Month: June 2019
Tumejipanga kuvihudumia viwanda
Wakati nchi ikijiandaa kwenda kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na baadaye Uchaguzi Mkuu 2020, Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASA) inazidi kuwapatia wananchi wa Dar es Salaam na Pwani maji. Ni wakati mwafaka kuwahamasisha na kuwaelimisha…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (19)
Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii kwa kuainisha mapato yatokanayo na ajira ambayo kisheria unapaswa kuyalipia kodi kama mwajiriwa. Ni wajibu wa mwajiri kukata kodi hiyo ya zuio kwa pato la mwajiriwa pale anapompatia malipo hayo kila mwezi. Sitanii, jambo moja…
MAISHA NI MTIHANI (34)
Wameniteta naye huwa amewateta Kusemwa ni mtihani. Wameniteta naye huwa amewateta (Methali ya Wanyankole). Unanisengenya, wanakusengenya (Methali ya Wahaya). Wawili husengenya mmoja (Methali ya Wahaya). Huwezi kuwazuia ndege wasiruke juu ya kichwa chako, wataruka tu, lakini wakitaka kujenga viota lazima…
Vigogo wa Serikali walaza nje familia ya watu 13
Kutoa maoni au uamuzi kuhusu jambo ambalo bado halijatolewa hukumu mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama, hivyo unaweza kusababisha kupotosha mwenendo wa shauri au kesi iliyopo mahakamani. Jambo hilo linaweza kutendwa na mtu yeyote kwa kuzingatia masilahi anayopata kutoka upande…
Ndugu Rais ‘meseji’ ya Tshisekedi imefika?
Ndugu Rais safari yangu ya kwanza kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC ilinifanya niwaamini waliosema, tenda wema nenda zako, usingoje shukrani. Ujio wa Rais wa DRC ndugu Félix Tshisekedi umenikumbusha yaliyonitokea huko baada ya Rais Laurent Kabila kuikomboa Zaire…
Hatua rahisi za kutoa gari bandarini
Katika mfululizo wa makala za bandari, leo tunakuletea utaratibu unaotumika katika kuhudumia shehena ya magari hatua kwa hatua katika bandari za TPA, kuanzia meli inavyoingia bandarini, gari linavyoteremshwa kutoka melini, gari linavyopokelewa bandarini, gari linavyotoka bandarini hadi mteja kukabidhiwa gari…