JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia ameimarisha uchumi Geita kupitia ujenzi wa barabara -Prof. Shemdoe

Na Mwandishi Wetu, Geita WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuidhinisha Shilingi 1,035,047,200 za ujenzi wa dharura wa barabara ya Kasamwa- Gamashi yenye urefu wa kilomita 18,…

Mkurugenzi Mkuu NSSF aongoza kampeni ya elimu na uandikishaji Mabibo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kutoa elimu ya hifadhi ya jamii na kuandikisha wanachama wapya kupitia kampeni ya NSSF Staa wa Mchezo Paka Rangi, ambapo Mkurugenzi Mkuu wa NSSF,…

Waziri Kikwete azindua jengo la TAKUKURU Chalinze, lagharimu milioni 406.49

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (Mb), amezindua jengo jipya la Ofisi ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) katika Wilaya…

Prof. Shemdoe : Bilioni 67/- zatumika kujenga barabara, masoko Mwanza

Na OWM – TAMISEMI, Mwanza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali kupitia Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) imetumia kiasi cha Shilingi Bilioni…

Serikali kuenzi mchango wa marehemu Edwin Mtei

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika ibada ya kumuaga aliyekuwa Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mzee Edwin Mtei, akimtaja kuwa kiongozi mahiri, mzalendo…