JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watu 111 wapoteza maisha, 230 wajeruhiwa kufuatia tetemeko la ardhi China

Watu 111 wamekufa na wengine zaidi ya 230 wamejeruhiwa kufuatia tetemeko la ardhi lililopiga eneo la kaskazini magharibi mwa China la Gansu-Ginghai usiku wa kuamkia leo. Kituo cha Ulaya cha kufuatilia mitikisiko ya ardhi duniani EMSC kimesema, tetemeko hilo la…

TPA yafungua rasmi ofisi nchini Malawi

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania ( TPA) imezindua Rasmi Ofisi yake katika nchi ya Malawi ikiwa ni hatua ya Mamlaka hiyo kusogeza huduma za Bandari karibu na wateja wake wa nchini humo. Waziri wa Uchukuzi wa Tanzania Mhe. Profesa…

FCS yatoa tathmini ya mwaka mmoja utekelezaji mradi wa ‘Uraia Wetu’

Msimamizi wa Mradi wa ‘Uraia Wetu’ Nicholas Lekule akitoa tathimini juu ya mradi huo, katika semina ya Wahariri na Waandishi wa Habari iliyofanyika leo Disemba 18,2023 Jijini Dar es Salaam. Msimamizi wa Mradi wa ‘Uraia Wetu’ Nicholas Lekule akizungumza kwenye…

Wabunifu wa huduma za afya za kidigitali wahimizwa kuboresha huduma bora za afya kupitia TEHAMA

Na WAF – Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu amewahimiza wabunifu wa Huduma za Afya za Kidigitali kushirikiana na Serikali ili kuweza kuboresha huduma bora za kiafya kwa wananchi kupitia TEHAMA. Dkt. Jingu ameyasema…