JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: June 2018

EU yaongeza ushuru kwa bidhaa kutoka Marekani

Jumuiya ya Ulaya EU imeanzisha ongezeko jipya la tozo kwa bidha zinazotoka Marekani kama hatua ya kulipa kisasi dhidi ya sera ya kibiashara ya Rais Trump iliyotangaza ongezeko tozo ya uingizwaji wa bidhaa za chuma na bati nchini humo. Ongezeko…

Magazetini leo Ijumaa, 22, June, 2018

Maagizo 10 aliyotoa Rais Magufuli akipokea BILIONI 1.5  

Trump arudi nyuma katika sera yake ya kuzitenganisha familia

Rais Donald Trump wa Marekani amesitisha sera yake uhamiaji iliyokuwa inalazimu kuzitenganisha familia za wahamiaji wanaobainika kuvuka mipaka kinyume cha sheria na watoto wao. Pamoja na kulegeza msimamo huo kutokana na kulalamikiwa kwa sera hiyo ndani na nje ya taifa…

Marekani yajitoa katika baraza la Umoja wa Mataifa la haki za binaadamu

Marekani imejitoa katika baraza la haki za binaadamu la Umoja wa Mataifa na kulitaja kuwa na ‘unafiki wa kisiasa na lenye upendeleo’. “Taasisi hiyo ya “unafiki na upendeleo inakejeli haki za binaadamu”, amesema mjumbe wa Marekani katika Umoja huo Nikki…