Latest Posts
TRA Pwani yakusanya bilioni 266, yataja magendo, stempu feki kuathiri mapato
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani imeongeza makusanyo ya mapato kutoka Sh bilioni 27 mwaka 2015/2016 hadi Sh bilioni 266 mwaka 2025/2026, sawa na asilimia 113 mafanikio yanayoakisi kuimarisha shughuli za kiuchumi huku…
PURA yaeleza namna gesi asilia inavyochochea uwekezaji
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia ,Dodoma Wakati Dunia ikiendelea kutafuta vyanzo vya nishati safi na rafiki kwa mazingira, Tanzania imeendelea kunufaika na hazina kubwa ya gesi asilia inayochochea uzalishaji wa umeme, ukuaji wa viwanda na maendeleo ya uchumi wa taifa. Rasilimali…
TFC yasambaza tani 49,000 za mbolea, yajipanga kupunguza utegemezi wa bidhaa za nje
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Zaidi ya tani 49,000 za mbolea tayari zimesambazwa kwa wakulima nchini kupitia Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC), hatua inayodhihirisha kuongezeka kwa mahitaji ya pembejeo za kilimo wakati Tanzania ikiendelea kuimarisha uzalishaji wa mazao ya chakula…
TBS yashika nafasi ya juu kitaifa kwa utoaji huduma bora za umma
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kuonesha ubora wa huduma zake kwa wananchi kupitia ushiriki wake katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea jijini Dodoma, huku mamia ya wananchi na wafanyabiashara wakifurika katika banda la taasisi hiyo kupata…
Wizara yasisitiza ushirikiano kufikia asilimia 80 ya matumizi ya nishati safi ya kupikia
Dar es Salaam Wizara ya Nishati imesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya Serikali, sekta binafsi na wadau wa maendeleo katika kufanikisha lengo la Taifa la kufikia asilimia 80 ya matumizi ya nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034. Wito huo…
Mbaroni kwa tuhuma za kumuua baba yake
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Juma Ramadhan (21), tuhuma za kumuua baba yake mzazi Ramadhan Muna (47) na kumfukia ndani ya chumba chake alipokuwa akiishi maeneo ya Mbezi…





