JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TRA yaja na utaratihu mpya wa ukusanyaji kodi bandari ya Bagamoyo

Na Mwamvia Mwinyi, JamhiriMedia, Pwano MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Pwani inakuja na utaratibu mpya kwa wafanyabiashara wa mafuta katika Bandari ya Bagamoyo wanaosafirisha bidhaa hiyo kutoka Zanzibar, hatua itakayoanza kutekelezwa kuanzia Machi, 2026 kwa lengo la kuboresha ukusanyaji…

Prof. Shemdoe ataka mageuzi ya uchumi wa vijijini kuhusisha uchumi wa buluu, ufugaji na mazao yake

Na OWM – TAMISEMI, Colombia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema ili mageuzi ya uchumi wa vijijini yawe na tija na manufaa kwa wananchi yanapaswa kuhusisha uchumi wa buluu, ufugaji pamoja na…

Rais Samia ateta na Balozi wa Singapore nchini Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Singapore nchini Tanzania Mheshimiwa Douglas Foo, tarehe 27 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam. Pamoja na mambo mengine mazungumzo hayo yalilenga kuimarisha Uhusiano…

ACP Livingstone afungua mafunzo maalum kuimarisha usalama barabarani mikoa ya Nyanda za Juu Kusini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Nicholas Livingstone, Februari 26, 2026 amefungua rasmi mafunzo maalum ya siku tatu kwa askari wa usalama barabarani pamoja na madereva, yenye lengo la…

Leminatha Kabigumila; Mwanamke mchimbaji kutoka changamoto hadi tuzo Mining Indaba

Na Asteria Muhozya Tanzania ilishiriki kikamilifu kwenye Kongamano la Kimataifa la Mining Indaba lililofanyika Februari 8 -12, 2026 nchini Afrika Kusini huku ujumbe wake ukiongozwa na Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde na kuwakilishwa na vyama mbalimbali vya wachimbaji, taasisi…