JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TMDA yanasa shehena ya dawa zisizosajiliwa JNIA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba nchini (TMDA) imefanikiwa kunasa shehena mbili kubwa za dawa na vifaa tiba zisizosajiliwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Terminal 3, zenye thamani…

Salome: Ndejembi, tunaomba uendelee kuwa mlezi wa Wizara ya Nishati

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amemshukuru Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, kwa uongozi, malezi na ushirikiano alioutoa katika kipindi cha zaidi ya miezi kumi walichofanya kazi pamoja katika Wizara ya Nishati….

Rais Samia atajwa kinara afya ya msingi

Na OWM – TAMISEMI, Arusha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametambuliwa kuwa kinara katika kuimarisha huduma za afya ya msingi kutokana na mafanikio makubwa yaliyopatikana nchini,…

Kuelekea uzalishaji megawati 8,000 ifikapo 2030, Salome akaribisha wawekezaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Tanzania inalenga kuongeza uwezo wa uzalishaji wa umeme hadi kufikia megawati 8,000 ifikapo mwaka 2030, hivyo kuna fursa kubwa kwa wawekezaji kushiriki katika utekelezaji wa miradi mbalimbali…

Kikwete ahimiza Tanzania na Japan kuimarisha ushirikiano katika usalama wa chakula na uchumi wa buluu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo amekutana na kufanya mazungumzo na Mtafiti Mkuu wa Taasisi ya Sasakawa Peace Foundation ya Japan, Bw. Masanori Kobayashi, katika ofisi…