Latest Posts
Tanzania kuendelea kutumia akili unde katika kukabiliana na maafa
Na Mwandishi Wetu, Masvingo – Zimbabwe TANZANIA imesema itaendelea kutumia teknolojia ya Akili Unde (AI) katika kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maafa nchini ili kuongeza ufanisi wa utoaji wa tahadhari za mapema na kupunguza madhara yanayosababishwa na majanga mbalimbali. Hayo…
Mlao aielekeza TARURA Pwani kuharakisha kuiombea fedha barabara ya Picha Ndege -Boko
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Pwani MWENYEKITI wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Pwani, Mwinshehe Mlao, ametoa maelekezo kwa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini Tanzania (TARURA) kuharakisha ujenzi wa barabara ya Picha Ndege–Boko Timiza (km 0.52) kwa kiwango cha…
Dk Mwinyi : CCM itaendelea kujiimarisha kiuchumi
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi amesema atahakikisha maeneo yote yenye hadhi ya uwekezaji ndani ya Chama yanatafutiwa wawekezaji wakubwa watakaoweza…
Waziri Mkuu akutana na Rais wa IFAD, Nairobi
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Mei 11, 2026 amekutana na Rais wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Alvaro Lario, jijini Nairobi, Kenya, ambapo wamejadili maeneo mbalimbali ya ushirikiano katika sekta ya kilimo na uwezeshaji wa wananchi…
Kamati ya siasa Pwani yaridhishwa na kuvutiwa na miradi ya Chalinze
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani KAMATI ya Siasa Mkoa wa Pwani imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Chalinze, ikieleza kuwa miradi hiyo imekuwa kichocheo cha ukuaji wa uchumi na kuongeza vyanzo vya mapato vya halmashauri hiyo….





