JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Athari za vita Iran zaongeza bei ya petroli duniani

Tangu vita vilipoanza, bei ya pipa moja la mafuta ghafi imepanda kutoka dola 73 hadi takribani dola 117 kwa sasa. Kwa kawaida, kupanda kwa bei ya jumla ya nishati huonekana kwanza kwenye vituo vya mafuta, na hali hii inaonekana kote…

Lukuvi atakumbukwa kwa mengi – Waziri Mkuu

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Isimani, Mheshimiwa William Lukuvi atakumbukwa kwa mengi na Watanzania kutokana na utumishi wake uliotukuka katika nafasi mbalimbali…

Kituo cha umeme Ifakara chachochea maendeleo Kilombero

📌Kimetekelezwa na REA kwa gharama ya Tsh. Bilioni 25 📌DC Kilombero aipongeza REA, atoa wito kwa wawekezaji 📌Kimeimarisha upatikanaji wa umeme Ukanda wa Morogoro Kusini Ifakara, Kilombero Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetumia shilingi bilioni 25 kujenga Kituo…

REA yamaliza kero ya umeme Kilombero, Ulanga shughuli za kiuchumi zaimarika

Na Stella Aron JamhuriMedia, Ifakara Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imewaondolewa kero ya umeme ya kukatikatika mara kwa mara wakazi wa mji wa Ifaraka na Ulanga baada ya Kituo cha cha Kupokea, Kupoza na Kusambaza umeme cha Ifaraka…

Serikali yakaribisha wawekezaji kutoka Uturuki

Na Joseph Mahumi, WF, Dar es Salaam Serikali ya Tanzania imewakaribisha wawekezaji kutoka Uturuki kuwekeza katika sekta za kimkakati zikiwemo miundombinu, nishati na kilimo, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuharakisha maendeleo ya uchumi na kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia kati…

Wananchi jiungeni na bima ya afya kuepua gharama kubwa za matibabu-Dk Subi

Na Mwandishi Wetu WANANCHI wamekumbushwa umuhimu wa kujiunga na Bima ya Afya kwa wote ili kujiweka tayari pindi wanapougua wao au ndugu zao ambao ni wanufaika wa bima hiyo, hatua itakayosaidia kuepuza gharama kubwa za matibabu. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi…