Latest Posts
Dk Mpango kuongoza waombolezaji Dar
Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango anatarajia kuongoza shughuli ya kuaga mwili wa Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, hayati Ali Hassan Mwinyi katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam leo. Akitoa ratiba ya mazishi ya kiongozi huyo, Msemaji wa…
Muhimbili yaja na mpango wa dharura wa kuhudumia wanachama wa NHIF
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kufuatia baadhi ya Hospitali kusitisha huduma kwa wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kuanzia Machi 1, 2024, Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) umekuja na mpango wa dharura…
Chalamila : Wananchi jitokezeni kumuaga Rais wa Awamu ya Pili Hayati Mwinyi
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Machi 01,2024 akiongea na vyombo vya habari Ofisini kwake Ilala Boma amewaomba wananchi hususani wakazi wa Mkoa huo kujitokeza kwa wingi katika barabara ambazo mwili huo utapita na uwanjani ambako…
Tohara yapunguza kasi ya maambukizi ya VVU Shinyanga
Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Shinyanga Kasi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) mkoani Shinyanga imepungua kwa kiasi kikubwa kutokana na juhudi kubwa zinazofanywa na Shirika la Tanzania Health Promotion Support (THPS) kupitia mradi wa Afya Hatua wa tohara kinga ya…
Waziri Silaa abomoa ghorofa Mbezi Beach
Na Isri Mohamed Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesimamia zoezi la ubomoaji wa ghorofa moja lililopo kwenye eneo la kiwanja no. 424 Mbezi Beach jijini Dar es Salaam. Waziri Silaa amesimamia zoezi hilo kwa lengo…





