JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Ilani ya Uchaguzi CCM inagusa maisha ya watu, wataichagua

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya MAKAMU MMwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema Watanzania wataichagua CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa kuwa Ilani yake ya Uchaguzi inagusa maisha na maendeleo yao. Amesema hakuna chama…

Doyo: Nikichaguliwa kuwa rais majukumu ya kwanza ni kupitia upya mikataba ya madini

Mgombea urais kupitia Chama cha NLD, Mhe. Doyo Hassan Doyo, ameendelea na ziara zake za kampeni zinazofanyika kwa mfumo wa kufikia na kuwafata wapiga kura popote walipo, kwa mtindo wa kampeni za kijiji kwa kijiji na kata kwa kata. Akiwa…

Dk Biteko amnadi Musukuma, asema amepigania maslahi ya wana-Geita

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema kuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Geita Vijijini Joseph Kasheku Musukuma ni kiongozi…

Mgombea udiwani Kata Tandika kwa tiketi ya CCM ahaandi kushughulikia kero ya michango shuleni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Mgombea udiwani Kata ya Tandika Uzairu Abdul Athumani kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM amewaahindi wananchi endapo watampatia ridhaa ya kumpa kura za kishindo Oktoba 29,2025 atahakikisha anatatua kero zinazowakabili ikiwemo michango sumbufu…