Category: Makala
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
Kulalamika kunalowesha uchumi wetu
Naandika makala hii nikiwa nahudhuria kongamano la uwekezaji kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. Wiki zijazo nitawashirikisha fursa za kibiashara na kiuwekezaji zilizopo Nyanda za Juu Kusini (mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya).
Wajasiriamali na uchumi wa Afrika Mashariki
Leo ninapenda tuperuzi nafasi ya uelewa wetu sisi wajasiriamali na Watanzania kwa jumla, linapokuja suala la uchumi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki. Unapotaja Afrika Mashariki ni kwamba kuna mambo ya msingi yanayoushikilia uhusiano huu.
Pamoja na mambo mengine, nguzo kuu ya uwepo wa Jumuiya hii ni suala la uchumi. Ndiyo maana tunaongelea soko la pamoja, kuunganisha sarafu zetu, kusafiri kwa mitaji na rasilimali watu.
Puma yaihama Bandari Dar
Kampuni ya Mafuta ya Puma iko mbioni kuihama Bandari ya Dar es Salaam na kupitishia bidhaa zake katika Bandari ya Beira nchini Msumbiji.
Hatua hiyo ya Puma itazihusisha bidhaa za mafuta na vilainishi vinavyosafirishwa kwa ajili ya matumizi ya nchi za jirani.
Mtoa habari kutoka ndani ya kampuni hiyo aliieleza JAMHURI kwamba sababu ya kufanya hivyo ni kutokana na mfumo usioridhisha uliopo katika Bandari ya Dar es Salaam katika ulipaji gharama za kuhifadhi mizigo na kodi.
Killagane: Gesi imekomboa uchumi Tanzania
*Gesi ya 25,000/- itatosha kupikia hadi maharage miezi mitatu
*Dar es Salaam, Mtwara wanufaika, magari 50 yatumia gesi
Ugunduzi wa gesi asilia kwa wastani wa futi za ujazo trilioni 46.5 ni ukombozi wa wazi kwa uchumi wa Tanzania. Thamani halisi inayokisiwa kwa gesi hii ni karibu dola bilioni 500 za Marekani, kiwango ambacho ni mara 50 ya uchumi wa sasa. Kati ya gesi hii iliyogunduliwa Kijiji cha Msimbati, mkoani Mtwara, na maeneo mengine ya nchi, futi za ujazo trilioni 38.5 zipo katika kina kirefu cha maji na futi za ujazo trilioni 8 zipo nchi kavu. Kuna dalili za mafuta, ila hayajagunduliwa. Katika makala haya, JAMHURI imehojiana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Yona Killagane, ambaye anaeleza mambo mengi ya msingi yenye kutia matumaini kuwa sasa neema iliyokuwa ikisubiriwa hatimaye imewasili Tanzania. Endelea…
Biashara zinahitaji akili za kisasa
Wiki mbili zilizopita, nilipata wasaa wa kuongea kwa kirefu kwa njia ya simu na mjasiriamali kutoka mkoani Singida. Katika mazungumzo yetu mjasiriamali huyu wa miaka mingi alilalamika namna biashara zilivyobadilika nyakati hizi na namna ushindani unavyotishia mustakabali wake.
Mjasiriamali huyu alinipa mifano ya namna zamani alivyokuwa akipata faida kubwa katika bidhaa mbalimbali. Anaeleza, “Zamani nilikuwa nakwenda Dar es Salaam na kununua unga wa ngano kwenye mifuko ya kilo 50, nikija hapa Singida nikiuza kwa jumla ninapata faida ya hadi shilingi elfu tano. Leo hii mfuko wa unga wa kilo 50 huwezi amini, ninapata faida isiyozidi shilingi mia tano!
- Mgeja: Elimu ya amani, uzalendo na mazingira ifundishwe shuleni
- Viongozi wa dini wahimiza Watanzania kupiga kura, amani
- Wadau wakutana kujadili nafasi ya mbegu za wakulima kwenye Itifaki ya Eneo Huru la Biashara Africa
- Chalamila amkabidhi mjane Alice Haule hati ya nyumba
- Samia awasili Uwanja wa Ujamaa mjini Ikwiriri Kibiti kuomba kura
Habari mpya
- Mgeja: Elimu ya amani, uzalendo na mazingira ifundishwe shuleni
- Viongozi wa dini wahimiza Watanzania kupiga kura, amani
- Wadau wakutana kujadili nafasi ya mbegu za wakulima kwenye Itifaki ya Eneo Huru la Biashara Africa
- Chalamila amkabidhi mjane Alice Haule hati ya nyumba
- Samia awasili Uwanja wa Ujamaa mjini Ikwiriri Kibiti kuomba kura
- Mchengerwa : Kizazi cha leo kitashuhudia historia mpya ya taifa
- Bibi wa miaka 120 amuombea dua Rais Samia
- Serikali imetoa bil. 424. 6/- utekelezaji miradi ya TANROADS Rukwa – Eng.Mwanga
- Rais Ruto: Kifo cha Raila Odinga ni pigo kubwa sana kwangu
- Mwili wa aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya wazikwa nyumbani kwao Bondo
- Mgombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya ACT -Wazalendo aahidi kuleta mabadiliko
- Simba yajiweka vizuri kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika
- Vijana Tanga washiriki usafi hospitali, wakimbia mbio fupi kuhamasisha upigaji kura
- Pinda ‘awafunda’ wabunge Rukwa
- TANESCO yaanzisha mpango wa kukopesha majiko sanifu ya umeme ili kupunguza matumizi ya mkaa