Latest Posts
DC Mpogolo atoa onyo kali kwa wakandarasi Ilala
Na Mwandishi Wetu, JamhurMedia, Ilala Mkuu wa Wilaya ya Ilala, mkoani Dar es Salaam, Edward Mpogolo, ametoa onyo kali kwa wakandarasi wote wanaotekeleza miradi ya ujenzi wa barabara wilayani humo, akiwataka kuzingatia mikataba na kukamilisha kazi kwa wakati. Onyo hilo…
Tanzania yakamilisha taratibu za ununuzi wa vifaa vya uundaji wa satelite – Kairuki
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Kairuki, amesema kuwa Tanzania imekamilisha taratibu zote za ununuzi wa vifaa vya uundaji wa satelaiti ndogo aina ya CUBESAT kupitia mradi wa Umoja wa Mataifa wa Masuala ya Anga za Juu…
Rais Samia ametekeleza alichoahidi wakati wa kampeni kuhusu vijana katika TEHAMA – Kairuki
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Kairuki, amesema kuwa Serikali imeanza kutekeleza kikamilifu ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuhusu kuwawezesha vijana katika sekta ya teknolojia ya habari na…
Waziri Kairuki : Watumiaji wa intaneti nchini waongezeka na kufikia milioni 58.9
Sekta ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeendelea kukua kwa kasi nchini, huku takwimu zikionesha ongezeko kubwa la watumiaji wa huduma mbalimbali za kidijitali Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, ameeleza hayo bungeni jijini Dodoma leo Alhamisi…
Trump : Vizuizi dhidi ya Iran huenda vikadumu kwa muda
RAIS wa Marekani Donald Trump amesema kuwa vizuizi dhidi ya Iran vinaweza kudumu kwa miezi kadhaa, hatua iliyosababisha bei za mafuta kupanda kwa kiwango cha juu hapo jana katika kipindi cha miaka minne. Katika mkutano wake na wakuu wa sekta…
Tanzania yataka mbinu nafasi ya maendeleo nchi zinazoendelea
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa wito wa kuwa na mbinu za kimataifa zilizo na uwiano, zinazozingatia usawa na kulinda nafasi ya maendeleo ya nchi zinazoendelea. Imesema iko tayari kushirikiana na wadau mbalimbali katika kujenga njia zitakazoleta manufaa kwa watu…





