JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

MCT yatangaza wateule 18 tuzo za EJAT, washindi kujulikana Mei 29 Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Habari Tanzania (MCT) limesema kuwa Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) hazilengi umaarufu wala thamani ya fedha, bali zinatambua ubora wa kazi, weledi na mchango wa waandishi wa…

Nyansaho aeleza mafunzo JKT, kilimo kimkakati vinavyoleta tija

WAZIRI  wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho amesema Serikali kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) itaendelea kuimarisha mafunzo kwa vijana pamoja na kuendeleza kilimo cha kimkakati ili kujenga uzalendo, kujitegemea na kuchangia usalama wa chakula nchini….

Waziri Kijaji: Serikali kuboresha Chuo cha Mweka katika Bajeti ya 226/27

Na Kija Elias, JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Ashatu Kijaji amesema Serikali imejipanga kukiboresha Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori (MWEKA), kupitia bajeti ya mwaka 2026/2027 ili kiweze kutekeleza kwa ufanisi majukumu yake ya ufundishaji, utafiti na utoaji…

Uwekezaji mifumo ya TEHAMA serikalini kuongeza uwazi katika utoaji huduma

Na Antonia Mbwambo,Dodoma Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray amesema uwekezaji wa matumizi ya Mifumo ya Tehama Serikalini utasaidia kwa asilimia kubwa kuongeza ufanisi na Uwazi wa huduma zinazotolewa na…

Trust Finance yazindua hatifungani ya kwanza

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam. Kampuni ya Itrust Finance limited imezindua rasmi hatifungani yake ikiwa ni hatifungani ya kwanza nchini kutolewa na kampuni wakala wa soko la hisa na msimamizi wa mifuko ya uwekezaji nchini tanzania. Hatifungani hiyo…