Category: MCHANGANYIKO
Wadau: Afrika inapaswa kujitegemea katika chakula
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mabadiliko yanayoendelea kufanyika katika mpango wa Marekani wa Food for Peace yameibua mjadala muhimu ambao Afrika haiwezi tena kuupuuza: utegemezi wa muda mrefu wa misaada ya chakula kutoka nje ya bara. Kwa zaidi…
Waziri Nanauka kuja na Baraza la Taifa la Vijana shirikishi
Na Mwandishi Wetu Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana imeendelea na uratibu wa kukusanya maoni kwa wadau ili kuunda Baraza la Vijana la Taifa ambalo ni Shirikishi ambapo awamu hii wawakikishi kutoka kwenye jumuiya za umoja wa Vijana za vyama…
Tanzania, Canada kushirikiana kwenye utafiti wa kina wa madini nchini
▪️Serikali ya Canada yavutiwa na MINING VISION 2030 ▪️Utafiti kugusa mikoa ya Kanda ya Ziwa na Kaskazini ya Tanzania ▪️Waziri Mavunde awaelekeza GST kuainisha maeneo ya kimkakati ▪️Tafiti za kina za madini kuondoa uchimbaji wa kubahatisha ▪️Tanzania yajipanga kufikisha eneo…
Waziri Kombo awasilisha ujumbe wa Rais Samia kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amewasilisha ujumbe maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa…
EWURA yafikia wananchi, Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeanza kushiriki katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma mwaka 2026 yaliyoanza rasmi leo, tarehe 16 mpaka 23 Juni, yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali…
AGL Tanzania yachukua hatua kutekeleza Mpango wa ‘Plastic-Less’ kwa kulinda mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam AGL Tanzania imechukua hatua muhimu katika kulinda mazingira kwa kutekeleza mpango wake wa “Plastic-Less”, unaolenga kupunguza matumizi ya plastiki zinazotumika mara moja na kuhamasisha matumizi ya njia mbadala endelevu. Kupitia mpango huo, kampuni…





