JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mradi wa Sequip waendelea kuboresha elimu ya sekondari Mtwara

Na OWM – TAMISEMI,Mtwara Mkoa wa Mtwara umeendelea kupiga hatua katika kuboresha Sekta ya Elimu kufuatia utekelezaji wa Mradi wa Kuimarisha Elimu ya Sekondari (SEQUIP), unaosimamiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi…

Dkt. Mataragio: Serikali haitasita kuwachukulia hatua kali wanaoficha mafuta

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imetoa onyo kali kwa wafanyabiashara wanaojihusisha na vitendo vya kuficha mafuta kwa lengo la kuyauza kwa bei ya juu baadaye, ikisisitiza kuwa haitasita kuchukua hatua kali kwa watakaobainika kuvuruga utaratibu wa soko….

Iran: Hatuna nia ya kufanya mazungumzo na Marekani

Iran imetupilia mbali mpango wa Marekani wa kusitisha vita huko Mashariki ya Kati huku ikiendeleza mashambulizi zaidi dhidi ya Israel na nchi za Ghuba. Tehran hata hivyo imesema inalipitia tena pendekezo hilo lakini Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran…

Makaburi zaidi ya 3,000 yahamishwa kupisha mradi wa biashara za machinga Bukoba

…………………………………………….. Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera imekamilisha zoezi la kuhamisha makaburi zaidi ya elfu tatu kutoka eneo la Kishenge kwenda Kata ya Buhembe, ikiwa ni maandalizi ya kupisha ujenzi wa jengo la kitega uchumi kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo maarufu…

Baraza jipya la wafanyakazi laagizwa kuzingatia vipaumbele vya ofisi

Na OWM- KAM – Dodoma Baraza jipya la Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano limeagizwa kuzingatia misingi ya mahusiano mazuri mahali pa kazi, uwajibikaji na uadilifu ili kuongeza ufanisi na ustawi kazini. Akizindua Baraza hilo…

Kikwete ateuliwa kuwa mwakilishi ngazi ya juu wa Mwenyekiti wa Kamisheni AU

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, kuwa Mwakilishi wa Ngazi ya Juu wa Mwenyekiti wa AUC katika eneo la Pembe ya Afrika na Bahari ya Shamu….