JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

CDICD yaongeza thamani ya black granite

🔸Uchakataji wa kisasa waongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania katika soko la ndani na nje 🔸Uwekezaji wa kampuni wafungua ajira kwa vijana na kuchochea maendeleo ya viwanda 📍Dodoma Kampuni ya CDICD Group Limited imeendelea kuimarisha mnyororo wa thamani katika Sekta…

Taasisi 54 za Umma kuwasilisha taarifa za utendaji wa uwekezaji kwa kamati za Bunge

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Jumla ya taasisi za umma 54 zinatarajiwa kuwasilisha taarifa za utendaji wa uwekezaji mbele ya Kamati za Kudumu za Bunge kwa muda wa wiki tatu, katika mchakato unaolenga kuwezesha uchambuzi wa thamani na utendaji wa…

EACOP yatoa Dola za Kimarekani milioni 1.06 kuimarisha huduma za afya Tanga, Geita

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) limesaini Mikataba mitatu ya kufadhili uwekezaji wa Kijamii na Kiuchumi (SEI) yenye thamani ya zaidi ya Dola za kimarekani milioni 1.06 (takribani Shilingi bilioni 2.8 za…

Mkurugenzi BoT avutiwa na ufanisi wa utunzaji kumbukumbu kidijitali wa PSSSF

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi wa Tafiti na Uchumi Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dkt. Suleiman Misango, amevutiwa na jinsi Mfumo wa PSSSF Portal, ulivyoweza kutoa taarifa za wanachama wa PSSSF kwa haraka tangu alipoanza ajira hadi hivi sasa….

Mkandarasi akamilisha awamu ya kwanza uvutaji nyara mradi wa Chalinze – Dodoma

📌TANESCO yawashukuru wateja kwa uvumilivu na kutangaza awamu ya pili kuanza Agosti 11–14 katika maeneo ya Kikombo na Mkonze – Dodoma Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema Mkandarasi amekamilisha kwa mafanikio awamu ya kwanza ya kazi za uvutaji wa nyaya…