Latest Posts
Naibu Waziri Dk Dugange awasili Kagera kwa ziara ya kikazi
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange amewasili leo Februari 25, 2025 katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba mkoani Kagera kwa ziara ya kikazi. Katika uwanja wa ndege huo, Dkt. Dugange amepokelewa na…
Dk Nchimbi kuwasili kesho Ruvuma, mgeni rasmi maadhimisho ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji
Na Mwandishi Maalum,Ruvuma MAKAMU wa Rais Dkt Emanuel Nchimbi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwa kilele cha kumbukizi ya miaka 120 ya mashujaa wa vita ya Majimaji itakayofanyika tarehe 27 Februari mwaka huu katika Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma. Akizungumza na…
Ulega aridhishwa na matengenezo ya barabara ya Dodoma – Iringa
Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega, amekagua na kuridhishwa na Maendeleo ya matengenezo ya barabara ya Dodoma – Iringa eneo la Fufu ambalo lilikuwa likijaa maji kipindi cha mvua na kusababisha adha kwa wananchi wa eneo hilo. Waziri Ulega amekagua eneo…
Serikali yaongeza kasi kuimarisha usalama barabarani kupitia mafunzo ya kitaalamu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Dkt. Charles Msonde, amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua za haraka katika kuimarisha usalama barabarani kwa kuboresha usanifu wa miundombinu, kuimarisha utekelezaji wa sheria, pamoja na kuwajengea uwezo wataalamu…
Dk Magembe : Hakuna mgonjwa wa kipindupindu, awataka wananchi kuchukua tahadhari
Na Hassan Kimweri, WAF – Morogoro Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amewataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha ili kujikinga na magonjwa ya mlipuko kwa kuepuka uchafuzi wa mazingira, kuwa na matumizi sahihi ya maji…
Mwanasheria Mkuu ahimiza mageuzi ya sheria za anga kukabiliana na AI na teknolojia mpya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesisitiza juu ya umuhimu wa kutambua mabadiliko na mageuzi makubwa ya kiteknolojia kunakopelekea ongezeko la matumizi ya Akili Bandia (AI), ndege zisizo na rubani, mifumo ya kidijitali…





