Tanzania na Kenya zajadili ushirikiano sekta ya umeme na gesi

Na Teresia Mhagama,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Nishati,January Makamba pamoja na Balozi wa Kenya nchini Tanzania,.Isaac Njenga wamekutana na kufanya mazungumzo kuhusu ushirikiano wa Tanzania na Kenya katika Sekta ya Umeme na Gesi. Mazungumzo hayo yamefanyika Januari 18, 2023 jijini Dodoma ambapo viongozi hao walizungumzia ushirikiano katika kuendeleza nishati ya Jotoardhi, Jua, Upepo pamoja na mradi ya…

Read More

Rais Samia: Sekta ya kilimo kukua kwa asilimia 10 ifikapo 2030

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amesema sekta ya kilimo nchini inatarajiwa kukua kwa asilimia 10 ifikapo mwaka 2030 ukilinganisha na ukuaji wa sasa wa takriban asilimia 3.6.   Rais Samia amesema Tanzania imetengeneza fursa za kitaifa kwa ajili ya mabadiliko ya mfumo wa chakula unaotarajia kuongeza uzalishaji wa chakula, kuimarisha maisha ya watu…

Read More

Rais Samia akizungumza na wawekezaji, wadau wa maendeleo na baadhi ya viongozi wakuu wa Nchi za Afrika nchini Uswizi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wawekezaji, wadau wa maendeleo pamoja na baadhi ya Viongozi Wakuu wa Nchi za Afrika katika Mkutano wa Eneo Huru la Biashara la Afrika (AfCFTA)uliofanyika Davos nchini Uswizi tarehe 18 Januari, 2023. Katika mkutano huo uliohusisha wadau hao, Mhe. Rais Samia amesisitiza kuimarisha…

Read More