JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2022

Serikali yatakiwa kufanya maamuzi magumu kuliokoa bonde la Ihefu

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Iringa Serikali imetakiwa kufanya maamuzi magumu ili kuokoa chanzo cha maji cha Bonde la Ihefu ambalo limevamiwa na familia 12 na kusababisha chanzo hicho kukauka. Akizungumza katika Kongamano la Wahariri wa Wadau wa Uhifadhi Mazingira na…

Ujazaji maji bwawa la umeme JNHPP mbioni kutegua kitendawili cha muda mrefu

Na Zuena MsuyaJamhuriMedia, Pwani Waziri wa Nishati, January Makamba amewaeleza watanzania kuwa zoezi la kuanza kujaza maji katika Bwawa la kufua Umeme la Julius Nyerere (JHPP) litaanza tarehe 22 Desemba 2022 na kushuhudiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

Ni Argentina bingwa Kombe la Dunia 2022

Timu ya taifa ya Argentina imefanikiwa kutwaa ubingwa wake wa tatu wa Michuano ya Kombe la Dunia baada ya ushindi wa jumla ya mikwaju ya Penalti 4-2 dhidi ya timu ya taifa ya Ufaransa kwenye mchezo uliohitimishwa kwa dakika 120’…

Bado mnawataka TAKUKURU kwa makipa?

Nadhani mjadala wa kutaka Nahimana achunguzwe utakuwa umefika mwisho. Timu zetu zina makipa lakini kuna tatizo kubwa la makocha wa magolikipa. Tumeshuhudia makipa wazuri wakisajiliwa katika timu zetu wakiwa bora lakini baada ya muda viwango vyao vinashuka kadri muda unavyokwenda. …

Nape: Mabadiliko sheria huduma ya habari kufanyika 2023

Na Mwandishi Wetu.JamhuriMedia Wadau wa sekta ya habari wamehakikishiwa kuwa mabadiliko ya sheria ya huduma ya Sekta ya habari yanakwenda kufanyika Januari 2033. Hayo yamesemwa leo Desemba 17, 2022 na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye…

Balile: Sheria ikirekebishwa uhuru wa habari utapatikana

Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),Deidatus Balile, amesema, licha ya kuwepo kwa uhuru wa habari nchini, ameomba uhuru huo ulindwe kisheria. Akizungumza katika Kongamano la Kwanza la Maendeleo ya Sekta ya Habari leo tarehe 17 Desemba…