JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Miaka 40 ya NEMC, JET yapewa tuzo ya heshima

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) leo Mei 28, 2026 limetambua mchango mkubwa wa Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) katika kuandika na kuhabarisha umma kuhusu masuala ya…

Serikali yakaza udhibiti wa mbegu feki kulinda wakulima

Na Dotto Kwilasa, Dodoma Serikali imewataka viongozi wa mikoa na wilaya, hususan maeneo ya mipakani, kuongeza usimamizi wa mbegu zinazoingia nchini ili kuzuia kuenea kwa mbegu zisizo na ubora ambazo zimekuwa zikichangia hasara kwa wakulima na kudhoofisha sekta ya kilimo….

Hakuna nyongeza muda kwa mkandarasi wa ujenzi barabara Kahama kupitia mradi wa TACTIC – Prof. Shemdoe

Na OWM – TAMISEMI, Kahama Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali haitomuongezea muda Mkandarasi M/s China Civil Engineering Construction Corporation wa kukamilisha miradi ya ujenzi…

Vijana 60,000 kupata mafunzo ya uzalendo ya JKT mwaka huu

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)limetangaza ongezeko kubwa la nafasi za vijana watakaopatiwa mafunzo ya uzalendo na stadi za maisha mwaka huu, ambapo wahitimu wa kidato cha sita wapatao 60,000 wanatarajiwa kuripoti katika makambi mbalimbali nchini…

TMA, EMEDO waja na tuzo za kuhamasisha elimu ya hali ya hewa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kushirikiana na shirika la Usimamizi wa Mazingira na Maendeleo (EMEDO),imetangaza rasmi ushirikiano wa Tuzo za Waandishi wa Habari zinazolenga kuhamasisha kutambua mchango wa vyombo vya…