JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanga tena, Dangote kuvuja kwa pakacha…

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita, siasa za Uchumi wa Afrika Mashariki zilichemka tena katika mitandao ya kijamii, baada ya Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni na Kampuni ya Vitol…

Rais Dk Mwiny: Kamera za usalama barabarani kudhibiti ajali Z’bar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali imeanza kuweka mfumo wa kamera za usalama barabarani ili kuimarisha utii wa sheria, kurejesha nidhamu na kudhibiti ajali zinazotokana na ukiukwaji wa sheria za…

Rais Samia ateta na viongozi wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 10, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania kupitia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), huku akisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya…