Latest Posts
Tume yakutana na viongozi wa vyama vya siasa
Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 22, 2026, imekutana na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa nchini. Mkutano huo wa Tume na viongozi wa vyama…
Tanzania na Gatsby zajadili kuimarisha mabadiliko ya kiuchumi
Na Farida Ramadhani na Joseph Mahumi, WF, Dodoma Serikali na GATSBY Africa wamejadiliana vipaumbele vya Tanzania katika mabadiliko ya kiuchumi hasa katika kuimarisha ushindani wa uzalishaji wa viwanda ili kufikia malengo ya Dira ya Taifa 2050. Hayo yameelezwa jijini Dodoma…
Kapinga atoa onyo kwa wanunuzi wanaochelewesha malipo ya kahawa Mbinga
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amemtaka Afisa Ushirika wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, kuhakikisha anasimamia kwa karibu malipo ya wakulima wa kahawa ili kuwalinda dhidi ya ucheleweshaji wa fedha zao unaofanywa na baadhi ya kampuni…
Ndejembi ahimiza ushirikiano wa wakuu wa mikoa na wilaya katika utekelezaji miradi ya nishati
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026, amezungumza katika Mkutano wa Tathmini ya Utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kwa Mwaka wa Fedha 2024/25 unaofanyika katika Ukumbi wa Mabeyo, jijini Dodoma. Mkutano huo umeandaliwa na Ofisi ya Waziri…





