JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2023

Eneo la Kitaraka kutumika kimkakati kuzalisha mifugo Manyoni

Na Mbaraka Kambona,JamhuriMedia,Singida Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega (Mb) amesema kuwa Serikali imedhamiria kulitumia eneo la kupumzishia mifugo la Kitaraka lililopo wilayani Manyoni, Singida liweze kutumiwa na vijana watakao hitimu mafunzo katika vituo atamizi kwa ajili ya kufanya…

Serikali yatoa mikopo ya bil.165/- kwa wakulima

Na Farida Ramadhani,WFM, Dodoma Serikali kupitia Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa mkopo wa shillingi billioni 164.9 kwa Sekta ya Benki na Taasisi za Fedha nchini uliowanufausha wakulima wadogo 5,385 na Vyama vya Ushirika na Masoko (AMCOS) 21. Hayo yameelezwa…

Rais azindua Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amezitaka Taasisi za Haki Jinai kuendesha na kusimamia haki jinai kwa kuzingatia misingi ya sheria, weledi, usawa, uadilifu pamoja na mila na desturi zetu. Rais Samia amesema hayo leo wakati akizundua…

Chongolo adai kukosa imani na kiwanda cha sukari Kilombero

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amepokea malalamiko ya wananchi ambao wanajihusisha na wakulima wa miwa Kilombero mkoani Morogoro ambao wamedai kukosa imani na Kiwanda cha sukari Kilombero kwa jinsi wanavyopima kiwango cha utamu…

Migogoro ya ardhi Mapinga yamchefua RC Kunenge

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Bagamoyo Mkuu wa Mkoa wa Pwani alhaj Abubakari Kunenge, ameanza kutekeleza mapendekezo na msimamo wa Serikali kusimamia migogoro ya ardhi iliyokithiri kata ya Mapinga ambapo imeweka rekodi ya kata inayoongoza kwa migogoro hiyo nchini. Ameeleza katika hatua…