Latest Posts
DC Dodoma aridhishwa na maendeeo ujenzi uwanja wa ndege Msalato ‘Ring Road’
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri, akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Msalato pamoja na mradi wa ujenzi wa barabara ya mzunguko wa nje (Outer…
Wasira ateta na mama Maria Nyerere
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Ndg. Stephen Wasira, amemtembelea na kumjulia hali Mama Maria Nyerere, mke wa Hayati Baba wa Taifa na Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam leo…
Tanzania ya kidigitali yaandika historia mpya sekta ya mawasiliano
Na Mwandishi Wetu MRADI wa Tanzania ya Kidigitali (DTP) umeendelea kuandika historia mpya katika sekta ya TEHAMA baada ya kukamilisha ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano iliyokuwa ikitangazwa hapo awali, huku minara hiyo ikiwa tayari inafanya kazi na kutoa huduma…
Wanafunzi waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za mauaji wameachiwa huru
Na John Walter, JamhuriMedia, Babati Mkuu wa Wilaya ya Babati na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya hiyo, Emmanuela Kaganda, amesema wanafunzi waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za kumshambulia mwenzao hadi kufariki dunia wameachiwa huru na sasa wanaendelea…
Serikali yatoa mwongozo wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2026
Serikali imetoa mwongozo rasmi wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa mwaka 2026, yatakayofanyika kuanzia Machi 1 hadi 8 kote nchini. Hayo yamebainishwa Februari 17, 2026 na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe….
Akwilapo asisitiza maeneo ya umma kupimwa na kulindwa kuepuka uvamizi
Na Munir Shemweta, Lushoto WANMM Katika jitihada za kuhakikisha maeneo ya umma hayavamiwi na kusababisha migogoro ya ardhi, Serikali imeendelea kusisitiza taasisi za umma nchini kupima na kuyalinda maeneo yake. Kauli hiyo ya Serikali inafuatia kujitokeza kwa changamoto za ardhi…





