Category: MCHANGANYIKO
Serikali yawateua wanafunzi 1,050 kunufaika na Samia Scholarship
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeendelea kuwekeza katika elimu na maandalizi ya wataalamu wa sayansi na teknolojia baada ya kuwateua wanafunzi 1,050 waliofanya vizuri zaidi katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita wa mwaka huu, kunufaika na ufadhili…
Naibu Waziri Londo Atembelea Maabara za TBS
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM UWEKEZAJI unaofanywa katika Taasisi ya Viwango Tanzania (TBS) umeongeza uwezo wa taasisi hiyo kulinda afya za Watanzania, thamani ya fedha za wananchi na kusaidia bidhaa zinazozalishwa nchini kushindana katika masoko ya ndani na kimataifa….
St Anne Marie Academy yaahidi kuendelea kusomesha waliofiwa na wazazi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amewataka wakaguzi wa shule kutenda haki kwa shule binafsi na kuziona kama mshirika wa maendeleo badala ya mshindani. Kadhalika, Profesa…
Waziri Ndejembi awasili Shinyanga kwa ziara ya kikazi
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), amewasili mkoani Shinyanga kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita, leo Julai 27, 2026. Akiwa mkoani humo, Waziri Ndejembi ataongoza viongozi na wananchi wa Mkoa…
Rais Samia aongoza Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya mashujaa
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 25, 2026 ameongoza Watanzania kuadhimisha Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa katika Uwanja…
Taasisi za Umma zatakiwa kutokuwa kikwazo kwa wawekezaji
Na Mwandishi wa OTR Pwani. Serikali imezitaka Taasisi za Umma kuhakikisha zinakuwa chachu ya ukuaji wa uchumi kwa kutengeneza mazingira rafiki ya biashara na uwekezaji kupitia mifumo yenye ufanisi, kupunguza urasimu usio wa lazima, kuboresha utoaji wa huduma na kuimarisha…





