JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

CAF yaipiga faini ya dola 200,000 Morocco kwa kutaka ‘kuiba’ taulo la Senegal

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imeorodhesha adhabu walizotoa kwa Morocco na Senegal kufuatia vurugu iliyoshuhudiwa wakati wa fainali ya AFCON 2026. Mashabiki wengi wa mpira walikuwa na hamu ya kujua hatua zipi zitashukuliwa na shirikisho hilo huku kila upande ukiamini…

NMB yaongeza idadi ya magari ya kutoa huduma yafikia 15, wananchi kufikiwa kirahisi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Benki ya NMB imeongeza idadi ya magari yake ya kutoa huduma za kifedha hadi kufikia 15, hatua inayolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za benki katika maeneo yenye changamoto ya matawi ya kudumu, hususan…

Serikali yakaribisha kampuni za Korea kuwekeza sekta ya madini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika hatua ya Tanzania kuendelea kujiimarisha kama kitovu cha uwekezaji wa kimkakati barani Afrika, Serikali kupitia wizara ya madini imekaribisha uwekezaji wa Kampuni kutoka Korea Kusini kuja kuwekeza nchini na kueleza uwepo wa fursa katika…

Siku 100 za Rais Samia, TARURA Shinyanga yasaini mikataba kumi ya ujenzi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Meneja wa TARURA Mkoa Shinyanga Mhandisi Avith Theodory amesema kuwa ndani siku 100 tangu Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aingie madarakani katika kipindi cha pili cha Serikali ya Awamu…

TANFORD kufungua milango kwa wafanyabiashara kimataifa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam TANZANIA Freight Forwarders Representation in Dubai @tanfordhub (TANFORD) imeandaa kongamano la siku mbili linalotarajia kufanyika Umoja wa Nchi za Kiarabu, Dubai ikiwa na lengo la kuinadi Tanzania katika masoko ya kimataifa na kufungua fursa…

Profesa Lipumba: Watanzania tusibaguane kwa dini, Uzanzibari, wala Utanganyika

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Taifa Profesa Ibrahim Lipumba ametoa Wito kwa wanachama wa chama hicho pamoja na wananchi kwa ujumla kuacha kubaguana kwa dini, Uzanzibari na Utanganyika. Profesa Lipumba amesema hayo Januari 27,2026…