JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kiwanda cha sukari Mkulazi chaanza kuleta tija

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano ya Kazi, Deus Sangu, ameridhishwa na maendeleo makubwa yaliyofikiwa katika mradi wa Kiwanda cha Sukari Mkulazi, ndani ya muda mfupi kiwanda hicho kitaanza kujiendesha…

Dk Mwigulu awasili Mwanza kwa ziara ya kikazi

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Januari 23, 2026 amewasili mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi.‎ ‎Katika ziara hiyo, Waziri Mkuu anatarajiwa kutembelea Kituo cha Kuratibu Utafutaji na Uokozi cha Kikanda, kukagua Meli ya Ambulance, kuweka Jiwe la Msingi la…

SJMT, SMZ zaweka mikakati kuimarisha muungano

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar zimepanga kuimarisha mashirikiano ili kuhakikisha fursa za Muungano zinawanufaisha wananchi na kuakisi maono ya Waasisi. Hayo yamesemwa leo Alhamisi (Januari 22, 2026) Mjini Zanzibar na Katibu Mkuu Ofisi…

Miradi, mikataba ya kimataifa kuleta fursa kwa wananchi wa pande zote za muungano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali yya Mapinduzi Zanzibar zimejipanga kuhakikisha zinanufaika vyema na fursa za programu za miradi na mikataba ya kimataifa kuhusu mazingira na mabadiliko ya tabianchi. Rai hiyo imetolewa…

Kizimbani kwa tuhuma za usafirishaji dawa za kulevya

Watuhumiwa wawili, Amasha Iddi Mrisho (40), mkazi wa Buza, Dar es Salaam na Seleman Juma Ally (32), raia wa Msumbiji, , wamefikishwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke kujibu tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina…

Raia wa Naigeria waenda jela miaka 28 kwa kusafirisha dawa za kulevya

Mahakama Kuu ya Uhujumu Uchumi, Divisheni ya Makosa ya Rushwa, imemhukumu kifungo cha miaka 28 jela mshtakiwa David Kanayo Chukwu, raia wa Nigeria, ambaye ni mshtakiwa wa kwanza kati ya watatu, baada ya kukiri kosa la kushiriki katika kusafirisha kilogramu…