JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yatoa maelekezo nane kuimarisha kampuni ambazo ina umiliki hisa chache kuelekea Dira 2050

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imetoa maelekezo nane ya kimkakati yanayolenga kuimarisha utendaji wa kampuni ambazo ina umiliki wa hisa chache, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuharakisha safari ya Tanzania kuelekea hadhi ya nchi ya kipato cha kati…

Mchango wa kampuni zenye umiliki mdogo wa Serikali waongezeka

Na Peter Haule, WF, Arusha Waziri wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) amesema kuwa mchango wa Kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa Hisa Chache katika Mfuko Mkuu wa Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina umeongezeka kutoka shilingi bilioni…

Makamu wa Rais akizungumza na mama Janeth Magufuli

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na Mama Janeth Magufuli ambaye ni mjane wa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, wakati alipomtembelea…

Ulega: Daraja la Mkuyuni limeanza ‘kulipa’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kukamilika kwa ujenzi wa Daraja la Mkuyuni mkoani Mwanza tayari kumeanza kuonyesha matunda katika siku zake za awali. ‎Akizungumza na wananchi mara baada ya ukaguzi wa daraja hilo leo…

Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki lamuapisha Balozi Kombo kuwa mbunge

Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) limemuapisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) kuwa Mbunge katika Bunge hilo leo tarehe 16 Machi 2026 katika mkutano Maalum wa Bunge la Tano…

Waziri Kairuki : Masuala ya mji na jinsia yashughulikiwe kwa pamoja

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Jamii imetakiwa kushughulikia masuala ya maji na jinsia kwa pamoja ili kufungua njia za uwezeshaji, usawa, na maendeleo endelevu katika upangaji na utekelezaji wa miradi na sera ya Sekta ya Maji. Waziri wa Mawasiliano na…