Category: Makala
Madini ya Tsavorite, fahari ya Tanzania isiyojulikana na wengi
Na Wizara ya Madini KATIKA safu ya madini adimu ya vito yanayotambulika katika masoko ya kimataifa, Tsavorite ya Tanzania imeendelea kujijengea nafasi ya kipekee, sio tu kwa uzuri wake wa kuvutia machoni, ubora wake,, bali pia kwa hadhi yake ya…
VETA Songea inavyowajengea uwezo wahitimu kukabiliana na changamoto ya ajira
Na Muhidin Amri, JamhuriMedia, Songea MPANGO wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan,kuongeza program maaalum za mafunzo ya ufundi stadi kupitia vyuo vya ufundi ni hatua nzuri ya kujenga rasilimali imara kwa vijana hapa nchini….
Mkaa mbadala mkombozi matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa Watanzania
Ni kuelekea asilimia 80 ya Watanzania kutumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa kutumia teknolojia mbalimbali ikiwemo matumizi ya mkaa…
HESLB inavyoshirikiana na wadau kuwawezesha wanafunzi kujitegemea kiuchumi
Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Tanga Elimu ni haki muhimu ya binadamu. Elimu ni nyenzo muhimu ya kumsaidia binadamu kumudu maisha yake. Kwa kutambua hilo, ndiyo maana wazazi na walezi wanapambana sana kusomesha watoto na vijana wao ili kuwawezesha kupata…
Leminatha Kabigumila; Mwanamke mchimbaji kutoka changamoto hadi tuzo Mining Indaba
Na Asteria Muhozya Tanzania ilishiriki kikamilifu kwenye Kongamano la Kimataifa la Mining Indaba lililofanyika Februari 8 -12, 2026 nchini Afrika Kusini huku ujumbe wake ukiongozwa na Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde na kuwakilishwa na vyama mbalimbali vya wachimbaji, taasisi…
Tusiwafiche familia mali zetu
Katika jamii zetu kume kuwa na desturi ya baadhi ya mitazamo kuwa ni vizuri kuwa na mali fiche amabazo hazijurikani na mkee.mume hata muda mwingine Watoto hata ndgu wa damu. Hii desturi imeaanza jengeka hasa kwa wanaume kuficha ama kufanya…





