Latest Posts
Zaidi ya ajira 50,000 zimezalishwa kutokana na miradi mikubwa ya Serikali
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Zaidi ya ajira 50,000 zimezalishwa kupitia utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati nchini, hatua inayoonesha mchango mkubwa wa miradi hiyo katika kupunguza tatizo la ajira kwa vijana. Takwimu hizo zimewasilishwa bungeni Aprili 9, 2026 jijini Dodoma na…
Wafanyabiashara waipa tano Serikali kutoa ruzuku ya pembejeo kwa wakulima Ruvuma
Na Cresencia Kapinga, JamhuriMedia, Ruvuma UMOJA wa Mawakala wauzaji wa Pembejeo Mkoa wa Ruvuma (UWAPERU) wameishukuru Serikali kwa kutoa Ruzuku kwa wakulima ambapo katika msimu huu wa kilimo wakulima wamefaidika na ruzuku hiyo kwa kupata mbolea na kuongezea uzalishaji wa…
Ngorongoro ni nyumbani kwa kila binadamu – Kamishna Badru
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro Bw. Abdul-Razaq Badru leo tarehe 9 Aprili, 2026 amepuliza rasmi Kipenga cha shindano la mwezi mmoja la Safari Field Challenge akisisitiza kwamba Ngorongoro ni nyumbani kwa kila binadamu kutokana…
Waziri Mkuu: Tutaboresha bajeti ya elimu
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuboresha bajeti ya elimu wakati ikitekeleza mtaala mpya wa elimu ili kuziba mianya ya mahitaji shuleni. “Kwa kuwa tunaenda katika mtaala mpya wa elimu, tutaendelea kuboresha bajeti. Tutaendelea kuboresha bajeti kwa sababu…
Hakuna zuio la kuanza utekelezaji wa mradi wa LNG – Dk Mwigulu
*Serikali yatenga sh. bilioni 280 kama dhamana kwa uwekezaji kwa vijana WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hakuna zuio la kisheria wala la kikanuni linalosababisha kutokuanza utekelezaji wa Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia kuwa Kimiminika (LNG) wenye thamani shilingi trilioni…





