JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NMB yazindua tawi lake Dumila Morogoro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro WANANCHI wa Mji wa Dumila wilaya ya Kilosa wameondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kati ya kilometa 35 hadi 70 kufuata huduma za kibenki, baada ya benki ya NMB kufungua tawi la NMB Dumila….

TAMWA Zanzibar yakemea udhalilishaji wa watoto kupitia mitandao ya kijamii

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania Zanzibar (TAMWA –ZNZ) kinaiasa jamii kujizuia kurekodi watoto wadogo na kuwaweka katika mitandao baada ya kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji kwani kufanya hivyo ni kuwadhalilisha zaidi. Dkt. Mzuri Issa, ni mkurungenzi…

Naibu Waziri Marryprisca awataka wamanchi kutunza vyanzo vya maji

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Namtumbo NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Marryprisca Mahundi ambaye pia ni Mbunge wa viti maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), amewataka wananchi kutunza vyanzo vya maji na amewaonya baadhi ya watu wanaojihusisha na uharibifu wa mazingira…

Viongozi wa dini msichoke kuwaunganisha watu – Biteko

#Atoa wito kujenga Taifa lenye umoja, upendo na mshikamano Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt Doto Biteko amewataka viongozi wa dini kutochoka kuunganisha watu ili kujenga Taifa lenye Umoja, Amani na Mshikamano Mhe….

Majaliwa atembelea maonesho kabla kabla ya kufungua Wiki ya Huduma ya Fedha

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Kisongo Arusha ambako alifungua  Maadhimisho ya Wiki ya  Huduma ya Fedha kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini humo, Novemba 22, 2023. Wa pili kushoto ni Mkuu…