Category: MCHANGANYIKO
KLABU YA SIMBA YASITISHA RASMI MKATABA NA KOCHA WAKE MSAIDIZI
Uongozi wa Klabu umeuvunja rasmi mkataba na kocha wake msaidizi Irambona Masoud Djuma kuanzia leo Oktoba 8, 2018 Taarifa rasmi iliyotolewa na klabu hiyo imesema uamuzi huo umekuja baada ya mazungumzo kwa pande zote mbili hivyo ni kwa faida ya…
Manara Asema Hakuna Pengo la Bocco Leo Dhidi ya Yanga Sc
Uongozi wa klabu ya Simba kupitia Ofisa Habari wake, Haji Manara, umesema kukosekana kwa Nahodha wake, John Bocco, hakutoweza kuleta athari yoyote katika mchezo dhidi ya Yanga leo. Simba itakuwa mwenyeji kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kucheza na…
Mbwana Samatta Apiga tena hat-trick
Ligi Kuu Ubelgiji msimu wa 2019/20 imeendelea tena jana club ya KRC Genk inayochezewa na mtanzania Mbwana Samatta ilikuwa nyumbani Luminus Arena kucheza game yake ya 9 ya Ligi Kuu dhidi ya Zulte Waregem. Game hiyo ilikuwa na mvuto wa…
Zidane Ajiandaa Kuchukua Mikoba ya Mourinho Man U
Jumamosi ya September 29 2018 club ya Man United ilikuwa London kucheza game yake ya ya Ligi Kuu England dhidi ya wenyeji wao West Ham United katika uwanja wa London Stadium. Man United ambayo ipo katika wakati mgumu kwa sasa…
Waziri Kabudi
Wiki iliyopita Waziri wa Sheria na Katiba, Profesa Palamagamba Kabudi, akiwa Marekani aliwapa darasa wana- diaspora kuhusu mambo mazito ya historia yetu na mambo yanayofanywa na serikali, cha kushangaza kilichotiliwa mkazo ni swali lililoulizwa kuhusu Tundu Lissu tu. Watanzania tubadilike….
Huyu ndio Messi Ndani ya Maisha yake ya Soka
Mashabiki wa soka duniani walisherehekea mwezi huu wa Septemba, mwaka huu miaka 18 ya kung’ara kwa miongoni mwa mastraika hatari duniani, Lionel Messi, ambaye jina la utani ni `La Pulga’. Messi alitinga kwenye medani ya soka Septemba 17, mwaka 2000,…





