JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kardinali Pengo amevunja kuta za uhasama

Na Deodatus Balile, Nairobi Kifo cha Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kimeacha simanzi nchini, lakini pia kimeacha funzo na ujumbe mzito kwa taifa letu. Tangu kutokea kwa kifo chake tumeshuhudia jambo ambalo kwa muda mrefu halijawahi kutokea – Watanzania kuungana, si…

Dk Jingu awataka wajasirimali kuongeza ubunifu kufikiasoko la kimataifa

Na WMJJWM- Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu, amewataka wajasiriamali nchini kuongeza ubunifu katika uzalishaji wa bidhaa zao ili kupanua soko na kufikia ushindani katika soko la…

Maandalizi Mkutano wa 25 wa Wakuu wa Nchi wanachama Jumuiya EAC waanza

……………………………………………. Mkutano Maalumu wa 59 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umeanza katika Makao Makuu ya Jumuiya jijini Arusha, ikiwa ni maandalizi ya Mkutano wa 25 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya hiyo unaotarajiwa kufanyika…

Macron : Ufaransa itaongeza silaha za nyuklia

Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametoa hotuba muhimu jana Jumatatu kuhusu sera ya silaha za nyuklia za nchi hiyo katika wakati washirika wake wa Ulaya wana wasiwasi juu ya vitisho vinavyoongezeka kutoka Urusi. Katika hotuba hiyo, Rais Macron amesema Ufaransa…

Prof. Shemdoe : Tengeni siku maalum kusikiliza kero za wananchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewaelekeza Wakuu wa Mikoa wote nchini kuzisimamia Halmashauri zao kuhakikisha zinaweka siku maalum ya kusikiliza…