Latest Posts
Tumfukuze mbwa mwitu kwanza, kisha tumzuie mwanambuzi kuchezea vichakani
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwandishi maarufu wa riwaya Afrika, Mnigeria Chinua Achebe, alipata kuandika sentensi maarufu katika kujenga mshikamano wa kijamii kuwa: “Katika mtanziko wa hatari, tumfukuze mbwa mwitu kwanza, kisha tumzuie mwanambuzi kuchezea vichakani.” Sitanii, kichwa…
Uchimbaji mchanga wageuka kero Viziwaziwa, Nyamka atembelea barabara iliyokatika
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Wakazi wa Sagale Magengeni, kata ya Viziwaziwa wilayani Kibaha, wamelalamikia kero ya wachimbaji mchanga wanaodaiwa kusababisha kukatika kwa barabara inayounganisha eneo hilo na Kwamfipa, hali inayowapelekea kuzunguka umbali mrefu . Wamesema shughuli hizo zinasababisha uharibifu…
Tanzania, Slovakia kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi wa kidiplomasia
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, Aprili 13, 2026, amefanya mazungumzo na Balozi wa Slovakia nchini, Mhe. Ivan Lančarič, katika ofisi yake iliyopo Bungeni jijini Dodoma. Mazungumzo hayo yamelenga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia…
Mchengerwa aongoza timu ya Tanzania Mkutano wa 59 wa Kamisheni ya Idadi ya Watu na Maendeleo Marekani
Na John Mapepele, New York -Marekani Waziri wa Afya Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa ameongoza timu ya Tanzania katika Mkutano wa 59 wa Kamisheni ya Idadi ya Watu na Maendeleo unaofanyika New York Nchini Marekani. Mhe. Mchengerwa amesema Mkutano huo ambao umeanza…
Prof. Mkenda atangaza fursa za ufadhili kwa programu za uzamili katika sayansi na akili unde data
▪︎ Asisitiza Vijana kuomba udahili na ufadhili* ▪︎ Asisitiza Uwazi na Ushindani* Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametangaza rasmi kutolewa kwa ufadhili kupitia Samia Scholarship Exender AI/DS wa masomo ya Uzamili (Masters) katika Sayansi ya Data,…





