JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Simba, Yanga nguvu moja

Watani wa jadi Simba SC na Yanga SC wamefanikiwa kutoka sare tasa ya bila kufungana katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo, Machi 1, 2026, katika Uwanja wa Amani, Visiwani Zanzibar. Mchezo huo ulikuwa na ushindani mkubwa, huku…

Iran yaanzisha baraza jipya la uongozi

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametangaza kuwa baraza jipya la uongozi limeanza rasmi kazi kufuatia kuuawa kwa Kiongozi Mkuu, Ayatollah Ali Khamenei, katika mashambulizi ya Marekani na Israel. Katika ujumbe uliorekodiwa na kurushwa kwenye televisheni ya taifa, Pezeshkian amesema baraza…

Israel na Marekani zaendeleza mashambulizi dhidi ya Iran

Israel imesema imeanzisha wimbi jingine la mashambulizi dhidi ya Iran, leo Jumapili huku hali ya sintofahamu ikiendelea miongoni mwa Wairani baada ya kifo cha Kiongozi Mkuu wa nchi hiyo, Ayatollah Ali Khamenei. Vyombo vya habari vya serikali ya Iran vilithibitisha…

Watu 6 wafariki katika ajali ya helikopta Kenya

Watu sita wamefariki dunia baada ya helikopta kuanguka magharibi mwa Kenya. Miongoni mwa waliofariki ni Mbunge wa Emurua Dikirr, Johana Ng’eno. Ajali hiyo ilitokea Jumamosi katika eneo la Mosop, takribani kilomita 300 kaskazini-magharibi mwa jiji la Nairobi, kwa mujibu wa…

Dk Mwigulu azindua stendi ya mabasi ya Dk Samia Hanang

*Ataka fedha zitafutwe kujenga barabara ya Katesh – Babati *Akataza watendaji kuchukua bidhaa za wajasiriamali wadogo WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amezindua Stendi ya Mabasi ya Dkt. Samia Suluhu Hassan iliyopo Katesh, wilayani Hanang, mkoani Manyara ambayo imejengwa kwa gharama…

Waziri wa Fedha aitaka TRA kuchangia utekelezaji Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050

Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameiagiza Mamlaka ya Mapato Tanzania-TRA, ijipange ipasavyo kuhakikisha kuwa inachangia upatikanaji wa rasilimali fedha kwa ajili ya kufanikisha utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa…