Latest Posts
Prof. Shemdoe aweka jiwe la msingi ujenzi wa madarasa Lindi
Na: OWM – TAMISEMI, Mchinga – Lindi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa madarasa manne na ofisi moja…
Darling yakuza mitaji ya wasusi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BAADHI ya wasusi walioshiriki programu ya Loyalty ya kampuni ya Darling Hair wamefanikiwa kuongeza mitaji na wengine kutoka kuwa waajiriwa hadi kumiliki saluni zao. Mafanikio hayo yameelezwa wakati wa hafla ya kuadhimisha miaka…
Wahitimu wa vijijini wahimizwa kuomba ufadhili wa Nuru Yangu
NMB Foundation imetoa wito kwa wahitimu wa Kidato cha Sita mwaka 2026 wenye sifa kuwasilisha maombi ya Nuru Yangu Scholarship and Mentorship kabla ya dirisha kufungwa Ijumaa, Septemba 18, 2026. Awamu hii imetengewa Sh bilioni 1 kufadhili vijana 50 wenye…
Dk Mwigulu : Mfumo wa ununuzi pamba ujulikane ndani ya mwezi mmoja
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemuagiza Waziri wa Kilimo kukutana na wadau wa zao la pamba na ndani ya mwezi mmoja kuwasilisha mapendekezo ya mfumo bora wa ununuzi wa pamba utakaowanufaisha wakulima na kuendeleza uzalishaji wa zao hilo. Ametoa agizo…
Rais wa Barcelona atuma salamu za pole kwa Rais Samia
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, ameanza ziara maalum ya siku nne katika Klabu ya FC Barcelona nchini Hispania kwa mwaliko wa Rais wa klabu hiyo, Joan Laporta. Makonda ameanza ziara hiyo tarehe 14 Septemba 2026 kwa…
Masauni : Watanzania epukeni gesi zinazoharibu tabaka la Ozoni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imewataka Watanzania kuepuka kuingiza nchini gesi zilizopigwa marufuku na vifaa vinavyotumia gesi zinazoharibu Tabaka la Ozoni, ikiwemo majokofu na viyoyozi vilivyotumika, ili kulinda mazingira na kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi. Wito…





