JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bwawa la Nyerere mkombozi, Rais Samia atimiza ndoto ya Magufuli kwa vitendo

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Rufiji Mgawo wa umeme uliolisumbua taifa kwa muda mrefu sasa unafikia ukomo baada ya Bwawa la Mwalimu Nyerere kuanza kuzalisha umeme kwa kuingiza kwenye gridi ya taifa megawati 235 mwezi huu, JAMHURI linathibitisha. Kuanzia Febaruari 22,…

Haiti yatangaza hali ya hatari

Serikali ya Haiti imetangaza hali ya hatari na amri ya kutotoka nje usiku. Watu hawataruhusiwa kutoka nje kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa 11 alfajiri ili kurejesha udhibiti wa nchi baada ya gereza kuu kuvamiwa na genge la…

JKCI yaombwa kutoa elimu ya lishe

Na Mwandishi Maalumu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam wameiomba Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuendelea kutoa elimu ya lishe bora ambayo itawasaidia kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza yakiwemo magonjwa ya moyo. Ombi hilo limetolewa…

Hospitali ya Rufaa Songea ilivyomaliza adha ya wagonjwa kwenda Muhimbili

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Songea SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Afya imetenga zaidi ya shilingi bilioni 6.57 kutekeleza mradi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa,Songea. Fedha hizo ni kwa ajili ya…

Serikali yaiomba FAO kuunga mkono mipango ya kupambana na athari za mabadiliko tabianchi

Na Mwandishi Maalum, JamhuriMedia WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo ameliomba Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) kuendelea Kuunga mkono mipango ya Serikali ya Tanzania katika usimamizi wa mazingira na kupambana…

Garden Michael aanza kuwasha moto Afrika Kusini

Isri Mohamed Mlinzi wa kushoto raia wa Tanzania, Gadiel Michael anayekipiga kwenye klabu ya Cape Town nchini Afrika Kusini ameanza kuwasha moto kwenye klabu yake hiyo kwa kutoa Assist ya bao la kwanza wakicheza dhidi ya Galaxy fc. Mchezo huo…