JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

RC Serukamba awashauri waandishi wa habari kuandika habari zilizo na usahihi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Waandishi wa habari nchini wameshauriwa kuripoti habari zilizo sahihi ili kuepuka taharuki ikiwemo suala la kuripoti habari za dawa na vifaa tiba ambalo lipo chini ya Mamlaka ya dawa na vifaa tiba nchini (TMDA). Hayo…

USAID, JET wadhamiria kupunguza migongano ya binadamu na wanyamapori, waandaa mdahalo

Na Stella Aron, JamhuriMedia,Dar es Salaam Imeelezwa kuwa ipo haja ya wananchi kuendelea kuelimishwa kuhusiana na umuhimu wa tembo ili kusaidia kulindwa kwa shoroba ambazo zina fursa nyingi kwa jamii ikiwa ni pamoja na kuwainua kiuchumi. Akizungumza wakati wa mdahalo…

Waziri Makamba awasili nchini China kwa ziara ya kikazi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki January Makamba amewasili nchini China kuanza ziara ya kikazi. Ziara hii mbali na kudumisha ushirikiano wa kidiplomasia wa kihistoria uliopo baina ya mataifa haya mawili ni muendelezo wa utekelezaji wa…

Bil. 97.178/- kutumika ujenzi barabara ya Ifakara – Mbingu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Imeelezwa kuwa mradi wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Ifakara hadi Mbingu yenye urefu wa kilomita 62.5 utatumia Bilioni 97.178 Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imebainisha kuwa Mkandarasi wa Kampuni…

Upatikanaji wa maji wafikia asilimia 66.7 Simanjiro

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Hali ya upatikanaji wa maji Vijijini katika Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara umefikia asilimia 66.7, huku kukiwa na aina 4 z vyanzo vya maji ikiwa ni pamoja na visima Virefu 76, Visima vifupi 15, mabwawa…