuwa katazo hilo bado lipo na kuwataka wananchi kufuata wajibu huo na kutekeleza kama ilivyo kwa serikali…





