JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Dk Yonazi : Tutumie AFCON kama fursa ya kujitangaza kimataifa

Na. Mwandishi Wetu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Makatibu Wakuu ya Maandalizi ya Michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2027), Dkt. Jim Yonazi,…

Prof. Shemdoe awaasa wanafunzi kuendeleza vipaji vyao vya michezo na Sanaa

Na OWM – TAMISEMI, Iringa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewaasa wanafunzi walioshiriki mashindano ya UMISSETA mwaka 2026 kuendeleza vipaji vya michezo na Sanaa walivyonavyo kwani…

Mbio za miaka 30 ya TRA , Eliona asisitiza ulipaji kodi kwa hiari

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani imeungana na mikoa mingine kufanya mbio na matembezi ya shukrani kwa walipakodi ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 30 huku ikisisitiza ulipaji kodi kwa hiari na…

Tanzania inavyojiandaa kuvuna matunda ya AFCON 2027

Na John Walter, JamhuriMedia, Manyara Mwezi Juni mwaka 2027 utaingia kwenye historia ya Tanzania kwa maandishi yasiyofutika kirahisi. Kwa mara ya kwanza tangu kupata uhuru, Tanzania itakuwa mwenyeji wa mashindano makubwa zaidi ya soka barani Afrika, Kombe la Mataifa ya…

Ujerumani yatoa onyo kwa wapinzani katika kombe la dunia

Timu ya taifa ya Ujerumani imetoa onyo kali kwa wapinzani wao kwenye Kombe la Dunia baada ya kuanza kampeni yao kwa ushindi mnono wa 7–1 dhidi ya Curacao katika mchezo wa ufunguzi. Licha ya kuanza kwa kusuasua na kuruhusu bao…

Mbunge Anne Kilango aongoza mapokezi ya shujaa wa AFCON U -17 Same Mashariki

Na Ashrack Miraji, JamhutiMedia, Same Mamia ya wananchi wa Kata ya Kalemawe, Kijiji cha karamba wilayani Same, wamejitokeza kwa wingi kumpokea nyumbani kwao nyota chipukizi wa soka, Issa Chole, ambaye ni mchezaji wa timu ya taifa ya vijana ya Serengeti…