Latest Posts
RITA yatoa msaada wa vifaa vya ujenzi wa jengo la kituo cha watoto wenye uhitaji Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Ufilisi na Udhamini (RITA) umekabidhi vifaa vya ujenzi pamoja na mahitaji mengine muhimu kwa ajili ya kuboresha mazingira bora ya makazi na elimu katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Huruma…
Ndejembi atoa siku 14 mkandarasi kurejea mradi wa umeme Songea – Mahumbika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tunduru Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amempa siku 14 mkandarasi anayetekeleza mradi wa kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220 kutoka Songea hadi Mahumbika kupitia Tunduru na Masasi kurejea eneo la mradi na kuendelea na…
JET yatambua mchango wa mwanamke katika kulinda na kuhifadhi mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kinawatakia heri wanawake wote nchini na duniani katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani leo Machi 8,2026. JET inatambua mchango mkubwa wa mwanamke katika…
Wanawake wadau wa madini watembelea wazee Magugu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Babati WANAWAKE wadau wa madini wa Mkoa wa Manyara, wamesherehekea Siku ya Wanawake duniani kwa kuwatembelea na kuwapa vyakula na nguo wazee wasiojiweza wanaolelewa katika kituo cha Magugu Wilaya ya Babati. Makamu Mwenyekiti wa chama cha…
Rais Ruto atuma vikosi vya dharura kufuatia mafuriko yaliyoua watu 25 Nairobi
Rais wa Kenya William Ruto ameagiza kupelekwa mara moja kwa kikosi cha dharura kutoka taasisi mbalimbali kusaidia juhudi za uokoaji kufuatia mafuriko ya ghafla yaliyosababisha vifo kadhaa katika jiji kuu la Nairobi. Mamlaka zinasema watu 25 wamefariki dunia baada ya…
Rais wa Iran awaomba radhi majirani, akataa kusalimu amri
Rais wa Iran ameomba radhi kwa kuyashambulia mataifa ya kikanda, lakini ameendelea kuikosoa Marekani. Kauli yake imekuja wakati makombora na droni za Iran vikiendelea kuruka kuelekea Israel na mataifa ya Ghuba ya Kiarabu. Rais wa Iran Masoud Pezeshkian ametupilia mbali…





