Month: October 2015
Ulinzi wa Edward Lowassa usipime
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeibuka na hofu mpya juu ya kudhuriwa kwa mgombea urais wa chama hicho kwa kofia ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Kutokana na hali hiyo, umoja huo sasa umeimarisha ulinzi kwa kiongozi huyo…
CCM Upanga kupoteza udiwani
Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Upanga Magharibi kiko hatarini kupoteza kiti cha udiwani baada ya kada aliyeteuliwa kuwania nafasi hiyo kudaiwa kuingia kwa figisufigisu mbali ya kuwa na tuhuma za kufungwa jela kwa makosa mbalimbali ya jinai. Na vyama…
Kwa upuuzi huu, si Lowassa wala Magufuli anayeweza kutukomboa
Katika toleo lililopita (Na. 202), niliandaa moja ya nukuu katika ukurasa wa 19 wa gazeti hili. Ilikuwa ni nukuu ya Rais wa 42 wa Marekani, Bill Clinton aliyoitoa katika Mkutano wa Taifa wa Chama cha Democrat Julai 26, 2004. Siku…
Rubondo: Moyo wa Ziwa Victoria
Julai Mosi, mwaka 2015 ilikuwa siku ya historia ya pekee kwangu. Nilipata fursa ya kutembelea Hifadhi ya Rubondo. Safari hii ilikuwa ya aina yake. Juni 28, nilipanda ndege ya Auric Air kutoka Bukoba kwenda Mwanza, ghafla rubani akatangaza kuwa angepitia…
Lowassa Rais kabla ya kuchaguliwa
Binadamu tumeumbwa katika hali ya ajabu sana, ambayo kadiri mtu anavyokuwa katika nafasi fulani ya juu – iwe ni madaraka, elimu, siasa na wakati mwingine hata umri – ni nadra kusikiliza ushauri unaotolewa na mtu au kundi jingine ambalo liko…
Polisi na hofu ya anguko CCM
Wiki iliyopita, kwa ufupi sana nilieleza kwamba mtaji mkubwa wa ushindi wa kishindo kwa vyama tawala katika baadhi ya mataifa yasiyotaka demokrasia ya kweli ni rushwa, ujinga na umaskini wa wananchi. Nilieleza pia mtaji mwingine wa watawala hao waliojihakikishia kwamba…