JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wananchi Dodoma waishauri TBA kujenga nyumba za kupangisha kwa watu binafsi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Baadhi ya wananchi waliotembelea banda la Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) katika Kliniki maalum ya kutatua kero za wananchi iliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square, jijini Dodoma, wameshauri Wakala kuanza kujenga nyumba za makazi kwa…

Kimaro : Pwani kuadhimisha Siku ya Wanawake Ikwiriri Rufiji

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKOA wa Pwani unaungana na mikoa mingine nchini kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, huku kilele cha maadhimisho kimkoa kikitarajiwa kufanyika Machi 8, 2026 katika Uwanja wa Ujamaa, Kata ya Umwe, Tarafa ya Ikwiriri, Halmashauri ya…

Rais wa Kenya Dk William Ruto awasili kushiriki mkutano wa 25 wa EAC

Rais wa Jumhuri ya Kenya Mheshimiwa Dkt. William Samoei Ruto amewasili katika Uwanja wa Ndega wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mkoani Kilimanjaro, kushiriki katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaofanyika…

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye awasili kushiriki mkutano wa 25 wa wakuu wa nchi wa EAC

Rais wa Jumhuri ya Burundi Mheshimiwa Évariste Ndayishimiye amewasili katika Uwanja wa Ndega wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mkoani Kilimanjaro, kushiriki katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaofanyika leo tarehe…

Serikali kuchochea uchumi wa Mang’ola kwa ujenzi wa barabara kilomita 10.8

Na OWM – TAMISEMI, Karatu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) itajenga barabara ya kijiji cha Mang’ola Barazani yenye urefu wa Kilomita 10.8 iliyopo…

Israel yazishambulia Iran na Lebanon, Tehran yajibu mapigo

Ndege za kivita za Israel zimeishambulia miji ya Beirut na Tehran leo huku kukiwa hakuna dalili ya kumalizika kwa vita vinavyoelekea kutimiza wiki nzima kesho Jumamosi. Israel ilisema mapema asubuhi kuwa imefanya “mashambulizi makubwa” kwenye mji mkuu wa Iran na…