Latest Posts
Adakwa na Polisi kwa tuhuma za kujiteka Tabora
Na Allan Kitwe, Tabora JESHI la Polisi mkoani Tabora linamshikilia Hadija Jimmy Mrijo (39) mpare, kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo kuwa ametekwa na watu wasiojulikana ili ajipatie fedha isivyo halali kutoka kwa mume wake. Kamanda wa Polisi Mkoani…




