Telegramu yaitupia lawama Apple kwa kuicheleweshea huduma

Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Telegram, Pavel Durov, ameikaishifu Apple kutokana na mchakato wa kampuni hiyo wa kukagua duka la Programu (Apple Store) “usio wazi” ambao unaichelewesha Telegram kutoa sasisho (ku-“Update”) kwa programu yake ambayo “itabadilisha jinsi watu wanavyojieleza katika kutuma ujumbe.” Kupitia idhaa yake katika mtandao wa Telegram Durov amesema kwamba sasisho (updates) la…

Read More

Waziri Lukuvi Nisaidie

Mimi ni Mtanzania ambaye kwa sasa nipo nchini Marekani nikijiendeleza  na kufanya shughuli mbalimbali kwa ajili ya kujikimu kimaisha. Mwaka 2008 nilikuja nyumbani (Tanzania) na kuelekea mkoani Mbeya kutafuta kiwanja cha makazi. Nilifanikiwa kupata kiwanja na kukabidhiwa hati miliki namba 12477 iliyotolewa Julai 10, 2008 na Msajili wa Hati Mbeya. Mwaka jana nilirudi tena hapa…

Read More