JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Siku 100 za Rais Samia, sekta ya mafuta na gesi kama nguzo ya maendeleo ya Taifa

Na Rashid Mtagaluka, JamhuriMedia, Dar es Salaam TAREHE 14 Novemba 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano kwa hotuba ya kihistoria iliyoweka wazi dira ya Serikali kwa muhula…

Umoja wa Ulaya kushirikiana na Tanzania kwenye Mnyororo wa Thamani wa Madini

Na Mwandishi Wetu Umoja wa Ulaya (EU) umeonesha nia ya kuendelea kushirikiana na Tanzania katika mnyororo mzima wa thamani wa madini, ikiwemo ujenzi wa uwezo kwa wataalam wa madini, mafunzo ya ufundi stadi, teknolojia za kisasa, na utunzaji wa data…

Trump: Hakuna hitimisho lolote la mwisho kuhusu Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amesema mazungumzo yake na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu hayakufikia hitimisho lolote la mwisho kuhusu Iran. Trump amesisitiza kuwa mazungumzo na Tehran yataendelea akionyesha uwezekano wa kufikiwa kwa makubaliano mapya ya kidiplomasia. Netanyahu, licha…

Masauni atoa rai kwa wabunge kupinga upotoshaji kuhusu muungano

Na; Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni ametoa rai kwa wabunge kupinga na kusahihisha upotoshaji wa taarifa kuhusu Muungano, hususan kupitia mikutano ya hadhara na mitandao…

Prof. Mkenda : Wanawake na wasichana katika sayansi ni nyenzo ya maendeleo ya taifa kiuchumi

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesisitiza kuwa ushiriki wa Wanawake na Wasichana katika sayansi ni nyenzo muhimu ya maendeleo ya Taifa kiuchumi, na kwamba Serikali inaendelea kuwekeza ili kuongeza wataalam katika nyanja hiyo….

Wazazi waonywa; vituo vya kulea watoto siyo shule, wazingatie kanuni za 2012

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Karatu Wazazi na walezi wametakiwa kufahamu na kuzingatia Kanuni za Vituo vya Kulea Watoto Mchana na Watoto Wachanga za mwaka 2012 ili kuhakikisha watoto wanapata malezi sahihi kulingana na umri wao. Akizungumza wakati wa mafunzo kwa…