Category: Kitaifa
Dk Samia aahidi kujenga barabara za lami na zege Kilimanjaro
Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuufungua Mkoa wa Kilimanjaro kwa kujenga barabara za viwango vya lami, zege na changarawe ili kukuza uchumi…
Kishindo cha mgombea urais Dk Samia chapokelewa Arusha
Upepo wa kasi umepita, vibes kama loote linasikika, nyomi la watu limefurika yoote ni katika mapokezi makubwa ya Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂…
Mpe kura yako Dk Samia ili tuendelee kunufaika na huduma bora za afya nchini
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 iwapo atapewa kura za kutosha na kupata ridhaa ya kuongoza tena kwa miaka mitano ijayo atadumisha na kuongeza juhudi za…
Ummy amshukuru Samia kujali wenye ulemavu
Na Mwandishi Wetu-Jamhuri Media, Moshi Mbunge mteule wa viti maalum watu wenye ulemavu na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu). Ummy Nderiananga amesema Rais Samia Suluhu Hassan amewatendea haki watu wenye ulemavu na kuwaomba Watanzania wamchague….
Mkenda asema Rais Samia amepeleka bil. 8.9/- za maji Rombo
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Moshi Mgombea ubunge Jimbo la Rombo, Profesa Adorf Mkenda amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Sh bilioni 8.9 kwa ajili ya mradi mkubwa wa maji kutoka Ziwa Chala. Ametoa kauli hiyo alipopewa nafasi ya kusalimia maelfu ya…