JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Nankabirwa :Himizeni wananchi, vijana na wanafunzi kutembelea mradi wa bomba la mafuta

*Lengo ni makundi hayo kuwa sehemu ya miradi na kupata ufahamu *Aipongeza Tanzania kwa kasi ya utekelezaji wa mradi wa bomba la EACOP *Ahitimisha ziara yake mkoani Tanga kwa kutembelea kambi namba 16 wilaya ya Muheza Na Mwandishi Wetu, Tanga…

Tume ya Madini yaonesha fursa za uwekezaji katika maonesho ya kimataifa ya biashara Zanzibar

📍 Zanzibar | Januari 8, 2026‎ ‎Tume ya Madini imewaalika wawekezaji, wafanyabiashara, vijana, wanawake na wananchi kwa ujumla kutembelea banda lake katika Maonesho ya 12 ya Kimataifa ya Biashara Zanzibar yanayoendelea kufanyika Fumba, Zanzibar, ili kujifunza na kunufaika na fursa…

Mamlaka ya Dawa za Kulevya yakamata kilo 9,689.833 za dawa za kulevya, watuhumiwa 66 mbaroni

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema kuwa imefanikiwa kukamata jumla ya kilogramu 9,689.833 za dawa za kulevya, pikipiki 11 na magari matatu, kufuatia operesheni maalum zilizofanyika mwishoni mwa Desemba, 2025 katika maeneo mbalimbali nchini. Katika…

TARURA yaimarisha mikakati ya kuboresha barabara za wilaya kipindi cha mvua

Na Mwandishi Wetu Mameneja wa Mikoa wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wametakiwa kulinda usalama wa watumiaji wa barabara na kupunguza athari zinazoweza kusababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi nchini. Hayo yameelezwa na Mtendaji Mkuu…

Maafisa 84 na askari 48 wa TAWA watunukiwa vyeo vya uhifadhi

Na Beatus Maganja, JamhuriMedia, Morogoro Kaimu Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Mlage Yussuf Kabange, Januari 07, 2026 aliwatunuku na kuwavisha vyeo vya uhifadhi Maafisa 84 na Askari 48 wa taasisi hiyo, katika hafla iliyofanyika…

Polisi kufanya uchunguzi wa matukio matatu ya vifo

Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi wa matukio matatu ya vifo vilivyotokea kwa nyakati tofauti Tarime/Rorya, Jijini Arusha na Rufiji. Tukio la kwanza ni la kifo cha Dickson Tadeus Joseph, mkazi wa Rebu Senta Wilayani Tarime kilichotokea tarehe 1.1.2025 huko katika…