Alexis Sanchez.

MANCHESTER Unit­ed inatarajiwa kuwa uwanjani leo Ijumaa kuivaa Yeo­vil Town katika raundi ya nne ya Kombe la FA.

United itakuwa ugenini kuivaa timu hiyo ya dara­ja la pili ambapo kuna mambo kadhaa yatakuwa gumzo juu ya mchezo huo.

Alexis Sanchez kuanza kazi

Kocha Jose Mourinho wa United anatarajiwa kuan­za kumtumia staa wake mpya kikosini hapo kwa mara ya kwanza. Hiyo ni kiu ya mashabiki wengi ku­muona mchezaji huyo ka­tika kikosi hicho.

Mourinho mechi 100

Leo ni siku ya ku­zaliwa ya Mourinho ambaye anatimiza umri wa miaka 55 pia atakuwa akifikisha mchezo wake wa 100 akiwa na Man Unit­ed. Ameshinda 61, sare 23 na kupoteza 15, mabao ya ku­funga ni 176, mabao ya kufungwa 70 na ana mataji matatu.

Mabadiliko kikosini

Mourinho anaweza kufanya mabadiliko ya kikosi ikiwemo kumpa nafasi kipa Sergio Romero na kumpumz­i ­s h a David De Gea.

A n d e r H e r r e r a mechi 150

Kiungo h u y u ame s h ­a c h e z a m e c h i 149 aki­wa United k a m a atache­za basi atafiki­sha mechi 150.

By Jamhuri