JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mawaziri Tanzania na Zambia kukutana Tunduma

Maandalizi ya Mkutano wa Mawaziri wa Biashara (Joint Trade Committee – JTC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Zambia yamekamilika kufuatia kuhitimishwa kwa kikao cha Kamati ya Pamoja ngazi ya Makatibu Wakuu kilichofanyika leo, Mei 6,…

Marekani na Iran zakaribia makubaliano ya kumaliza vita

Marekani na Iran zinakaribia kufikia makubaliano ya kusitisha vita katika eneo la Ghuba. Haya ni kwa mujibu wa chanzo kutoka Pakistan kinachohusika na juhudi za upatanishi. Kwa mujibu wa taarifa hizo, makubaliano hayo yanaweza kujumuisha kusimamishwa kwa mpango wa nyuklia…

REA yaandika historia mpya Korogwe

📌Yakabidhi mradi kwa TANESCO 📌Vitongoji vitano Mpale kufikishiwa umeme wa Gridi 📌Bodi ya REA yasisitiza kuchangamkia fursa uwepo wa nishati ya umeme 📍Korogwe – Tanga Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Kamishna Mstaafu wa Uhifadhi, Mhe. William Mwakilema, amesema Serikali itaendelea…

Wezi wa ng’ombe waenda jela miaka mitano Simanjiro

Na Mwandishi Wetu, Simanjiro WEZI wawili wamehukumiwa na mahakama ya mwanzo Shambarai wilayani Simanjiro mkoani Manyara, kifungo cha miaka mitano jela kila mmoja kwa kosa la wizi wa ng’ombe wa thamani ya Sh2.5 milioni Mshtakiwa wa kwanza Lazaro Miaroni mkazi…

Wasiojulikana wavamia Vikawe, wawili wafariki, 14 wajeruhiwa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani WATU wawili wamefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa kufuatia mgogoro wa ardhi uliotokea katika eneo la Vikawe (Lupaso), Kata ya Pangani, Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani. Akizungumza Mei 6, 2026, ofisini kwake wakati wa mkutano…