Month: February 2019
Wananchi walilia fidia mradi wa umeme
Wananchi wa maeneo ya Kinyerezi, Chalinze na Tanga waliohamishwa kupisha mradi wa umeme wa North, East, Grid wa (Kv 400), wameilalamikia serikali kwa kushindwa kuwalipa fidia licha ya zoezi la uhakiki wa maeneo hayo kukamilika tangu mwaka 2015. Wakizungumza na Gazeti la…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (3)
Wiki iliyopita nilieleza sehemu ya pili ya taratibu za kuanzisha biashara kwa mtu yeyote mwenye nia ya kufanya hivyo hapa Tanzania. Nimeandika mwendelezo wa hatua ya kwanza ambayo ni ‘wazo la biashara’ na nikagusia hatua ya pili ambayo ni ‘eneo…
Dalili za shambulio la moyo
Kinga ni bora kuliko tiba. Mara nyingi magonjwa mengi yanahatarisha afya zetu kwa kutoziweka maanani dalili zake. Bila shaka makala hii leo itakusaidia katika kuzitambua dalili zinazoashiria shambulio la moyo na kuwahi kuwaona wahudumu wa afya. Uchovu usio wa kawaida Uchovu…
Serikali yahaha Monduli, Karatu kupata maji
Miradi ya maji lazima itekelezwe kwa wakati kama serikali ilivyopanga ili wananchi wapate huduma ya maji safi na salama, na kujishughulisha na kazi nyingine za maendeleo, ikiwamo kutumia maji hayo kuongeza thamani ya bidhaa mbalimbali na kuleta maendeleo zaidi. Naibu…
Ndugu Rais nitupeni mimi
Ndugu Rais, maandiko yanasema watu walikuwa wanasafiri katika chombo baharini. Chombo kilisheheni mizigo mingi, lakini kilienda bila tatizo. Kilipofika katikati ya bahari chombo kikaonekana kulemewa na mizigo. Kikaanza kuzama. Abiria wakapatwa na mfadhaiko wakaamua kuitupa mizigo baharini, lakini chombo kiliendea…
Kiongozi anao wajibu kuelimisha anaowaongoza
Miongoni mwa wajibu wa kiongozi ni kuelimisha anaowaongoza. Anapata fursa nyingi zaidi za kujielimisha na anao wajibu wa kutawanya elimu hiyo kwa wengine. Hiyo elimu inahitajika sana kwenye uanaharakati. Naamini hivi kwa sababu lipo kundi kubwa la watu linaingizwa kwenye…