JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Migogoro ya mahusiano bado ni changamoto- CRC

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kituo cha Sheria na Usuluhishi cha CRC kimesema migogoro ya mahusiano na elimu ya afya ya uzazi ni changamoto kwa wanandoa na vijana nchini. Akizungumza na Jamhuri mara baada ya kikao cha mkutano…

Rais Samia kuifugua Rukwa kimiundombinu

Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuifungua nchi kimiundombinu ili kuchochea uzalishaji na biashara mipakani.‎ Akizungumza na wakazi wa Namanyere Wilayani Nkasi katika ziara ya Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba inayoendelea mkoani…

Dk. Gwajima awahimiza wananchi kuupokea na kuulinda mradi wa pamoja kwa ustawi wa jamii

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka wananchi waliopo katika Halmashauri 40 zilizopo katika Mikoa 10 ya Arusha, Mwanza, Kagera, Mara, Singida, Shinyanga, Geita, Rukwa,Tabora na Simiyu…

Wataalam wa fedha SADC wajadili vyanzo vya kuongeza bajeti

Kikao cha Kamati ya Fedha cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kinafanyika jijini Pretoria, Afrika Kusini Machi 09, 2026 kujadili hali ya fedha ya jumuiya hiyo muhimu katika mtangamano wa kikanda kusini mwa Afrika. Watalaamu wa masuala ya…

UN yaipongeza Tanzania kwa juhudi za kurejesha amani, kuimarisha taasisi za kidemokrasia

Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika (UNOAU), Bw. Parfait Onanga-Anyanga amewasili nchini kwa ziara akiwa kama Mjumbe Maalum wa Mhe. Antonio…