JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Tanzania, Belarus kushirikiana na kupitia TPA kuimarisha uchukuzi kupitia bandari ya Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Belarus imeonesha nia ya kushirikiana na Tanzania kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kuimarisha uchukuzi wa mazao ya kilimo, hususan mbogamboga na nafaka, kupitia Bandari ya Dar es Salaam….

Ushirikiano wa sekta chachu ya mafanikio ya Afya Moja

Na Mwandishi Wet, JamhuriMedia, Kagera Timu ya wataalam kutoka sekta za afya, mifugo, mazingira, wanyamapori na kilimo imekutana katika Halmashauri ya Wilaya ya muleba mkoani Kagera kwa lengo la kuandaa Mpango wa Mkoa wa Afya Moja ambao utatumika kubaini rasilimali…

Mbaroni kwa tuhuma za kukuta na kililo 166.71 za mirungi Tabora

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora Watu 4 wamekamatwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Magharibi na kupandishwa kizimbani kwa tuhuma za kukutwa na vibunda 546 sawa na kilo 166.71 za dawa za kulevya…

Mwenyekiti CCM akiteta jambo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu CCM

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ambaye pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya…

Uzalishaji taka za plastiki wapungua kwa asilimia 95

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema uzalishaji na uingizaji wa mifuko ya plastiki iliyopigwa marufuku umepungua kwa asilimia 95 hatua iliyochangia kupungua kwa uzalishaji wa taka za plastiki katika maeneo mbalimbali nchini. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya…

Mkaguzi Kata Iragua atoa mwongozo kwa watumiaji wa barabara kuepusha madhara

Mkaguzi Kata Iragua, Mkaguzi wa Polisi (INSP) Ramadhan Abdalla, akitoa msaada na maelekezo kwa watumiaji wa barabara katika eneo la Nyanya, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, kufuatia changamoto ya upitikaji wa barabara ili kutokuleta madhara kwa vyombo vta usafiri…