Latest Posts
TARURA yakamilisha ujenzi wa daraja la mawe kupitia mradi wa dharura Karatu
Na Mwandishi Wetu, JamhutiMedia, Karatu Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetekeleza mradi wa ujenzi wa daraja la mawe la Sabasaba lenye urefu wa mita 16.6 na upana wa mita 7 katika eneo la Kambi ya…
Vyama vya siasa vyatakiwa kuwasilisha kwa wakati taarifa za gharama za uchaguzi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imevitaka vyama vya siasa kuwasilisha kwa wakati taarifa za gharama walizotumia katika Uchaguzi Mkuu ili kuimarisha uwazi na demokrasia nchini. Akizungumza leo Machi 10, 2026…
Makamu wa Rais afanya mazungumzo na Wizara tatu zinazohusiana na mazingira
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito kwa Wizara zinahusiana na Sekta ya Mazingira, kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuwa na mpango wa pamoja utakaowezesha uhifadhi endelevu wa mazingira. Makamu wa Rais…
Waziri Mkuu akagua Bandari ya Kasanga Rukwa
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Jumanne (Machi 10, 2026) amekagua miundombinu na utendaji kazi wa Bandari ya Kasanga iliyopo Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani humo. Katika ukaguzi huo, Waziri Mkuu alipata maelezo…
REA yafanya makubwa …
📌 Pia pongezi kuziwezesha sekta binafsi kutekekeza miradi ya umeme 📌 Wahariri waridhishwa na uendelezaji mradi wa Ijangala 📌 Shilingi bilioni 2 zimetolewa na REA kuendeleza mradi wa Ijangala 📍 Makete – Njombe Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA),…
REA yafadhili miradi mitano ya umeme Njombe, wananchi waipa tano
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Njombe Wakala wa Umeme Vijijini (REA),imefadhili miradi mitano ya uzalishaji umeme katika Mkoa wa Njombe na kuchangia kupunguza kero ya ukosefu wa umeme pamoja na kuchochea maendeleo ya wananchi. Hayo yamebainishwa leo Machi 10, 2026 na…





