JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Biashara

Wema Sepetu: Ipo haja ya wasanii kurudi shule, wampa tano Rais Samia

Mwigizaji na Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu amesema kuna haja ya wasanii kurudi shuleni, ili kuongeza ujuzi na maarifa yatakayowasaidia kuboresha kazi zao za filamu. Pia amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kufikiria kufanya mabadiliko makubwa katika sekta hiyo na…

NEMC yateketeza tani 44.4 ya mifuko iliyopigwa marufuku

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeteketeza vifungashio tani 44.4 ambavyo vimepigwa marufuku kwa matumizi, ambapo uteketezaji huo umefanyika katika kiwanda cha Saruji cha Twiga Cement Jijini Dar es Salaam. Akizungumza katika zoezi hilo ambalo limefanyika…

Serikali yaruhusu mabasi kupakia na kushusha vituo binafsi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ametangaza kuondoa katazo lililokuwa likizuia mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi kutoruhusiwa kupakia abiria au kushusha katika vituo binafsi na badala yake ameruhusu utaratibu huo kuendelea…

Waziri Balozi Chana aishukuru Kamati ya Kudumu ya Bunge

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana ameishukuru Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kwa jitihada inazofanya za kuishauri na kutoa maoni yanayoiwezesha Serikali kutekeleza mipango mbalimbali ya maendeleo kupitia…

NMB yazindua ATM ya kubadili fedha za kigeni uwanja wa KIA

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kilimanjaro Benki ya NMB leo imezindua rasmi mashine ya kubadilisha fedha (Forex – ATM) katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) yenye uwezo wa kubadili fedha za kigeni kwenda shilingi za Kitanzania. Hii ni hatua nyingine…

Telegramu yaitupia lawama Apple kwa kuicheleweshea huduma

Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Telegram, Pavel Durov, ameikaishifu Apple kutokana na mchakato wa kampuni hiyo wa kukagua duka la Programu (Apple Store) “usio wazi” ambao unaichelewesha Telegram kutoa sasisho (ku-“Update”) kwa programu yake ambayo “itabadilisha jinsi watu wanavyojieleza katika…