Latest Posts
Mgodi wa Itracom wachangia bilioni 1.29/- mapato ya Serikali Manyara
📍Manyara MGODI wa Itracom Fertilizer Limited unaojihusisha na uchimbaji na uchakataji wa madini ya phosphate uliopo katika eneo la Vilima Vitatu, Wilayani Babati mkoani Manyara, umechangia Shilingi Bilioni 1.29 katika mapato ya Serikali tangu kuanza kwa shughuli zake mwaka 2023….
Viongozi watakiwa kuzungumzia mazuri ya muungano, mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange ametoa wito kwa viongozi wa mikoa na wilaya kuzungumzia faida za Muungano na umuhimu wa utunzaji wa mazingira kwa wananchi wanaowangoza….
Serikali iko hatua za mwisho kuanza upanuzi wa njia nne barabara ya mlima Kitonga
📌Lengo ni kupunguza foleni, usalama 📌Ni Maelekezo ya Rais Samia 📌Waziri Ulega aagiza manunuzi yaanze mara moja SERIKALI iko katika hatua za mwisho za kuanza upanuzi wa barabara ya Kitonga mkoani Iringa ambayo sasa itakuwa ya njia nne na yenye…
Kamishna Badru : Afe kipa, afe beki, ujenzi wa barabara za Ngorongoro hatuna breki
Hakuna kulala, ndivyo kauli ya Kamishna wa Uhifadhi Ngorongoro Bw. Abdul-Razaq Badru baada ya kufanya ziara ya kukagua ukarabati wa barabara ndani ya hifadhi ”tutaendelea kuimarisha miundombinu yetu ya barabara yenye mtandao wa Km 646 ndani ya hifadhi kuhakikisha huduma…
Manispaa Tabora yatoa tuzo kwa wadau wa maendeleo
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora HALMASHAURI ya Manispaa Tabora imetoa tuzo maalumu kwa wadau zaidi ya 10 ambao wamekuwa mstari wa mbele kuunga mkono juhudi za maendeleo zinazofanywa na halmashauri hiyo ikiwemo kuchangia shughuli za kitaifa. Akikabidhi tuzo hizo jana…
Daraja la Mirerani lakamilika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mirerani CHANGAMOTO ya kutokamilika kwa daraja la barabara ya Mirerani – Mbuguni eneo la mkuyuni mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, limepatiwa ufumbuzi baada ya mafundi kulikamilisha. Wakati huu ambapo mvua zinaponyesha imekuwa faraja…





