Latest Posts
Salome aibana Kampuni ya Dongfang kwa kasi isiyoridhisha mradi wa umeme Malagarasi
📌Atoa maelekezo mahsusi kwa Mkandarasi na Wasimamizi wa mradi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba leo amekagua utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa Malagarasi (MW 49.5) unaotekelezwa katika Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma ambapo…
Vijana Mwanza walamba mabilioni, Waziri Nanauka akabidhi bilioni 7/-
*Vijana waapa kuonyesha maajabu*Watoa kongole kwa Rais Samia Na Byarugaba Innocent OR-MV, Mwanza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe.Joel Arthur Nanauka leo Machi 7, 2026 amezindua program ya Jenga Kesho iliyobora (BBT) upande wa uvuvi kwa…
Wananchi zaidi ya 13,000 wanufaika na Samia Ardhi Kliniki nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo amesema jumla ya wananchi 13,550 wamejitokeza kupata huduma mbalimbali za sekta ya ardhi kupitia Samia Ardhi Kliniki iliyofanyika katika mikoa yote 26 nchini….





