Latest Posts
Mabaki ya mwili wa Mtanzania Joshua aliyeuawa Israel Mollel wawasili nchini
Mabaki ya mwili wa kijana Joshua Mollel aliyeuwawa nchini Israel na wapiganaji wa HAMAS Oktoba 07, 2023 yamewasili leo Novemba 19, 2025 katika kiwanja cha Ndege cha kimataifa cha Kilimanjaro (KIA). Mabaki ya mwili huo yamepokelewa na Ujumbe wa Serikali…
CCM yasisitiza uwajibikaji kwa viongozi huku ikikubali uongozi wa huruma
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewaonya viongozi wazembe na wanaojihusisha na vitendo vya rushwa, kikisisitiza kwamba hakitamvumilia kiongozi yeyote anayeshindwa kuwajibika kwa wananchi. Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenan Kihongosi, amesema hayo…
BoT yaongeza uelewa wa wanahabari kuhusu sera za fedha na uchumi
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeendesha programu maalum ya mafunzo ya siku tatu kwa waandishi wa habari kutoka mikoa mbalimbali, lengo likiwa kuongeza umahiri katika kuripoti masuala ya uchumi na fedha kwa usahihi na weledi. Akizindua…
Mikataba ya wafanyakazi wa ndani ni kilio cha wengi kisicho na matumaini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MIKATABA ya maandishi ya ajira kwa wafanyakazi wa nyumbani imetajwa kuwa ni kilio cha wengi kisichokuwa na matumaini kwao kutokana na waajiri wengi kuruka vigingi vya kuingia katika makubaliano nao huku Sheria ya…
SADC yazindua mkakati wa mawasiliano wa mwaka 2025-2030
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano, uhusiano wa kikanda na maendeleo endelevu, kwa nchi wanachama. Hafla ya Uzinduzi wa Mkakati huo imefanyika tarehe 17 Novemba, 2025 jijini…





