JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Masauni: Muungano ni tunu ya taifa isiyopaswa kuchezewa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Masauni, amesisitiza umuhimu wa kuuenzi na kuuheshimu Muungano wa Tanzania, akieleza kuwa ni tunu ya taifa isiyopaswa kuchezewa. Masauni ameeleza, Muungano ndio…

TEA na UNICEF Watekeleza Mradi wa Zaidi ya Shilingi Bilioni 1 wa Ujenzi wa Vituo 10 vya Elimu ya Awali ya Ufundi

Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), kwa kushirikiana na UNICEF, inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa vituo 10 vya Elimu ya Awali ya Ufundi (IPOSA) wenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni moja, kwa lengo la kuwapatia fursa ya mafunzo ya…

Waziri Mavunde aelekeza usimamizi thabiti wa sheria

-Ampongeza Rais Samia kwa kuwa kinara wa ushirikishwaji wa Watanzania migodini -Awataka Watanzania kuunganisha nguvu na kutoa huduma bora -Atoa angalizo kwa wawekezaji kutii sheria za nchi -Ununuzi wa bidhaa na huduma sasa wafikia Shilingi Trilioni 5.1 kwa mwaka MWANZA…

Polisi watakiwa kushirikiana na vikundi vya ulinzi

Polisi kata na watendaji wa kata zilizopo Wilayani Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kuratibu na kufanya doria za kutosha kwa kushirikiana na vikundi vya ulinzi shirikishi ili kudumisha amani, utulivu na usalama uliyopo Kwenye kata zao. Wito huo umetolewa Julai 22,…

Serikali yaongeza kasi kuimarisha usalama barabarani

📌Yalenga kupunguza vifo kwa asilimia 50 ifikapo 2030 Wizara ya Ujenzi imesema inaendelea kutekeleza Mradi wa kuimarisha Usalama Barabarani kwa kushirikiana na Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Japan (JICA), ukiwa na lengo la kuboresha miundombinu ya barabara, kuongeza usalama…