JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

DC Ubungo aagiza ushirikishwaji wa Zimamoto katika ujenzi kupunguza majanga

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, amezitaka Wakala wa Barabara Mijini na Vijini TARURA,Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhusisha Jeshi la Zimamoto…

Handeni Mji yapiga hatua kudhibiti utapiamlo kwa watoto

*Watoto wanaolazwa wapungua kutoka 32 hadi 7 kwa robo mwaka Na Augusta Njoji IDADI ya watoto wanaokabiliwa na utapiamlo mkali katika Halmashauri ya Mji Handeni imepungua kwa kiasi kikubwa, kutoka watoto 32 waliokuwa wakilazwa hospitalini kwa robo mwaka 2024/25 hadi…

Mfanyabiashara usafirishaji mizigo ahukumiwa kulipa faini na kurejesha milioni 60/-

Na Mwandishi Wetu, Kinondoni Mnamo Aprili 29, 2026 Mfanyabiashara Aliasgher Akhter Khakoo ambaye hufanya shughuli za usafirishaji mizigo na abiria alihukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kutumikia kifungo cha miaka miwili gerezani au kulipa faini ya Tsh. 3,000,000/= na…

Kawaandaeni vijana wa kitanzania kuwa wabunifu, wajasiriamali na washindani katika ajira – Prof. Shemdoe

Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewataka walimu wapatao 150 wa shule za amali waliopatiwa mafunzo nchini India kwenda kuwapatia ujuzi vijana…