Archives for Habari za Kitaifa - Page 326
Bosi TBS hachomoki
*CAG aanika madudu mengine mapya*Omo, Blueband, mafuta ya ndege hatari*Pikipiki feki, vinywaji hatari kwa walaji*Aruhusu Kobil wachakachue mafutaMdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ametoa taarifa ya ukaguzi maalumu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), na kuibua mambo…
Wakubwa wanavyotafuna nchi
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Ludovick Utoah, akiwasilisha ripoti ya ukaguzi kwa mwaka wa fedha wa 2009/2010 kwa waandishi wa habari bungeni mjini Dodoma, wiki iliyopita*Kampuni ya Mohamed Enterprises yauziwa viwanja kinyemela*Bandari watumbua zaidi ya bilioni ,…
Ni vita ya rushwa, haki
Uchaguzi wabunge EALA… Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano leo wanatarajia kuchangua wabunge tisa watakaoiwakilisha Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA). Uchaguzi huu unaelezwa na wafuatiliaji wa masuala ya kisiasa kuwa ni vita kati ya rushwa na haki.…
CCM hofu tupu
Rais Jakaya KikweteMwenyekiti Mkoa atoboa siri nzitoWakati kukiwa na dalili za kuwapo uchaguzi mdogo Jimbo la Arusha Mjini, hali ya mambo ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeelezwa kuwa mbaya. Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Onesmo ole Nangole, ameonyesha…
Wanaomiliki nyara za Serikali kukiona
Katika kukabiliana na wimbi la ujangili, Wizara ya Maliasili na Utalii imewataka watu wote wanaomiliki nyara za Serikali bila vibali, kujitokeza kueleza namna walivyozipata. Msemaji wa Wizara hiyo, George Matiko, amesema uamuzi wa Serikali unalenga kuhakikisha kuwa wamiliki hao wanamiliki…
Rais Jakaya Kikwete aahidi Katiba mpya 2014
Rais Jakaya Kikwete amesema Watanzania watakuwa na Katiba mpya ifikapo mwaka 2014. Alipoulizwa kama hilo litawezekana hasa ikizingatiwa kuwa Kenya iliwachukua miaka saba kuwa na Katiba mpya, alijibu kwa mkato, “Hao ni Kenya, sisi ni Tanzania.” Wananchi wengi wamekunwa na…