JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Msajili wa Hazina afanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Lifezone Metal

Na Mwandishi wa OMH Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amefanya mazungumzo na Bw. Keith Liddell, Mwanzilishi na Mwenyekiti wa kampuni ya Lifezone Metals Limited, inayomiliki Tembo Nickel Corporation Limited kwa ubia na Serikali ya Tanzania kupitia Ofisi ya Msajili…

Waziri Kombo atembelea miradi ya maendeleo Arusha

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Masharik, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ametembelea Miradi ya maendeleo inayotekelzwa na Wizara yake na taasisi zilizo chini ya Wizara jijini Arusha. Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa Ukumbi…

Senyamule kuzindua Kliniki Maalum ya kutatua kero za wananchi Dodoma

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametangaza kuanza rasmi kwa kliniki maalum ya kutatua kero za wananchi, ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya viongozi wa juu wa Serikali. Akizungumza leo Machi 2,2026 Jijini hapa kuhusu mpango…

NHIF kuelekea Siku ya Wanawake Duniani, yatoa faraja kwa wafungwa Gereza la Isanga Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), unashirikiana na Serikali katika kuboresha maisha ya Watanzania kupitia uhakika wa matibabu kwa utaratibu wa bima ya Afya. Mfuko pia unawajibikaji kwa jamii (corporate Social responsibility). Katika…

Mkurugenzi Manispaa Shinyanga atunukiwa shahada ya heshima ya udaktari, ateuliwa balozi wa amani Duniani

Na Dotto Mwaibale, JamhuriMedia, Shinyanga Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Mwalimu Alexius Revocatus Kagunze, ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari (Honoris Causa) katika Ustawi wa Jamii na Uongozi wa Biashara kutoka Christian Ministerial Training University (CMTU) ya…

VETA Songea inavyowajengea uwezo wahitimu kukabiliana na changamoto ya ajira

Na Muhidin Amri, JamhuriMedia, Songea MPANGO wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan,kuongeza program maaalum za mafunzo ya ufundi stadi kupitia vyuo vya ufundi ni hatua nzuri ya kujenga rasilimali imara kwa vijana hapa nchini….