Category: Makala
Ngeleja; Kichwa kilichojificha nyuma ya tambo za Kikwete
“Natamani kuwa Rais wa mwisho wa Tanzania kuongoza nchi ambayo ni maskini…Nimeongoza nchi maskini, lakini nataka mrithi wangu kuongoza nchi yenye ustawi na utajiri” yalikuwa ni maneno ya Rais Jakaya Kikwete aliyoyatoa Agosti 5, 2014 alipozungumza kwenye Kituo cha Kimataifa cha Maendeleo mjini Washington, D.C., Marekani.
Kila mtu ni mjasiriamali
Watu wengi huwa wananiuliza swali hili mara kwa mara, “Je, kila mtu ni lazima awe mjasiriamali?”
Nimekuwa nikiwajibu na leo ninataka kulijibu kwa namna nyingine na kwa upana. Ili kulijibu swali hili ninaomba nitumie Biblia kupata baadhi za rejea.
Uchafu waharibu mandhari ya mji wa Songea
Wananchi Manispaa ya Songea wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukumbwa na milipuko wa magonjwa mbalimbali, kutokana na kukidhiri kwa uchafu katika maeneo mbalimbali yakiwamo soko kuu la mji buo.
Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wamesema miundombinu ya maji taka Soko Kuu la Songea ni mibovu. Mitaro ya mji huo imefurika na kutiririsha maji hovyo yanayosambaa kwenye maeneo ya wauza nyanya, vitunguu, samaki na dagaa.
Hivi kati ya Spika Sitta na Kubenea nani ‘Court Jester’?
Akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi Jumanne iliyopita, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel John Sitta, alimshambulia Mkurugenzi Mtendaji wa HaliHalisi Publishers, Saed Kubenea, kwa kitendo chake cha kufungua shauri mahakamani kupinga Bunge hilo.
Malengo ya Kazi (1)
Hotuba ya Rais Mwalimu Julius Nyerere kwenye Sherehe ya Kufungua Kiwanda cha Nguo Ubungo Dar es Salaam Julai 6, 1968
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
- DED Shemwelekwa: Sijaridhishwa na utekelezaji wa kuchongwa barabara ya Machinjioni na Kilimahewa,urudiwe
- Lukuvi amsifu Dk Mwigulu, Rais Samia hajakosea kumteua
- Johari amuelezea Dk Mwigulu kama kiongozi thabiti na mchapakazi
- Rais Mwinyi : Uteuzi wa mawaziri unalenga kuimarisha kasi ya maendeleo
- ICGLR yajipanga kuimarisha amani katika kanda
Habari mpya
- DED Shemwelekwa: Sijaridhishwa na utekelezaji wa kuchongwa barabara ya Machinjioni na Kilimahewa,urudiwe
- Lukuvi amsifu Dk Mwigulu, Rais Samia hajakosea kumteua
- Johari amuelezea Dk Mwigulu kama kiongozi thabiti na mchapakazi
- Rais Mwinyi : Uteuzi wa mawaziri unalenga kuimarisha kasi ya maendeleo
- ICGLR yajipanga kuimarisha amani katika kanda
- Ashikiliwa kwa tuhuma za kuhamasisha uhalifu kupitia kundi la whatsApp
- Rais Samia kumwapisha kesho Mwigulu
- TFS yaivutia China kwa mbinu za uhifadhi endelevu
- Miradi ya CSR ya migodi yawanufaisha wananchi Simiyu
- Mwigulu Nchemba ni Waziri Mkuu wa 12 nchini
- ACT Wazalendo : Watawala zingatieni viapo vyenu
- Dk Shemelewa atoa rai usimamizi madhubuti miradi ya maendeleo Kibaha Mjini
- TTCL yazindua kifurushi kipya cha Faiba mlangoni kwako
- Serikali yajidhatiti kuendelea kuiboresha sekta ya Horticulture
- Waethiopia 38 washikiliwa kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha sheria
Copyright 2024