JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NMB yawainua wafanyabiashara tisa wa Lumumba kwa fidia ya Sh1.072 bilioni

●NMB yawawezesha wafanyabiashara tisa wa Lumumba kuanza upya Ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Wafanyabiashara tisa wa mtaa wa Lumumba jijini Mwanza wamepata nafasi ya kujenga upya biashara zao baada ya NMB Bank, kwa kushirikiana na Reliance Insurance, kuwalipa fidia ya…

Meneja Mkuu: Huduma bora kwa mteja ndio kipaumbele cha shirika

Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo CPA. Ashraph Abdulkarim amewataka watumishi kuhakikisha kuwa wanakuwa suluhu ya changamoto za wafanyabiashara wa Soko Kuu la Kariakoo kwa kusikiliza, kutoa majawabu ya uhakika kwa wakati na kutoa mrejesho kwa wafanyabiashara hao…

Serikali yaweka mkazo chanjo ya polio, watoto milioni 6.5 kulengwa

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeweka mkazo katika kuzuia ugonjwa wa kupooza (Polio) kwa kuendesha kampeni maalum ya chanjo itakayowafikia watoto zaidi ya milioni 6.5 katika mikoa nane nchini. Kampeni hiyo inatarajiwa kufanyika Agosti 27 hadi 30, 2026, ambapo chanjo…

Afrika yatakiwa kubadili mifumo ya sera za ajira ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia

Na Happy Lazaro, Jamhuriedi, Arusha AFRIKA imetakiwa kubadili mifumo na sera za ajira ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia na mahitaji ya kizazi kipya cha wafanyakazi, ikiwemo kuweka mazingira yatakayowezesha kazi za mbali na uchumi wa ajira za muda. Wito…

Kamati ya Bunge yaipongeza WRRB, yaitaka kuongeza kasi matumizi ya WRS

Na.Mwandishi Wetu- Dodoma KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeipongeza Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kwa utekelezaji mzuri wa majukumu yake na kuitaka kuharakisha matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRS)…

Wasira asisitiza misimamo, haki CCM

*Akemea viongozi wasiokuwa na msimamo ndani ya Chama MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesisitiza umuhimu wa kuzingatia haki kwa kutoegemea maslahi binafsi huku akikemea viongozi wasiokuwa na msimamo ndani ya CCM. Wasira aliyasema hayo alipozungumza…