JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Katibu Chadema Mwanza ajiunga CCM

Aliyekuwa Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mkoa wa Mwanza, Boniphace Mkoaba ameamua kukihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mkoba amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk Asha Rose Migiro mbele ya mgombea urais wa…

Samia alivyongarisha miradi yakimkakati Mwanza, mazuri yanakuja

Na Kulwa Karedia-Jamhuri Media-Mwanza MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema Mkoa wa Mwanza umepata Sh trilioni 5.6 kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo. Ametoa kauli hiyo wakati akihutubia maelfu ya wananchi kwenye uwanja…

ACT Wazalendo yakabidhi magari kufuatilia uchaguzi

Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo) kimekabidhi kamati ya ushindi magari saba aina ya Toyota Alphard kwa ajili ya kufuatilia matukio yote ya uchaguzi katika wilaya saba za Unguja. Makabidhiano hayo yamefanywa na Mgombea Urais wa Zanzibar wa…

ADC kufuta misamaha ya kodi

Chama cha Alliance for Democracy Change (ADC) kimesema serikali yake itafuta misamaha ya kodi na kuondoa punguzo kwa bidhaa zote zinazoingizwa kutoka nje ya nchi wakati zinapatikana hapa nchini. Ilani ya uchaguzi ya chama hicho ya mwaka 2025-2030 imesema itapunguza…

NLD kuwatumia viongozi wa kiroho

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha National League for Democracy (NLD) kimesema serikali yake inawatumia viongozi wa kiroho ili kuhakikisha inakuwa na hofu ya Mungu. Kauli hiyo imetolewa na mgombea Urais wa chama hicho, Doyo Hassan Doyo,…

CUF yapania kuleta mabadiliko kwa Watanzania

Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mgombea Urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Samandito Gombo, amesema chama chake kimejipanga kikamilifu kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, mwaka huu kwa malengo ya kuleta mabadiliko ya kweli yanayogusa maisha ya kila…