Wananchi wakimsikikliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli eneo Mikumi wakati akiwa njiani kuelekea kwenye uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya kutoka Kidatu hadi Ifakara yenye jumla ya kilometa 66.9 katika sherehe zilizofanyika katika kijiji cha Nyandeo Kidatu mkoani Morogoro.

Wananchi wakimsikikliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli eneo Mikumi wakati akiwa njiani kuelekea kwenye uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya kutoka Kidatu hadi Ifakara yenye jumla ya kilometa 66.9 katika sherehe zilizofanyika katika kijiji cha Nyandeo Kidatu mkoani Morogoro.

Wananchi wakimsikikliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli eneo Mikumi wakati akiwa njiani kuelekea kwenye uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya kutoka Kidatu hadi Ifakara yenye jumla ya kilometa 66.9 katika sherehe zilizofanyika katika kijiji cha Nyandeo Kidatu mkoani Morogoro.

Wananchi wakimsikikliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli eneo Mikumi wakati akiwa njiani kuelekea kwenye uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya kutoka Kidatu hadi Ifakara yenye jumla ya kilometa 66.9 katika sherehe zilizofanyika katika kijiji cha Nyandeo Kidatu mkoani Morogoro.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi eneo la Mikumi wakati akiwa njiani kuelekea kwenye uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya kutoka Kidatu hadi Ifakara yenye jumla ya kilometa 66.9 katika sherehe zilizofanyika katika kijiji cha Nyandeo Kidatu mkoani Morogoro.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi eneo la Mikumi wakati akiwa njiani kuelekea kwenye uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya kutoka Kidatu hadi Ifakara yenye jumla ya kilometa 66.9 katika sherehe zilizofanyika katika kijiji cha Nyandeo Kidatu mkoani Morogoro.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi eneo la Mikumi wakati akiwa njiani kuelekea kwenye uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya kutoka Kidatu hadi Ifakara yenye jumla ya kilometa 66.9 katika sherehe zilizofanyika katika kijiji cha Nyandeo Kidatu mkoani Morogoro.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza kwa njia ya simu ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Profesa Kitila Mkumbo kuhusu matatizo ya mkandarasi wa ujenzi wa mradi wa maji katika kata ya  Kidodi mkoani Morogoro.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza kwa njia ya simu ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Profesa Kitila Mkumbo kuhusu matatizo ya mkandarasi wa ujenzi wa mradi wa maji katika kata ya  Kidodi mkoani Morogoro.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mtendaji wa eneo hilo akizungumza kwa njia ya simu ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Profesa Kitila Mkumbo kuhusu matatizo ya mkandarasi wa ujenzi wa mradi wa maji katika kata ya  Kidodi mkoani Morogoro.

Bendi ya Uluguru Original ikitumbuiza

Wimbo wa Taifa

Sehemu ya wageni waalikwa 

Sehemu ya wageni waalikwa 

Wabunge na Sehemu ya wageni waalikwa 

Wabunge na sehemu ya wageni waalikwa 

Makandarasi wasimamizi

Kamati ya ulinzi na usalama

Sehemu ya wageni waalikwa 

Sehemu ya wageni wananchi

Sehemu ya wageni wananchi

Sehemu ya wageni wananchi na watendaji

Sehemu ya wageni wananchi

Sehemu ya wageni wananchi

Sehemu ya wageni wananchi

Sehemu ya Wanahabari wa Morogoro wakifuatilia kila kinachoendelea

 Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Morogoro Ndg. Innocent Kalogeris akisalimia wananchi

 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Stephen Kebwe akisoma ripoti ya mkoa wake

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Joseph Nyamhanga akitambulisha wageni

Mkuu wa Umoja wa Jumuiya ya Ulaya Balozi Roeland van de Geer akitambulishwa

 
Afisa Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale akisoma muhtasari wa mradi

Mwakilishi wa DFID nchini Beth Arthy

Mkuu wa Umoja wa Jumuiya ya Ulaya Balozi Roeland van de Geer akiongea

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akiwaalika wabunge wa mkoa wa Morogoro kusalimia wananchi

Wabunge wa Morogoro wakiitikia wito

Mbunge wa Malinyi Mhe. Dkt. Haji Mponda akisalimia wananchi

Wabunge wa Morogoro wakisubiri zamu zao kusalimia wananchi

Mbunge wa Kilombero Mhe. Peter Lijualikali akisalimia wananchi

Mbunge wa Kilombero Mhe. Peter Lijualikali akisalimiana na Rais Dkt. Magufuli

Mbunge wa Mikumi Mhe. Joseph Haule “Profesa J” akisalimia wananchi

Mbunge wa Mikumi Mhe. Joseph Haule “Profesa J” akisalimiana na Rais Dkt. Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Mbunge wa Mikumi Joseph Haule kutumbuiza katika sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa barabara ya kutoka Kidatu hadi Ifakara yenye jumla ya kilometa 66.9 pamoja na daraja la mto Ruaha lenye urefu wa mita 130.

Mbunge wa Mikumi Joseph Haule akitumbuiza mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katika sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa barabara ya kutoka Kidatu hadi Ifakara yenye jumla ya kilometa 66.9 pamoja na daraja la mto Ruaha lenye urefu wa mita 130.

Mbunge wa Mvomero Mhe. Suleiman Saddiq akisalimia

Mbunge wa Mvomero Mhe. Suleiman Saddiq akisalimiana na Rais Dkt. Magufuli

Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Dkt. Christine Ishengoma akisalimia

Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Dkt. Christine Ishengoma akisalimiana na Rais Dkt. Magufuli

Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Dkt. Getrude Rwakatare akisalimia

Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Dkt. Getrude Rwakatare akisalimiana na Mama Janeth Magufuli 

Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Dkt. Getrude Rwakatare akisalimiana na Rais Dkt. Magufuli

Mbunge wa Mlimba Mhe. Suzan Kiwanga akisalimia wananchi

Mbunge wa Mlimba Mhe. Suzan Kiwanga akifurahia jambo baada ya kusalimiana na Rais Dkt. Magufuli

Mbunge wa Kilosa Mhe. Mbaraka Salim Bawazir akisalimia

Mbunge wa Kilosa Mhe. Mbaraka Salim Bawazir akisalimiana na Rais Dkt Magufuli

Mbunge wa Viti Maalum kupitia Idara ya Vyuo na Vyuo Vikuu Dk Jasmin Tsekwa akisalimia wananchi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Mbunge wa Viti Maalum kupitia Idara ya Vyuo na Vyuo Vikuu Dk Jasmin Tsekwa 

Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki Mhe. Imary Mgumba akisalimia

Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki Mhe. Imary Mgumba akisalimiana na Rais Dkt Magufuli

Mbunge akisalimia

Mbunge akisalimiana na Rais Dkt Magufuli

Mbunge wa Morogoro mjini Mhe. Abdulazizi Mohamed Abood akisalimia

Mhe. Abood akisogea kusalimiana na Rais Dkt Magufuli

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Miundombinu ya Bunge Mhe Moshi Selemani Kakoso(Mpanda Vijijini) akisalimia wananchi

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Miundombinu ya Bunge Mhe Moshi Selemani Kakoso(Mpanda Vijijini) akisalimiana na Rais Dkt Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa kidatu kabla ya kuweka jiwe la msingi ujenzi wa barabara ya kutoka Kidatu hadi Ifakara yenye jumla ya kilometa 66.9 pamoja na daraja la kidatu lenye urefu wa mita 130.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akielekea eneo la uwekaji wa jiwe la msingi akiwa na viongozi wengine wakiwemo Mwakilishi wa DFID nchini Beth Arthy anayevuta utepe, Mkuu wa Umoja wa Jumuiya ya Ulaya Balozi Roeland van de Geer pamoja na wabunge mbalimbali wa mkoa wa Morogoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo ya mradi toka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale akiwa na viongozi wengine wakiwemo Mwakilishi wa DFID nchini Beth Arthy anayevuta utepe, Mkuu wa Umoja wa Jumuiya ya Ulaya Balozi Roeland van de Geer pamoja na wabunge mbalimbali wa mkoa wa Morogoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifunua pazia kuashiria kuwekwa jiwe la msingi pamoja na viongozi wengine wakiwemo Mwakilishi wa DFID nchini Beth Arthy anayevuta utepe, Mkuu wa Umoja wa Jumuiya ya Ulaya Balozi Roeland van de Geer pamoja na wabunge mbalimbali wa mkoa wa Morogoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru Mwakilishi wa DFID nchini Beth Arthy mara baada ya kuweka jiwe la msingi ujenzi wa barabara ya kutoka Kidatu hadi Ifakara yenye jumla ya kilometa 66.9 katika sherehe zilizofanyika katika kijiji cha Nyandeo Kidatu mkoani Morogoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi Ami Mpungwe aliyekuwepo kwenye hafla hio.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe pamoja Mwakilishi wa DFID nchini Beth Arthy kushoto  na Mkuu wa Umoja wa Jumuiya ya Ulaya Balozi Roeland van de Geer kulia kuashiria uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya kutoka Kidatu hadi Ifakara yenye jumla ya kilometa 66.9 katika sherehe zilizofanyika katika kijiji cha Nyandeo Kidatu mkoani Morogoro. Wengine katika picha ni Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli watatu kutoka kushoto pamoja viongozi mbalimbali na wabunge wa mkoa wa Morogoro.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia baada ya kukata utepe pamoja Mwakilishi wa DFID nchini Beth Arthy kushoto  na Mkuu wa Umoja wa Jumuiya ya Ulaya Balozi Roeland van de Geer kulia kuashiria uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya kutoka Kidatu hadi Ifakara yenye jumla ya kilometa 66.9 katika sherehe zilizofanyika katika kijiji cha Nyandeo Kidatu mkoani Morogoro. Wengine katika picha ni Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli watatu kutoka kushoto pamoja viongozi mbalimbali na wabunge wa mkoa wa Morogoro.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katika picha ya pamoja baada ya kuweka jiwe la msingi pamoja na viongozi wengine wakiwemo Mwakilishi wa DFID nchini Beth Arthy anayevuta utepe, Mkuu wa Umoja wa Jumuiya ya Ulaya Balozi Roeland van de Geer pamoja na wabunge mbalimbali wa mkoa wa Morogoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katika picha ya pamoja baada ya kuweka jiwe la msingi pamoja na viongozi wengine wakiwemo Mwakilishi wa DFID nchini Beth Arthy anayevuta utepe, Mkuu wa Umoja wa Jumuiya ya Ulaya Balozi Roeland van de Geer pamoja na wabunge mbalimbali wa mkoa wa Morogoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na baadhi ya wakuu wa wilaya za mkoa wa Morogoro baada ya kuhitimisha hafla hio. Picha zote na IKULU

By Jamhuri