JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Spika Zungu: ofisi ya spika haijatoa kibali chochote kwa wabunge kuhojiwa na TAKUKURU

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amesema hadi sasa Ofisi ya Spika haijapokea taarifa yoyote ya wito wala kutoa kibali cha mbunge yeyote kwenda kuhojiwa na Taasisi ya Kuzuia…

Serikali yaipunguzia sekta ya habari mzigo wa tozo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeanza kuchukua hatua za makusudi kupunguza mzigo wa tozo na ada katika sekta ya vyombo vya habari, kufuatia kilio cha wadau kuhusu mdororo mkubwa wa kiuchumi unaoendelea kuzikumba taasisi za utangazaji tangu janga la…

Dk Mwigulu ataka ushirikiano wa kikanda kwenye mapambano dhidi ya saratani

▪Asisitiza Tanzania itaendelea kuwa kituo bora cha ushirikiano wa kikanda na Afrika ▪Asema shilingi bilioni 18.5 zimetengwa kwa ajili ya uanzishaji wa huduma za PET-CT Scan na mashine ya Cyclotron ▪Asema Tanzania inalenga kupunguza vifo vitokanavyo na saratani kwa angalau…

TMA, wadau wajadili njia za kufikisha taarifa za hali ya hewa kwa wakati kwa wakulima

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kwa kushirikiana na Norges Vel na Mpango wa Chakula Duniani (WFP), imekutana na wadau mbalimbali kujadiliana namna ya kufikisha taarifa za hali ya hewa kwa wakati kwa wakulima. “TMA itaendelea kushirikiana na wadau…

TAMISA yashiriki Kongamano la madini Afrika Kusini

Na Mwandishi Wetu, Indaba, Afrika Kusini Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA) kinashiriki katika Kongamano la Kimataifa la Madini ( Mining Indaba 2026) linaloendelea jijini Cape Town, Afrika Kusini, kwa lengo la kuendeleza na kuimarisha sekta…

Nyumba 280 zaezuliwa na upepo ulioambatana na mvua Rufiji

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema takriban nyumba 280 zimeezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mvua kubwa iliyonyesha mwanzoni mwa mwezi huu wilayani Rufiji mkoani humo. Kunenge aliyasema hayo alipokuwa akizungumza wilayani humo,…