JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wasira abeba kilio cha wana Same kuhusu maji

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ameiagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Same (SAUWASA) kuhakikisha inatatua kwa haraka changamoto ya upatikanaji maji inayowakabili wananchi wa mji wa Same. Wasira alitoa agizo hilo leo…

Ziara ya Samia Urusi yafufua sera ya kutofungamana

Na Deodatus Balile, Moscow, Russia Wiki iliyopita, Rais Samia Suluhu Hassan amefanya ziara ya kiserikali katika Shirikisho la Urusi kuanzia Juni 3 hadi 5, 2026. Ziara hiyo imekuja miaka 57 baada ya ziara rasmi ya mwisho ya viongozi wakuu wa…

Kunenge : Wavamizi wa shamba no. 34 Mtamba wasubiri uamuzi wa Waziri Mkuu

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amewasihi wananchi wanaodaiwa kuvamia Shamba Na. 34 Mitamba, Kata ya Pangani, Manispaa ya Kibaha, kuacha mara moja shughuli zote za maendeleo katika eneo hilo na kusubiri maamuzi ya Waziri…

Kiongozi wa Buddha asifu uhuru wa kuabudu Tanzania

Kiongozi Mkuu wa dini ya Buddha nchini, Mchungaji Dkt. Ilukuptiye Pannasekara, amesifu ushirikiano ambao wanaupata sio tu kutoka katika dini zingine bali pia serikalini kwa ujumla. Ametoa kauli hiyo wakati wa kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa kiongozi wa dhehebu la…