Latest Posts
Waadhimisha Siku ya Wanawake kwa kupanda miti, kugawa misaada Babati
Na John Walter, JamhuriMedia, Babati Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Machi 8,2026 Halmashauri ya Wilaya ya Babati imefanya shughuli za kijamii kwa kupanda miti na kugawa misaada mbalimbali katika Kituo cha Kulelea Wazee kilichopo Sarame,…
Serikali Zanzibar yaimarisha ukuaji sekta ya viwanda kwa kuvutia uwekezaji
Na Maelezo, Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeweka mkazo maalum katika kuimarisha ukuaji wa Sekta ya Viwanda kwa kuvutia uwekezaji katika maeneo tengefu ya viwanda kwa kuweka miundombinu wezeshi ya maedeleo ya viwanda Unguja na Pemba. Akizungumza na waandishi…
Mgalau aendelea kuiunga mkono jamii kwa vitendo, asisitiza mashikamano na maadili
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, CPA Subira Khamis Mgalu, ameendelea kuunga mkono jamii kwa vitendo kupitia matukio ya kijamii na kielimu, huku akisisitiza mshikamano na maadili. Katika kuuenzi Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na kipindi cha…
Wakulima wa kahawa Kijiji cha Liyombo washauriwa kujiimarisha kimaendeleo kupitia mauzo ya zao hilo
Na Mwandishi Wetu, JahuriMedia, Mbinga Wakulima wa zao la kahawa kijiji cha Liyombo kata ya Linda Wilayani Mbinga Mkoa wa Ruvuma,wametakiwa kujenga mazoea ya kupanga bajeti ya fedha mara wanapouza mazao ikiwemo kahawa kwa kuimarisha chama chao,kufanyia shughuli za maendeleo…
Rais Samia aiagiza Wizara ya Nishati kuimarisha akiba ya nishati ya mafuta
Na Aziza Nangwa JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Nishati imeagizwa kuimarisha akiba ya nishati ya mafuta ili kuongeza uwezo wa nchi kujilinda dhidi ya misukosuko ya kimataifa. Kauli hiyo imetolewa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiweka jiwe…
FCC kuwalinda walaji
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Ushindani (FCC) imesema kuwa itaendelea kuchukua hatua katikakuhakikisha walaji wa bidhaa na huduma wanapata salama zinazokidhi viwango. Hayo ameyasema Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC) Khadija Ngasongwa wakati akitangaza…





