JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2018

Maandalizi ya sherehe ya Muungano yakamilika Haya Hapa

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma kukagua hatua iliyofikiwa katika maandalizi ya sherehe za Muungano wa Tanganyika na…

Tathmini kuelekea Kombe la Dunia

Mataifa 32 yaliyofuzu kucheza Kombe la Dunia nchini Urusi, tayari yamegawanywa katika makundi manane yenye timu nne kila moja, huku presha ikiendelea kupanda kila kukicha. Makundi hayo ni: Kundi A Kundi hili lina mwenyeji wa mashindano hayo, Urusi sambamba na…

Liverpool vs AS Roma Leo Mtoto Hatumwi Dukana UEFA

Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya inaendelea tena leo usiku ambapo Liverpool watakuwa wanaikaribisha AS Roma kwenye Uwanja wa Anfield. Liverpool waliingia hatua ya nusu fainali baada ya kuitoa Manchester City kwa jumla ya mabao 5-1. AS Roma nao walitinga hatua…

Watu 10 wauawa kwa kugongwa na gari la mizigo Canada

Watu tisa wameuawa mjini Toronto, nchini Canada baada kugongwa na gari la mizigo ambalo lilielekea katika mtaa wenye watu wengi. Wengine 16 wamejeruhiwa pia. Mashuhuda wanasema kuwa dereva huyo aliendelea kuliendesha gari takribani umbali wa kilomita moja hivi. Diego de…