Latest Posts
Makonda : Maadili nguzo kuu ya maendeleo endelevu ya taifa, azindua mkakati wa Taifa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda amezindua Mkakati wa Taifa wa Kukabiliana na Mmomonyoko wa Maadili wa mwaka 2026/27 hadi 2036/37, huku akisisitiza maadili ni nguzo kuu ya maendeleo endelevu ya…
Wajumbe bodi ya wakurugenzi REA waipongeza ETDCO
Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa kuunganisha umeme katika vitongoji 105 mkoani Mbeya wenye thamani ya shilingi bilioni 10.9 unaotekelezwa na Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya…
Rais Samia mgeni rasmi Mei Mosi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe RAIS wa Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za maadhimisho ya Mei Mosi mwaka huu ambazo kitaifa zinafanyika mkoani Njombe. Hayo yamesemwa leo Aprili 29,2026, na Mkuu wa Mkoa huo Anthony Mtaka…
Wanahabari wajadili mustakabali mpya sekta ya habari Tanzania
Wakubaliana kulinda taaluma yao kwa wivu mkubwa Wataka habari ziwe na tija kwa Watanzania Na Immaculate Makilika – MAELEZO Wadau wa Vyombo vya Habari nchini wamekutana na kujadiliana kuhusu mustakabali mpya wa sekta ya habari kwa lengo la kuongeza ufanisi…
Tanzania yasisitiza uongezaji thamani madini ndani ya Afrika
▪️Waziri Mavunde Asisitiza Ushirikiano wa Kikanda ▪️Ahimiza Uwekezaji Miundombinu ya Kisaaa, Nishati na Sera Rafiki ▪️Azishauri Serikali Kufanya Kazi kwa Ukaribu na Sekta Binafsi 📍Nairobi, Kenya Serikali ya Tanzania imetoa msimamo thabiti wa kuitaka Afrika kuharakisha mageuzi ya Sekta ya…
Waziri Kombo aagana na Balozi mteule wa Tanzania nchini Comoro
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kumuaga Balozi mteule wa Tanzania nchini Comoro, Mhe. Salim Othman Hamad, katika kikao kilichofanyika katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam….





