JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Naibu Katibu Mkuu ACT -Wazalendo Zanzibar aanza ziara Pemba

Pemba: Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Zanzibar, Omar Ali Shehe, ameanza leo ziara ya siku nne kisiwani Pemba, inayolenga kuimarisha shughuli za chama na kuongeza ufanisi wa kiutendaji katika ngazi za Mkoa na Majimbo. Ziara hiyo imeanza…

TMA yapongezwa kwa utabiri sahihi wa hali ya hewa

NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Mheshimiwa David Kihenzile, ameipongeza Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kuendelea kutoa utabiri wa hali ya hewa wenye usahihi wa zaidi ya asilimia 80, hatua inayosaidia Serikali na wananchi kuchukua tahadhari mapema dhidi ya…

Tanzania yazidi kuimarisha nafasi yake katika biashara ya umeme kikanda

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake katika biashara ya umeme kikanda, huku Mradi wa Kuunganisha Gridi za Umeme Tanzania na Zambia ukifikia asilimia 90 ya utekelezaji na kutarajiwa kukamilika Februari 2027, hatua itakayoiunganisha Tanzania na soko la…

Mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa kv 220 Iganjo–Saza kuimarisha upatikanaji umeme – Salome

📌 Ashuhudia utiaji saini mkataba wa utekelezaji wa mradi kutoka Iganjo, Mbeya hadi Saza, Songwe 📌 Mradi kutekelezwa kwa miezi 18 kwa gharama ya Shilingi Bilioni 198.67 Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema utekelezaji wa Mradi wa Njia…

Baraza la Taifa la Watoto laomba kukutana na Rais Samia

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Baraza la Taifa la Watoto limeomba kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan ili kuwasilisha mapendekezo na changamoto zinazohusu ustawi, ulinzi na maendeleo ya watoto nchini. Ombi hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la…

Tanzania na Korea zatafuta Ushirikiano Imara wa Kiuchumi

Na. Benny Mwaipaja Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema kuwa Tanzania na Korea Kusini zimekubaliana kuongeza kasi ya utekelezaji wa ahadi iliyotelewa na nchi hiyo ya dola za Marekani bilioni 2.5 kwa Tanzania kwa ajili ya…