Category: Makala
Kila mtu ni mjasiriamali
Watu wengi huwa wananiuliza swali hili mara kwa mara, “Je, kila mtu ni lazima awe mjasiriamali?”
Nimekuwa nikiwajibu na leo ninataka kulijibu kwa namna nyingine na kwa upana. Ili kulijibu swali hili ninaomba nitumie Biblia kupata baadhi za rejea.
Uchafu waharibu mandhari ya mji wa Songea
Wananchi Manispaa ya Songea wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukumbwa na milipuko wa magonjwa mbalimbali, kutokana na kukidhiri kwa uchafu katika maeneo mbalimbali yakiwamo soko kuu la mji buo.
Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wamesema miundombinu ya maji taka Soko Kuu la Songea ni mibovu. Mitaro ya mji huo imefurika na kutiririsha maji hovyo yanayosambaa kwenye maeneo ya wauza nyanya, vitunguu, samaki na dagaa.
Hivi kati ya Spika Sitta na Kubenea nani ‘Court Jester’?
Akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi Jumanne iliyopita, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel John Sitta, alimshambulia Mkurugenzi Mtendaji wa HaliHalisi Publishers, Saed Kubenea, kwa kitendo chake cha kufungua shauri mahakamani kupinga Bunge hilo.
Malengo ya Kazi (1)
Hotuba ya Rais Mwalimu Julius Nyerere kwenye Sherehe ya Kufungua Kiwanda cha Nguo Ubungo Dar es Salaam Julai 6, 1968
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
Kulalamika kunalowesha uchumi wetu
Naandika makala hii nikiwa nahudhuria kongamano la uwekezaji kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. Wiki zijazo nitawashirikisha fursa za kibiashara na kiuwekezaji zilizopo Nyanda za Juu Kusini (mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya).
Habari mpya
- RC Makala asisitiza kulinda amani mpaka wa Namanga
- Rais Mwinyi ateua wajumbe wa Baraza ka Wawakilishi
- Mawakili wa Serikali wampongeza Mwanasheria Mkuu Johari
- Maonesho ya kilimomisitu kufanyika Musoma Novemba 13 na 15, 2025
- Kauli ya Rais Samia imetupa utulivu kuendelea na majukumu – Wananchi
- Rais Dk Samia apokea ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Urusi
- Mwenyekiti ACT- Wazalendo aanza ziara ya maalum kukutana na wanachama Pemba
- Rais Dk Mwinyi amuapisha mwanasheria mkuu wa Z’bar
- TEF: Poleni Watanzania, Tujisahihishe
- Kamati Kuu ya CCM yaja na maazimio haya
- Haya hapa matokeo darasa la saba
- Wageni 140 kutoka mataifa mbalimbali watembelea Hifadhi ya Kilwa Kusiwani
- CCM yafanya uteuzi wa wagombea nafasi za Spika na Naibu Spika
- Ajali ya ndege ya UPS, saba wafariki, 11 wajeruhiwa
- Rais Dk Samia amuapisha mwanasheria mkuu Hamza Johari
Copyright 2024