Latest Posts
Fanyeni kazi kwa bidii, ushirikiano na ubunifu kuboresha utoaji huduma kwa wananchi – Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM– TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe amewataka watumishi wa OWM- TAMISEMI kufanya kazi kwa bidii, upendo, ushirikiano, pamoja na ubunifu katika utendaji…
Mazungumzo kati ya Iran na Marekani yapo njia panda
Wakati vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran vikiingia siku yake ya 28 siku ya Ijumaa, kunatajwa dalili za mazungumzo ya kukomesha vita hivyo, ingawa mashambulizi baina yao hayajasita. Iran na Marekani bado zipo njia panda kuhusu suala…
HESLB yatilia mkazo PPP kutanua wigo wa ufadhili wa wanafunzi
Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Tanga Elimu ni gharama. Elimu ina mahitaji mengi ambayo yanahitaji fedha ili kuyakamilisha ili kupata utulivu wa kujifunza darasani. Serikali inasimamia na kutekeleza kikamilifu Sera ya Elimumsingi bila ada ambapo hutumia fedha nyingi kuwezesha upatikanaji…
UN: Mgogoro mashariki mwa DRC unaongezeka
Kaimu Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameliambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa mgogoro katika eneo lenye utajiri wa madini mashariki mwa Kongo, unazidi kuongezeka. Vivian van de Perre amesema…
Trump aongeza muda kusitisha mashambulizi kwa siku 10
Rais Donald Trump wa Marekani amesema Iran ilimwomba asitishe mashambulizi kwa siku saba kwenye biwanda vya nishati, lakini ameipa siku kumi, na Tehran “ikamshukuru sana” kwa hatua hiyo. Awali, Trump alitangaza kwenye mtandao wa Truth Social kwamba ataongeza muda wa…
Serikali yahimiza matumizi ya vyakula vya asili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imewahimiza Watanzania kurejea katika matumizi ya vyakula vya asili kama sehemu muhimu ya kujenga afya bora, kuzuia magonjwa, na kusaidia matibabu kwa njia salama na endelevu. Akizungumza jijini Dodoma katika…





