Category: Makala
Ngeleja; Kichwa kilichojificha nyuma ya tambo za Kikwete
“Natamani kuwa Rais wa mwisho wa Tanzania kuongoza nchi ambayo ni maskini…Nimeongoza nchi maskini, lakini nataka mrithi wangu kuongoza nchi yenye ustawi na utajiri” yalikuwa ni maneno ya Rais Jakaya Kikwete aliyoyatoa Agosti 5, 2014 alipozungumza kwenye Kituo cha Kimataifa cha Maendeleo mjini Washington, D.C., Marekani.
Kila mtu ni mjasiriamali
Watu wengi huwa wananiuliza swali hili mara kwa mara, “Je, kila mtu ni lazima awe mjasiriamali?”
Nimekuwa nikiwajibu na leo ninataka kulijibu kwa namna nyingine na kwa upana. Ili kulijibu swali hili ninaomba nitumie Biblia kupata baadhi za rejea.
Uchafu waharibu mandhari ya mji wa Songea
Wananchi Manispaa ya Songea wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukumbwa na milipuko wa magonjwa mbalimbali, kutokana na kukidhiri kwa uchafu katika maeneo mbalimbali yakiwamo soko kuu la mji buo.
Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wamesema miundombinu ya maji taka Soko Kuu la Songea ni mibovu. Mitaro ya mji huo imefurika na kutiririsha maji hovyo yanayosambaa kwenye maeneo ya wauza nyanya, vitunguu, samaki na dagaa.
Hivi kati ya Spika Sitta na Kubenea nani ‘Court Jester’?
Akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi Jumanne iliyopita, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel John Sitta, alimshambulia Mkurugenzi Mtendaji wa HaliHalisi Publishers, Saed Kubenea, kwa kitendo chake cha kufungua shauri mahakamani kupinga Bunge hilo.
Malengo ya Kazi (1)
Hotuba ya Rais Mwalimu Julius Nyerere kwenye Sherehe ya Kufungua Kiwanda cha Nguo Ubungo Dar es Salaam Julai 6, 1968
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
- Amani ya kudumu haiwezi kupatikana bila maendeleo jumuishi na endelevu- Dkt. Nchimbi
- Watanzania tuendelee kuliombea taifa lidumu katika amanin- Rais Samia
- Polisi Tarime yamkamata Sajenti wa Jeshi la Marekani akiwa na mabomu manne
- Mahenge yaanza kung’ara katika mapato ya madini
- Serikali yapongeza hospitali ya Shifaa kwa kuzindua kitengo maalum kutibu kisukari
Habari mpya
- Amani ya kudumu haiwezi kupatikana bila maendeleo jumuishi na endelevu- Dkt. Nchimbi
- Watanzania tuendelee kuliombea taifa lidumu katika amanin- Rais Samia
- Polisi Tarime yamkamata Sajenti wa Jeshi la Marekani akiwa na mabomu manne
- Mahenge yaanza kung’ara katika mapato ya madini
- Serikali yapongeza hospitali ya Shifaa kwa kuzindua kitengo maalum kutibu kisukari
- Watahiniwa 595,816 kuanza mtihani wa kidato cha nne kesho
- Mhandisi Seff aeleza jitihada za TARURA kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
- Rais wa kupambana na rushwa Comoro awasili Tanzania kwa ziara
- DED Shemwelekwa : Awasihi wafanyabiashara Loliondo kuilinda amani ili kukuza biashara
- Tanzania yasisitiza amani na usalama mkutano wa ICGLR
- Mwigulu aanza kazi rasmi , akomesha vikwazo vya huduma kwa wajawazito
- Waraka wa TEC huu hapa, yashauri uchunguzi huru vurugu za Oktoba 29
- Miradi ya madini imeleta maendeleo Mara
- Dk Nchimbi kumwakilisha Rais Samia Mkutano wa Wakuu wa Nchi Maziwa Makuu Kongo
- Serikali yalenga kuongeza mapato yasiyo ya kodi kutoka kwa Mashirika ya Umma
Copyright 2024