Latest Posts
Rais Samia azungumza na ujumbe wa Taasisi ya Keep a Child Alive kuimarisha huduma za afya
Na Mwandishi Wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameanza mazungumzo yake Ikulu jijini Dar es Salaam kwa kukutana na ujumbe wa Taasisi ya Keep a Child Alive inayoongozwa na mwanamuziki wa Marekani Alicia…
Iran yaanza tena mashambulizi yake ya anga
Iran imeanza tena mashambulizi yake ya anga dhidi ya nchi za Ghuba ya Kiarabu, ikilenga makambi ya Marekani kote katika eneo hilo. Tumesikia mlipuko mkubwa asubuhi ya leo huko Doha na moshi mwingi unaonekana kutoka mjini humo. Wizara ya mambo…
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei auawa
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameuawa katika shambulio kubwa dhidi ya Iran lililofanywa na Israel na Marekani, imesema televisheni ya taifa. Maafisa kadhaa waandamizi pia wameuawa. Kifo hicho kimetilia shaka mustakabali wa Jamhuri hiyo ya Kiislamu na kuongeza…
Prof. Janabi azindua wodi ya watoto njiti hospitali Wilaya Kwimba, Mwanza
Na George Binagi, Mwanza Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Prof. Mohamed Janabi amezindua wodi ya kwanza na ya kisasa nchini kwa ajili ya watoto njiti, iliyojengwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza. Prof. Janabi amefanya uzinduzi…
Jasi yatikisa Same
📍Same SHUGHULI za uchimbaji wa madini ya Jasi katika vijiji vya Ruvu Jiungeni na Makanya, wilayani Same mkoani Kilimanjaro, zimeendelea kushika kasi huku wachimbaji wadogo wenye leseni zaidi ya 200 wakiungana kuimarisha uzalishaji na usimamizi wa rasilimali hiyo muhimu kwa…





