JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Dk Kijaji akagua athari za mafuriko Hifadhi ya Serengeti

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), amewasili katika Hifadhi ya Taifa Serengeti, kukagua na kujionea athari na uharibifu wa miundombinu zilizosababshwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchin ili kuzipata ufumbuzi wa kudumu. Dkt. Kijaji ameambatana na…

Salome : Umeme wa gridi Kigoma umeokoa bilioni 58 za mafuta na matengenezo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kusimamia na kukamilisha mradi wa kupeleka umeme wa gridi mkoani Kigoma na hivyo kuokoa takribani shilingi bilioni 58 zilizokuwa zikitumika kila…

Mwigulu akagua ukarabati wa uwanja wa ndege wa Sumbawanga

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 08, 2026 amekagua maendeleo ya ukarabati na uboreshaji wa Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga uliopo mkoani Rukwa. ‎Mradi huo ulianza kutekelezwa katika mwaka wa fedha 2023/2024 kwa gharama ya shilingi bilioni 60.1 na…

Benki ya Dunia kutoa bilioni 5 kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatus Matavila, ameishukuru Benki ya Dunia kwa msaada wa kifedha na kitaaluma wa kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi. Akifungua kikao cha Kamati Kuu (National Steering Committee)…

AWESO atembelea Gridi ya Taifa ya Maji ya China

Shan Dong, China Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amewasili nchini China na kutembelea Gridi ya Taifa ya Maji ya China.Akiambatana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Eng Mwajuma Waziri pamoja na watendaji wa sekta Waziri Aweso amefika…

Wahariri waipongeza REA usambazaji wa gesi asilia Lindi, Pwani

📌Bilioni 6 yawezesha kusambaza miundombinu ya gesi asilia kwenye kaya 1000 na shule moja 📌Nishati ya gesi asilia ni ya uhakika, salama na nafuu zaidi 📌Wananchi watakiwa kuilinda miundombinu ya kusambaza gesi asilia Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Jukwaa la…