JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: December 2022

Morocco kuongeza idadi ya timu za Afrika 16 bora kombe la Dunia?

Na mwandishi wetu Saa 12:00 jioni ya leo waafrika wengi watakuwa mbele ya televisheni zao wakiangalia mechi ya Kombe la Dunia kati ya Morocco na Canada kwa matumaini makubwa ya kuona timu nyingine toka Afrika ikifuzu hatua ya 16 Bora…