Latest Posts
Waziri Mavunde awaasa wamiliki wa leseni za uchimbaji madini kuzingatia sheria na kanuni za uchimbaji
● Maboresho ya Kanuni za Haki Madini za Mwaka 2025 yaongeza ufanisi kwa wenye maduara na kupunguza migogoro, ● Wamiliki wa Leseni za Utafiti wasioendeleza Leseni kufutiwa Leseni ● Vikundi vya vijana na wanawake vyaendelea kunufaika na utekelezaji wa Programu…
Jamii yatakiwa kumlinda na kumthamini mnyama Punda
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Jamii imetakiwa kuhakikisha inamlinda,kumtunza na kumthamini mnyama punda kwani amesahaulika kwenye jamii wakati ana mchango mkubwa sana . Hayo yamesemwa jijini Arusha na Afisa maendeleo ya jamii wa shirika la (ASPA) ,Albert Mbwambo wakati akizungumza…
Mawakala wa utalii Uingereza watembelea Tanzania kuona vivutio
Mwezi mmoja baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu nchini Tanzania wadau wa utalii duniani wanaendelea kumiminika ambapo mawakala wakubwa wa utalii kutoka Nchini Uingereza wako nchini kutembelea hifadhi mbalimbali ili kuona vivutio vya utalii na fursa za uwekezaji kwa lengo la…
Kwagilwa ampa kibarua mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa shule maalum Mlandizi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Kwagilwa Reuben, amemuagiza mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa shule ya awali na msingi kwa watoto wenye mahitaji maalum Mlandizi, Kibaha mkoani Pwani, kukamilisha ujenzi ifikapo Januari…
Serikali yajipanga kutekeleza Samia Extended Scholaship DS/AI+
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda na Naibu Waziri Mhe. Wanu Hafidh Ameir wameongoza Wataalamu wa Wizara na Kamati ya Program ya Samia Extended Scholarship DS/AI+ kujadili mwenendo wa program hiyo. Program hiyo inalenga kufadhili vijana 50…
Mradi wa umeme Kishapu kielekezo cha ongezeko la uzalishaji umeme nchini – DC Kishapu
📌Mradi wa umeme wa jua wafikia asilimia 84 ya utekelezaji 📌MD Twange aagiza ukamilishwe ifikapo Januari 15, 2026 Mkuu wa Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, Peter Masindi, amesema mradi wa umeme unaozalishwa kwa nguvu ya jua ni kielelezo cha ongezeko…





