JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wakulima Liyombo wazalisha kahawa tani 1,674.9 zenye thamani ya bil. 18.7/-

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbinga Wakulima wa zao la kahawa wanaohudumiwa na Chama cha msingi cha Ushirika Liyombo Amcos  Halmashauri ya Wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma, katika msimu wa kilimo 2025/2026 wamezalisha kahawa  safi zaidi ya tani 1,674.9 sawa na kilo…

Kuelekea Siku ya Wanawake, NSSF yapanda miti 600 katika shule za msingi na sekondari Mwanza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umepanda miti 600 katika shule mbili za Wilaya ya Ilemela, mkoani Mwanza, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa kila mwaka…

Sekondari ya Pangani yapanda miti 344 kuboresha mazingira

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Shule ya Sekondari Pangani , Manispaa ya Kibaha imefanya zoezi la kupanda miti zaidi ya 344 ikiwa ni sehemu ya jitihada za kutekeleza agizo la Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan la kuhimiza taasisi za elimu…

TBA yashiriki kliniki kutatua kero za wananchi Dodoma

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Mkoa wa Dodoma unashiriki katika Kliniki maalum ya kutatua kero na changamoto mbalimbali za wananchi iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, inayofanyika tarehe 3 hadi 6 Machi, 2026 katika viwanja vya Nyerere…

KCB Bank Tanzania kuimarisha huduma za kifedha jumuishi kwa waislamu na kuisaidia jamii

Na Mwandishi Wetu, Jamhuriedia, Zanzibar KCB Bank Tanzania imefanya hafla maalumu ya Iftar katika hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar, ikilenga kuimarisha mshikamano na wateja wake pamoja na wadau wa maendeleo katika msimu huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Hafla hiyo…