JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wizara ya Mambo ya Ndani yaomba bajeti ya Trilioni 2.443 Kwa mwaka 2026/2027

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imeomba Bunge la Tanzania kuidhinisha bajeti ya jumla ya shilingi trilioni 2.443 kwa ajili ya matumizi yake katika mwaka wa fedha 2026/2027. Bajeti hiyo imewasilishwa leo Mei 25, 2026…

REA yaandika historia Ludewa

📌Yawasha umeme ukanda wa Nyasa kitongoji cha Nkanda 📌Yapongezwa kufikisha umeme kwenye mazingira magumu Njombe 📌Bodi ya REA yasisitiza wananchi kuchangamkia fursa uwepo wa nishati ya umeme 📍Nkanda – Ludewa Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijni (REA), unaendelea kutekeleza miradi…

Uwekezaji wa NSSF Mkulazi wachochea ajira, wapunguza Nakisi ya Sukari

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amesema mradi wa kiwanda cha sukari Mkulazi ni mradi wa kimkakati unaotekeleza kwa vitendo maono ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan…

Madini yabadilisha maisha Ruangwa, wachimbaji watoka ‘buku buku’ hadi miradi ya maendeleo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi imeendelea kushuhudia mageuzi makubwa ya kiuchumi na kijamii kufuatia kuongezeka kwa shughuli za uchimbaji madini katika Mgodi wa Namungo unaomilikiwa na kampuni ya Elianje Limited, huku wachimbaji wadogo na wananchi…

Sabasaba yaja na ‘Usiku wa Dhahabu’ kuibua historia ya miaka 50 ya mageuzi ya biashara

 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Jubilei ya Dhahabu ya miaka 50 ya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), mwaka huu wadau wa biashara, wawekezaji, wabunifu na wananchi wanatarajiwa…

Zawadi Ligi ya Muungano kuboreshwa

Na Mwandishi Wetu, Unguja Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema msimu ujao wa Ligi ya Muungano utaboreshwa zaidi ikiwa pamoja na zawadi kwa bingwa ili kuipa hadhi ya kipekee ligi hiyo. Amesema…