Category: Makala
Ngeleja; Kichwa kilichojificha nyuma ya tambo za Kikwete
“Natamani kuwa Rais wa mwisho wa Tanzania kuongoza nchi ambayo ni maskini…Nimeongoza nchi maskini, lakini nataka mrithi wangu kuongoza nchi yenye ustawi na utajiri” yalikuwa ni maneno ya Rais Jakaya Kikwete aliyoyatoa Agosti 5, 2014 alipozungumza kwenye Kituo cha Kimataifa cha Maendeleo mjini Washington, D.C., Marekani.
Kila mtu ni mjasiriamali
Watu wengi huwa wananiuliza swali hili mara kwa mara, “Je, kila mtu ni lazima awe mjasiriamali?”
Nimekuwa nikiwajibu na leo ninataka kulijibu kwa namna nyingine na kwa upana. Ili kulijibu swali hili ninaomba nitumie Biblia kupata baadhi za rejea.
Uchafu waharibu mandhari ya mji wa Songea
Wananchi Manispaa ya Songea wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukumbwa na milipuko wa magonjwa mbalimbali, kutokana na kukidhiri kwa uchafu katika maeneo mbalimbali yakiwamo soko kuu la mji buo.
Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wamesema miundombinu ya maji taka Soko Kuu la Songea ni mibovu. Mitaro ya mji huo imefurika na kutiririsha maji hovyo yanayosambaa kwenye maeneo ya wauza nyanya, vitunguu, samaki na dagaa.
Hivi kati ya Spika Sitta na Kubenea nani ‘Court Jester’?
Akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi Jumanne iliyopita, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel John Sitta, alimshambulia Mkurugenzi Mtendaji wa HaliHalisi Publishers, Saed Kubenea, kwa kitendo chake cha kufungua shauri mahakamani kupinga Bunge hilo.
Malengo ya Kazi (1)
Hotuba ya Rais Mwalimu Julius Nyerere kwenye Sherehe ya Kufungua Kiwanda cha Nguo Ubungo Dar es Salaam Julai 6, 1968
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
- TAFORI yashiriki Mkutano Mkuu wa CITES 2O25 nchini Uzbekistan
- Waziri Kombo awasilisha taarifa ya ufafanuzi kwa Kamati ya CMAG kufuatia vurugu za Oktoba 29, 2025
- Ushindi wa Tanzania kwenye tuzo za utalii duniani ni chachu ya kuendelea kutangaza mazao mapya Ngorongoro
- Waziri Mavunde aipongeza kampuni ya Franone na God CSR
- ‘Vijana tuilinde amani ya nchi yetu’
Habari mpya
- TAFORI yashiriki Mkutano Mkuu wa CITES 2O25 nchini Uzbekistan
- Waziri Kombo awasilisha taarifa ya ufafanuzi kwa Kamati ya CMAG kufuatia vurugu za Oktoba 29, 2025
- Ushindi wa Tanzania kwenye tuzo za utalii duniani ni chachu ya kuendelea kutangaza mazao mapya Ngorongoro
- Waziri Mavunde aipongeza kampuni ya Franone na God CSR
- ‘Vijana tuilinde amani ya nchi yetu’
- CCM haitasita kuwachukulia hatua watumishi wa umma wababaishaji- Mwenezi Kenani
- Mashirika ya umma yasiyofanya vizuri kufutwa au kuunganishwa
- Tanzania lures Indian investor in city natural Gas distribution
- Salome Makamba aipongeza PBPA kwa utendaji mzuri
- JKCL yaweka tena historia, yaanza kutoa matibabu kupunguza msisimiko shinikizo la damu katika figo
- Wazazi, walezi na walimu nchini wametakiwa kukekemea vitendo bua ukatili kwa watoto nchini
- Chalamila : Upotoshaji taarifa unaweza kuligharimu Taifa hasa nyakati zenye taharuki
- Polisi Songwe :Tumieni umoja wenu kujenga maendeleo, siyo kufanya vurugu
- TPA kinara tuzo za NBAA kwa mashirika ya umma
- Mkuu wa Mkoa wa Dodoma atangaza siku tatu za kuombea amani
Copyright 2024