Category: Makala
Ngeleja; Kichwa kilichojificha nyuma ya tambo za Kikwete
“Natamani kuwa Rais wa mwisho wa Tanzania kuongoza nchi ambayo ni maskini…Nimeongoza nchi maskini, lakini nataka mrithi wangu kuongoza nchi yenye ustawi na utajiri” yalikuwa ni maneno ya Rais Jakaya Kikwete aliyoyatoa Agosti 5, 2014 alipozungumza kwenye Kituo cha Kimataifa cha Maendeleo mjini Washington, D.C., Marekani.
Kila mtu ni mjasiriamali
Watu wengi huwa wananiuliza swali hili mara kwa mara, “Je, kila mtu ni lazima awe mjasiriamali?”
Nimekuwa nikiwajibu na leo ninataka kulijibu kwa namna nyingine na kwa upana. Ili kulijibu swali hili ninaomba nitumie Biblia kupata baadhi za rejea.
Uchafu waharibu mandhari ya mji wa Songea
Wananchi Manispaa ya Songea wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukumbwa na milipuko wa magonjwa mbalimbali, kutokana na kukidhiri kwa uchafu katika maeneo mbalimbali yakiwamo soko kuu la mji buo.
Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wamesema miundombinu ya maji taka Soko Kuu la Songea ni mibovu. Mitaro ya mji huo imefurika na kutiririsha maji hovyo yanayosambaa kwenye maeneo ya wauza nyanya, vitunguu, samaki na dagaa.
Hivi kati ya Spika Sitta na Kubenea nani ‘Court Jester’?
Akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi Jumanne iliyopita, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel John Sitta, alimshambulia Mkurugenzi Mtendaji wa HaliHalisi Publishers, Saed Kubenea, kwa kitendo chake cha kufungua shauri mahakamani kupinga Bunge hilo.
Malengo ya Kazi (1)
Hotuba ya Rais Mwalimu Julius Nyerere kwenye Sherehe ya Kufungua Kiwanda cha Nguo Ubungo Dar es Salaam Julai 6, 1968
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
- Dk Kijaji aipa tano bodi ya TAWA
- EWURA yatoa mafunzo ya kudhibiti malalamiko kwa watendaji wa Njombe
- Naibu Waziri Millya akutana na Uongozi wa Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya
- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China Kuzuru Tanzania
- Rais Samia apangua baadhi ya Mawaziri, amteua Makonda kuwa Waziri wa Habari
Habari mpya
- Dk Kijaji aipa tano bodi ya TAWA
- EWURA yatoa mafunzo ya kudhibiti malalamiko kwa watendaji wa Njombe
- Naibu Waziri Millya akutana na Uongozi wa Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya
- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China Kuzuru Tanzania
- Rais Samia apangua baadhi ya Mawaziri, amteua Makonda kuwa Waziri wa Habari
- Rais Samia azindua Jengo la Taaluma na Utawala na Bweni la Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Zanzibar
- 2025 mwaka wa mageuzi na matokeo katika mashirika ya umma
- Waziri Mkuu mgeni rasmi kongamano la mwaka la Wamachinga, madereva wa pikipiki na bajaji
- Waziri Nankabirwa :Himizeni wananchi, vijana na wanafunzi kutembelea mradi wa bomba la mafuta
- Tume ya Madini yaonesha fursa za uwekezaji katika maonesho ya kimataifa ya biashara Zanzibar
- Mamlaka ya Dawa za Kulevya yakamata kilo 9,689.833 za dawa za kulevya, watuhumiwa 66 mbaroni
- TARURA yaimarisha mikakati ya kuboresha barabara za wilaya kipindi cha mvua
- Maafisa 84 na askari 48 wa TAWA watunukiwa vyeo vya uhifadhi
- Polisi kufanya uchunguzi wa matukio matatu ya vifo
- Kiteto wajiandaa kupokea mpango wa bima ya afya kwa wote
Copyright 2025