Category: Makala
Ngeleja; Kichwa kilichojificha nyuma ya tambo za Kikwete
“Natamani kuwa Rais wa mwisho wa Tanzania kuongoza nchi ambayo ni maskini…Nimeongoza nchi maskini, lakini nataka mrithi wangu kuongoza nchi yenye ustawi na utajiri” yalikuwa ni maneno ya Rais Jakaya Kikwete aliyoyatoa Agosti 5, 2014 alipozungumza kwenye Kituo cha Kimataifa cha Maendeleo mjini Washington, D.C., Marekani.
Kila mtu ni mjasiriamali
Watu wengi huwa wananiuliza swali hili mara kwa mara, “Je, kila mtu ni lazima awe mjasiriamali?”
Nimekuwa nikiwajibu na leo ninataka kulijibu kwa namna nyingine na kwa upana. Ili kulijibu swali hili ninaomba nitumie Biblia kupata baadhi za rejea.
Uchafu waharibu mandhari ya mji wa Songea
Wananchi Manispaa ya Songea wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukumbwa na milipuko wa magonjwa mbalimbali, kutokana na kukidhiri kwa uchafu katika maeneo mbalimbali yakiwamo soko kuu la mji buo.
Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wamesema miundombinu ya maji taka Soko Kuu la Songea ni mibovu. Mitaro ya mji huo imefurika na kutiririsha maji hovyo yanayosambaa kwenye maeneo ya wauza nyanya, vitunguu, samaki na dagaa.
Hivi kati ya Spika Sitta na Kubenea nani ‘Court Jester’?
Akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi Jumanne iliyopita, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel John Sitta, alimshambulia Mkurugenzi Mtendaji wa HaliHalisi Publishers, Saed Kubenea, kwa kitendo chake cha kufungua shauri mahakamani kupinga Bunge hilo.
Malengo ya Kazi (1)
Hotuba ya Rais Mwalimu Julius Nyerere kwenye Sherehe ya Kufungua Kiwanda cha Nguo Ubungo Dar es Salaam Julai 6, 1968
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
- Dk Mwigulu : Watendaji Serikali tekelezeni majukumu yenu ipasavyo
- ELAF yaonya kauli za udini, yasema zina athari kwa Taifa
- Klabu ya Simba yakubali kipigo cha 1-0 dhidi ya Petro Atletico de Luanda
- Serikali kuboresha na kuongeza idadi ya vyuo vikuu na vya kati nchini
- Watano wafariki baada ya basi kugongana na gari ndogo Arusha
Habari mpya
- Dk Mwigulu : Watendaji Serikali tekelezeni majukumu yenu ipasavyo
- ELAF yaonya kauli za udini, yasema zina athari kwa Taifa
- Klabu ya Simba yakubali kipigo cha 1-0 dhidi ya Petro Atletico de Luanda
- Serikali kuboresha na kuongeza idadi ya vyuo vikuu na vya kati nchini
- Watano wafariki baada ya basi kugongana na gari ndogo Arusha
- Serikali yawataka wananchi kusubiri ripoti ya Tume Maalum ya kuchunguza maafa ya Oktoba 29
- Dk Nchimbi afanya mazungumzo na Rais wa Zanzibar
- Rais Samia akiwatunuku kamisheni maafisa wanafunzi kuwa maafisa wa JWTZ
- JKCL sasa kusogeza huduma za moyo hadi maeneo ya kazi
- Rais Dk Samia awasili Arusha kwa ziara ya kikazi
- Tanzania yajipanga kuzalisha bidhaa zitokanazo na madini nchini
- Waajiriwa wapya Tume ya Madini watakiwa kuzingatia maadili, kuepuka vishawishi
- Lazaro Nyalandu ateuliwa kuwa mshauri wa Rais Diplomasia
- Polisi kuchukua hatua ukiukwaji wowoote wa wa sheria za nchi
- Mbinu muhimu za kutambua noti bandia
Copyright 2024