JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NEMC kufanya ukaguzi athari za mazingira kwenye miradi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limejipanga kufanya mapitio ya miradi yote ili kuangalia kama imefanyiwa tathmini ya athari za mazingira katika kukabiliana na hatari za kimazingira zinazotokana na shughuli za…

Wanafunzi Chuo cha Utalii Pasiansi wapata elimu ya usalama wa watalii

Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi Wanafunzi toka Chuo cha Taasisi ya Taaluma ya Wanyamapori Pasiansi kutoka Mkoani Mwanza leo wamefika Katika kituo cha Polisi cha Utalii na Diplomasia Jijini Arusha kwa ajili ya kujifunza namna ambavyo Kituo hicho kinafanya…

NEMC yakemea matumizi vifungashio vya plastiki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limekemea vikali matumizi ya vifungashio vya plastiki visivyokidhi viwango ambavyo vimegeuzwa kama mifuko ya kubebea bidhaa sokoni. Hayo yamesemwa leo na Ofisa Mazingira Mwandamizi wa…

Wanafunzi Chuo cha Ustawi wa Jamii kushiriki Shindano la kimataifa ‘Hult Prize’ nchini Kenya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wanafunzi watatu kutoka Chuo cha Ustawi wa Jamii ni Miongoni mwa wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali Duniani wanaokutana Jijini Nairobi Nchini Kenya kuwania Tuzo ya ‘Hult’. Wanafunzi hao ni Hellena Sailas, Maria Daudi, na…

Dirisha la wanafunzi kuomba mkopo 2024/25 lafunguliwa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu nchini(HESLB), imetangaza kufunguliwa dirisha la kuomba mkopo kwa wanafunzi wa mwaka wa masomo 2024/2025 huku waombaji wametakiwa kusoma mwongozo kabla ya kuomba. Akizungumza na…