JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Dk Biteko : Tuwe na maono ya kuiona kesho yetu

📌Ni katika Bonanza la Wizara ya Nishati na Taasisi zake Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake kuwa na maono ya kuweza kuona mbali hali itakayowasaidia katika…

Bunge la 12 lawaaga Watanzania kupitia Bonanza la kihistoria Dodoma

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wabunge, Viongozi wa Serikali, Mashirika binafsi na wananchi wameungana jijini Dodoma katika kilele cha Bonanza Maalum la Bunge maarufu kama Grand Bunge Bonanza ambalo kwa mwaka huu limefanyika kama tukio la mwisho kwa Bunge la 12. Bonanza…

Serikali yatenga Bmbilioni 11/- kuboresha miundombinu ya michezo shuleni

Na OR-TAMISEMI, Iringa NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinyijuma amesema Serikali imetenga Shilingi Bilioni 11 kwa ajili ya kutekeleza mpango wa kuboresha miundombinu ya michezo katika shule 10, kati ya shule 56 maalum za michezo zilizopo…

Mashindano ya Taifa kuogelea kwa vijana yaendelea kuibua vipaji vipya

Na Lookman Miraji Mashindano ya taifa kwa vijana katika mchezo wa kuogelea yameendelea kuleta msisimko kwa wadau wa mchezo huo nchini. Mashindano ya hayo ya taifa kwa vijana yamefanyika mwaka huu ikiwa ni sehemu ya kalenda ya mwaka ya chama…

Waziri Mkuu azindua mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA mwaka 2025

…………….. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga sh. bilioni 43 ili kuimarisha michezo katika shule mbalimbali nchini na kati ya hizo, sh. bilioni 32 ni kwa ajili ya kuimarisha Chuo cha Michezo Malya. Amesema shilingi bilioni 11 zimetengwa kwa…